
13/08/2020
DAWA MBADALA ZINAZOTUMIKA KUREJESHA UKE MKUBWA AU ULIOLEGEA
Jinsi gani ya kukaza uke au ni namna gani kufanya uke uwe mdogo tena ni mada au somo lisilopendwa kuzungumzwa na watu wengi.
Ikiwa wewe ni mmoja wa waathirika na tatizo hili basi tumia muda wa kutosha kusoma makala hii sasa hivi, irudie mara nyingi mpaka umeielewa.
KINACHOSABABISHA UKE KULEGEA
Uke kulegea au kuwa mkubwa zaidi unaweza kutokea kutokana na sababu nyingi. Kumbuka pia kushiriki tendo la ndoa mara chache siyo suluhisho la kuwa na uke mdogo. Hakuna uhusiano wa moja kwa moja wa kuwa na uke mkubwa na kushiriki tendo la ndoa mara nyingi.
Pia hakuna uhusiano wa umri na ukubwa wa uke. Wapo wamama watu wazima wana uke mdogo pia kuna wasichana wadogo kabisa wana uke mkubwa kupitiliza.
Watu wengine huamini kuwa mwanamke mwenye uke mkubwa na mlegevu ametembea na wanaume wengi sana, jambo hilo sio kweli kwani hakuna uume unaoweza kufanya hivyo ila mwanamke aliyezoea uume mkubwa anaweza kupata shida kufurahia tendo la ndoa akipata mwanaume mwenye uume mdogo.
K**a ilivyo kwa uume kwamba wanaume wana uume wenye ukubwa tofauti tofauti kadharika wanawake nao kila mwanamke ana uke wa ukubwa tofauti tofauti tofauti.
Kwa kawaida hakuna mwanaume anayependa kushiriki tendo la ndoa na mwanamke mwenye uke mkubwa. Kuna tetesi zisizo rasmi kuwa hata wanaume wanaopenda kushiriki tendo la ndoa kinyume na maumbile na wake zao huanza tabia hiyo mara baada ya kuona uke umelegea kiasi cha kutokuwa na radha tena.
Uke kulegea ni matokeo ya asili ya kuchakaa na kupanuka kwa kuta zake.
Mfano mara baada tu ya kujifungua misuli ya uke inalegea na k**a hutachukua hatua mapema uke unaweza kupoteza hali ya kujibana tena na kurudi kwenye saizi yake ya awali.
Je kuna njia za kugundua k**a una uke mdogo au mkubwa?
Wanawake wengi hawajui ukubwa wa uke wao kwa kuwa hawawezi kujipima au kuona umuhimu wa kufanya hivyo.
Uke unapokuwa katika hali yake ya kawaida kuta zake zinalaliana na kwa wengi kipenyo cha uke hakizidi inch 1 na nusu na urefu wake kati ya inch 3 hadi 4, hata hivyo ukubwa wake hubadilika mwanamke anapokuwa tayari kwa tendo la ndoa.
Unaweza kuwa inch 1 au moja na nusu ni ndogo kwa mwanaume kupitisha uume wake, ukweli ni kwamba uke una uwezo wa kutanuka ili uweze kumeza uume. Ukiingia ndani ya uke ukubwa huongezeka zaidi hadi kufikia inch 3.
Kwa wanawake waliozaa hawana budi kukabiliana na ongezeko la ukubwa wa uke wao,kadri watoto wanavyozidi kuongezeka ndivyo ukubwa wa uke uongezekavyo ,hali hii hutokana na uharibifu wa misuli iliomo katika kuta za uke.
K**a uke wako umepanuka zaidi na umekuwepo ulegevu mkubwa matokeo yafuatayo yatakukabili;
1.Hutafurahia tendo la ndoa
2.Mpenzi au mumeo atapata shida kuridhika nawe kutokana na hali ya kupwayapwaya.
3.Unaweza kupata tatizo la hewa kuingia ndani ya uke na kusababisha hali inayofanana na kujamba, jambo linalowakuta wanawake wengi.
Baada ya kujifungua yanakuwepo mabadiliko ya vichocheo muhimu,kichocheo cha Estrogen na Progesterone hupungua na hili husababisha upungufu wa majimaji ya kupunguza msuguano wakati wa kufanya mapenzi.
UTAJUAJE KUWA UKE WAKO UMELEGEA AU KUONGOZEKA UKUBWA?
Wanawake wengi wanagundua kuwa uke wao umebadilika pale mpenzi au mume anapoanza kulalamika au kupoteza hamu ya kufanya mapenzi.
Wengine wanashindwa kujua kwanini wapenzi wao au waume zao wamepoteza msisimko wa kufanya mapenzi k**a zamani,hapa ndipo unapoonekana umuhimu wa wapenzi kushirikishana mambo mbalimbali katika mahusiano yao bila woga.
Zifuatazo ni ishara za kujua k**a huko chini kumelegea au kuwa kukubwa
1. K**a ukiingiza kidole chako ukeni inakuwa vigumu kukibana kwa uke wako
2. Unapokuwa bado hujapata hamu ya kufanya mapenzi,uke wako (tundu ambalo uume huuingia) linakuwa wazi yaani hupati pingamizi lolote ukiingiza kidole.
3. Unaweza kuingiza vidole vitatu au zaidi ndani ya uke wako bila kipingamizi kikubwa.
4. Unapata shida kubwa kufika kileleni.
Sababu kuu za uke kulegea na kuwa mkubwa ni pamoja na:
* Kuzaa mara kwa mara
* Uzito na unene uliozidi
* Kujifungua kwa upasuaji
* Kuinua vitu vizito mara kwa mara
* Mazoezi mazito ya mara kwa mara
* Misukosuko ya siku za nyuma katika nyonga
* Ukomo wa hedhi
* Maumivu sugu nyuma ya mgongo
* Kupiga chafya au kikohozi mara kwa mara
* Kufunga choo au kupata choo kigumu mara kwa mara
Mlolongo huu ni wa asili, hata hivyo kuna hatua unaweza kuzichukua na hivyo kurudishia kifaa chako katika hali ya kawaida k**a msichana tena.
Baadhi ya wanawake hupendelea kufanya upasuaji maalumu ili kurudishia maumbile yao kuwa madogo jambo ambalo linaweza kuwa na athari kubwa kiafya hapo baadaye.
Zipo njia za asili unazoweza kuzifuata kukusaidia kukaza tena kifaa chako ukiwa nyumbani na kwa namna za asili bila kukuacha madhara yoyote hapo baadaye.
Ili kufanya misuli ya uke ibane unaweza kutumia Shampoo spesho ya k**e ambayo imetengenezwa kwa vitu asilia na jukumu kubwa ni kurudisha uhalisia wa misuli ya uke ilerejee kubana k**a awali na pia kuongeza mnato asilia. Shampoo hii umaweza tumia mara mbili kwa siku asubuhi na jioni kwa kutumia matone machache tu k**a matatu yanatosha kabisa.
Mambo mengine muhimu ya kuzingatia:
*Kuwa msafi kila mara
* Vaa nguo za ndani zinazotengenezwa kwa pamba
Njia hio nilioelezea hapo juu ni nzuri katika kurejesha saizi ndogo uke ulikokwisha kuwa mkubwa au uliolegea. Chakula na mazoezi pia ni muhimu kuzingatia kwa matokeo mazuri na yenye uhakika.
Kwahiyo k**a wewe ni mmoja wa watu wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo hili usiichukulie poa hii makala jaribu yaliyopendekezwa humu na uniletee mrejesho.
Jinsi ya kupata hii shampoo wasiliana nasi kwa PIGA/SMS/WHATSAPP +255 744 373 225 Karibuni Nyote.