DAWA ASILI ZA Kissunah

DAWA ASILI ZA Kissunah Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from DAWA ASILI ZA Kissunah, Medical Service, Makambako.

UKITAKA DAWA OMBA DAWA ULIYO IONA HAPO SIHITAJI MASWALI NA USUMBUFU
huu ni ukurasa unao husiana na madawa ya kissunah na upatikanaji wake kiurahisi kabisa ktk mikoa ya nyanda za juu kusini iringa mbeya

FAIDA Za UBANI ukichanganywa na manemane huleta amani na utulivu katika fikra ya mtu ikiwa ni pamoja na kufukuza mizuka ...
24/05/2025

FAIDA Za UBANI
ukichanganywa na manemane huleta amani na utulivu katika fikra ya mtu ikiwa ni pamoja na kufukuza mizuka mibaya katika nyumba na ilikuwa ni zawadi kwa Yesu ilipochanganywa na manemane na kwa Abraham au Ibrahim ilikuwa ni pozo la fikra kwa harufu nzuri na kukuza imani​
kwa mwenye maradhi ya mashetani akijifunika moshi wake na kuuvuta kwa siku 7 basi humuondoshea na kuwa hhuru

husaidia katika kuondoa mafua na baridi mwilini ukichomwa kwa kujifusha

huponya meno ukitafunwa k**a jjojo

huongeza ndoto nzuri wakati wa uusingizi

huponya kidonda chenye kuvuja damu na kufuta kovu lake

Kibiriti upeleleHutibu magonjwa sugu ya ngozi na kumaliza tatizo kabisa👉Vipele vya ndevu vilivyo komaana kuleta weusi👉vi...
25/04/2025

Kibiriti upelele
Hutibu magonjwa sugu ya ngozi na kumaliza tatizo kabisa
👉Vipele vya ndevu vilivyo komaana kuleta weusi
👉vipele kichwani ,mba na mapunye
👉mapunye na miwasho sehemu za siri
👉Fangasi miguuni na chunusi
👉muwasho wa ngozi na vidonda

Kibiriti upele ni Dawa ya asili inayotibu magonjwa ya ngozi k**a vile::::*Vipele vya ndevu na muwasho...* Vipele chini y...
28/11/2024

Kibiriti upele ni Dawa ya asili inayotibu magonjwa ya ngozi k**a vile::::
*Vipele vya ndevu na muwasho...
* Vipele chini ya kisogovinavyotoa usaha
* Vipel vya kichwa na mmba unaotoa ungaa
* Muwasho sehemu za siri pamoja na fangasi za miguuni zinazotoa harufu
*Chunusi za usoni mashilingi mapunye kwa wototo na wakubwa pia
*kukausha vidonda vinavyotoa maji na usaha
* Vipele vinavyotoka Baada ya kunyoa na mashine au wembe kichwani na kidevuni:::
*****Dawa hii kwa waliotumia wamepona kabisa na ngozi zao zimerudi k**a zamanii haina madhara ...Matokeo utayaona kuanzia 3-7. Matumizi paka mara mbili kwa siku chunusi paka mara moja tu::

MAPENZI MRUDISHE MKEChukua mshumaa mwekunduUbani makaNa miski Ifikapo saa 6-7 koga vizuri Jipake miski unukievaa nguo sa...
09/08/2024

MAPENZI MRUDISHE MKE
Chukua mshumaa mwekundu
Ubani maka
Na miski
Ifikapo saa 6-7 koga vizuri
Jipake miski unukie
vaa nguo safi tandika zulia lako chini washa mishumaa myekundu au ya pinki mitano
Chukua chetezo choma ubani
Kaa kwa kutulia fanya manuizi yako
Ya kuomba mke arudi
inshaalah mke wako atarudi na upendo mkubwa

Watu walio pooza Maumivu ya mgongo baada ya kujifunguaMaumivu ya mgongo ya kawaidaMaumivu ya misuliWalio pararaiziGanzi1...
09/06/2024

Watu walio pooza
Maumivu ya mgongo baada ya kujifungua
Maumivu ya mgongo ya kawaida
Maumivu ya misuli
Walio pararaizi
Ganzi
10000 Tshs Tu

MAFUTA YA FIMBO YA MUSA k**a unahisi unasumbuliwa na uchawiAu jini hapa ndo mwisho wa matatizo👉kwa wanao hitaji kuwanasa...
09/06/2024

MAFUTA YA FIMBO YA MUSA
k**a unahisi unasumbuliwa na uchawi
Au jini hapa ndo mwisho wa matatizo
👉kwa wanao hitaji kuwanasa wachawi
Ila uwe na roho ya ujasili unaweza kumuona anaekuroga ni nduguyo wa karibu
MANUIZI YA KUVUNJA NGUVU ZA GIZA

Maradhi Yanayotibiwa na Habbat Soda BLACK SEEDYafuatayo hapa chini ni baadhi ya matatizo na magonjwa ambayo yanaweza kut...
15/05/2024

Maradhi Yanayotibiwa na Habbat Soda BLACK SEED

Yafuatayo hapa chini ni baadhi ya matatizo na magonjwa ambayo yanaweza kutibika kwa kirahisi kwa kutumia Habbat-Sawdaa.

Vipele (chunusi) Na Ngozi:
Changanya na pasha moto kwa dakika mbili kikombe kimoja cha Habbat-Sawdaa iliyosagwa, ½ (nusu) kikombe cha maganda ya komamanga yaliyosagwa, na ½ (nusu) kikombe cha s**i ambayo inatokana na juisi ya tofaha (apple). Paka katika sehemu inayotakiwa kabla ya kwenda kulala kila usiku mpaka vipele (chunusi) vitakapoondoka. Mchanganyiko unaweza kukaa mpaka wiki tatu na ni lazima uwekwe katika hali ya ubaridi.

Upara (Alopeshia):
Sugua mafuta ya Habbat-Sawdaa katika mabaka yanayokusumuba.

Pumu:
Tia ½ (nusu) kijiko cha Habbat-Sawdaa iliyochemshwa katika maji ya yaliyochemshwa kisha unywe moto.

Kuumwa kwa Mgongo (Sehemu ya Chini):
Changanya asali pamoja na ¼ (robo) kijiko cha Habbat-Sawdaa na iwe kitu cha kwanza kunywa wakati wa asubuhi kabla ya kufungua kinywa.

Mwiba Wa Nyuki Na Nyigu:
Tia ½ (nusu) kijiko cha Habbat-Sawdaa iliyochemshwa katika maji ya yaliyochemshwa kisha unywe moto.

Kibofu cha Mkojo/Figo:
Kunywa maji ya moto yaliyochanganywa na½ (nusu) kijiko cha Habbat-Sawdaa pamoja na asali kila asubuhi kabla ya kufungua kinywa. Changanya vikombe viwili vya Habbat-Sawdaa iliyosagwa na ½ (nusu) kikombe cha asali safi. Kunywa kijiko kimoja cha mchanganyiko pamoja na kikombe kimoja cha maji ya moto kila asubuhi kabla ya kufungua kinywa. Mchanganyiko unaweza kukaa kwa siku 15 na ni lazima uwekwe katika hali ya ubaridi.

Jiwe La Figo:
Kikombe kimoja cha Habbat-Sawdaa iliyochanganwa pamoja na gilasi (bilauri) moja ya asali, vitunguu saumu vitatu vilivyosagwa na karafuu. Changanya vitunguu saumu pamoja na asali na Habbat-Sawdaa. Kunywa kijiko kimoja kabla ya kula chakula na kwa pendekezo kula limau (bila ya kumenywa). Rudia haya kwa wiki moja Insha-Allah jiwe litaondoka.

Mshindwe nyie tu huduma nyingine hiyo
19/08/2022

Mshindwe nyie tu huduma nyingine hiyo

Address

Makambako

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when DAWA ASILI ZA Kissunah posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram