02/06/2022
Isn’t Thursday for #ᴛʙᴛ
Kumekua na dhana nyingi kuhusu namna dalili za magonjwa ya zinaa zinavyoanza kuonekana.
Ukweli ni kwamba, usichukulie poa dalili yoyote hata iwe ndogo kiasi gani.
Hii ilikua mwaka 2020 na huyu bwana tulimkabidhi kwa mganga mkuu .afya 😀