Yommcare_ijueafya

Yommcare_ijueafya This page is special for health issues

Hizi ndizo sababu zinazopelekea kutokwa na Damu ukeni bila mpangilio/ hedhi ya kutoka mwezi mzima, ebu sikiliza vizuri.
19/11/2023

Hizi ndizo sababu zinazopelekea kutokwa na Damu ukeni bila mpangilio/ hedhi ya kutoka mwezi mzima, ebu sikiliza vizuri.

Created by InShot:https://inshotapp.page.link/YTShare

15/10/2022

Hii inaonesha jinsi ugonjwa wa Ebola unavyoenea na kuambukiza

Tunapoendelea kusherekea sikuku ya Christmas na kuelekea mwaka mpya, tusherekee kwa upendo, amani na utulivu ili Afya ze...
25/12/2021

Tunapoendelea kusherekea sikuku ya Christmas na kuelekea mwaka mpya, tusherekee kwa upendo, amani na utulivu ili Afya zetu zibaki kuwa salama sambamba na hilo tusameheane sisi kwa sisi ili tunapouanza mwaka mpya Basi tukauanze vyema.
endelea kufuatilia Instagram ili upate makala zaidi na elimu juu ya Afya, mwaka mpya nguvu zaidi

Zifahamu fangasi za ukeni (va**na candidias/ va**na yeast infection),kwanza ifahamike kwamba fangasi wapo sehemu mbalimb...
02/04/2021

Zifahamu fangasi za ukeni (va**na candidias/ va**na yeast infection),

kwanza ifahamike kwamba fangasi wapo sehemu mbalimbali za mwili wa mwanadamu K**a vile kinywani/ mdomoni, ukeni, tumboni, kwenye ngozi n.k, fangasi wanaumhimu Katika kusaidia mwili ili uweze kufanya kazi yake vizuri.

• Inatokeaje mpaka kusababisha maambukizi (va**na yeast infections)?

• Fangasi za ukeni- husababisha maambukizi mara tu zinapo ongezeka kwa kiasi kisicho Cha kawaida (fungal overgrowth), kutokana na kuharibika kwa usawa Kati ya bakteria na fangasi (balance) Katika uke ndiko hupelekea seli za fangasi kuongezeka kupita kawaida na kusababisha maambukizi hayo (fangasi wa ukeni) ambayo huonesha Dalili zifuatazo÷

• DALILI

1. kutokwa na uchafu mweupe usio wa kawaida

2. kuwashwa sehemu za Siri

3. Kutokwa na vipele ama michubuko ukeni

4. Kupata maumivu wakati wa kufanya mapenzi

5. Kupata maumivu au kutojihisi vizuri (uncomfortable) wakati wa kukojoa n.k

ZINGATIA

Endapo unasumbuliwa na tatizo K**a Hilo usisite wala kuona aibu ya kutafuta tiba, Tatizo hili linatibika kabisa na huisha pia kumbuka kukaa na ungonjwa bila kupata tiba stahiki kwa muda mrefu hupelekea Ugonjwa kuwa sugu ama kusababisha madhara makubwa ya kiafya.Unashauriwa kufika hospitali/ klinic iliyopo karibu yako ili uweze kutibiwa au waweza wasiliana nasi kupitia no:(0764108196) ili tukuhudumie na kukupatia Dawa stahiki zitakazoweza kumaliza tatizo Hilo.

Kwa mwanamke..Fahamu visababishi vya maumivu makali wakati wa "Hedhi" (Dysmenorrhea)Maumivu makali wakati wa Hedhi(Dysme...
27/03/2021

Kwa mwanamke..

Fahamu visababishi vya maumivu makali wakati wa "Hedhi" (Dysmenorrhea)

Maumivu makali wakati wa Hedhi(Dysmenorrhea)- ni hali ya kuhisi maumivu makali chini ya kitovu kabla au wakati wa Hedhi, maumivu hayo hupelekea baadhi ya wasichana au wanawake kushindwa kufanya shughuri zao za kila siku (mfano masomo au kazi) pindi wanapopatwa na hali hiyo. Hi husababishwa na kutokuwa na usawa wa kemikali "prostaglandin" ndani ya mfuko wa uzazi(uterus) kipindi Cha Hedhi, kiasi kwamba kemikali hizo husababisha uterus kujikunja na hatimaye kusababisha maumivu makali.

Dysmenorrhea - imegawanyi katika sehemu mbili (1) primary dysmenorrhea(awali) - aina hii ya dysmenorrhea hutokea bila tatizo lolote la kiafya na hutibika, (2) secondary dysmenorrhea(hutokana na tatizo)- ni aina ambayo husababishwa na matatizo mengine ya kiafya K**a "endometriosis" yaani nyamanyama (tissue) za ukuta wa ndani ya mfuko wa uzazi kutokeza nje ya mfuko huo, "fibroids" uvimbe n.k, aina hii ya pili huhitaji uchunguzi na matibabu zaidi ili kudhibiti tatizo.
K**a unamatatizo K**a hayo au ndugu,rafiki yako tuwasiliane kwa namba.(0764108196)

Address

Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Yommcare_ijueafya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Yommcare_ijueafya:

Share