Ushauri wa Ndoa

Ushauri wa Ndoa Let them be them Ndoa zimakuwa changamoto sana Katika Kizazi cha Sasa, ni Muhimu kushirikian udhoefu ili kujenga misingi mizuri ya jamii yetu

Wakati mwingine ni vyema tu kumruhusu mtu aondoke maishani mwako k**a hataki kukuelewa, Kutokuwepo kwake kutakufundisha ...
25/07/2025

Wakati mwingine ni vyema tu kumruhusu mtu aondoke maishani mwako k**a hataki kukuelewa, Kutokuwepo kwake kutakufundisha vitu ambavyo Huwezi jifunza akiwepo.

Acha kujiumiza kwa kulazimisha Mahusiano au ndoa ambayo wewe ni Shahidi siyo sahihi kwako, Huwezi kufanya mtu akujali, awe mwaminifu au kuwabadilisha unavyotaka.

Wakati mwingine mtu unayelazimisha kuwa naye ndo hukupaswa kabisa, wakati mwingine watu huja kwa sababu tu nakupita, waache waende.

Kuwa makini usipoteze utu na nafsi yako kurekebisha jambo ambalo kamwe hutaliweza. Huwezi pata Upendo / mapenzi toka kwa mtu ambaye hayupo tayari kukuthamini.

Ni ngumu sana ukiwa unafikiri mtu uliye naye " Ni sahihi" halafu anakuwa ndo anakuuza kabisa, Utapona tu na kupata mtu mwingine.

Kumbuka ni Bora kuwa "single" - Kuishi mwenyewe kuliko kupoteza utu wako, K**a mtu anakufanya k**a wewe mbadala, kamwe usimfanye kipaumbele chako.

, , ,

Jifunze kufunga MdomoUnanunua Nyumba? Funga Mdomo.Unanunua gari jipya? Funga MdomoUnanunua gari jipya? Funga Mdomo.Unaen...
23/06/2025

Jifunze kufunga Mdomo

Unanunua Nyumba? Funga Mdomo.

Unanunua gari jipya? Funga Mdomo

Unanunua gari jipya? Funga Mdomo.

Unaenda Kuoa ? Funga mdomo

Umepandishwa cheo ? Funga Mdomo.

99.9% ya mambo yote / ndoto na mipango haitimii k**a tunavyopanga, Kwa sababu tunafungua midomo yetu mapema kwa watu wasio sahihi na Kwa wakati usio sahihi.

Tulikosea kuwashirikisha watu mafanikio / miradi yetu kwa watu wanaojiita "Marafiki" Haya yamesababisha wivu na mazingira ya mambo yetu kutotimia Kwa wakati, kwa hiyo jifunze kufunga Mdomo.

Marafiki zako wengi wanaweza kutaka ufanye vizuri na ufanikiwe lakini sio uwazidi ki mafanikio.

Na pia uelewe, hata ndugu zako wa Damu wanalo jicho la wivu ambalo limejificha na gumu kuliona.

Lakini hawawezi zuia mipango ya Mungu kwako.

Kuwa na Hekima, Kumbuka k**a samaki angefunga Mdomo, ndoano ya mvivu ingekosa pa kushika!

Anza Leo kutengeneza tabia ya kufunga Mdomo!

30/01/2025
Eti ndugu zangu wanandoa!!!"Kwanini umsaliti mtu unayetaka kuishi naye na wala hutaki mpoteza na mtu ambaye hutaki na hu...
28/07/2024

Eti ndugu zangu wanandoa!!!

"Kwanini umsaliti mtu unayetaka kuishi naye na wala hutaki mpoteza na mtu ambaye hutaki na huna mpango wa kuishi naye"

Tujali familia zetu, We Baba kumbuka ulichagua Mama wa watoto wako, k**a hukuchagua vizuri sio kosa la watoto wako, huna haja ya kuwatesa!!!!!

https://www.mbeyacity.com/
10/08/2023

https://www.mbeyacity.com/

Do you plan to travel to Mbeya? we have all information that you need, from Hotel, Hostels, restaurants, tours and much more!

Mbeya is blessed...
26/06/2023

Mbeya is blessed...

Matema Beach, 152km from Mbeya! Very quite Beach, great place to relax.
23/06/2023

Matema Beach, 152km from Mbeya! Very quite Beach, great place to relax.

Tutafute Mda tutembelee Vivutio vilivyomo Mbeya, Tupende na Kujivunia vya kwetu.
22/06/2023

Tutafute Mda tutembelee Vivutio vilivyomo Mbeya, Tupende na Kujivunia vya kwetu.

A true definition of green City - In Love with Mbeya
21/06/2023

A true definition of green City - In Love with Mbeya

Songwe Airport
21/06/2023

Songwe Airport

Food is life
11/06/2023

Food is life

01/09/2022

Address

Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ushauri wa Ndoa posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share