09/04/2024
Hapo juu 👆🏿👆🏿 ni Mchakato wa DIALYSIS
Wakati wa kufanya dialysis, damu hutolewa mwilini kupitia bomba jekundu, hupitishwa kwenye mashine ya dialysis, kusafishwa uchafu wote wa shughuli za mwili na kisha kuingizwa tena ndani ya mwili kupitia bomba la bluu.
Utaratibu huu unarudiwa kwa saa 4 wakati mgonjwa akiwa ametulia kitandani.
Utaratibu huo unafanywa mara 3 kwa wiki, sawa na mara 12 kwa mwezi na kila wakati inachukua saa 4, ambayo ni sawa na masaa 48 kwa mwezi.
Kwa wale ambao hawajaathirika, mchakato huu wa kusafisha damu unaofanywa na figo hutokea moja kwa moja mara 36 kila siku katika mwili wako bila jitihada au usumbufu wowote hata wakati unaendelea na shughuli zako.
Mshukuru Mungu na utunze vizuri figo zako.
Punguza Ulaji wako wa:
Kafeini (kahawa, soda, chai, chocolate, redbull...)
Paracetamol
Pombe
Chumvi
Sukari
Ongeza kufanya yafuatayo:
Muda wa kulala (usiopungua masaa 6);
Mazoezi,
Muda wa kupata mwanga wa jua,
Unywaji wa maji,
Ulaji wa Matunda/mbogamboga safi
Afya Yako Ndio Utajiri Wako.🙏🏼👌💯🎯 *La muhimu zaidi, mpe Utukufu Mungu anayekufanyia dialysis mara kadhaa kila siku, na humlipi hata senti moja.
Tupigie Kwa Ajili Ya Ushauri/ Matibabu ya Figo
Janeth Nutrition
0758649474