Afya bora na Dr. Marcus

Afya bora na Dr. Marcus Nawasaidia watu wenye magonjwa yasio ya kuambukiza na changamoto za Uzazi kwa wanawake na wanaume.

KUTOKUZINGATIA taratibu za usafi wa kinywa ni miongoni mwa sababu za tatizo la kulegea, kuoza, kutoboka na kutoa harufu ...
14/12/2023

KUTOKUZINGATIA taratibu za usafi wa kinywa ni miongoni mwa sababu za tatizo la kulegea, kuoza, kutoboka na kutoa harufu ya kinywa linalowakabili watoto na watu wazima katika Jamii.

Asilimia kubwa ya tatizo la meno yanayowakabili watoto na watu wazima yanasababishwa na kutokusafisha meno vizuri, kuoza na kutoboka kunasababishwa pia na matumizi ya sukari ilio sindikwa inayopatikana katika vyakula mbalimbali zikiwemo chocolate, p**i, biscuits na soda.

Sukari ilio sindikwa ambayo hupatikana katika vyakula vingi ndio chanzo cha meno kutoboka, kulegea pamoja na kuoza kutokana na matumizi ya sukari hio, hii hutokea kwa watoto na watu wazima wanaotumia vyakula vya Aina hio kwa wingi.

ILI kuepuka madhara hayo yanayosababishwa na matumizi ya sukari ilio sindikwa, unapaswa kuzingatia hatua mbalimbali za kusafisha kinywa ili kuondoa kabisa mabaki ya vyakula hivyo katika meno.

Kuna hatua nne za kufuata zinazoweza kukukinga meno yako dhidi ya matatizo yanayosababishwa na ulaji wa sukari zilizosindikwa k**a zitafuatwa kikamilifu, utabaki na meno mazuri na yenye afya.

Wakati unasafisha meno unapaswa kuanza na fizi za ndani kwa meno yote kabla ya Kuja katika hatua ya pili ambayo ni katikati ya meno hasa yakutafunia chakula.

Hatua ya tatu ni kusafisha sehemu ya nje ya meno na fizi zake na hatua ya mwisho ni kusafisha sehemu ya juu ya ulimi. Kupitia hatua hizo meno yako yatasalia kuwa masafi na salama na utaepuka meno kuoza, kutoboka au kinywa kutoa harufu mbaya.

Taratibu za kiafya inatakiwa Kila mtu kusafisha kinywa kila baada ya kula pamoja na asubuh baada ya kuamka.

KWA TATIZO LOLOTE LA MENO AU KINYWA USISITE KUWASILIANA NASI ILI UPATE MSAADA WA TATIZO LAKO.

Piga 📞 +255624416652

Anatic Herbal Essence Soap is a high-quality product made from natural ingredients, such as sandalwood. Sandalwood has b...
29/11/2023

Anatic Herbal Essence Soap is a high-quality product made from natural ingredients, such as sandalwood. Sandalwood has been used in traditional Chinese medicine for its calming and soothing properties, which make it a perfect ingredient for soap.

For more information.
📞 +255624416652
Or click link
https://wa.me/message/HXRS4W3ZWZR3C1

Je? Ni eneo gani unaona upo kati ya maeneo hayo matano?, Usione aibu kutafuta msaada, itakusaidia kuinusuru ndoa yako au...
04/11/2023

Je? Ni eneo gani unaona upo kati ya maeneo hayo matano?, Usione aibu kutafuta msaada, itakusaidia kuinusuru ndoa yako au mahusiano yako.

Kwa msaada zaidi, piga simu au tuma ujumbe kupitia.
📞 +255624416652.

AU gusa link hapo chini.
https://wa.me/message/HXRS4W3ZWZR3C1

KUTOKUZINGATIA taratibu za usafi wa kinywa ni miongoni mwa sababu za tatizo la kulegea, kuoza, kutoboka na kutoa harufu ...
11/10/2023

KUTOKUZINGATIA taratibu za usafi wa kinywa ni miongoni mwa sababu za tatizo la kulegea, kuoza, kutoboka na kutoa harufu ya kinywa linalowakabili watoto na watu wazima katika Jamii.

Asilimia kubwa ya tatizo la meno yanayowakabili watoto na watu wazima yanasababishwa na kutokusafisha meno vizuri, kuoza na kutoboka kunasababishwa pia na matumizi ya sukari ilio sindikwa inayopatikana katika vyakula mbalimbali zikiwemo chocolate, p**i, biscuits na soda.

Sukari ilio sindikwa ambayo hupatikana katika vyakula vingi ndio chanzo cha meno kutoboka, kulegea pamoja na kuoza kutokana na matumizi ya sukari hio, hii hutokea kwa watoto na watu wazima wanaotumia vyakula vya Aina hio kwa wingi.

ILI kuepuka madhara hayo yanayosababishwa na matumizi ya sukari ilio sindikwa, unapaswa kuzingatia hatua mbalimbali za kusafisha kinywa ili kuondoa kabisa mabaki ya vyakula hivyo katika meno.

Kuna hatua nne za kufuata zinazoweza kukukinga meno yako dhidi ya matatizo yanayosababishwa na ulaji wa sukari zilizosindikwa k**a zitafuatwa kikamilifu, utabaki na meno mazuri na yenye afya.

Wakati unasafisha meno unapaswa kuanza na fizi za ndani kwa meno yote kabla ya Kuja katika hatua ya pili ambayo ni katikati ya meno hasa yakutafunia chakula.

Hatua ya tatu ni kusafisha sehemu ya nje ya meno na fizi zake na hatua ya mwisho ni kusafisha sehemu ya juu ya ulimi. Kupitia hatua hizo meno yako yatasalia kuwa masafi na salama na utaepuka meno kuoza, kutoboka au kinywa kutoa harufu mbaya.

Taratibu za kiafya inatakiwa Kila mtu kusafisha kinywa kila baada ya kula pamoja na asubuh baada ya kuamka.

KWA TATIZO LOLOTE LA MENO AU KINYWA USISITE KUWASILIANA NASI ILI UPATE MSAADA WA TATIZO LAKO.

Piga 📞 +255624416652

*JE UNASUMBULIWA NA??**⏺️FANGASI *⏺️ MIWASHO YA MARA KWA MARA??**⏺️MAUMIVU WAKATI WA TENDO*⏺️HARUFU MBAYA. *✨USIKATE TAM...
02/10/2023

*JE UNASUMBULIWA NA??*

*⏺️FANGASI
*⏺️ MIWASHO YA MARA KWA MARA??*
*⏺️MAUMIVU WAKATI WA TENDO
*⏺️HARUFU MBAYA.

*✨USIKATE TAMAA YA KUPONA KWA KUWA UMETUMIA TIBA NYINGI BILA MAFANIKIO TUMIA FEMICARE NI MKOMBOZI WAKO✨*👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

*🌷 FEMICARE🌷*

⬛Hii huwa inafahamika k**a mkombozi wa wanawake kwa maambukizi ya sehemu za siri.
⬛Imeandaliwa maalum kwa ajili ya wanawake
⬛Imetengenezwa kwa vyakula,mimea na madini na viua sumu mwilini na haina kemikali
⬛Ina mafuta mazuri yanaitwa *essential oil* kwa ajili ya kufanya urudishe mnato wake wa asili.

Kazi zake ni hizi hapa.
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
*🌹FAIDA ZA FEMICARE🌹*

⭕Huondoa harufu mbaya
⭕Huondoa bacteria wabaya
⭕Huondoa fangasi na miwasho
⭕Huondoa maji maji yatokayo yenye Harufu mbaya
⭕Inasaidia wanaopata maumivu makali wakati wa hedhi
⭕huondoa harufu mbaya, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
⭕Husaidia wanaopata maumivu wakati wa tendo
⭕Inafanya mwanamke kuwa msafi na mkavu muda wote.
⭕inaondoa michubuko na miwasho yote.
♦♦♦♦♦♦♦
HABARI NJEMA NI KWAMBA KWA LEO UTAIPATA KWA BEI YA PUNGUZO 😊😊

Kwan msaada zaidi na namna ya kuipata Tupigie simu: 📞+255624416652

https://wa.me/message/HXRS4W3ZWZR3C1

*JE UNASUMBULIWA NA??**⏺️FANGASI SEHEMU ZA SIRI ??**⏺️ MIWASHO SEHEMU ZA SIRI YA MARA KWA MARA??**⏺️MAUMIVU WAKATI WA TE...
29/09/2023

*JE UNASUMBULIWA NA??*

*⏺️FANGASI SEHEMU ZA SIRI ??*
*⏺️ MIWASHO SEHEMU ZA SIRI YA MARA KWA MARA??*
*⏺️MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA??*
*⏺️HARUFU MBAYA SEHEMU ZA SIRI N.K*

*✨USIKATE TAMAA YA KUPONA KWA KUWA UMETUMIA TIBA NYINGI BILA MAFANIKIO TUMIA FEMICARE NI MKOMBOZI WAKO✨*👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

*🌷 FEMICARE🌷*

⬛Hii huwa inafahamika k**a mkombozi wa wanawake kwa maambukizi ya sehemu za siri.
⬛Imeandaliwa maalum kwa ajili ya wanawake
⬛Imetengenezwa kwa vyakula,mimea na madini na viua sumu mwilini na haina kemikali
⬛Inamadini yanayohuisha uke na kuwa na ulinzi asilia,inaviua sumu vinavyozuia uke kuzeeka *(mashavu),* uke uliolegea,
⬛Ina mafuta mazuri yanaitwa *essential oil* kwa ajili ya kufanya uke urudishe mnato wake wa asili.

Kazi zake ni hizi hapa.
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
*🌹FAIDA ZA FEMICARE🌹*

⭕Huondoa harufu mbaya Sehemu za siri
⭕Huondoa bacteria wabaya sehemu za siri
⭕Huondoa fangasi na miwasho sehemu za siri
⭕Hurudisha size nzuri ya uke hasa wenye shida ya uke uliolegea ambapo hukaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight
⭕Huondoa maji maji yatokayo sehemu za siri yenye Harufu mbaya
⭕Inasaidia wanaopata maumivu makali wakati wa hedhi
⭕huondoa harufu mbaya sehemu za siri , uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
⭕Husaidia wanaopata maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika ukeni
⭕Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
⭕inaondoa michubuko sehemu za siri pamoja na miwasho yote.
♦♦♦♦♦♦♦
HABARI NJEMA NI KWAMBA KWA LEO UTAIPATA KWA BEI YA PUNGUZO 😊😊

Kwan msaada zaidi na namna ya kuipata Tupigie simu: 📞+255624416652

*JE UNASUMBULIWA NA??**⏺️FANGASI UKENI??**⏺️ MIWASHO UKENI YA MARA KWA MARA??**⏺️MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA??**⏺️HA...
29/09/2023

*JE UNASUMBULIWA NA??*

*⏺️FANGASI UKENI??*
*⏺️ MIWASHO UKENI YA MARA KWA MARA??*
*⏺️MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA??*
*⏺️HARUFU MBAYA UKENI N.K*

*✨USIKATE TAMAA YA KUPONA KWA KUWA UMETUMIA TIBA NYINGI BILA MAFANIKIO TUMIA FEMICARE NI MKOMBOZI WAKO✨*👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿

*🌷 FEMICARE🌷*

⬛Hii huwa inafahamika k**a mkombozi wa wanawake kwa maambukizi ya sehemu za siri.
⬛Imeandaliwa maalum kwa ajili ya wanawake
⬛Imetengenezwa kwa vyakula,mimea na madini na viua sumu mwilini na haina kemikali
⬛Inamadini yanayohuisha uke na kuwa na ulinzi asilia,inaviua sumu vinavyozuia uke kuzeeka *(mashavu),* uke uliolegea,
⬛Ina mafuta mazuri yanaitwa *essential oil* kwa ajili ya kufanya uke urudishe mnato wake wa asili.

Kazi zake ni hizi hapa.
👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿👇🏿
*🌹FAIDA ZA FEMICARE🌹*

⭕Huondoa harufu mbaya ukeni
⭕Huondoa bacteria wabaya ukeni
⭕Huondoa fangasi na miwasho ukeni
⭕Hurudisha size nzuri ya uke hasa wenye shida ya uke uliolegea ambapo hukaza misuli ya uke uliolegea na kuwa tight
⭕Huondoa maji maji yatokayo ukeni yenye Harufu mbaya
⭕Inasaidia wanaopata maumivu makali wakati wa hedhi
⭕huondoa harufu mbaya ukeni, uchafu na kuongeza bacteria walinzi, ni nzuri kwa wanaoshare vyoo
⭕Husaidia wanaopata maumivu wakati wa tendo la ndoa na kurudisha ute ute unaohitajika ukeni
⭕Inafanya uke kuwa msafi na mkavu muda wote.
⭕inaondoa michubuko ukeni pamoja na miwasho yote.
♦♦♦♦♦♦♦
HABARI NJEMA NI KWAMBA KWA LEO UTAIPATA KWA BEI YA PUNGUZO 😊😊

Kwan msaada zaidi na namna ya kuipata Tupigie simu: 📞+255624416652

Address

Mwanjerwa
Mbeya

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya bora na Dr. Marcus posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share