Dr.Simkoko_Bf Suma _Afya yako

Dr.Simkoko_Bf Suma _Afya yako Bf Suma _ Afya yako. Kampuni ya Bf Suma, ni kampuni pekee inayozalisha bidhaa ya Tiba rishe na kutoa

27/04/2023
KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA NA UUME LEGEVUKukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa wanaume na mwanamke sio jambo la kaw...
08/03/2023

KUKOSA HAMU YA TENDO LA NDOA NA UUME LEGEVU

Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa kwa wanaume na mwanamke sio jambo la kawaida,Hii huashiria kwamba kuna sehemu ya mwili wako haipo sawa.Hii husababishwa na Homoni au vichocheo vya mwili kupungua au kuongezeka
Nakushauri kila siku uwe na utaratibu Wa kula tikiti maji kwa wingi kwani hili linachukuliwa kuwa ndilo tunda bora katika kuboresha afya ya mapenzi
Tunda hili lina asilimia karibu 90 za maji na asilimia 8 zilizobaki zina phytonutrient citrulline ambayo hugeuzwa kuwa arginine
Arginine ni amino Acid Ambayo hufanya mishipa ya damu kuwa kwenye hali ya ubora na kusaidia Damu kupita vizuri na kwa urahisi
Tikiti husaidia kufanya damu ifike kwa kiwango kizuri zaid kwenye sehemu ambazo hutakiwa kutanuka wakati mtu akipata hisia za kufanya mapenzi ambavyo ni viungo vya ndani vya uzazi
Tunda hili husaidia wanaume pia kwa kiasi kikubwa, hufanya damu kusafiri vizuri kwenye mishipa Kumbuka ili Mwili ufanye kazi vizuri damu inatakiwa kuwa nyepesi na Sio nzito Mabonge mabonge
Kwa mwanaume ambaye hana uwezo wa kusimamisha vizuri au kua na Uume legevu anashauriwa apate tikiti maji katika kila mlo wake ili kuipata amino acid inayojulikana k**a Arginine
Hamu ya mapenzi ni hitaji la kila kiumbe iweje udharau??
MAMBO YA KUZINGATIA
Hitilafu za life style hupelekea kukosa hamu ya tendo la ndoa, badili mfumo wa maisha punguza mawazo, kula vizuri, pata muda wa kupumzika
Kuoga hufanya vitundu vya hewa Kuzibuka na kupitisha hewa vizuri.
NJIA RAHISI YA KUMALIZA TATIZO NI MATUMIZI YA SUPPLIMENTS / VIRUTUBISHO VENYE WINGI WA ARGININE
Matumizi ya vyakula vyenye wingi wa arginine pekee hayasaidii katika kumaliza tatizo hili, hii ni kutokana na upatikani mdogo wa Arginine katika vyakula ivyo mfano tikiti ina asilimia 8 pekee ya phytonutrient citrulline ambayo hubadilishwa kua Arginine na pia vyakula vingi kukuzwa na mbolea kwa kiasi kikubwa kitu ambacho hupelekea amino acid hii kupotea .

Kwa elimu zaidi na Ushauri tuma ujumbe neno Sasa hivi AFYA KWANZA kwenda watsapp

au piga simu usaidiwe mapema

0782712971
06/03/2023

0782712971

Kwa wale wenye matatizo ya Figo kufeli huduma zipo zinapatikana kwa gharama nafuu kabisa, bidhaa zetu ni za asili hazina...
27/02/2023

Kwa wale wenye matatizo ya Figo kufeli huduma zipo zinapatikana kwa gharama nafuu kabisa, bidhaa zetu ni za asili hazina kemikali yoyote na matokeo ya uhakika kwa mda mfupi sana, nitafute kwa namba 0782712971 kwa msaada zaidi

Follow page yangu ili uweze kupatiwa matibabu kwa haraka zaidi au nitafute kwa simu namba 0782712971. Kwa wenye matatizo...
27/02/2023

Follow page yangu ili uweze kupatiwa matibabu kwa haraka zaidi au nitafute kwa simu namba 0782712971. Kwa wenye matatizo ya Mgongo

Address

Mbeya

Telephone

+255782712971

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr.Simkoko_Bf Suma _Afya yako posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Dr.Simkoko_Bf Suma _Afya yako:

Share