AFYA YAKO NA LUCAS

AFYA YAKO NA LUCAS Karibu kwenye ukurasa wa Elimu ya Afya 🫶
Pata maarifa sahihi kuhusu magonjwa, lishe, uzazi na mtindo bora wa maisha.⛑️

Karibu kwenye ukurasa wa Elimu ya Afya 🫶
Pata maarifa sahihi kuhusu magonjwa, lishe, uzazi na mtindo bora wa maisha.🩺

✅....jina ulimpa jina gani.. ⁉️✅... Jina hilo lilikuwa na maana gani.. ⁉️✅... Vip alichukuliaje baada ya wewe kusema huy...
16/04/2026

✅....jina ulimpa jina gani.. ⁉️
✅... Jina hilo lilikuwa na maana gani.. ⁉️
✅... Vip alichukuliaje baada ya wewe kusema huyu mtoto mimi ndiyo ntampa jina.. ⁉️
✅... Wanaume kwani hamtaki wamama wawape watoto majina baada ya kuzaliwa... ⁉️

Little baby girl au Baby boy ana kg ngapi?Mtoto wako ana kg ngapi?Unampa mtoto lishe ipi?Credit ©Maggie Stories
15/04/2026

Little baby girl au Baby boy ana kg ngapi?

Mtoto wako ana kg ngapi?

Unampa mtoto lishe ipi?

Credit ©Maggie Stories

Zawadi kwa mama aliyejifungua zinapaswa kuwa za kumfariji, kumsaidia kupona, na pia kumrahisishia kumtunza mtoto. Hapa k...
14/04/2026

Zawadi kwa mama aliyejifungua zinapaswa kuwa za kumfariji, kumsaidia kupona, na pia kumrahisishia kumtunza mtoto. Hapa kuna mawazo mazuri ya zawadi

✅ Nguo laini na za kupumzikia (nightdress au dera) – zitamfanya awe huru na mwenye faraja hasa akiwa bado ana maumivu.

✅ Seti ya huduma binafsi (self-care kit) – mafuta ya mwili, sabuni laini, lotion, na hata manukato mepesi.

✅ Chakula chenye lishe bora – k**a supu ya kuku, matunda, au vyakula vya kuongeza nguvu (hii ni zawadi muhimu sana).
Mto maalum wa kunyonyesha (nursing pillow) – humsaidia kukaa vizuri bila maumivu.

✅ Pesa kidogo (cash gift) – humruhusu kujinunulia anachohitaji zaidi.

Zawadi kwa mtoto (ambazo pia humsaidia mama)
Nguo za mtoto (baby clothes) – hasa za pamba laini.

✅ Blanketi la mtoto – la joto na laini.
Diapers na wipes – ni msaada mkubwa sana kwa mama mpya.
Seti ya kuogeshea mtoto – beseni, sabuni, mafuta ya mtoto.
✅ Mawazo ya ziada yenye thamani kubwa
Kumsaidia kazi za nyumbani – hii ni zawadi bora kuliko vitu vingi.
Kumtembelea na kumpa moyo – msaada wa kihisia ni muhimu sana baada ya kujifungua.

✅ Kumpelekea chakula kilichopikwa nyumbani – hupunguza stress.

Zawadi bora zaidi si lazima iwe ghali, bali iwe ya kuonyesha upendo, kujali, na msaada wa kweli kwa mama katika kipindi hiki nyeti.

Je unakumbuka wewe ulizawadiwa nini na baby daddy wako ulipojifungua mtoto wako?

Unapoianza wiki hii;Ni maombi yangu kwakoMUNGU wa Neema na Rehema akukumbuke na kujibu sala na dua zako kwa jina la Yesu...
13/04/2026

Unapoianza wiki hii;Ni maombi yangu kwako
MUNGU wa Neema na Rehema akukumbuke na kujibu sala na dua zako kwa jina la Yesu...!

Utakapotoka kwenda kutafuta upate kwa jina la Yesu...!

Watu wazuri waliokusahau wakukumbuke na kukutafuta tena kwa jina la Yesu...!

Mungu akulinde wewe na familia yako...Ubaya na uovu usiwaguse wiki hii kwa jina la Yesu...!

MUNGU AKUPE KICHEKO NA FURAHA WIKI HII KWA JINA LA YESU....!

●Mwanzo 21:6,"Sara akasema,Mungu amenifanyia kicheko; kila asikiaye atacheka pamoja nami."

AMEN...🙏!

Credit ©Suzzane clement

Nawatakia jioni njema.... 🙏❤️
12/04/2026

Nawatakia jioni njema.... 🙏❤️

Ukisikia mdharau mwiba hutokea nini..... Wembamba wa reli... 😂😂😂Tuambie nini kilifanya ukaongezewa au ukawekewa drip la ...
11/04/2026

Ukisikia mdharau mwiba hutokea nini..... Wembamba wa reli... 😂😂😂
Tuambie nini kilifanya ukaongezewa au ukawekewa drip la uchungu... ⁉️

.... ‼️‼️⁉️⁉️⁉️🫰
10/04/2026

.... ‼️‼️⁉️⁉️⁉️🫰

Ukisikia POP ujue tayari ushamvunja mwenzako... Mara nyingi uume unapovunjika huvimba  na kutuna k**a biringanya, hali a...
09/04/2026

Ukisikia POP ujue tayari ushamvunja mwenzako... Mara nyingi uume unapovunjika huvimba na kutuna k**a biringanya, hali ambayo kitalaam wanaita Eggplant Sign.. Kwa ufupi uume huvunjika pale unapokandamizwa kwenye mfupa wa nyonga wa mwanamke. Mkao au style inayoongoza kuvunja uume ni ile nyie mnaita do******le nyingine reverse cow girl na nyingine ni ile pendwa ya mende kamfia mlaji🪳 ..😂😂

Muwe na usiku mwema.

Maumivu ya uchungu wa uzazi si mzaha mama…kwa sababu hiyo baadhi wajawazito huongea vitu mbalimbali ambavyo hufurahisha ...
08/04/2026

Maumivu ya uchungu wa uzazi si mzaha mama…kwa sababu hiyo baadhi wajawazito huongea vitu mbalimbali ambavyo hufurahisha na mda mwingine awatambui walisema nini au k**a walisema chochote wakati wa uchungu.

Haya hapa ni baadhi ya mambo ambayo wanawake husema kweli katika chumba cha uchungu wa uzazi 👇🏽

▪️ SIFANYI HIVI TENA
Kila Mwanamke teena ule uzao wa kwanza 😂
Lakini kabla hata ya miaka miwili unakuta tayari mjamzito tena.

▪️ YUKO WAPI MUME WANGU?? ALINIFANYIA HIVI
Anayemuulizia pengine hata hayupo eneo la hospital hata kumsindikiza tuu hajahusika na wakati wa mimba usiombe ndiyo mimba ilikuwa na mume ni paka m panya.

▪️ MWAMBIE DAKTARI NATAKA CS - SITAKI KUMSUKUMA TENA
Mama tayari njia imefunguka sentimita 9 sasa,
Kichwa cha mtoto kinakaribia kutoka
CS si chaguo tena kwa wakati huu.. 🤣

▪️ SITAMWACHA MUME WANGU ANIGUSE TENA
Miezi tatu baadaye au baada ya damu ya uzazi kukata ashasahau anatoa yote kwa ambaye alisema hataacha amgusee
Hatuzungumzii kilichotokea.

▪️ E, HIVI NDIVYO MAMA YANGU ALIVYOJISIKIA?? NINAHITAJI KUPIGA SIMU NA KUOMBA MSAMAHA
Baadhi ya wanawake huwaita mama zao kutika chumba cha kujifungua.

▪️ MUNGU UKINITOA KATIKA HILI.
Ahadi ambazo wanawake humpa Mungu wakati wa kipindi cha mpito 🙏🏽
Kanisa jipya. Maisha mapya. Kila kitu kipya.
Na kisha mtoto hutoka na wanasahau kila kitu 😂

▪️ KWA NINI HAKUNIONYA??
Mama… kila mtu alikuonya 😂
Hukuwaamini tu

▪️ SIWEZI KUFANYA HIVI - NIMECHOKA
Nesi nimechoka mimi yaani nimechoka k**a kuitwa Mama ndo kupo hivi hapana nimechoka, unasema nifanye na mazoezi teena.. 😆

Tuambie kwenye maoni - WEWE ulisema nini wakati wa uchungu wa kujifungua?

▪️ Mdada au mama ulijifungua kwa upasuaji, mshono wako ulitumia mda gani kupona.... ⁉️▪️ Huwa unatumia Dawa gani au mbin...
07/04/2026

▪️ Mdada au mama ulijifungua kwa upasuaji, mshono wako ulitumia mda gani kupona.... ⁉️

▪️ Huwa unatumia Dawa gani au mbinu gani kufanya mshono upone haraka.... ⁉️

Ukiangalia kwa umakini kuna mtoto ametanguliza makalio (breech presentation) na mkao mwingine wa pili mtoto amekaa kwa u...
06/04/2026

Ukiangalia kwa umakini kuna mtoto ametanguliza makalio (breech presentation) na mkao mwingine wa pili mtoto amekaa kwa ulalo (transverse presentation) hiyo siyo mikao rafiki kwa mtoto wakati wa kujifungua inaweza sababisha uchungu kuchukua mda mrefu au mama kujifungua kwa upasuaji kutokana na mtoto alivyokaa hivyo husababishwa uchungu kuchukua mda mrefu hivo basi mkao wa mtoto unamchango mkubwa sana wakati wa kujifungua na ndiyo maana mama anaweza sukuma kwa dakika 15 - mtoto ametoka na Mwingine husukuma kwa saa 2 au zaidi jumlisha kuchoka na analia hii haina maana kwamba mmoja ana nguvu zaidi na mwingine hana nguvu za kusukuma bali mkao wa mtoto pia unaweza changia.

Sababu za kuchulewa kusukuma hizi hapa... 👇❗❕

▪️ Mkao wa mtoto
Ikiwa mtoto ameangalia upande unaofaa (kichwa chini, kidevu kimejikunja), kusukuma ni rahisi zaidi angalia picha ya tatu hapo na mkao huo kitalaam unaitwa Cephalic presentation

Ikiwa mtoto ameangalia juu au ametanguliza uso (face presentation ), inachukua muda mrefu zaidi.

▪️ Mtoto wa kwanza dhidi ya mtoto wa pili
Mama wa mara ya kwanza kwa kawaida husukuma kwa muda mrefu zaidi ukilinganisha na yule ambaye tayari ashanifungua zaidi ya mara moja.

▪️ Umbo la nyonga
Kila mwanamke ana umbo tofauti la nyonga mbaya zaidi wapo wanawake wana nyonga za kiume hivyo lazima wakati wa kujifungua iwe shughuli na hivyo ndivyo alaivyoumbwa (anatomical) siyo udhaifu.

▪️ Uchovu
Uchungu wa uzazi wa kuchukua mda mrefu unaweza sababisha mama kuchoka hivyo ikasababisha uchungu kuchukua mda mrefu.

▪️ Mtoto mkubwa inaweza kuwa chanzo cha mama kuchelewa kusukuma.

✅ Uchungu wa uzazi si ushindani.

✅ Sio kuhusu nguvu. Ni kuhusu mpangilio, uumbwaji (anatomy) na muda.

✅ Mama, iwe dakika 10 au saa 2 - wewe ni mwenye nguvu.

Je wewe au ndugu yako unaikumbuka sababu ya kuchelewa kupush... ⁉️

Nawatakia pasaka njema kwa wakristo wote.... 🙏❤️Pia karibuni... ❗❕
05/04/2026

Nawatakia pasaka njema kwa wakristo wote.... 🙏❤️

Pia karibuni... ❗❕

Address

Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YAKO NA LUCAS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YAKO NA LUCAS:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category