AFYA YAKO NA LUCAS

AFYA YAKO NA LUCAS Karibu kwenye ukurasa wa Elimu ya Afya 🫶
Pata maarifa sahihi kuhusu magonjwa, lishe, uzazi na mtindo bora wa maisha.⛑️

Karibu kwenye ukurasa wa Elimu ya Afya 🫶
Pata maarifa sahihi kuhusu magonjwa, lishe, uzazi na mtindo bora wa maisha.🩺

😂🤣🤣🤣😂▪️ K**a nyekundu tiki ☑️▪️ K**a njano tiki ✅▪️K**a msafara twendage tuuu tiki ✔️Mimi naanzisha Sasa....... ☑️☑️
03/05/2026

😂🤣🤣🤣😂
▪️ K**a nyekundu tiki ☑️
▪️ K**a njano tiki ✅
▪️K**a msafara twendage tuuu tiki ✔️

Mimi naanzisha Sasa....... ☑️☑️

Tuambie..▪️ Sababu ipi ili pelekea ukawa unampa mtoto t**i la upande mmoja... ⁉️▪️ Ulipitia changamoto gani ilipotokea h...
02/05/2026

Tuambie..
▪️ Sababu ipi ili pelekea ukawa unampa mtoto t**i la upande mmoja... ⁉️
▪️ Ulipitia changamoto gani ilipotokea hiyo hali.. ⁉️
▪️ Yale maziwa ya kwenye t**i ambalo ulikuwa humpi mtoto ulikuwa unafanyaje ikitokea kamejaa ako kat**i ... ⁉️

Usiogope kuanza tena ... Lengo ni ufike salama uendako...,Hata k**a ni kuanza mara mia, wewe anza... ila usikubali kuend...
01/05/2026

Usiogope kuanza tena ... Lengo ni ufike salama uendako...,
Hata k**a ni kuanza mara mia, wewe anza... ila usikubali kuendelea kubaki ulipoangukia!

Usiogope watasemaje... Usiogope watu watakuonaje...!
Wanadamu hatukosagi cha kusema...!
Maisha ni yako... Ndoto ni zako,Biashara ni yako...Wito ni wako...Mradi ni wako...Jukumu ni lako...Hatima ni yako!

Biblia inasema kwenye
●Mithali 24:16,"Mwenye haki huanguka mara saba akaondoka tena;"

SIMAMA UKATIMIZE NDOTO YAKO... 🙏

Muwe na usiku mwema... ❤️🙏

Kwa hisani ya malaika.... Muwe na usiku mwema... 🙏
30/04/2026

Kwa hisani ya malaika.... Muwe na usiku mwema... 🙏

Kadri mimba inazidi kuwa kubwa au umri wa mimba unavyozidi kusonga lala pande zote iwe kulia au kushoto lakini tafadhari...
29/04/2026

Kadri mimba inazidi kuwa kubwa au umri wa mimba unavyozidi kusonga lala pande zote iwe kulia au kushoto lakini tafadhari usilale kifudifudi au chali.. Ulalaji wa chali au kifudifudi hufanya mtoto kukosa dawa safi yenye okisijeni pia virutubisho mhimu ambayo husaidia katika ukuaji wa mtoto.

▪️ Je wewe kati ya kulala ubavu wa kushoto au kulia upi ulikuwa upande rafiki kwako...⁉️

Mtoto kawaida kati ya week 32 had 36 tunategemea awe amegeuka na watoto wengi hugeuka kati ya week 36-37 za ujauzito na ...
28/04/2026

Mtoto kawaida kati ya week 32 had 36 tunategemea awe amegeuka na watoto wengi hugeuka kati ya week 36-37 za ujauzito na 97% hugeuka week ya 36, mkao rafiki ambao mtoto hukaa baada ya kugeuka kitalaam wanaita Cephalic position, ikiwa mtoto ajageuka kati ya week 36-39 basi daktari anaweza msadia mtoto kugeuka hali hiyo ya mtoto kusaidiwa kugeuka kitalaam wanaita External Cephalic Version na inaweza kusaidia kwa 50% lakini ikishindikana basi mama atajifungua kwa njia ya upasuaji.
Hizi ni baadhi ya ishara zinazoonyesha mtoto wako kichwa tayari kimeshaingia kwenye Nyonga.. 👇
▪️ Unahisi shinikizo kubwa chini.
K**a kitu kimekaa kati ya miguu yako.
Hiyo ni kichwa cha mtoto kinachoingia ndani kabisa ya nyonga ( Pelvis) yako.
Shinikizo hilo linamaanisha mtoto anaingia katika njia tayari kwa kujifungua.

▪️ Kupumua kwa urahisi ghafla.
Mtoto ameshuka na hivyo hakuna shinikizo Kubwa kwenye mapafu yako.

▪️ Unakojoa zaidi kuliko hapo awali.
Kichwa cha mtoto sasa kinabonyeza moja kwa moja kwenye kibofu chako.
Kila baada ya dakika chache. Siku nzima. Usiku kucha.
Inakera. Lakini ishara nzuri sana.

▪️ Unahisi mateke ya juu karibu na mbavu zako.
Kichwa kimeshuka. Miguu k**a imeinuliwa hivi.
Miguu ya mtoto inakusalimu kutoka juu. 😂

▪️ Tumbo lako linaonekana chini kuliko hapo awali.
Watu wanaanza kusema "tumbo lako limeshuka."
Wako sahihi. Mtoto ameshuka.
Kujifungua kunakaribia.

▪️ Mkunga wako anathibitisha kichwa kimeshuka wakati wa ujauzito atakapo pima njia .

Wewe uliambiwa mtoto amegeuka au hajageuka mimba ikiwa na week ngapi... ⁉️

🤣🤣🤣🤣🤣.... Au bado hujaulizwa... ⁉️
27/04/2026

🤣🤣🤣🤣🤣.... Au bado hujaulizwa... ⁉️

Nawatakia usiku mwema.... 🙏❤️
25/04/2026

Nawatakia usiku mwema.... 🙏❤️

Katika picha ni tatizo la kuzaliwa nalo ambalo hakuna tafiti yeyote imethibitishwa chanzo au kisababishi chake hata urit...
24/04/2026

Katika picha ni tatizo la kuzaliwa nalo ambalo hakuna tafiti yeyote imethibitishwa chanzo au kisababishi chake hata urithi siyo chanzo chake (Genetic inheritance) linaitwa MACRODACTYL , linaweza kuathiri kidole kimoja au zaidi, inaweza kuwa mrundikano wa mafta (fat) au neva au ngozi au mfupa tuu. Kwa picha zaidi unaweza ingia Google.

Cha kuzingatia kipindi cha ujauzito (mimba)...
Acha matumizi holera ya dawa pasipo ushauri wa daktari, matumizi ya pombe na sigara, matumizi ya baadhi ya vinywaji baridi k**a vile energy drinks na kahawa, anza kliniki mapema na Hudhuria kila hudhurio la kliniki.

Mungu awajalie mjifungue swalama, awajalie na wale ambao wanapitia changamoto ya kutopata watoto kwa mda mrefu pia kwa wale ambao watoto wao wamezaliwa na changamoto mungu aendelee kuwa tia nguvu.

Nawatakia jioni njema na usiku mwema... Nawapenda 🙏❤️.

AFYA YAKO NA LUCAS

Nawatakia usiku mwema... 🙏❤️
23/04/2026

Nawatakia usiku mwema... 🙏❤️

▪️ Kulia.... Huu ndo uhalisia wa maji anayo kunywa mjamzito.▪️ Kushoto... Hili ndiyo uhalisia rosoroso la kwenda Kukojoa...
22/04/2026

▪️ Kulia.... Huu ndo uhalisia wa maji anayo kunywa mjamzito.
▪️ Kushoto... Hili ndiyo uhalisia rosoroso la kwenda Kukojoa mara kwa Mara..😂

Tuambie k**a wewe ujawahi pata hili rosoroso la ujauzito kabisa... ⁉️😂

Vipi unasemaga nini pale rosoroso la kukojoa mara mara linatokea... ⁉️

Mara mtoto anapoanza kucheza akianzia kulia BOYS mara GIRLS mnatuchanganya kwasababu hakuna tafiti iliyothibitisha hili....
21/04/2026

Mara mtoto anapoanza kucheza akianzia kulia BOYS mara GIRLS mnatuchanganya kwasababu hakuna tafiti iliyothibitisha hili.

▪️ Tuambie akiwa jinsia gani baada ya kuanzia kucheza kulia baada ya kuzaliwa ... ⁉️
▪️ Pia alikuwa jinsia gani baada ya kucheza kushoto baada ya kuzaliwa.. ⁉️

Address

Mbeya

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when AFYA YAKO NA LUCAS posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to AFYA YAKO NA LUCAS:

Share

Category