Elimu ya Afya na Dr Avneen

Elimu ya Afya na Dr Avneen All issue concerning life (Health education, religion,love story,Forex)

MAJIBU YA URINALYSIS( *UCHAMBUZI WA MKOJO* ) YENYE VIASHIRIA VYA CHANGAMOTO YA FIGO.Urinalysis ni kipimo cha uchunguzi w...
28/12/2024

MAJIBU YA URINALYSIS( *UCHAMBUZI WA MKOJO* ) YENYE VIASHIRIA VYA CHANGAMOTO YA FIGO.

Urinalysis ni kipimo cha uchunguzi wa mkojo kinachofanywa kwa lengo la kubaini changamoto mbalimbali za kiafya. Mara nyingi Urinalysis hufanywa kwa ajili ya kubaini maambukizi katika njia ya mkojo yaani UTI. Hata hivyo Urinalysis ni kipimo kinachoweza kutoa taswira kuhusu matatizo mengine ya kiafya ikiwemo changamoto ya figo.

Kutokana na urinalysis kuweza kubaini changamoto za afya ya figo, kuna baadhi ya wataalam kipimo hiki hukiita "poor person's kidney biopsy" yaani "biopsia ya figo ya mtu masikini". Uchunguzi wa biopsia ni uchunguzi ambao huhusisha kuchukua kipande kidogo cha sehemu ya ogani (tishu) na kwenda kuchunguzwa maabara ili kubaini changamoto za kiafya katika ogani hiyo. Kwahiyo urinalysis huitwa biospsia ya figo ya mtu masikini kwasababu ni kipimo cha gharama ndogo kinachoweza kueleza taarifa nyingi za afya ya figo bila kutumia tishu kutoka kwenye figo yenyewe.

Majibu ya urinalysis yanayoweza kuonyesha viashiria vya changamoto ya figo ni pamoja na yafuatayo;

1. Uwepo wa Protini (Proteinuria): uwepo wa protini kwenye mkojo kunaweza kuashiria athari kwenye glomeruli sehemu ya figo ambayo huchuja damu. Pia mkojo wenye protini Kwa wingi ukiutazama hata kwa macho utaweza kuuona ukiwa na povu jingi.
2. Chembchembe nyekundu za damu (RBCs)-Uwepo wa RBCs unaweza kuashiria athari kwenye figo kitu kinachofanya RBCs kupenya na kuingia kwenye mkojo. Hata hivyo RBCs kwenye mkojo zinaweza kuletwa na sababu nyingine k**a vile majeraha kwenye njia ya mkojo hasa kibofu au maambukizi mfano kichocho na UTI ya juu.
3. Low specific gravity- Specific gravity ni kipimo cha kukolea kwa mkojo (urine concentration) kiwango cha kawaida cha specific gravity ya mkojo ni kuanzia 1.005 mpaka 1.030. Mkojo wenye specific gravity chini ya 1.005 unaweza kuashiria changamoto katika uchujaji wa figo, hata hivyo Low specific gravity ya mkojo inaweza kuchangiwa na sababu nyingine k**a vile kunywa maji kwa wingi, matumizi ya baadhi ya dawa, n.k
4. Uwepo wa Casts: Casts huwa ni mkusanyiko wa Protini au cells zilizotengeneza umbo la silinda hiki ni kiashiria kuwa zimetoka kwenye tyubu ndogondogo zilizomo kwenye figo, Kuna RBCs casts, WBCs casts, Granular casts, n.k. Uwepo wa casts hizi huashiria changamoto kwenye figo hasa uwepo wa Granular casts ndiyo huashiria dalili za uharibifu sugu wa figo.
5. pH isiyo ya kawaida- kwa kawaida pH ya mkojo huanzia 4.5 mpaka 8.0. pH chini ya hapo au juu ya hapo inaweza kuashiria changamoto kwenye figo/mfumo wa mkojo, changamoto hiyo inaweza kuwa ni UTI au changamoto nyingine ya kiafya ikiwemo magonjwa sugu ya figo.
- Hata hivyo, majibu yote haya yanaonyesha viashiria tu, kupitia majibu haya unaweza kuanzisha uchunguzi wa vipimo maalum kwa ajili ya kuangalia ufanyaji kazi wa figo k**a vile Serum creatinine, Blood Urea Nitrogen, Urine Albumin Creatinine Ratio (uACR) n.k.

- Kupata dondoo muhimu za afya kila siku, nifuatilie kupitia mitandao ya kijamii;

- Instagram: Dr.Avneenfx

- Facebook: Uzazi Salama na Dr Avneen

- X(Twitter) Avneen

- TikTok Avneen

https://youtu.be/nEW0f0ibMSA?si=gwncsHPtgwQ7mgdrNaomba niwakaribishe kwenye channel yangu mjifunze na kufurahi
11/04/2024

https://youtu.be/nEW0f0ibMSA?si=gwncsHPtgwQ7mgdr

Naomba niwakaribishe kwenye channel yangu mjifunze na kufurahi

K**a unachangamoto ya uzazi nipigie Sasa nikupe suluhisho la tatizo lako +255752898106 au Nipigie WhatsApp+255752898106

NDIZI NI CHANZO KIKUBWA CHA NGUVU MWILININdizi mbivu zina kiwango kizuri cha Glucose ambayo huingia kwenye damu moja kwa...
11/04/2024

NDIZI NI CHANZO KIKUBWA CHA NGUVU MWILINI

Ndizi mbivu zina kiwango kizuri cha Glucose ambayo huingia kwenye damu moja kwa moja na kuleta msisimuko na kuongeza utendaji wa kazi wa mwilini si unasikia wachezaji wanaambiwa wabugie Glucose kwenye kipindi cha mapunziko sasa ndizi ni glucose salama zaidi tena sio glucose pekee na faida zingine kibao

NDIZI INA MADINI MENGI YA POTASSIUM

siku kuwa ukiwa na kisukari (BP) uwezo wako wa kucheza mechi kitandani unakuwa mdogo basi ndizi ina madini ya potassium ambayo yanasaidia kurekebisha kiwango cha sukari mwilini ndugu yangu k**a ukila ndizi mbivu mbili kwa siku unadhani hiyo sukari inashushwa kiasi gani Stuka bwana

NDIZI HUSAIDIA MFUMO WA MMENG’ENYO WA CHAKULA

Unajua kitambi kinasababishwa na nini ni wingi wa mafuta ambayo yapo mwilini yameshindwa kuchanywa vizuri na mfumo wa mmengenyo sasa sikia ndizi inasaidia mfumo wa chakula kufanya kazi yake vizuri na kwa haraka sasa unapokula ndizi inaenda kuongeza nguvu kwenye mfumo huu na mafuta ambayo yanashindwa kutumika mwilini yatatumika kwa kiasi kwenye mfumo huu hivyo kukusaidia kwenye mambo ya kitandani maana mlundikano wa mafuta husababisha Presha inayozuia kufanya vizuri kitandani

Hizo ni faida kuu za ndizi mwilini lakini haimanishi kuwa ukila ndizi mchana usiku wake mambo yatabadilika ni swala la muda na mazoea pia usisahau mazoezi na vyakula vyenye wingi wa protine na vitamin

KARIBU SANA NDUGU KWA MASWALI NA USHAURI ZAIDI
Nipigie +255677290106 au WhatsApp +255752898106

π”π†πŽππ‰π–π€ 𝐖𝐀 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒𝐔𝐑𝐄 𝐍𝐈 π’πˆπ‹π„ππ“ πŠπˆπ‹π‹π„π‘, π‡π€π“π€π‘πˆ π˜π€πŠπ„ 𝐍𝐈.unapoishi na maradhi ya pressure, pasipo kuchukua hatua za awali.Ma...
10/04/2024

π”π†πŽππ‰π–π€ 𝐖𝐀 𝐏𝐑𝐄𝐒𝐒𝐔𝐑𝐄 𝐍𝐈 π’πˆπ‹π„ππ“ πŠπˆπ‹π‹π„π‘, π‡π€π“π€π‘πˆ π˜π€πŠπ„ 𝐍𝐈.

unapoishi na maradhi ya pressure, pasipo kuchukua hatua za awali.
Madhara yatakayo tokea huko mbele. Ni ya hatari zaidi Mwanaume unaweza kufa ghafla . Mfano
(kifo cha kushtukiza) ila...

Hatari kubwa iko kwa wazazi wetu. Mara tu umri unapokua mkubwa
Maradhi ya pressure ni miongoni mwa maradhi hatarishi.
yanaitaji uthibiti na ufatiliaji mapema sana.

Ni busara zaidi baba au mama, kupatiwa kifaa cha kujichunguza, maradhi ya pressure walionayo. Ili k**a ni matibabu basi yanafanywa mapema,kuepusha madhara makubwa kuja tokea.

Usipuuzie afya yako! wala ya wazazi wako.

Ukitaka kuitatua vizuri changamoto hii ya Presha lazima upate VIRUTUBISHO ASILIA asilia ambavyo vitakuja kujenga vizuri mishipa yako ya damu, kuondoa cholesterol Mwilini na kuimarisha Afya ya Misuli ya Moyo. Virutubisho asilia K**a Avnie Herbal nk unavihitaji sana. Sambamba na hilo lazima upate ushauri wa ziada wa vyakula na formula ya Mazoezi.

KARIBU SANA NDUGU, KWA MASWALI NA SULUHISHO LA DOZI YA VIRUTUBISHO 🀝
Nipigie 0677290106/0752898106

03/04/2024

Nipo kwa ajiri yenu ukihitaji ushauri kuhusu Afya ya binadamu,Maswala ya uzazi wanaume kwa wanawake waweza nichek kwa no
0752 898 106 na +255677290106

SABABU ZA MAMA MJAMZITO KUTOKWA NA JASHO SANA.     Na mie Rafiki Ako wa faida Dr.Avneen Uyole -Mbeya0677290106/075289810...
03/04/2024

SABABU ZA MAMA MJAMZITO KUTOKWA NA JASHO SANA.
Na mie Rafiki Ako wa faida
Dr.Avneen
Uyole -Mbeya
0677290106/0752898106

Wanawake wengi katika kipindi cha ujauzito hutokwa sana na jasho hasa wakati wa usiku.

Je nini husababisha?

Mabadiliko ya viwango vya vichochezi vya mwili (homornes); kipindi cha ujauzito huambatana na mabadiliko ya viwango vya vichochezi, mabadiliko haya huuweka mwili katika hali ya kuweza kubeba ujauzito kwa kipindi cha miezi yote 9.

Kichochezi aina ya projesteroni huongezeka na kuwa katika kiwango kikubwa katika damu wakati wa ujauzito, mabadiliko haya hupelekea mishipa mingi ya damu iliyo karibu na ngozi kutanuka hivyo kuruhusu damu kupita kwa wingi hivyo kuongeza kiasi cha maji yanayopotea kwa njia ya jasho.

Kutokwa na jasho husaidia kuupoza mwili hivyo hii hutokea ili kuuweka mwili katika hali ya msawazo wa joto.

Kufanya kazi nzito: Mama mjamzito kwa kawaida huchoka haraka hata baada ya shughuli ndogo. Hivyo iwapo mama mjamzito anafanya shughuli nzito huweza kupelekea kuongezeka kwa kiwango cha jasho kinachotolewa.

Maambukizi ya magonjwa: Wakati mwingine kutokwa na jasho sana hasa wakati wa usiku huweza kuwa ni dalili ya mwanzo ya homa (fever) ambayo huashiria kuwepo kwa maambukizi ya magonjwa. Hivyo ni vyema k**a ukiona hali ya kutokwa na jasho si ya kawaida, basi wahi kituo cha afya kwa uchunguzi zaidi.

Je nifanye nini kupunguza kutokwa na jasho sana?

Pendelea kukaa maeneo ya wazi ambako kuna mzunguko mkubwa wa hewa safi.
Pia epuka kuvaa nguo nyingi au zinazobana mwili bali pendelea kuvaa nguo nyepesi kwani huruhusu mzunguko wa hewa.
Pendelea kufanya mazoezi mepesi
Ni vyema kuoga kabla ya kulala
Kwa sababu kutokwa na jasho kwa wingi husababisha mwili kupoteza maji sana hivyo basi ni vyema kunywa maji ya kutosha kila siku.

Ni mie rafiki wako wa faida
Dr Avneen
Uyole -Mbeya
0677290106/0752898106

*MAKOSA MANNE(4)  HATARI WANAYOFANYA WANAUME  KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!!!**Na mie rafiki Ako wa Faida*  *Dr A...
29/03/2024

*MAKOSA MANNE(4) HATARI WANAYOFANYA WANAUME KUHUSU CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME!!!*

*Na mie rafiki Ako wa Faida*
*Dr Avneen*
*Uyole -Mbeya*
*0677290106/0752898106*

Mwanaume Hakikisha unajiepusha na makosa haya. Makosa haya huweza kusababisha tatizo la Nguvu za Kiume kuzidi badala ya Kupungua.Wanaume wengi wanapohisi kuwa na Changamoto ya Nguvu za Kiume Hufanya Yafuatayo!!....

1.Wengi hupuuza tatizo hilo na kuchukulia k**a Hali ya kawaida,Huchukulia poa na wengi hushindwa kuchukulia serious, matokeo yake tatizo hukua na kuwa kubwa zaidi.

2.Kutokujua Chanzo cha Tatizo hilo, Imekua ni kawaida kwa baadhi ya Wanaume kushindwa kujua Chanzo cha changamoto Hii,Hivyo wengi hukurupuka na kufanya maamuzi yasiyo sahihi juu ya Tatizo hilo.

3.Kutokua na Elimu Sahihi na Kutokujua ukweli kuhusu tatizo hili, Wengi wamekua wakipeleka tatizo kwa watu ambao sio sahihi na Hivyo kushindwa kupata suluhisho la kudumu.

4.Kutumia Dawa za Kuongeza Nguvu za Kiume Kitu ambacho sio Sahihi kabisa.Hii hupelekea tatizo kuongezeka na kuwa sugu. Kwa tatzo la upungufu wa nguvu za Usitumie dawa bali tumia dozi ya VIRUTUBISHO ili kumaliza tatizo moja kwa moja.

Mwanaume Usifanye tena makosa haya,Pata Elimu Sahihi na Njia Sahihi ya Kuondoa Changamoto yako leo.K**a uko serious anza dozi usisubiri tatzo liwe sugu.

*UNAWEZA KUNICHECK INBOX ILI NIKUSHAURI NI DOZI GANI YA VIRUTUBISHO ITAKUFAA ZAIDI KUANZANAYO KULINGANA NA UCHUMI WAKO WA SASA. KARIBU*

*Na mie rafiki Ako wa Faida*
*Dr Avneen*
*Uyole -Mbeya*
*0677290106/0752898106*

*KUNA VIBAMIA VYA AINA TATU LAZIMA UELEWE.* Sio wote wenye kibamia wamezaliwanacho, kwenye asilimia 100% ya watu wenye k...
26/03/2024

*KUNA VIBAMIA VYA AINA TATU LAZIMA UELEWE.*
Sio wote wenye kibamia wamezaliwanacho, kwenye asilimia 100% ya watu wenye kibamia πŸ‘‡πŸ‘‡

*Asilimia 17% wamerithi kwa mzazi*

*Asilimia 13% waliugua sana wakiwa wadogo au walipofika Umri wa kubalehe waliumwa sana hadi ikapelekea viungo Vyao kudumaa.*

*Asilimia 70% ya watu wenye kibamia imetokana na Kujichua punyeto, kukosa virutubisho mwilini hali inayopelekea kusinyaa kwa uume na upungufu wa hormones za kukuzia maumbile, uzito mkubwa na kitambi, bawasiri, ngiri, kuvaa nguo za kubana kipindi cha balehe.*

Kibamia ukinachotokana na kurithi hakiwezi kubadilishwa kwa kiasi kikubwa, itaongezeka kidogo tu kwa sababu ni genetics tatizo lipo ndani ya vinasaba(DNA),
Lakini kibamia kilichotokana na kuugua , kujichua punyeto, upungufu wa virutubisho , kuvaa nguo za kubana kina suluhisho zuri tu ambapo utapewa dozi ya *VIRUTUBISHO* na utaratibu wa *MAZOEZI* maalum ya uume.

Unashauriwa upate dozi ya virutubisho kwa sababu hapo ulipo haujui k**a umerithi kibamia kwa mzazi au imetokana na kujichua na hayo mengineyo. Hivyo kutumia virutubisho ni lazima kwa wote kwa sababu asilimia nyingi ya tatizo hilo limetokana na sababu zenye suluhisho.

*KARIBU SANA USAIDIWE DOZI YA VIRUTUBISHO ILI USIDHARAULIWE NA KILA MWANAMKE UNAYEKUTANANAE.*

*Dr Avneen*
*Uyole -Mbeya*
*0677290106/0752898106*

*IPHONE ya MACHO matatu sio kila mtu anaweza kumiliki ni kwa wale wenye uwezo tu waliojipanga, kwa sababu sio bei rahisi...
24/03/2024

*IPHONE ya MACHO matatu sio kila mtu anaweza kumiliki ni kwa wale wenye uwezo tu waliojipanga, kwa sababu sio bei rahisi ni gharama. Na sio kila MWANAUME anaweza kwenda round 3 kwenye tendo la ndoa, kwa sababu sio rahisi ni gharama kuujenga mwili wako, wengine mtaishia kunusa tu hata kigoli kimoja chenyewe kinatoka fasta k**a mkojo wa njiwaπŸ₯².*

*Ili MWANAUME aende round 3 wakati wa tendo la ndoa anatakiwa awekeze kwenye kutumia DOZI YA VIRUTUBISHO vya kuujenga mfumo wake wa uzazi. Bao 3 hazipatikani kwa ugali na chips , ndugu zangu. K**a MWANAUME unataka uwe na uwezo wa kwenda Round 3, hilo lazima ulijue. Kwa wale Wanaume hodari mliojipanga kupata dozi ya VIRUTUBISHO leo,*

*TAFADHALI NICHECK SASA HIVI ILI USAIDIWE KWA WAKATI*
Nipigie kwa no 0677290106/0752898106

20/03/2024

Suluhisho kwako mwanaume ambae huna uwezo wa kutungisha mimba kwa kuwa na Mbegu chache,au Mbegu zako hazina shape nzuri au hazina mnyumbuko ulio Bora,au hazina mjongeo wa kulifikia yai kwa wakati ili uweze kutungisha mimba , Nicheki Sasa kwa kupata suluhisho la kuziwesha Mbegu zako ziwe Bora na uitwe baba , Nipigie kwa no 0677290106

Mwanamke anaishi maisha marefu zaidi na mwanaume anayemuheshimu kuliko mwanaume anayempenda.Kugusa hisia za mwanamke ni ...
21/12/2023

Mwanamke anaishi maisha marefu zaidi na mwanaume anayemuheshimu kuliko mwanaume anayempenda.

Kugusa hisia za mwanamke ni kitu kimoja na kumfanya mwanamke aishi na wewe ni kitu kingine.

Maneno yako matamu yatamfanya mwanamke akupende na kuvutiwa na wewe lakini vitendo vyako ndivyo vitathibitisha kwamba Unastahili heshima au la!

Wanawake wanawaheshimu sana wanaume wenye malengo na wanaofanya mambo yatokee, wanaume wanaoweza kuwaongoza na kuwapa tumaini la kesho zao.

So mwanamke ili awe wako lile neno nakupenda halitoshi,

Anahitaji kuona vitu vya kuthibitisha uanaume wako ili aone k**a unastahili kuheshimiwa k**a mume.

Na mwanamke ataujaribu mara kwa mara uanaume wako ili aone k**a wewe ni mwanaume unayestahili heshima yake au hujielewi.

So atakuletea vituko aone na kupima maamuzi yako, wanawake ni viumbe vyenye akili sana, wanatafuta mahali ambapo watajihisi usalama zaidi lakini kwa kukupima.

Utasikia wanaume wengi wakisema wanawake wasumbufu sana, but ni moja yasehemu ambayo mwanamke anajipatia uhakika kuwa unastahili heshima kiwango gani kitoka kwake.

Credit to : Dr Avneen

WEWE KWANZA...Kiufupi binadamu wanatabia ya kuchoka, binadamu huwa wanachoka usisahau.Kabla hujawatembelea binadamu jita...
21/12/2023

WEWE KWANZA...

Kiufupi binadamu wanatabia ya kuchoka, binadamu huwa wanachoka usisahau.

Kabla hujawatembelea binadamu jitahidi kujitembelea wewe kwanza...

jitembelee ndani yako ili ujue kipi unapenda na kipi hupendi.

Jijue wewe kwanza kabla binadamu mwingine hajakujua...

Jithamini wewe kwanza ili wanaokuthamini leo siku wakichoka ubaki unajithamini mwenyewe...

Jiheshimu wewe kwanza ili wanaokuheshimu leo siku wakichoka ubaki unajiheshimu Mwenyewe...

Jitamkie mema kwanza ili wanaokutamkia mema leo siku wakichoka ubaki unajitamkia Mwenyewe...

Jitahidi kufuata vipaumbele vyako kwanza ili wale unaofuata vipaumbele vyao wakija kuchoka ubaki kwenye vipaumbele vyako...

Jisukume Mwenyewe kwanza ili wale wanaokusukuma leo siku wakijakuchoka ubaki unajisukuma Mwenyewe...

Jifunze wewe kwanza ili wale wanaokufunza leo siku wakichoka ubaki unajifunza Mwenyewe...

Jifunze kujipenda wewe kwanza ili wale wanaokupenda saivi siku wakikuchoka ubaki unajipenda Mwenyewe...

Binadamu wameumbwa kuchoka usisahau...
watachoka kukusukuma.
watachoka kukuthamini.
watachoka kukusaidia.
watachoka kukuheshimu.
watachoka kukutembelea.
BINADAMU HUWA WANACHOKA NI MUNGU TU HATAKUCHOKA...

JIFANYIE HAYO YOTE KWANZA WEWE LAKINI USICHOKE KUWAFANYIA WANADAMU HAYO KWA MAANA HAUJUI NI LINI WATAKUCHOKA.

NADHANI UMENIELEWA.
USIJE UKAWAHI KUMPOTEZA MTU ANAYEKUSUKUMA, KUTHAMINI,KUSAIDIA,KUTEMBELEA MAPEMA.

Address

Mbeya

Telephone

+255752898106

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Elimu ya Afya na Dr Avneen posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Elimu ya Afya na Dr Avneen:

Share