
17/09/2025
🌸 AL-RAHMAH SCHOOLS 🌸
PRE-FORM ONE 2025
Shule za Al-Rahmah zinatangaza nafasi za PRE-FORM ONE kwa mwaka wa masomo 2026.
Karibu ujifunze nasi ili kujiandaa vyema kwa kidato cha kwanza kwani tunakupatia elimu bora pia tunayo mazingira rafiki ya kujifunzia.
✨ OFA MAALUM ✨
Mbali na masomo ya kawaida ya maandalizi ya kidato cha kwanza, tunatoa pia kozi ya Artificial Intelligence (AI) kwa mwanafunzi atakayehitaji.
➡️ Kozi hii ya Artificial Intelligence ni ya hiari kwa ongezeko la gharama ya 50,000.
➡️ Lengo ni kuwasaidia wanafunzi kupata maarifa ya kisasa ya teknolojia, ubunifu na ujuzi wa kidigitali mapema.
📢 Nafasi ni chache! Wahi kujiandikisha kwa mwaka wa masomo 2026.
📞 Wasiliana Nasi:
📚 Al-Rahmah Pre & Primary School
📲 +255 677 330 099
🎓 Al-Rahmah Secondary School
📲 +255 677 990 033
🏢 Al-Rahmah Development Complex
📲 +255 673 526 644
📍 Mahali Tulipo:
📌 Shule ipo Mkuranga, Mkoa wa Pwani, karibu na Shule ya Msingi Ngunguti, (kilomita 1.5) kutoka barabara ya Kilwa na (kilomita 60) kutoka Dar-es-Salaam.
Bonyenza Link hii hapa chini kuona Location yetu katika Google Maps
👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽👇🏽
https://maps.app.goo.gl/jboy5AjmkDgtBir37
🌐 Tembelea kurasa zetu kwa maelezo zaidi:
Facebook: https://www.facebook.com/alrahmahcomplextz/
Instagram: https://instagram.com/alrahmahschools
🌸 AL-RAHMAH SCHOOLS 🌸
☀️ Always The Best ☀️