Dr Bwashary

Dr Bwashary PWANI

20/08/2025

KAZI ZA MDUDU FULUWILI KATIKA TIBA
Naam kila kiumbe alichokiumba mwenyezi mungu kina kazi kubwa katika tiba na Leo nawapa kazi ya viumbe hivi vinavyoitwa fuluwili
*MVUTO WA BIASHARA
*MVUTO WA KAZI
*MVUTO WAAPENZI
*KINGA
*WATOTO WANAOCHELEWA KUTEMBEA
Wachukue Hawa wadudu Kwa manuizi ya mambo unayoyahitaji wachome mpaka update unga wake tumia kuchanja na kupuliza kwenye biashara na kazi,Kwa watoto wasiotembea tumia kuwachanja miguuni na KINGA tumia kuchanja
Hii dawa kubwa sana Ina kazi nyingi tu.
Kwa elimu ya tiba natoa kwenye group la whatssap kwa kufuata link hiyo https://chat.whatsapp.com/ErQp17JSTDCF3NSBFkBKBN?mode=ac_t

0710649372

10/06/2025

Send a message to learn more

Fusho kali sana na zuri kwa wale wanaosjmbuliwa na majjni wachafu k**a cheketu,jini maiti,jini kaburi,jini mahaba na maj...
06/02/2025

Fusho kali sana na zuri kwa wale wanaosjmbuliwa na majjni wachafu k**a cheketu,jini maiti,jini kaburi,jini mahaba na majini wote wabaya.
pia inatibu homa za upepo mbaya yaani joto la sihiri au baridi la sihri
tumia kjjifusha asubuhi na jioni

pia hii inafukuza majini wachafu kwenye nyumba unafukiza kila siku ashbuhi na jioni lakini wakati unafusha ndani pasiwe na mtu.

13/03/2024
13/03/2024

SAFISHA NYOTA YAKO
Naam chukua halbat nuksi,msafisha nyota,mvuto,mlipu,chumvi ya mawe, utaoga siku Saba mfululizo Kwa manuizi
Alafu chukua kandar na ubani Maka utajifukiza Kwa muda wa siku wa tatu asubuhi na jioni Kwa uwezo waallah utafanikiwa

17/01/2024

Asalaam alaykum warahmatu Allah wabaraakat
ZIJUE FAIDA ZA MTI HUU AU
Mti HUU una kazi nyingi sana lakini Leo wacha niwape faida moja tu.
Mzizi wa mti huu unamtibu mjamzito anayechelewa kuzaa/ yule uchungu unakuja na kukata tumia mzizi wa mti huu chimba miziz iliyonyooka tu na uchemshe awe anakunywa asubuhi na jioni Kwa muda wa siku tatu na sharti anywe akiwa amekaa katika kizingiti Cha mlango huku akiwa anaangalia nje anywe Kwa manuizi ya kujifungua Kwa haraka Kwa uwezo Allah Fanya hivi utafanikiwa

Address

Kiparang'anda
Mkuranga

Telephone

+255626692341

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Bwashary posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram

Category