Herbalist Dr Mbonde

Herbalist Dr Mbonde Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Herbalist Dr Mbonde, Medical and health, drmbonde8@gmail. com, Mkuranga.

Tiba Za Asili Kwa Matatizo Yanayoshindikan Mahospitalin Pia kuhusu Maisha Kazi Niashara Mahusiano Tunafanya dua popote ulipo na kutatua changamoto yoyote ile karibu utupe majina tukuhudumie

DAWA KALI NA HARAKA KULUDISHA MAPEZI/NDOA SUGU HATA IWE UMEHANGAIKA VIPI HII NI KUBWA KULIKO 🔥    Wew ambae mtu wako mme...
13/05/2024

DAWA KALI NA HARAKA KULUDISHA MAPEZI/NDOA SUGU HATA IWE UMEHANGAIKA VIPI HII NI KUBWA KULIKO 🔥
Wew ambae mtu wako mmetoka mbali mno mmefanya mengi mmevumiliana Sana lakin ghafra hakutaki anaenda kwingine ama tu hataki tena wew ndiye umemtoa mbali umefanya nae mengi umepoteza vyako vingi lazima uchanganyikiwe kipindi Hana elimu alikubali nisomeshe uniowe leo Ana elimu sikutaki au sabab hazin msingi popote ulipo kitamfika chakumfika nami Dr Mbonde ni kazi ya Moto na hesabu kuweza kurudisha huyo mtu kwa kumlazimisha iwe hima iwe chali iwe jua iwe mvua anarudi kwako akiwa analia nam Dr Mbonde
Step za kazi hii ni step zisizo na huruma yaaan nikumpiga bakola kubwa kubwa mpka arejeee na bakola hizo zitakuwa na akili au malengo maaluum ikiwa apate shida na misukosuko hata aende kwa mganga yupi kwake iwe hapati msaada ni bakora juu ya bakora tena akienda kwa mganga ndio shida inazidi na kwenda mbele hichi kitu tafadhari Sana chukua hatua kwanza Angalia mtu na situation mlizokuwa nazo na matukio yake kwamba vyovyote anavyofanya lazim arudi na K**a unaona Hana maaana mwache aende na K**a bado hajapoteza timingi zako au kukuweka kwenye matatizo mwache aende atakukumbuka baadae kipindi ushapanda kimaisha au k**a unaona japo mmeishi lakin Hana maana mwache aende uanze mwanzo ila ikiwa Kuna umuhimu japo Kuna vituko vituko vidogo vidogo au vitu vya mpito nawew unamudu liwalo na liwe aisee umekula nitafute au njoo Moto umuwakie 🔥
Step za kazi hakika tunauwa kila jambo analoanzisha iwe biashara au kazin kazi atoke kila mahari yeye anapopata jeuri ili aone ugumu arudi kwako bwana wew nisaidie K**a anagari nyumba nk atazushiwa balaa hicho anachotegemea atauza na kufilisika na K**a tayari yuko na mwanaume itakuwa ni ugomvi na mipigano mikubwa na huyo ataekuwa nae itakuwa ni kam laan yaan naww Mambo yako kuvurugika Mambo hayaendi hata ile tamaa yakuwa nae unakuwa huna na ukiomuona unamkimbia hii ndio kazi Sasa sio mfarakano hapana lkin narudia hakikisha kazi yako haina muda Sana ikiwa mtu mmeachan tayari anamtu na mimba juu hapo tayari kashaharibika ila ukisema yote sawa liwalo na liwe Moto utawaka utalea mtoto wa mwenzio maisha yataendelea
Hii kazi anaefanyiwa kazi tunambadilisha akili na kuchanganyikiwa tafrani haziishi matatizo hayaishi na akienda kwa mganga ndio yanazidi nuksi yake inakuwa Kali mno na Kuna mfumo atakuwa nao ambao wakumtenga na kila mtu ni hatari 🔥
Mpenzi umetoka nae mbali Sasa hivi anabadilika et wew sikutaki anakuharibia maisha Anza kumuharibu yeye na umseti awe K**a mtoto na angaliazo huyo mtu ata akirudi atokuwa na uwezo au akili K**a za awali Bali zitarudi taratibu mpaka zinarudi atakuwa umefanya vingi vya kumtaiti asitoke kwani tuko na vitu mtu ambae haelewi kiswahili tulia tufanye maisha aaa tuachane tugawane Mali Kuna bomu ukiweka kwa nyumba kwanza atakuwa mtu achezi mbali na nyumbani yaan hatakwajilan haendi mda wote nyumbani na atoki bila idhini yako inafika hatua hata ile kutoka anakwambia wew nenda utaniwakilisha password yake mpak mume utake Sasa twende mahar flan na uanze kumuandaa vinginevyo atakataa kwani anabanwa ila asije kutawala akaleta vurugu
Katika dawa yetu step inayofuata tutamfanya asahaulike asikumbukwe awe K**a mtu ambae amekufa kila katika idara yake chochote kile na kumfanya dhaifu mbele yako hiii kazi atakutana na mengi mno Kuna mmoja zenji tulipiga hii kitu ilijibu vizuri mnoo kila akienda kwa mganga shida inazidi akiwa na bwana yule bwana anapatwa na tatizo anakimbia mwisho kazi Hana hela Hana mdomo hauna nguvu mwili anaumwa akarudi kwa mumewe tii tukaweka na kufuri kaazi ikaisha na sio hiyo kwengine mtu anapata majanga mazito kila anavyojikwamua ola Basi mwenyewe anaregea anarudi
Naam ni kazi kubwa na ni kazi ambayo inahitaji uvumilivu na subra kwani kazi ya kutawanya kazi kubwa na kazi ya uadui ili arudi kazi inapigwa kupitia miti na kitabu mayai viza kwa wingi ni hatari lazima ageuke nyuma.
Usifanye kwa mtu ambae unataka kumtesa jitetee kwa vile ulivyopambania kupoteza vyako ili awe wako badae akawa hakutaki Sasa unamzima mdomo na kila kitu na kumrudisha kwa lazma INSHALLAH
Dr Mbonde Tupo Mkuranga Pwani inawezekana kabisa kwa huduma zaidi na habari mbali mbali usisite kutupa kazi njoo tufanye kazi ujioneee kazi Dr Mbonde Mkuranga Pwani

Call/WhatsApp
+255629838459
Call only
+255765174801
+255719853951

DAWA YA  KULUDISHA MAHUSIANO/NDOA YAKO               HILI TATIZO KUBWA DUNIANI LAKINI LUDISHA MPENZI MCHUMBA KUPITIA DAW...
25/03/2024

DAWA YA KULUDISHA MAHUSIANO/NDOA YAKO

HILI TATIZO KUBWA DUNIANI LAKINI LUDISHA MPENZI MCHUMBA KUPITIA DAWA HIZI AU TUPE KAZI TUKUFANYIE
Naam Kero /matatizo ya ndoa sasahv yamekuwa Ndio changamoto kubwa kubwa Sana mitafaluko isiyonasababu za msingi sasa Kuna haja ya kuyarejesha ili kuendelea kuishi maisha hayo na kuendelea Zaid nifuate
Kwanz ktk suala lako ili ufanikiwe usiwe na papala kwani kupon kupo kufanikiwa kupo twende kwa hatua ikiwa kwasababu ukiwa na hasira ooh nimeachwa nimeanz nae nimemkuta Yuko chin kabisa sijui hivi utakwama kwa sababu Siri ya mafanikio ni ya mtu mmoja ukiwa unatak Jambo lako fanya kwa Siri na sio uwe unaliweka wazi kila mtu ajue
Kwanza unaweza ukaon mnagombana Sana bila sababu na mkaachana /bado mpo jiangalie mmoja wenu atakua @, anajini mahaba lazma amemtawala ndio ambae anaemsumbua tena huyo wa kutumwa inabidi atoke ndio umludishe mpenz wako ni rahisi na utaon akitok huwez yumba utaon unapiga hatua lkn ukimludisha bila kujiondoa huyo jini itakuwa sawa na bure atarudi kwa mapenzi baadae atajikata Kwan hiyo Ni sawa na ngiri siku za mawingu Kaz kwako Sasa muondoe na ikiwa huyo unaemtaka urudiane nae Ndio anae huyo anavutwa then akikaaa sawa mshauri akapate tiba tumia njia yoyote hata umdanganye atoke najua utatumia nguvu kubwa lkn akitok mtapiga hatua
Jambo la pili mnaweza mmeanza vizuri lkn ghafla amebadilika kelele zisizo msingi maneno ugomvi na mko sawa hamna mwenye kibaya mwili jibu mwenza wako Yuko next level maan yake Yuko na mtu ambae ameshikwa na tayar kavutwa ndiomana kwako kakatika wako wako active ukimwon kwako hafai wenzio wanamtafuat na anafaa wanamtumia wanamfanyia kazi Sasa itabidi umrudishe kwanguvu zote hata awe kafungwa kwenye minyororo ataludi tu Ni wew kufuatilia na tiba yako Ndio muhimu
Hatua ya tatu Kuna mtu Yuko na mtu kwaajili ya maslah akucheze/anufaike na kitu flani then ajiachie naww ulishindwa kujiongeza kujua Nini natakiwa nipaswe nifanye kudumu nae so inawezekan akavutwa na mwisho akarudi kwako muhimu ufatiliaji juu ya Jambo lako Ndio kufanikiwa
HII DAWA NAYOWAELEZA NI ZAWADI ITUMIEEE MJIONEEE
Hatua ya nne Kuna mtu anashda yoyote mnatoka vizur ila mbele anabadilika bill sababu tyr kashajiona anaweza bila wew vile vile njoo tukaze kamba
Pia yapo Mahusiano ambayo mnaahidiana kuoan na mipango ipo lkn haitimii njoo tutie mkazo
Pia Kuna Mahusiano ambayo yanarega rega kila siku lawama lawam hayako sawa njoo tukazie
DAWA ZA KULUDISHA MAHUSIANO NDOA UCHUMBA HIZI HAPA MUJJARAB SANA
Nunua dawa hizi kisha zifanyie kazi utanishukuru
@ MLIPU @ MCHEKA @ MVUTE @ MWINULA @ MWITA @ SHABU @ BARUTI @ CHUMVI YA MAWE @ MAKUSANYA @ KASERA YA BARA @ MFUNGUO @ HABALT NUKSI @ MUOSHA FEDHA MAKA @ UBANI DHUKRA
CHANGANYA DAWA ZOTE KIDOGO KIDOGO KOGA KUONDOA NUKSI KUFUNGUA VIFUNGO THEN KITUO KINACHOFUATA @ HABAT NUKSI @ MUOSHA FEDHA WEKA PEMBENI CHUKUA ZILIZOBAKI CHANGANYA PAMOJA
CHUKUA KITEZO WEKA MOTO WA MKAA MOTO MKALI VIZURI UKIWA NA UDHU AU HATA HIVI FANYA MUNGU NDIE ANAEJIBU WEKA UBANI AINA ZOTE KIDOGO KIDOGO TIA NIA YAKO "MIM DR MBONDE NAKUOMBA E MUNGU MLIPU ULIPUKE MOYO WAKE AITIKE HARAKA HARAKA APATE SHAUKU YAKUWA NAMI MUHARAKA UMUHARAKISHE MVUTE AVUTIKE UMFANYE ANISIKILIZE MIM NA ANITII MWITA AITIKE NA KUNITII MWINULA UMUINUE KAM KASHIKWA NA MTU AU ANASHAWISHIWA MIM NATAKA ALUDI KWANGU ANIWAZE MIMI ANICHEKEE MIMI MUDA WOTE ANITAFUTE " HUKU UBANI UNAWAKA UNATIA NIA HIYO NA DAWA YAKO UKINYUNYIZA KATIKA MOTO UNAWEZA SOMA SURATILI (IZAAJAA) 7 (ALAM NASHIRAHA) 7 ALAFU (ALFATIHA) NIA IKAWA VIZURI
MASAA YA KUJIBIWA CHEZA NA USIKU KUANZIA 6 UTANISHUKURU PIA UNAWEZA TUMIA ASUBUHI NA IJION SIKU 7

HUDUMA YA KULEJESHA MAHUSIAN INAPATIKANA
Njoo Tukuvutie mtu wako kivyovyote awe amekuzalisha amekuacha au anataka kuoa anasita njoo Karibuni ofisin kwetu mkuranga inawezekan
UKION ROHO YAKO NYEUSI KWENYE KUTAFUTA TIBA USHAULIKI HUAMBILIKI JUA UMEFUNGWA NA UKO NA JINI M'BAYA
OFISI YETU IKO MKURANGA UNAWEZA UKAWASILIAN NAMI HARAKA SANA KUPON KUPO TIBA ZIPO
UKO UWEZEKANO UKAPATIWA TIBA POPOTE ULIPO ILA MIM NATAKA MTEJA ANAEJIKUBALI SIO HAJIAMIN UKION HUJIAMIN ACHA





Call/WhatsApp
+255629838459
Call only
+255719853951
+255765174801

NGUVU ZA KIUME MUJJARABU KABISA  asalam alykum warahamatullah wabarakatuh Natumai wote ni wazima wa afya kabisa kabisa  ...
21/03/2024

NGUVU ZA KIUME MUJJARABU KABISA

asalam alykum warahamatullah wabarakatuh Natumai wote ni wazima wa afya kabisa kabisa
NAKUPENI HILI JIWE MUJJARAB KUTIBU NA KUMALIZA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME NA HISIA KWA UJUMLA
Iwe uumee ni Legelege hausimami kisawa sawa ipate hii dawa uitumie achana na hizo za kubust zitauuwa kabisa
Iwe ukienda laund ¹ kurudi ya pili shida yaan unakiwa hakum mawasilian bain ya ubongo wa nyuma na huku chini sasa itafufua na kuleta hisia chap kabisa
Iwe haisimami kabisa yaan either umefungwa kichawi isiweze kufanya kazi kuna namna yake mwisho utamaliza na hii
Iwe unapata maumivu chino ya kitovu kabla au baada ya kwend mzunguko mmoja hii itaondosha hayo matatizo
Iwe huna ile hisia hata ikifika asubuhi Jogoo awiki tumia hii kitu
Iwe hupati hamu hata ya kurudia tendo tumia hii na hii Haina Umri ni za asili kwani haziuwi wala kuleta madhara na ukipona umepona
Iwe umepungukiwa nguvu kwa sababu zifuatazo au zaidi
¹ kwanza kuna matatizo ya kuzuka au kujitokeza either Sukari nk inaweza changia nguvu zikapungua
² Kukaa kikao kimoja muda mrefu husababisha AMA kuchangia nguvu hupungua au kukosa ustrong mfan madereva au wafny kz ambz Akikaa amekaa husababisha hiyo hali baad ya muda kumtokea
³ Vyakula tunavyokula vya kemikali na mafuta mafuta nayo huchangia kupata upungufu
⁴ Kurogwa unaweza ukawa uko na mtu ktk ndoa / mahusian mkaachan kwa ubaya sasa mwenzawako hasira yake akaamua kukufanyia mchezo mchafu au kukumwambia ww hutofanikiwa mpk mm nife au hutozaa ama huto ... ama utanikumbuka ww sasa ukaenda na zako baad ya siku huwez kabisa unashik tu lkn hakun kitu
⁵ kushindwa kutoa manii kabisa hii inaingia ktk kukumbwa na upepo wa kijin na uchawi hasaaa
⁶ pia kujichua hupelekea misuli na mishipa kutokuwa na mawasiliano mazuri na hufanya kushindwa ama kuzimia ktk gia na hiii ni watu wengi ama Vijan wengi huu ndio mxhezo AMA nyimbo sasa Haramu pia huuwa mfumo wa uzalishaji mbegu na pia huuwa misuli na kupoteza nguvu kabisa yaan unajizoesha ukaenda moja huwez ten ten mpk wiki ² kutokan umekata mawasiliano pia ni shida na tatizo sana vijan ama mtu anaefanya jambo hili
⁷ Msongo wa mawazo husaidia kupoteza nguvu za kiume na kuuwa kiume kabisa na kwa haraka sana yaan unapokuwa na mawazo kupindukia huwezi kudumu wala kuhimiri tendo lazma ushindwe na itaenda mwisho itakuwa na afya dhaifu kabisa naam

FAIDA YA DAWA PICHANI MUJJARAB SANA
Unayoiona pichani usiizalau ktk dawa ambazo zinatibu nguvu za kiume hiyo namba moja na k**a hukupona no uchome ofisi moto Kuna watu hawaamini k**a tatizo la nguvu za kiume linatibika wengi husema halitibika k**a huamini nione nikupe bureee kabisa alafu nakusikiliza utaahidi nn ama utaleta nini maan wengi hukimbilia nimeenda sehem nyingi Lakin sijapona
Nguvu za kiume kupungua inasababu nyingi nyingi unaweza share na mtu kwenye uchawi au jini mbaya we hujui umemuon mdada au mmama mnzuri umemdandia umeenda kumbe anajini mbaya ama anamatatizo ya kiuchawi au usiku analuka ww hujui tena wachawi miak hii watoto wadogo wadogo unaenda nae anakuambukiza ile sumu kam unavyoon ukimwi na hiyo huambukizwa hivyo hivyo mwisho hupelekea kupungua na kushindwa kabisa umekuwa ukitamani lkn hauwez kufanya na ukishapata matatizo utaona hivi
¹ miungurumo ya tumbo mara kwa mara
² Tumbo kujaa gesi
³ kuumwa tumbo chini ya kitovu mara kwa mara
⁴ kupotezea ile hamu ya kuwa na mwanamke au kusex kabisa
⁵ kuingiwa uzito sehem za siri na kuonea kam umebeba mzigo vile nk
Basi jua tyr Kuna sumu imekuingia ktk mwili wako pia hata ww k**a ww ukiwa na jini mbaya ktk mwili uwezi ukawa imara hata mara moja mpk atolewe akitolewa usafishwe kwani anakuwaga anaacha athar ktk mwili hivyo ukisafishwa unauwa ile athari na itakufanya uwe imara na konk
FAIDA YA HIYO DAWA NILIYONAYO
K**a tatizo lako la muda mrefu kunywa vikombe viwili vya ujazo vya kutosha ile mara ya kwanza kutumia utajioneea mwenyew hiyo dawa inaenda moja kw moja mpk chini Inakaa hapo inalekebisha muda wa massaaa ³ mpk ⁴ utaona Kuna moto au joto na Ikesha utaon hisia zimeamka zakibabe sana lkn haiishii hapo itaendelea na itaendelea kukufanyia maboresho na kuweka ustrong NGA NGA kabisa kila unavyotumia ndio unaifungua mirija na kuipa nguvu hakikisha Ujinga wako usiurudie tena ambao ulisababisha kupungukiwa kam ni king weka ktk mwili wako k**a ni michepuko punguza kuwa na mmoja kwanza hata zinaa yenyew inapunguza nguvu za kiume hivyo tuiepuke sana zinaa
Hii dawa ni kiboko yaan haina mchezo na haikwepeshi ukiitumia jibu utalipata na utaon nga nga kabisa Itaimarisha misuli na kuweka nguvu za kutosha na hii inatumiwa kutokan na kuathirik kwa mwenye tatizo inaweza kuwa siku ³ au ⁷ au ¹⁴ au ²¹ na kila unavyotumia ndio imazidi kuimalika yaan hat mtu wako kam ulikuwa ukipasha moja anaenda kuoga basi atapata ³ za haraka na atalala masaa ² kwani hiyo show yake si ya mchezo na ukitoa ¹ kupitia dawa mashine hainywei inapungua kasi kikawaida hapo lazm utulie ili ikulu ilete hisia kali mpya ndio unaweza kuendelea na kikawaida kupumzik unaweza pumzika hata 30 sio mbaya kwani unachotoa ni damu kwahiyo kuwa makin ukirudi ten msumari utakuwa wa moto kinoma unaweza dumu hat ⁴5 na utapumzika ten ukirudi lazma utagota ⁵⁰ au ⁴⁴ tena itakuwa hivyo lkn ukitaka chuma kwa chuma ikitok ya kwanz and haijalala baad ya dk 5/ 10 uko mzigon inawezekan niww mwenyew ila ukifanya kwa kumkomoa hawez kuja siku nyingine au hawez kukupa hata k**a mkeo kwhy vigezo na mashart vizingatiwe
Na hii ni dawa ya kudumu sio kubust hii ukitumia umetumia na utajionea matokeo pale pindi umetumia utajionea tena haikwepeshi ni mujjarab sana wallah
WITO KWA WATEJA WOTE FUATA HAYA
Tumia akili ktk kufuata Tiba akili uliyogewa itumie vizuri tena vizuri sana
Kuna watu wako na shida zaidi ya moja ktk mwili wao alafu anatak kam hii dawa haiwezi ikafungua Misuri hiyo bila kutibiwa shida hiyo lkn shida za hivi sio zote
Mwenye kusumbuliwa na uchawi mpk atibiwe na azibuliwe njia zote za kiuchawi ndio apate dawa ya nguvu
Pia mwenye masheitwan ktk mwili wake awe mahaba mpk umtoe atoke ndio uweze kutumia dawa
Mwenye matatizo ya kuzuka zuka ama kuumwa umwa mara u.t.i mara tyfod mara malaria mpk utibiwe hicho kitu kinachochochea kuzuka zuka ndio upone na upate hii bila ya hivyo utatumia madawa mengi bila mafanikio na utabaki kusema hakun wa kunitibu
Pia matatizo ya kufungwa uzazi wako watu wanaweza kukuchezea wakakufunga usiweze kufny tendo has yaan mtu anakunuia kukukomesha hiyo pia inawezekan hivyo mpk utibiwe hii ndio urudi urudishe nguvu inshaaallah
Kuwa makin ktk kupata Tiba na sio kila mtu unayemuona au kumsikia Anatoa dawa ya nguvu ya kiume umkimbilie unajua shida yako kwanza jua shida ndio uchukue dawa naam
Dr Mbonde drmbonde8@gmail kwa huduma mbali mbali usisite nione nikisaidie
UNAUZA BIASHARA HAITOKI NYUMBA UNAUZA HAIUZIKI UKO NA VIFUNGO VIZITO TUONE TUKUSAIDIE INSHAAALLAH TUPO MKURANGA

Call/WhatsApp
+255629838459
Call only
+255765174801
+255719853951

ASALAM ALYKUM NDUGU JAMAA MARAFIKI HAMJAMBO?       TUNAENDELEA NA DARSA LETU JUU YA MMEA AU MTI HUU WA MNAMATA HAKIKA UN...
19/03/2024

ASALAM ALYKUM NDUGU JAMAA MARAFIKI HAMJAMBO?
TUNAENDELEA NA DARSA LETU JUU YA MMEA AU MTI HUU WA MNAMATA HAKIKA UNAKAZI NYINGI NA MUJJARAB KABISA LEO TUANGALIE KATIKA MVUTO

MVUTO MKUBWA WA KILA KITU MNAMATA
CHA KWANZA UWE HUNA KIFUNGO WALA NUKSI KALI INAFANYA KAZI VIZURI SANA AU ANZA KUONDOA NUKSI VIFUNGO ALAFU TUMIA UTAONA CHA KUFANYA FUATA TARATIBU HII NENDA KATIKA HUU MTI ASUBUHI AU IJIONI TIA KUSUDI LAKO KUJA KUCHIMBA DAWA HIYO ALAFU CHIMBA KASAGE IWE UNGA TUMIA UTAKAVYO KWA MANUIZI NI HATARI
UKIKOGA NI MVUTO UTANASA UNACHOTAKA KUNASA UKICHOMA UTANASA UNACHOTAKA UKIKOGA UTANASA UNACHOTAKA PIA FUNGA KWENYE KITAMBAA CHEUPE UKIWEKA ENEO LA BIASHARA NI MVUTO NA UTAVUTA UTANASA PIA UNAWEZA CHANJIA PAJI LA USO NI MVUTO UTAVUTA WATU KAZI BIASHARA MAPENZI PIA UKITAKA MTU AKUGANDE CHANJIA SEHEMU HUSIKA AKIINGIA AU UKIINGIA KWA NIA BASI AMEKUGANDA
NI MVUTO HATARI
@ MAPENZI
@ BIASHARA
@ KAZI
@ NK
FANYIA KAZI UTANISHUKULU "SEMA WEW NDIO MNAMATA NAMI NATAKA NINASIWE WATEJA WAJAE KATIKA BIASHARA YANGU WAWEKE FOLENI K**A STENDI AU SOKONI NA HAPA KWANGU WAJAE FOLENI" UTAONA KITACHOTOKEA AU "WEW NDIO MNAMATA NATAKA UNIFANYE NIWE NA MVUTO NA BAHATI KUVUTIKA WATU KUNIFUATA WATU KUNIPA MADILI KUNASA KWANGU" NK UTAJIONEA
ISHU NIA YAKO USIFANYE KWA KUONEA MTU FANYA KWA KUTAKA MAMBO YAKO YAWE VIZURI BILA KULETA ATHARI AU KUDHULUM CHA MTU UTANISHUKULU
UKITAKA KUVUTA MTU TUMIA HIVYO HIVYO CHOMA AU KOGA SEMA "WEWE NDIO MNAMATA NAMI NATAKA FULAN ALUDI KWANGU NA ANASE NA KUNITII NA KUNISIKILIZA NITACHOMWAMBIA ANISIKILIZE " UTANISHUKULU NK
PIA UNAWEZA TUMIA JANI LA MNAMATA CHUMA ANDIKA JINA ALAFU TEMEAA MATE LIKUNJE LIWEKE KATIKA MCHAGO LALIA USIKU NZIMA MAJIBU NIPE KESHO KITACHOTOKEA USISAHAU KUNUIZA NI HATARI
KWA HUDUMA MBALI MBALI USISITE KUWASILIANA NAMI KUPATA TIBA VIPIMO AU DUA POPOTE PALE ULIPO
TUPO MKURANGA KARIBU SANA TUWEZE KUKUSAIDIA Mzee Mbonde

CALL/WHATSAPP
+255629838459

CALL ONLY
+255765174801
+255719853951

DAWA YENYE HATARI KWENYE MAPENZI MUJJARAB                   ( MNAMATA /MNAMATI / MNASIA )  Pichani ndio dawa halisi yaan...
14/03/2024

DAWA YENYE HATARI KWENYE MAPENZI MUJJARAB
( MNAMATA /MNAMATI / MNASIA )
Pichani ndio dawa halisi yaan hii ndio mwisho ndio kiboko na ni hatari katik mapenzi inanasa kabisa yaan kabisa uhakika
Tafadhari/ Tahadhari / Onyo usitumie dawa hii vibaya ukaonea watu ukadhuru watu itumie kumfanya mwenzio akupende na kukunasa hakika inaenda k**a unavyotaka
FAIDA INAYOPATIKANA KATIKA MMEA / MTI WA MNAMATA
Kufanya mapenzi kuwa moto moto na kuwa karibu muda wote wakati wote kufanya kuwe na ukaribu na kujalian wakati wote kufanya kutotamani kutoka nje akili ya kutoka kunakuwa hakuna kufanya mtu kumnasa juu yako muda wote wakati wote hadi kero na ni limbwata pia hii dawa tena hatari ukimnuizia mtu akaitika imeisha.
ONYO / ANGALIZO
Usilazimishe mapenzi sehemu ambayo mapenzi hakuna utateseka ukion hivyo wenda wenzio wameshawahi kwako itakuwa kero na matusi hivyo haina umuhimu kufanya hii dawa
Naam Endapo unahitaji mwenzio akugande na akunasie akusikilize awe na wew nakupa njia mbili ambazo zinamajibu ya hapo hapo
Nenda katika huo mti sema wew ndie MNAMATA nami nataka Furan furan aninase aniskize anitiii aninasie kila kitu nachotak anipe kam ww unavyonasa nam hivyo hivyo, chimba mzizi kachemshe then tia katika maji ya kunywa kwa nia yako maji ya kuoga kwa nia kwenye chakula atavyotumia jibu utalipata kuanzia hapo hapo.
Nyingine chuma Jan bandik ktk chupi kwa babu au bibi acha dk 15 then litoe liunguze chukua lile vumbi tia katik chakula maji kwa nia kumbuka kuweka nia tangu unachuma mpk unaweka mpk unatoa mpk unaunguza.
Njia ya pili hapa sasa wale watu ambao ww unasema umehangaika na kuhangaika yaan malaya hashikiki au unataka mtu wako ww ndio ummiliki basi chimba MZIZI wako kwa nia then osha babu au bibi kwa nia hakikisha uwe msafi wa hali ya juu osha kwa nia yale maji changanya na hiyo dawa kwa nia alafu muwekee anywe hakika hatoki nia utayoiweka ndio itayokuwa.
ONYO
Kachimbe mwenyewe polini ukinunua duka la dawa asili haitofanya kazi maan hii dawa ina miko yake na inanguvu ya kiroho hivyo kipindi unachimba utajioneea mwenyewe, mtangulize mungu
Wako Dr Mbonde ukihitaji iliyoandaliwa kabisa iko ofisini kwetu Mkuranga na mengi mazuri yanakuja.
Huduma ya kuchekiwa kujua kinachokusumbua inaendeleaaa tsh elfu 5 unapewa majibu nin kinakusumbua wako dr Mbonde lete kazi tufanye kazi

Call/WhatsApp
+255629838459
Call only
+255765174801
+255719853951

01/02/2024

TUONGEE UKWELI KUHUSU HIZI KAZI NA KUFANIKIWA KWAKE.
Vilio vya wahenga vimekuwa vingi mno lakin hii elimu nataka iwanufaishe na iendelee kuwanufaisha na nipende kuwashukuru wote mnaonifatilia na kunisuport na kunipa nguvu pia nasema tuko pamoja mungu awabariki sana kwani sio wote wanaopenda kujifunza au kujua ukweli katika haya mambo wengi wao ndio wale weka kitunguu juu ya meza utamuona mchawi heee sasa tusome kazi vilio ni vingi kila kona by dr mbonde.
Kazi ya kiuganga kwanza ni kazi ya kumuomba mungu pili kujua nin chakumfanyia mteja ili aweze kupona aweze kuwa sawa katika jambo lake Hususani matibabu ya shida yake husika, Sasa pamekuwa na tuhuma nyingi mno mim nimehangaika kwa waganga wengi nimetapeliwa (nimeibiwa) jamani wateja mnakosea kumbuka kazi mmefanya wote k**a nyungu umepigwa zakutosha lkn tatizo lako bado lipo pale pale sasa hapo hujatapeliwa tayari umefanyiwa Tiba lakin Tiba aliyokufanyia kwako haijazaaa matunda mazuri ni jambo la kuzid kumuomba mungu upate mtatuzi ambaye anaejua zaidi ili aweze kukutibu ukawa sawa sio kuleta lawama kuvumisha umetapeliwa ni dhambi na ni dhima siku ya siku kumbuka kwamba mganga anaomba mungu ili wew upone, jambo lingine umakini unapokwenda kutibiwa fuata Tiba au fanyiwa tiba usifuate sukari utapoteza muda na cha maana hakuna fanya maelewano mazuri lugha nzuri jambo litaenda
JAMBO LA MAFANIKIO UNAFANIKIWA NDANI YA MUDA GANI?.
Sasa hapa ndio panahitaji akili hasa tena akili nyingi kwasababu ukiwa wew unamuomba mungu ujui lini atakupa unaanzaje kujua kazi hii siku 7 au 3 (Kuna baadhi ya kazi unaweza kuzifanya hata muda huo ikafanikiwa lkn sio zote) lkn kikubwa wateja tulizeni akili zenu uwezi hii leo kunipa kazi ukanambia mim na mume wangu hatuongei mim nipo kwetu na yeye kwao au ana mtu mwengine au wazazi wake hawanitaki jambo k**a hili utulize akili mno unaweza maliza waganga na waganguzi ukaishia kusema waganga hakun wote matapeli kwasababu hujui kazi zilivyo na zinavyotakiwa kuwepo sasa nakupa jibu hizi kazi zinatakiwa ziangaliwe nin kinasumbua na nyota ya nani iko juu ya nani iko chini nani anakauli nani anamaamuzi baada ya hapo ndio unafanya kazi kulingana na majibu unafanya hata 7 ndani ya siku hizo fatilia majibu yanayopatikana hakuna jibu usivunjike moyo usikate tamaa Kula vizuri kuwa msafi ondoa mawazo kazi inaendeleaa hatua ya pili endelea na kazi fanya ndani ya 7 aangalia Kuna taarifa gani inayopatikan hakika hapo ushafanya mengi mno mapito mengi bado hakuna kitu ondoa hofu mawazo endeleea na kazi 7 nyingine hapo patakuwa na vitu vinatokea lazima vijitokeze k**a ni mafarakano utaona taarifa kwa majirani watu wakiumizana k**a ni kumtoa kazi utaona KAZINI kwa moto hapakaliki 7 ya mwisho kazi yako imekwisha hapa nimepiga hesabu nyepesi mno lkn mda mwengine mwezi 2 ndio unapata matunda na hiii yote inatokana na hivi mwezi unapande 2 masiku meusi na masiku meupe masiku meusi kubuli hakuna kazi yeyote inakuwa na kiza mbele yake ikifika ule wakati wake masiku meupe unakuta unaongezea kafara kidogo kazi imeisha ndio inavyokuwa.
K**A UMEENDA SEHEMU UNAHITAJI KINGA YA MWILI KITENDO CHA KUFANYIWA NA KUTOKA K**A SIKU 7 UNAJIONA KABISA ILE AMANI YA MWILI NA UTULIVU HAPO UNAJUA HAPA NIKO NA ULINZI NDIO INAVYOKUWA LKN UKIONA HUNA JUA BADO UJAFANYIWA UMEBABAISHWA AU FANYA VIPIMO UJUE KWENYE MWILI WAKO KUNA NIN THEN FANYIA KAZI
Mengine ni mitihani tu katika dunia uwezi jua mungu alivyokupangia katika dunia hiii uishi vipi wenda umepangiwa mpaka unakufa we ni wamitihani na pepo yako ndio iko hapo hapo hatuwez kukwepa chapili ktk hizi kazi kuna taaarifa huwa zinatoka lazima hizo taarifa ziwepo lazma kabisa.
KAZI NZURI AMBAYO INATAARIFA ILE IKO NA DIRECTION NZURI SANA
Hapa ndio wanatakiwa wateja wenye afya ya akili sio maneno mengi kwani kuna mengi huwa yanatokea nyakati hizi alafu isitoshe utavyolopoka hovyo ndio utaharibu kazi yote.
JAMBO LA MAFANIKIO NA WITO KWA WATEJA
Hakuna kazi nyepesi ila muhimu subra usikate tamaaa kwa harak na usijenge uadui kwa mganga kisa unaumwa unahangaika kuwa free jali kuwa uko mzima na rizki unapata japo hivyo hivyo lakin shukuru ukiwa unanyenyeleka kila wakati inakuwa sio vizuri, binafs wateja wanaonielewa huwa ni k**a ndugu wako wengi na wanazidi kuja wengine wananijua kupitia online hatujawahi onana lkn tunapeana kazi tunafanya na tunazungumza jambo liko hivi hii kesi iko hivi fanya hivi fanya hivi life inasonga na kuendeleea kabisa na nashukuru baadhi ya wateja waelewa na wanaelewa kuwa tunapambana na kumuomba mungu na inakuwa na hizo ndio roho zinazotakiwa tufanye kazi kwa amani sio kazi unafoka foka sijapigiwa simu sijatumiwa matumizi kaa tulia lete plan tupitie hivi tumpate yote yanafanyika hasa katik hiz mapenzi (LIMBWATA) SIO MPKA UJE TUNAWEZA KUKUELEKEZA NA IKAWA SAWA ukweli harisi limbwata ni mwili wako sio kitu kingine hivyo VINGINE ni nyongeza hata ukaoga safi then ukatafuta beseni ukaoga na kusugua sehem husika na nia yako then ukatoka yale maji ukipikia au akanywa au akaoga huyo mtu hatoki kwako mpka kifo NI MOJA YA VITU AMBAVYO MUJJARAB SANA Lkn je,mtu wa maana unae usije fuatwa kila kona ikawa kero sasa vitu dizain tuko navyo vingi mno na vinafanya kazi kwahiyo ukiwa makini na sisi utavipata.
Jambo lingine acha kwenda kwa kila mganga tulia sehemu moja tu ambayo kwako unaona ndio hospital yako fanya kazi kazi hakika utayaona mengi lakin ukiwa umefanyiwa kazi wiki 3 huoni kitu tyr tapeli umehama basi utamaliza watu utajiuliza pale nishaharibu narudije huku ulipo na ulivyokutana navyotofauti ndiomana huw nasema ni bora kutuliza akili ili uweze kupata vitu sahihi alafu ondoa hofu mungu yupo na anajibu na anasikia kila kitu.
KUNA WATU ANAFANYIWA KAZI NA DR MWINGINE ILA ANAMPIGIA SIMU MGANGA KIGOMA AMCHEKI WE UNAFIKIRI HATAKI HELA YAKO?? NI WACHACHE WATAONGEA UKWELI LKN WENGI WATAKWAMBIA NDIO MATATIZO YANAZIDI WEW UNATOKA KISAIKOLOJIA UNAACHA SEHEMU SAHIHI UNAZIDI KUPOTEZA HELA NDIOMANA NASEMA BAKI SEHEMU MOJA NI NZURI NA ITAKUSAIDIA UTAPONA

HAKUNA KAZI AMBAYO HAINA MAFANIKIO HAKUNA
Kazi yeyote inamafanikio ndani yake na ili uweze kuyaona inahitaji kazi ifanyike hasa ndio utavyowez kuyaona m nilikuwa na kazi ile kazi huyo mtu hoja zake nishazunguka watu k**a 6 tena wakubwa wew utaweza nikamwambia kazi ipi hiyo "mke ananisumbua" mim nikasema naiweza nipe aisee nilifanya kazi mwezi nzima ndio ugonjwa umetibuka matusi matupu ugomvi umezidi nikajiuliza hii itakuwa kudra ya mungu kupona au kufanikiwa huyu mtu jambo lake kumrejesha mkewe maan najiuliza nifanyaje ili aweze kurudi basi nilipiga kafara usiku na mchana kuanziaa mwez wa 8 mpaka 12 ndio jambo limeisha mke anapaki hana kazi hana hela hana rafiki hana ndugu hana chochote kabki mume na ndio kimbilio kwake hii kazi imepasua kichwa hatari ila ilikuwa kila siku inatowa taarifa leo kumetokea hivi na pamekuwa hivi na hivi basi kazi inaendelea mpaka ikasha moja kwa moja.
Na siyo haya yapomengi mnoo ambayo sisi tunafanya na yanaitika ila ndio hayahitaji papala maana ukiwa na mawenge mawenge basi kazi unarudisha nyuma mwenyewe.
NAPENDA KUWAAMBIA WOTE MNAOSUMBULIWA WAHANGA
Hata k**a tulifanya kazi miaka ya nyuma maana kazi kila unavyofanya ndio unakuwa na kuyajua mengi katika hizi kazi hivyo wew unaesumbuliwa na matatizo yako yoyote tambua tuko na uwezo wa kufanya kazi popote pale ulipo ikiwa shida yako sio maradhi popote ulipo tunakata mti na kupanda mti hapo kwa hapo na tutakupa na njia za kutatua changamoto kuna wakati tunaona tunafanya kazi huyo tunaemfanyia kazi ili akulipe au upate kazi au upate chochote mkubwa pia hivyo tunakwambia huyu anapita huku nawewe pita huku utamkuta mbele utapata na mengi maelezo yapo yapo mengi sisi ni wabobevu katika hizi kazi
Wale wateja mnaotujaribu niseme tu kwamba uganga wangu naweza kufanya jambo lolote ila tunachunga mipka ya mungu tu alafu uganga wangu sio kwamba mnvyofikiria sio hivyo uganga wangu ni wahatari sana ukiona nafanya kazi nawew basi jua nmeamua kufanya kazi punguza dharau ongea vinavyostaki tuamini tukuamini tufanye jambo
DR MBONDE TUPO MKURANGA KARIBU SANA UNASHIDA AU CHANGAMOTO YOYOTE TUPIGIE UFIKE PIA TUKO NAHUDUMA YA UCHUNGUZI KUJUA KINACHOKUSUMBUA TSH ELF 5 POPOTE ULIPO UNATUMA MAJINA YAKO 3 NA 1 LAMAMA DK 15 UNAPEWA MAJIBU PIA TUNAFANYA DUA KILA SIKU POPOTE PALE ULIPO NJOO UTUELEZE CHANGAMOTO YAKO TUIFANYIE KAZI


CALL/WHATSAPP
+255629838459
CALL ONLY
+255765174801
+255719853951

30/01/2024


Kila unachokipanga kwako hakiendi kila unaloanzisha linakufa chochote unachofanya ugumu kupata kwako ni kwa mitihani na misukosuko ufanyi jambo likafanikiwa
Ukienda kwa wataalam (waganga) wanakuangalia wanasema WEWE unaasili ndio inakusumbua fanya hivi ili uweze kupona ukifanya hivyo bado mambo yako vile vile huna mizimu huna asili bado mambo magumu unajua tatizo liko wapi wenzio wanapata hela wew hupati na ushahangaika mpaka umekata tamaa unahisi mungu akuoni tatizo ni hili tena sheitwani huyu yuko ndani ya mwili wako tena mkali na ananguvu za hatari ukienda mahali utaambiwa unachale utafutwa bado tatizo uko nalo na hela hupati sasa tatizo huyu sheitwani na huyu yuko ndani ya mwili wako ndio anaezuia kila jambo lako kila kitu chako ili uweze kupona mpaka atolewe kwani maiblisi ving'ang'anizi mno ndiomama ili uweze kupona sio dua tu na Quran atoke huyu tayari anamuuuli wa moto tayari kashakubali kuungua moto sasa haina budi kumpiga moto ili aweze kuhama hapa sasa ndio unahitajika uganga ukae utunge sheria ufanye jambo
Huyu jini huwa hapandi mara nyingi ila akifatwa kwenye njia zake huwa anapanda au kuhama moja kwa moja kipindi zoezi linafanyika kunavitu vitajitokeza hapo hapo
Wengine huwa wanapanda direct na kusema hatutoki sasa usioneee huruma chamsingi mpindue huwa wanakaa vichwa chini ndiomama husema sitoki akipinduka mpe chuma hapo hapo ataondoka na kumuacha akiwa salama baada ya hapo unatakiwa upewe kivuli cha kukuficha usionekane na jini wala mchawi usionekane alafu mengine yafuatwe hii njia imewaponya wengi na ni mujjarab sana
Njooo ofisin wew unaehangaika huponi njooo upone sasa ni wew na muda wako njoo tumalize hilo tatizo mara moja uendelee na shughuri zako k**a ulikuwa muhanga wa haya ;
Kazi hupati ndani ya mwez 1 we mzima kila kitu kinaenda kazi utapata na kila kitu kitaenda sawa
Kila ukiwa na mtu unaachwaa hiyo ulioachwa ndio yamwisho zinazofuata baada ya kazi ni matunda
Biashara kwako zinakuf baada ya kazi fungua uje unambie
Na lolote lile ambalo kwako ni tatizo linakuja kwisha katika mfumo huo ni hatari chochote kile kitahangamia
Wako Dr Mbonde Njoo tufanye kazi ujionee mwenyewe tupo Mkuranga karibu nawe
Huduma zaidi tupigie kwa msaada wa haraka vile vile huduma ya kuchekiwa kujuaaa kinachokusumbua elfu tano inapatikan pia tuko na kinga nzuri za moto mivuto mikubwa na vizuri vingi karibu sana

Call/WhatsApp
+255629838459
Call only
+255765174801
+255719853951

Address

Drmbonde8@gmail. Com
Mkuranga

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Herbalist Dr Mbonde posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Herbalist Dr Mbonde:

Share