Afya ni Bora

Afya ni Bora FULL BODY CHEK UP vipimo vya Mwili mzima bure, kumuona Daktari bure, ushauri bure
utafungua file20tu

Hii nimeweka special kwa wanawake wanaochanganya UTI na Fungus/PID/ bacterial vaginosis(kutokwa uchafu unaonuka)unakuta ...
29/12/2023

Hii nimeweka special kwa wanawake wanaochanganya UTI na Fungus/PID/ bacterial vaginosis(kutokwa uchafu unaonuka)

unakuta mtu anakwambia Dr natoka Sana uchafu unajaa kwenye Chupi, nimeaambiwa Ni UTI, nimetumia sana madawa haiponi, unabaki HUELEWI

๐Ÿ“ŒMwanamke ana Vishimo viwili,cha juu ni NJIA ya mkojo,hapa mkojo Tu Hupita,na shimo la Chini ni VA**NA,UKE wenyewe hapa uume hupita,mtoto hupita wakati wa kuzaliwa lakin pia mwanamke akiwa period, damu Hupita Hapo..

UTI inahusiana na Njia ya JUU tu,yaan njia ya mkojo,na dalili zake ni kuumia wakati wa kukojoa, kukojoa mara kwa mara mkojo kidogo,kutoa mkojo wenye harufu kali sana

kutoka Uchafu unaonuka sana, kuwashwa Ukeni kwa ndani,maumivu wakati wa s*x, chanzo ni NJIA hiyo ya chini, Vagina...inaweza kuwa Vaginal candidiasis yaan fungus,PID,au hata vaginosis, ila SIO UTI๐Ÿ“Œ..

In Shortly Uke umeganyika katika Sehemu kuu mbili nazo ni:-
1.UKE (VA**NA)/ njia ya Uzazi.
Uke ni ile sehemu (tundu) inayopitisha mtoto wakati wa kuzaliwa,pia ndiyo sehemu ambayo uume huingia wakati wa kujamiiana. Kwa maana rahisi kabisa, uke ni sehemu ya ndani inayotengeneza sehemu za siri za mwanamke, rejea kidole kwenye picha

2.VULVA
V***a ni sehemu ya nje ya uke ambayo ndiyo hugusana na nguo za ndani anazovaa mwanamke. Hii inahusisha mashavu makubwa ya nje ya uke, mashavu madogo ya ndani ya uke, tundu la mkojo pamoja na sehemu zote zilizo nje (isipokuwa tundu lenyewe la uke).

Sehemu ya haja kubwa japo siyo mojawapo ya sehemu zinazounda mfumo wa uzazi wa mwanamke tunaweza kuikaribisha pia kuwa sehemu ya v***a kwa kuwa matatizo yoyote yanayohusisha v***a huathiri pia sehemu ya haja kubwa.

K**a umejifunza usiache kumtag rafiki yako tujifunze pamoja.

Pia k**a una changamoto yoyote ya Uzazi? Tuambie, tunaweza kuwa sehemu ya suluhisho kwako!

Leo nimetoa upendeleo wa kipekee Niko Online DM/ Inbox Najibu messange zote una changamoto yoyote ya UZAZI nitumie Ujumbe DM/ inbox au Whatsapp no:+255762628556

SABABU 3 ZA TUMBO KUSHINDWA KURUDI BAADA YA KUJIFUNGUA Anaandika ๐ŸฅผLeo wacha niwapumzishe na masomo yaa PID ๐Ÿ˜‚ nigusie kid...
13/11/2023

SABABU 3 ZA TUMBO KUSHINDWA KURUDI BAADA YA KUJIFUNGUA Anaandika ๐ŸฅผLeo wacha niwapumzishe na masomo yaa PID ๐Ÿ˜‚ nigusie kidogo hili swala la Wakinamama wengi baada ya kujifungua huwa tumbo linashimdwa kurudi katika Hali yake ya kawaida. Kwa mantic hio Sasa nimekuwa nikipokea hi case kutoka kwa wateja wangu baada ya kuniletea vijomba vyangu kwamba baada ya kujifungua tumbo Linakuwa kubwa na linatepeta na wengine kugawanyika (Abdominal Separation) . NAKUPA SABABU 3 KUBWA ZA KWANINI INAKUWA IVO ๐ŸŒฑSababu kubwa inayopeleka tumbo kutokurudi katika Hali ya kawaida na kuwa Flat ni Kutanuka na kulegea kwa misuli ya Tumbo na Ongezeko la Mafuta tumboni kwa Kasi sana. ๐ŸŒฑTumbo likiwa na mafuta mengi yaani Belly Fatas na misuli inapolegea husababisha kitambi kuongezeka. ๐ŸŒฑHata hivo kwa experience yangu nawakumbusha wakinamama waliojifungua wanashauriwa pia kuwa na Juhudi ya kunyonyesha mtoto kwasabababu Kuna uhusiano wa Moja kwa moja Kati ya kunyonyesha na mafuta kuchomwa kwa Kasi Tumboni. ๐ŸฅผSasa wapendwa wangu ili kukata kitambi na kurudisha tumbo katika Hali yake ya kawaida NIMEKUANDALIA PACKAGE special ya Virutubisho ambavyo vinaondoa mafuta tumboni na kukaza misuli ya Tumbo. ๐Ÿฅผ Package hii hata mama anayenyonyesha anatumia bila madhara yoyote kiafya na inakata kitambi kwa urahisi Sana. ๐ŸฅผIli kupata package hii nipigie tuongee nikushauri vizur zaidi ndg ikibidi nikupe suluhuhisho sahihi la Tatizo lako Call me/whtsap โ˜Ž๏ธ๐Ÿ“ž+255762628556

UFAHAMU UGONJWA WA U.T.I, DALILI NA NJISI YA KUEPUKA U.T.I SUGU.        ๐Ÿ–Š๏ธ  U.T.I     (Urinary Tract Infection)Ni ugonjw...
07/11/2023

UFAHAMU UGONJWA WA U.T.I, DALILI NA NJISI YA KUEPUKA U.T.I SUGU.
๐Ÿ–Š๏ธ U.T.I
(Urinary Tract Infection)
Ni ugonjwa wa maambukizi katika mfumo wa mkojo na maambukizi haya husababishwa na viumbe K**a bacteria, fangasi na virus
U.TI unaweza athiri uredhra,kibofu Cha mkojo na figo

๐Ÿ–Š๏ธMara nyingi U.T.I zinasababishwa na bacteria aitwaye Escherchia Coli(E.Coli) Chlamydia na Mycoplasma na U.T.I hizi zina athiri Hadi mfumo wa Uzazi na wanandoa wanapaswa kupata tiba pamoja

๐Ÿ–Š๏ธ Wanawake ni wahanga wakubwa Sana wa ugonjwa huu kulingana na maumbile yao ya nje

WATU WALIO KATIKA HATARI YA KUPATA U.T.I
๐Ÿ“ŒWatu wenye vidonda kwenye uti wa mgongo
๐Ÿ“ŒMtu yeyote Mwenye tatizo katika mfumo wa mkojo
๐Ÿ“ŒTendo la ndoa linaweza kuhamisha bacteria kutoka kwenye uke kwenda urethra
๐Ÿ“ŒBaadhi ya njia za Uzazi wa K**a kutumia Diaphragm,Spermicides na kondomu

Zifuatazo ndizo dalili za U.T.I

๐Ÿ”จ Kukojoa mala kwa mala na maumivu wakati wa Kukojoa
๐Ÿ”จ Kuhisi kuungua na mkojo kwenye kibofu au mirija ya mkojo
๐Ÿ”จ Maumivu ya misuri ya tumbo
๐Ÿ”จMkojo kuwa na harufu mbaya na pia kubadilika rangi kuwa nyeusi au rangi ya mawingu
๐Ÿ”จ Kushikwa na hamu ya Kukojoa lakini mkojo unatoka kidogo

Nimeelezea kwa upana zaidi natumain umeelewa vya kutosha naimani Kuna wenye changamoto ya ugonjwa huu hata ugonjwa umekuwa sugu suruhisho lako ninalo.

Tunao Madaktari Bigwa.    Tunatoa suruhuhisho la maradhi sugu aina zote ikiwemo   *Mfumo wa mishipa ya damu na Ubongo *M...
27/10/2023

Tunao Madaktari Bigwa.
Tunatoa suruhuhisho la maradhi sugu aina zote ikiwemo
*Mfumo wa mishipa ya damu na Ubongo
*Mfumo wa maradhi ya mifupa
*Mfumo wa mmeng'enyo na usagaji chakula
* Mfumo wa Uzazi kwa wanaume na wanawake
*Afya ya ngozi na maradhi ya ngozi
* Mfumo wa ufahamu
* Jicho na maradhi ya macho
* Mfumo wa upumuaji
* Kisukari
* Presha
* Kansa
* Tezi dume
* Meno
* Moyo
* Sikio
* Ugonjwa wa kutetemeka
* Fangasi
* UTI sugu
* PID sugu
* Badama
Na magonjwa mengine yote

๐Ÿ‘‰ Tunapima vipimo Mwili mzima (FULL BODY CHEK UP) buree
๐Ÿ‘‰ Tunatoa ushauri buree
๐Ÿ‘‰ Tunamsaidia mgonjwa kuonana Daktari buree
Utafungua file kwa Elfu 20,000 tu

HEARTH, WEALTHE, PEACE & LOVE

Maliza changamoto ya gesi tumboni kwa kunywa maji ya Moto Kila siku ahsubuhi na epuka kutumia maji ya kunywa wakati unak...
23/10/2023

Maliza changamoto ya gesi tumboni kwa kunywa maji ya Moto Kila siku ahsubuhi na epuka kutumia maji ya kunywa wakati unakula chakula unaongeza gesi kunywa maji nusu saa baada kula tatizo la gesi litaisha.

K**a Bado unaendelea kupata maumivu ya gesi karibu upate huduma ya vipimo vya Mwili mzima (Full body check up)bure

Kumuona Daktari bureee
Kupata ushauri bureee
Tunapima na kutibu magonjwa yote kwa gharama nafuu

Utaripia Elfu 20000 tu kwaajili ya file ya ripoti yako

Wasiliana nasi +255762628556
WhatsApp +255762628556

Je unadalili hizi?1.Miwasho sehemu za Siri2.Uchafu usio wa kawaida3.Harufu kali kwenye Kizazi4.Maumivu makali ya Hedhi5....
14/10/2023

Je unadalili hizi?
1.Miwasho sehemu za Siri
2.Uchafu usio wa kawaida
3.Harufu kali kwenye Kizazi
4.Maumivu makali ya Hedhi
5.Hedhi yako Haieleweki
6.Kukosa Hamu ya Tendo
7.Ukavu kwenye kizazi
8.Maumivu Makali wakati wa tendo La Ndoa
9.Kutokwa Damu Wakati wa Tendo la Ndoa

โ˜žTupigie Au chati nasi WhatsApp kwa Ushauri na Matibabu sahihi kupitia Simu Nambari
+255762628556

AFYA NI BORA
"Tunajali na Kuthamini Afya yako"

zaria_fertilitycare KIPANDIKIZI/ kijiti cha plastiki chenye ukumbwa unaofanana na njiti ya kiberiti, huwekwa chini ya ng...
12/10/2023

zaria_fertilitycare KIPANDIKIZI/ kijiti cha plastiki chenye ukumbwa unaofanana na njiti ya kiberiti, huwekwa chini ya ngozi ya mkono.

Hutoa kidogo kidogo kwa muda mrefu homoni aina ya projestini , ambayo hufanya kazi zifuatazo.

1. Kuzuia yai kutolewa kwenye mfuko wa mayai.
2. Kutengeza ute mzito k**a k**asi kwenye shingo ya kizazi na kuzuia mbegu ya mwanaume kuingia kwenye kizazi.
3. Kufanya ukuta wa mji wa mimba kuwa mwembamba hivyo usiweze kubeba mimba.

FAIDA YA NJIA HII

Kipandikizi ni njia ya muda mrefu ya uzazi wa mpango, ambayo ina faida zifuatazo;.

1. Kinaweza kuondolewa muda wowote na kumfanya mwanamke kubeba mimba baada ya muda mfupi.

2. Mwanamke anaweza kuendelea kushiriki tendo la ndoa.

3. Hakina homoni ya estrojeni.

TAHADHALI KABLA YA KUTUMIA, WATU HAWA HAWARUHUSIWI KUTUMIA

Hata hivyo , njia hii haifai kutumika kwa baadhi ya wanawake , hivyo ni muhimu kuwaona wataalamu wa afya kabla hujaanza kutumia njia hii ya uzazi wa mpango.

Wanawake wafuatao hawashauriwi kutumia njia hii ya uzazi wa mpango;

1. K**a una aleji (allergy) na homoni au kifaa kinachounda kipandikizi.
2. K**a una tatizo la damu kuganda, kiharusi au ugonjwa wa moyo.
3. Kuna una saratani ya matiti au ulishawahi kupata saratani ya matiti.
4. K**a una saratani ya ini au ugonjwa wa ini.
5. K**a huwa na tatizo la kutokwa na damu ukeni.

MAUDHI YATOKANAYO NA KUTUMIA KIPANDIKIZI (SIDE EFFECTS)

1. Muamivu ya mgongo au tumbo,
2. Hatari ya kupata viuvimbe kwenye mfuko wa mayai.
3. Mabadiliko ya hedhi ikiwemo kukosa kabisa hedhi.
4. Kukosa hamu ya kujamiiana.
5. Maumivu ya kichwa na kizunguzungu.
6. Mabadiliko ya kitabia.
7. Kichefu chefu.
8. Uke kuwa mkavu.
9. Kuongezeka uzito.

Kipandikizi huondolewa baada ya miaka mitatu (3), ni lazima uondoe na kuweka kijiti kingine k**a utahitaji kuendelea na njia hii ya uzazi wa mpango.

Daktari anaweza kukushauri kuondoa kipandikizi mapema zaidi k**a utapata moja ya shida zifuatazo.
1. Maumivu makali sana ya kichwa.
2. Ugonjwa wa moyo na kiharusi.
3. Shinikizo la juu la damu.
4. Ugonjwa wa manjano.
-

Umejifunza kitu, Save post hii Itakusaidia kwa Matumizi ya Baadae,
0762628556 Whatsapp/Call

12/10/2023
*BAWASIRI NI NINI*Bawasiri ni hali ya kuvimba kwa mishipa ya damu inayozunguka eneo la mkundu. Hali hii husababisha uvim...
05/10/2023

*BAWASIRI NI NINI*
Bawasiri ni hali ya kuvimba kwa mishipa ya damu inayozunguka eneo la mkundu. Hali hii husababisha uvimbe wa tishu na maumivu wakati wa kujisaidia choo au baada ya kujisaidia choo.

*AINA KUU ZA BAWASIRI*
(A)Bawasiri ya Nje
(B)Bawasiri ya Ndani

*Uainishaji wa Bawasiri ya Ndani.*
1.Daraja la kwanza:Bawasiri haizidi kuongezeka.
2.Daraja la pili: Bawasiri huongezeka baada ya haja kubwa lakini hupungua yenyewe.
3.Daraja la tatu: Bawasiri huongezeka wakati wa haja kubwa, na hurudi kwa Ndani lakini lazima iwe kwa mkono.
4.Daraja la Nne: Bawasiri zimeongezeka na haziwezi kurudishwa kwa mikono na zinaendelea kuathiri zaidi.

*Bawasiri inaweza kusababishwa na sababu kadhaa, ikiwa ni pamoja na:*
1. Kupata Choo kigumu
2. Kuharisha au kuvimbiwa
3. Kukosa mazoezi
4. Unene kupita kiasi
5. Ujauzito
6. Kukohoa au kupiga chafya kwa nguvu
7.Kunyenyua vitu vizito
8. Kunywa pombe au sigara

*Dalili za bawasiri ni pamoja na:*
1. Maumivu wakati wa kujisaidia choo
2. Kuwasha au kuuma eneo la mkundu
3. Uvimbe au uvimbe katika eneo la mkundu
4. Kutokwa na damu baada ya kujisaidia choo

*Madhara ya bawasiri yanaweza kujumuisha:*
1. Maumivu na usumbufu
2. Uvujaji wa damu
3. Maambukizi ya eneo la Haja Kubwa
4. Kupungukiwa Damu

# *Ikiwa una dalili za bawasiri, unapaswa kuwasiliana Nasi kupata ushauri wa matibabu Bora kutoka kwa Daktari wetu ili kupata matibabu sahihi na kuepuka madhara zaidi.*
โ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌโ–ฌJames Obedi
"Tunajali na Kuthamini Afya yako"
WhatsApp number 0762628556

03/10/2023

Jipatie Vipimo vya Mwili Mzima ni bure..
โœ“kumuona daktari bure
โœ“ushauri bure
โœ“vipimo bure
โœ“hakuna kupanga foleni
โœ“utatibiwa chanzo cha tatizo lako either kwa njia ya lishe au tiba

Utafungua file Elfu 20 tu

Je, unataka kujua hali ya afya yako kwa undani? Hapa ndipo penyewe!

Tunatoa vipimo vya mwili mzima bure.
Huduma zetu ni za hali ya juu na zinajumuisha uchunguzi kamili wa afya yako na utajipatia tiba sahihi kwa tatizo ulilo nalo. Utajipatia tiba ya chanzo cha tatizo lako na utapona .

**Huduma Zinazojumuishwa:**
- Uchunguzi wa maswala ya uzazi
- Vipimo vya shinikizo la damu
- Kipimo cha uzito na urefu
- uchunguzi wa mifupa na joints
-maumivu na ganzi kwenye miguu na mikono
- uchunguzi wa vidonda vya tumbo
- uchunguzi wa tatizo la sukari (diabetic) na tiba ya uhakika
- Uchambuzi wa matokeo na ushauri wa kitaalam

Fahamu zaidi kuhusu mwili wako. Huduma hii ya kipekee ni kwa muda wa kikomo, hivyo tuchukue fursa sasa!

Kuweka miadi ili usikae kwenye foleni , wasiliana nasi kwa simu:
WhatsApp namba 0762628556

๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜ ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—” ๐—จ๐—–๐—›๐—”๐—™๐—จ ๐—จ๐—ž๐—˜๐—ก๐—œโ†˜๏ธCytolytic Vaginosis Ni Nini? Mwanamke Kutoka Uchafu Mweupe Ukeni Ni Tatizo Gani?...
24/09/2023

๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐— ๐—ช๐—”๐—ก๐—”๐— ๐—ž๐—˜ ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—” ๐—จ๐—–๐—›๐—”๐—™๐—จ ๐—จ๐—ž๐—˜๐—ก๐—œ

โ†˜๏ธCytolytic Vaginosis Ni Nini? Mwanamke Kutoka Uchafu Mweupe Ukeni Ni Tatizo Gani?Kutoka uchafu ukeni ni moja ya matatizo yanayowasumbua sana wanawake. Uchafu huu unaweza kutoka kwa sababu nyingi, sababu zinazoonekana zaidi zikiwa ni yeast, trichomoniasis na bacterial vaginosis. Katika mada yetu ya leo tutalijadili moja la matatizo haya ambalo linasababisha mwanamke kutokwa uchafu mweupe unaoambatana na miwasho sehemu za siri ambalo kiutaalamu huitwa cytolytic vaginosis..

โ†˜๏ธKimaumbile uke wa mwanamke ulio katika hali yake nzuri una aina nyingi sana za bakteria na idadi ndogo ya fungus wanaoishi ndani yake. Katika viumbe hawa wadogo wapo ambao ni rafiki na wengine ni wabaya kwa afya ya mwanamke. Bakteria rafiki hufanya kazi ya kuwadhibiti wale wabaya. Bakteria mmoja anayejulikana sana ni lactobacillus acidophilus ambaye anafanya kazi ya kuwaweka viumbe wengine pamoja na fungus kwenye idadi inayotakikana.


โ†˜๏ธ Cytolytic Vaginosis Husababishwa Na Nini?

Mwanasayansi Doderlein ndiye aliyegundua kuwa kiumbe ambaye anapatikana kwa wingi zaidi katika uke wa mwanamke wa umri wa kuzaa ni bakteria aitwaye lactobacillus acidophilus. Aligundua kuwa uwepo wa bakteria huyu pamoja na oestrogen ni muhimu katika kuuweka uke wa mwanamke kwenye kiwango kinachotakiwa cha pH 4.0-4.5. Lactobacilli hutengeneza tindikali (lactic acid) kutokana na glucose na kuuweka uke katika hali ya utindikali. Baada ya balehe, kwa kuwezeshwa na uwepo wa oestrogen, glycogen hutunzwa kwenye seli za ngozi laini inayotanda kuuzunguka uke, ambayo huvunjwavunjwa na seli za epithelial za uke na kuwa glucose. Lactobacilli huigeuza glucose hii kuwa lactic acid.

Baadhi ya aina za lactobacilli hutengeneza hydrogen peroxide (H2O2) ambayo ni antiseptiki (inaua baadhi ya viumbe wadogo waharibifu). Hydrogen peroxide inaweza kuzuia ukuaji wa baadhi ya wadudu wadogo k**a E. coli, aina za Candida albicans, Gardnerella vaginalis 0762628556

24/09/2023

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—จ๐—ง๐—”๐—ž๐—”๐—ฌ๐—ข ๐—ฌ๐—”๐—ฃ๐—”๐—ง๐—” ๐—ž๐—จ๐—ง๐—ข๐—ž๐—”๐—ก๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—š๐—ข๐—ก๐—๐—ช๐—” ๐—ช๐—” ๐—จ๐—ฅ๐—˜๐—ง๐—›๐—ฅ๐—”๐—Ÿ ๐—ฆ๐—ง๐—ฅ๐—œ๐—–๐—ง๐—จ๐—ฅ๐—˜

โ†˜๏ธ Mrija wa mkojo (urethra) ni kiungo muhimu kinachotoa mkojo nje ya mwili kutoka kwenye kibofu. Mrija huu unaposinyaa au kuziba hufanya utokaji wa mkojo kuwa wa mashaka na maumivu makubwa. Kusinyaa/ Kuziba kwa mrija wa mkojo huitwa pia urethral stricture.

โ†˜๏ธ Visababishi na vihatarishi vya tatizo hili
Kusinyaa kwa mrija wa mkojo husababishwa na kovu linalotokea katika sehemu ya mrija baada ya mtu kuumia, kufanyiwa upasuaji au kupona magonjwa ya zinaa. Inaweza pia kusababishwa na uvimbe karibu na eneo la kinena unaokandamiza mrija.

Vihatarishi vya tatizo hili ni pamoja na

๐Ÿ‘‰ Kuwa na historia ya kuugua magonjwa ya zinaa
๐Ÿ‘‰ kuwahi kuwekewa mipira ya mkojo au vifaa vya namna hiyo (catheter au cystoscope)
๐Ÿ‘‰ Kuvimba tezi dume (BPH) kwa wanaume
kuwa na historia ya kuumia au kupata majeraha maeneo ya kinena. Hii hutokea sana kwa wale wanaopata ajali wakiendesha baiskeli
๐Ÿ‘‰ Kupata maambukizi ya mara kwa mara ya mrija wa mkojo (urethritis)

Ni nadra sana kwa tatizo hili kutokea kwa wanawake. Aidha ni nadra pia kwa mtoto kuzaliwa akiwa na tatizo hili (congenital urethral stricture).

โ†˜๏ธDalili
Mtu mwenye tatizo hili anaweza kuwa na dalili zifuatazo,

๐Ÿ‘‰ Kutoa shahawa zilizochanganyika na damu
๐Ÿ‘‰ Kukojoa mkojo mweusi au uliochanganyika na damu
๐Ÿ‘‰ Kupungua kwa kiasi cha mkojo kinachotolewa
๐Ÿ‘‰ Kukojoa kwa shida
๐Ÿ‘‰kutoa uchafu katika mrija wa mkojo
๐Ÿ‘‰kukojoa mara kwa mara
๐Ÿ‘‰Kushindwa kumaliza mkojo wote
๐Ÿ‘‰Kushindwa kuhimili kutoka kwa mkojo (mkojo kujitokea wenyewe/kujikojolea)
๐Ÿ‘‰Maumivu wakati wa kukojoa
๐Ÿ‘‰Maumivu chini ya tumbo
๐Ÿ‘‰Maumivu ya kinena
๐Ÿ‘‰Mtiririko dhaifu wa mkojo (hutokea taratibu au ghafla)
๐Ÿ‘‰Mkojo kutawanyika ovyo wakati wa kukojoa
๐Ÿ‘‰Kuvimba uume

โ†˜๏ธ Uchunguzi

Daktari atakufanyia uchunguzi wa mwili na namna unavyokojoa. Uchunguzi wa mwili unaweza kuonesha:

๐Ÿ‘‰ Kupungua kwa mkondo wa mkojo
๐Ÿ‘‰ Uchafu kutoka katika mrija wa mkojo 0762628556

Sababu za PIDโœจ kuto safishwa vzuri pindi mimba inavyotoka ( Miscarriage), au pindi unavyokua umetoa mimba ( post Abortio...
22/09/2023

Sababu za PID

โœจ kuto safishwa vzuri pindi mimba inavyotoka ( Miscarriage), au pindi unavyokua umetoa mimba ( post Abortion)
โœจNgono zembe
โœจkutumia vidole wakati unasafisha Uke (Excess Vaginal Douching),, au pindi unafanya tendo la ndoa
โœจkuwa na wapenzi wengi
โœจMagonjwa ya zinaa
โœจ Kutumia vipandikizi vya Ndani ya Mfuko wa uzazi

DALILI ZA PID

โœจmaumivu ya mgongo
โœจmaumivu chini ya kitovu
โœจuchafu sehemu za siri wenye harufu kali
โœจmaumivu wakati wa kukojoa
โœจkutokwa Damu wakati wa Tendo la Ndoa
โœจ homa kali

MADHARA YA PID

โœจ Kutoshika ujauzito
โœจ Mimba kuharibika
โœจkukosa hamu ya tendo la Ndoa
โœจ kuziba kwa mirija ya uzazi
โœจ saratani ( cancer) ya shingo ya kizazi
โœจ kuvurugika kwa mfumo wa hormoni

UCHAFU WA PID
โœจ Unaharufu kali sana
โœจ Uchafu unakua na rangi ya njano
โœจTatizo likiwa Sugu rangi ubadalika kutoka kwenye njano nakua kijani

UCHAFU WA FUNGUS
โœจ Hauna harufu
โœจ Uchafu mweupe k**a maziwa Mtindi

Call/ whatapp 0762628556
ISHIUTAKAVYOAFYA

Address

Mlandizi

Telephone

+255762628556

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya ni Bora posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya ni Bora:

Share