Salome Heath care

Salome Heath care HS (Hussen Sewando)health care. Cosmetics and medicine . Tunajihusisha na dawa asilia na vipodozi.

Tunapatikana Morogoro mjini
Mtaa wa saba saba mkabala na ofisi za Fire, ,
:Kwa mawasiliano zaidi wasiliana nasi kwa no; 0678414941...

04/12/2024

Karibuni niwahudumie

Je ww ni muhanga wa chunusi na umehangaika bila mafanikio njoo nikuhudumie kwa bidhaa bora na za uhakika
13/09/2024

Je ww ni muhanga wa chunusi na umehangaika bila mafanikio njoo nikuhudumie kwa bidhaa bora na za uhakika

Je wewe ni mgeni kwenye mambo ya skincare na hujui uanze wapi? I got you!!!Kitu muhimu kabisa unachotakiwa kujua ni aina...
27/08/2024

Je wewe ni mgeni kwenye mambo ya skincare na hujui uanze wapi? I got you!!!

Kitu muhimu kabisa unachotakiwa kujua ni aina ya ngozi yako, k**a wewe ni oily skin, au dry skin, au sensitive etc. Ukishajua aina ya ngozi
Yako inakua rahisi kupata products sahihi kutokana na ngozi yako na skin concern yako.

Basic steps kwenye skincare ni
1.Cleanser
2.Moisturizer
3.Sunscreen.

Cleanser ni kwa ajili ya kuoshea uso, ukishaosha uso wako vizuri utaendelea na next step ambayo ni moisturizer, kisha baada ya moisturizer utapaka sunscreen k**a last step na most important step.

NOTE:Kama unafanya routine na haupaki suncreen bado unacheza my dear!!!

NB: Sunscreen ni mchana tu usipake usiku.

Don’t forget your night routine!!! Usiku ngozi inakua imetulia kwasababu hauna mahangaiko, hivyo products zitafanya kazi vizuri.

I hope hii itasaidia wale wanaotaka kuanza na hawajui wapi waanzie wapi.

Whatsap / Call
+255 678414941

SIMPLE  MOISTURIZER Best Brand From Uk🇬🇧 ✅inalainisha ngozi ya usoni. ✅inakupa rangi nzuri bila kuchubua. ✅ Simple faida...
23/08/2024

SIMPLE MOISTURIZER

Best Brand From Uk🇬🇧

✅inalainisha ngozi ya usoni. ✅inakupa rangi nzuri bila kuchubua.
✅ Simple faida yake nyingine kwenye uso ni kukukinga na athari zitokanazo na mazingira ( jua na upepo mkali).
✅ina moisterize ngozi ya uso, una glow. ✅ngozi ina kuwa clear kabisa soft. ✅inatoa takataka nyingi usoni. ✅alama na madoa usoni.
✅ngozi inakuwa na nuru.
✅inavitamin E nyingi ambayo ni muhimu sana kwa ngozi.
✅for all skin types(Sensitive, Oil, Dry, Normal and Combination skin)

Whatsap / Call +255 678414941

SIMPLE  MOISTURIZER Best Brand From Uk🇬🇧 ✅inalainisha ngozi ya usoni. ✅inakupa rangi nzuri bila kuchubua. ✅ Simple faida...
23/08/2024

SIMPLE MOISTURIZER

Best Brand From Uk🇬🇧

✅inalainisha ngozi ya usoni. ✅inakupa rangi nzuri bila kuchubua.
✅ Simple faida yake nyingine kwenye uso ni kukukinga na athari zitokanazo na mazingira ( jua na upepo mkali).
✅ina moisterize ngozi ya uso, una glow. ✅ngozi ina kuwa clear kabisa soft. ✅inatoa takataka nyingi usoni. ✅alama na madoa usoni.
✅ngozi inakuwa na nuru.
✅inavitamin E nyingi ambayo ni muhimu sana kwa ngozi.
✅for all skin types(Sensitive, Oil, Dry, Normal and Combination skin

Whatsap / Call +255 678414941

11/08/2024

Address

Morogoro

Opening Hours

Monday 09:00 - 20:00
Tuesday 09:00 - 20:00
Wednesday 09:00 - 20:00
Thursday 09:00 - 20:00
Friday 09:00 - 20:00
Saturday 09:00 - 20:00
Sunday 15:00 - 20:00

Telephone

+255678414941

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Salome Heath care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Salome Heath care:

Share