LINDA AFYA yako ,utajiri WAKO

LINDA AFYA yako ,utajiri WAKO Afya ni kitu muhimu na Cha kuzingatia Sana kukilinda kwa sababu kila kitu ili kiweze kufanikiwa lazma Afya njema iwepo. Linda Afya yako itakulinda

*KARIBUNI wadau tuangalie kwa ufupi jambo hili.*   UTOKAJI WA MAJIMAJI UKENI  👉Tezi zilizo ukeni hutengeneza maji maji. ...
28/03/2021

*KARIBUNI wadau tuangalie kwa ufupi jambo hili.* UTOKAJI WA MAJIMAJI UKENI 👉Tezi zilizo ukeni hutengeneza maji maji. Majimaji haya hutiririka kila siku na kutoka nje ya mwili. Majimaji toka ukeni huchukua seli zilizokufa na bacteria na kuzitoa nje ya mwili kila siku. Hii ni njia mojawapo ya kusafisha na kutunza via vyako vya uzazi kila siku. Yanaweza kuwa maji maji yasiyo na rangi au yenye rangi ya maziwa lakini yasiyo na harufu yoyote. Kiwango na rangi ya maji maji yatokayo ukeni hutofautiana kulingana na mzunguko wako wa kila mwezi.👉Ukiwa na hisia za kufanya mapenzi maji maji mazito hivi hutoka. Lakini pia 👉wakati unanyonyesha na wakati wa hedhi kiwango na rangi huweza kuwa tofauti. 👉HITIMISHO Mwanamke yeyote endapo atatoka majimaji ukeni ambayo hayana harufu wala muwasho, hilo siyo tatizo na maambukizi, ni mabadiliko tu ya mwili.ILA K**a utokaji huo huambatana na muwasho na dalili zingine ni vyema kutafuta matibabu haraka.

zungumza nasi

CHANZO CHA KIPANDAUSOKuuma na kichwa kumengawanyika sehem nyingi sana japo kua 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ...
28/03/2021

CHANZO CHA KIPANDAUSO

Kuuma na kichwa kumengawanyika sehem nyingi sana japo kua 1% yake ni ashirio la matatizo ya kiafya ambayo yame advance. K**a vile concusion of brain , stroke, meningitis na encephalitis. Kuumwa na kichwa inawezatok na matatizo ya taya, Meno au vyakula vyenye nitrite au monosodium glutamate
👉sehemu ambazo huuma nik**a ifuatavyo
1.mfumu wa fahamu ambao upo kwenye fuvu La kichwa
2.baazi ya neva za fahamu zilozoko uso misuri yakichwani
Misuli inayopatikana kwenye fuvu la kichwa Chini ya ubongo Kuna mifumo ya fahamu yenye hisia. Kumbuka fuvu na tishu za ubongo zenyewe kwani haziumi hazina mifumo ya fahamu yenye hisia
👉mambo Haya 12 nayo yanausika sana
1. Nervous headaches
Nimaumivu ya kichwa endelevu ya upande mmoja au pande zote za misuri ya shingo na upende wa Juu ya mgongo , kuuma na kichwa pamoja nakusinzia. Tumia vitamin B na C au acha matumizi ya sukari, Kahana na vyakula chenye kusababisha mzio , misongo ya mawazo nakufanya mazoezi yakutosha
2 cluster headaches
Kichwa kuuma haswa upande mmoja wa kichwa na maumivu makali, machozi kumtoka mtu na makamsi kwa mbali. Kitu cha kwanza kutumia chakula chenye protein, epuka chakula chenye mzio kwako
3. Hangover headaches
Hii ni Hali ya kichwa kuuma kwasababu yamatumizi makubwa ya pombe. Kunywa maji mengi, weka barafu Chini ya kichwa yan shingon na juice fresh na aache pombe
4. Exrtesion headaches
Utokea pale mwili unapo tumika sana hasa kwenye ngono. Kula mlo kamili na usifanye mazoezi na kunywa maji mengi
5.caffein headaches
Hii inatokea pale unapo acha kwa ghafla matumizi ya kahawa, Anza kuacha kidogo kidogo mpaka unaacha kabisa
6. Sinus headaches
Nimaumivu Haya uanzia upande wa kulia na kushoto wa pua nakupenda mpaka kichwani.kula chakula chenye protein au carbohydrates
9.eyes ram headaches
Haya Nimaumivu yakwenye macho japo wengi wanazani nikuangalia vitu vyeupe kwenye giza. Kunywa maji mengi, matunda nakumuana mtaalam
10. Menstrual headaches

Hii inatokea hasa kwakina mama kipindi cha yai kupevuka welio wengi wanapitiliza siku tano kwakubleed tu au sababu ya vichocheo vya mwili. Nivyema kumuona mtaalam zaid
11. Arthritis headaches
Haya Nimaumivu ya kichwa y

HII NDIYO JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO.                          WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU YAKO YA HATARI YA KU...
27/03/2021

HII NDIYO JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO. WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU YAKO YA HATARI YA KUPATA MIMBA

Siku za hatari za mwanamke ni zipi?
Hizi ni siku ambazo mwanamke akishiriki ngono bila kutumia kinga anapata ujauzito bila wasiwasi wowote labda k**a ana matatizo yanayomfanya asibebe mimba au mwanaume wake ana matatizo.
Utazijuaje siku hizo?
Kwanza kabisa ili ujue siku zako za hatari lazima ujue idadi ya siku za mzunguko wako. Kuna aina tatu za mzunguko.. mzunguko mrefu ambao unachukua siku 35, mzunguko mfupi unaochukua siku 25 na ule wa kawaida unaochukua siku 28 na ndio mzunguko ambao watu wengi wanao.
Unajuaje mzunguko wako?
Hesabu siku tangu siku ile ya kwanza uliyoona siku zako za hedhi mpaka siku moja kabla ya kuona siku zako za hedhi zinazofuata. Unashauriwa uchukue miezi mitatu mpaka sita ukihesabu ili ue na uhakika kwamba mzunguko wa tarehe zako haubadiliki, k**a umeshahesabu siku za nyuma kabla ya kusoma makala hii ni vizuri pia. Mfano umeanza kuona siku zako tarehe moja mwezi wa nne alafu ziko zako zingine ukaziona tarehe 29 mwezi wa nne, chukua 29 toa 1 utapata 28.. maana yake wewe unamzunguko wa siku 28.
Je siku za hatari ni zipi?
siku ya hatari ni siku ya 14 kabla ya kuona hedhi inayofuata na sio siku ya 14 baada ya kuona hedhi iliyopita na hapa ndio watu wengi wanachanganya na kupata mimba.
Mfano k**a mzunguko wako ni siku wa kawaida siku 28, chukua 28 toa 14 utapata 14. Hivyo siku yako ya hatari ni siku ya 14, lakini kwa kua mbegu ya k**e inaweza kuishi mpaka siku tano na yai la kiume linaweza kuishi mpaka masaa 24 ndani ya mfuko wa uzazi basi siku nne kabla na siku moja baada ya siku ya 14 ni hatari hivyo siku za hatari ni ni siku ya 10,11,12,13,14 na 15.
K**a mzunguko wako ni mrefu labda siku 36 basi chukua 36 toa 14 utapata 22. Hivyo siku ya 22 ni hatari na zingine ni 18,19,20,21,22 na 23.
K**a mzunguko wako ni mfupi, mfano mzunguko wa siku 21, sasa ukichukua 21 ukatoa 14 unapata 7 yaani siku ya saba ni hatari kwa huyu mtu.hivyo siku zingine za hatari ni 3,4,5,6,7[mtoto wa k**e] na 8.
Dalili kwamba uko kwenye siku za hatari ni zipi?
Kuongezeka kwa joto kidogo, tumbo kuuma kidogo, na ute mweupe kutoka sehemu za s

HII NDIYO JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO.                          WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU YAKO YA HATARI YA KU...
27/03/2021

HII NDIYO JINSI YA KUHESABU MZUNGUKO. WAKO WA HEDHI NA JINSI YA KUJUA SIKU YAKO YA HATARI YA KUPATA MIMBA

Siku za hatari za mwanamke ni zipi?
Hizi ni siku ambazo mwanamke akishiriki ngono bila kutumia kinga anapata ujauzito bila wasiwasi wowote labda k**a ana matatizo yanayomfanya asibebe mimba au mwanaume wake ana matatizo.
Utazijuaje siku hizo?
Kwanza kabisa ili ujue siku zako za hatari lazima ujue idadi ya siku za mzunguko wako. Kuna aina tatu za mzunguko.. mzunguko mrefu ambao unachukua siku 35, mzunguko mfupi unaochukua siku 25 na ule wa kawaida unaochukua siku 28 na ndio mzunguko ambao watu wengi wanao.
Unajuaje mzunguko wako?
Hesabu siku tangu siku ile ya kwanza uliyoona siku zako za hedhi mpaka siku moja kabla ya kuona siku zako za hedhi zinazofuata. Unashauriwa uchukue miezi mitatu mpaka sita ukihesabu ili ue na uhakika kwamba mzunguko wa tarehe zako haubadiliki, k**a umeshahesabu siku za nyuma kabla ya kusoma makala hii ni vizuri pia. Mfano umeanza kuona siku zako tarehe moja mwezi wa nne alafu ziko zako zingine ukaziona tarehe 29 mwezi wa nne, chukua 29 toa 1 utapata 28.. maana yake wewe unamzunguko wa siku 28.
Je siku za hatari ni zipi?
siku ya hatari ni siku ya 14 kabla ya kuona hedhi inayofuata na sio siku ya 14 baada ya kuona hedhi iliyopita na hapa ndio watu wengi wanachanganya na kupata mimba.
Mfano k**a mzunguko wako ni siku wa kawaida siku 28, chukua 28 toa 14 utapata 14. Hivyo siku yako ya hatari ni siku ya 14, lakini kwa kua mbegu ya k**e inaweza kuishi mpaka siku tano na yai la kiume linaweza kuishi mpaka masaa 24 ndani ya mfuko wa uzazi basi siku nne kabla na siku moja baada ya siku ya 14 ni hatari hivyo siku za hatari ni ni siku ya 10,11,12,13,14 na 15.
K**a mzunguko wako ni mrefu labda siku 36 basi chukua 36 toa 14 utapata 22. Hivyo siku ya 22 ni hatari na zingine ni 18,19,20,21,22 na 23.
K**a mzunguko wako ni mfupi, mfano mzunguko wa siku 21, sasa ukichukua 21 ukatoa 14 unapata 7 yaani siku ya saba ni hatari kwa huyu mtu.hivyo siku zingine za hatari ni 3,4,5,6,7[mtoto wa k**e] na 8.
Dalili kwamba uko kwenye siku za hatari ni zipi?
Kuongezeka kwa joto kidogo, tumbo kuuma kidogo, na ute mweupe kutoka sehemu za siri..

karibu inbox nikuelekeze bila shaka kabisa tena buure
click link hii👇👇

https://wa.me/message/AKBFUGBZY52PG1

*Saratani ya shingo ya Kizazi* (Cervical Cancer)👉 Huu ni ugonjwa ambao hushambulia mji wa mimba kitaalamu huitwa Cervica...
26/03/2021

*Saratani ya shingo ya Kizazi* (Cervical Cancer)

👉 Huu ni ugonjwa ambao hushambulia mji wa mimba kitaalamu huitwa Cervical cancer ,,ugonjwa huu ni aina ya chembechembe mithili ya viupele ambavyo hutokea chini ya mji wa mimba

💫AINA ZA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI
👉kuna aina mbili za saratani ya shingo ya kizazi

🥨SQUAMOUS CELL
Hii ni aina ya cancer ambayo huanzia kwenye seli za squamous hii huitwa SQUAMOUS CELL CARCINOMA

🥨ADENOCARCINOMA
hii ni aina ya saratani ya shingo ya kizazi ambayo ugonjwa huanzia kwenye seli za GRANDULAR

👉 aina zote hizi mbili za saratani ni vigumu sana kuzitambua maana huanza k**a seli hivyo hukua taratibu sana na huchukua miaka kadhaa kwa mgonjwa kutambua kuwa ana tatizo la cancer ya shingo ya kizaz mpk pale atakapokuwa anaona maji maji yakimtoka ukeni kwa wingi au kusikia maumivu makali wakati wa tendo la ndoa

🌟Hivyo tunashauriwa kupata vipimo mara kwa mara kuepukana na maradhi hayo hatari

💫CHANZO CHA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Kuna vyanzo vinavyosababisha cancer ya shingo ya kizazi na vyanzo hivyo ni k**a

💥 Kuwa na mahusiano ya kimwili na mwanaume zaidi ta mmoja

💥Maambukizi ya magonjwa ya zinaa mfano Pelvic inflammatory disease vaginalisis disease k**a gonorrhea, syphilis, trichomonias vaginosis na kadhalika

💥Kujihusisha na vitendo vya ngono ukiwa na umri mdogo chini ya miaka 17

💥Kumwagiwa mbegu na mwanaume ambae mke wake ana tatizo la cancer ya shingo ya kizazi au anatembea na mtu mwenye tatizo la cancer ya shingo ya kizazi

💥Maambukizi ya virus vya HPV (Human papilloma virus)

💥Kuwa na mahusiano ya kingono na mwanaume ambae hajatahiriwa

💥 Kukaa na pedi mda mrefu wakati wa hedhi

💥 Matumizi ya madawa ya uzazi wa mpango k**a contraceptive,,P2 etc

💥kutoa mimba kienyeji

💥kuwa na idadi kubwa ya watoto au kuzaa mara kwa mara bila mpangilio

💥Uvutaji sigara na pombe kali

💥 Maambukiz ya VVU

💥 Umri mkubwa

💥 kuingiliwa kingono kinyume na maumbile alafu akitoa huko anaingiza ukeni kwa muda huo huo

💥Kutozingatia usafi wa uke mara kwa mara

🥨DALILI ZA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

💫Kutokwa damu ukeni baada ya tendo la ndoa

💫kutokwa na damu ukeni kusiko kwa kawaida

💫kupata maumivu makali ya tumbo la nyonga na mgongo kuwaka moto

💫kutokwa na majimaji ukeni kusiko kwa kawaida yenye harufu kali na maimivu ya chini ya kitovu

💫maumivu wakati wa tendo la ndoa

💫Maumivu ya miguu kuuma na kuvimba

💫kukosa hamu ya kula

💫kukosa hamu ya tendo la ndoa

💫kutokwa na kinyesi ukeni pamoja na mkojo (vistula)

💫kupungua uzito

💫kuvunjika mifupa kirahisi

💥 Ugonjwa huu ukisambas mwilini hasa kwenye mapafu Tumboni unakuwa katika stage hatari hivyo ni rahisi kusababisha mtu kupoteza uhai

💊💉TIBA YA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

💉Kupigwa mionzi ili kuua seli za saratani

💉Kujiepusha na vitu hatarishi vya kuweza kusababisha ugonjwa huu

💉kupata chanjo dhidi ya virusi vya HPV

💉Matumizi ya chemotherapy ili kuongeza siku za kuishi

💉Kufanyiwa upasuaji kuondoa kizazi completely

📌 NJIA ZA KUJIEPUSHA NA UGONJWA HUU

📌Acha matumizi ya pombe na sigara

📌 Epuka kuingiliwa kingono mbele na nyuma kwa wakati mmoja

📌 Epuka kuwa na mahusiano ya kingono na wanaume wengi hasa wanaume za watu wenye umri mkubwa

📌Epuka moshi

📌Epuka kuchomwa sana na miale ya jua

📌 ukijifungua nyonyesha mtoto mda mrefu ni kinga pia

📌Upe mwili mazoezi

📌 usivute sigara wala matumizi ya tumbaku aina yoyote

📌 Lala kwenye chumba chenye hewa safi

📌 Hakikisha watoto wako wa k**e wanapata chanjo ya HPV .

zungumza nasi upate suluhisho la kudumu na kinga na ushauri wa moja kwa moja🤞🤞

https://wa.me/message/AKBFUGBZY52PG1

MWANAMKE K**A UPO KATIKA KIPINDI CHA HEDHI,,UNAOMBWA KUTOKUFANYA MAMBO YAFUATAYO.....✍️🌹usinywe maji ya barafu,,sparklin...
23/03/2021

MWANAMKE K**A UPO KATIKA KIPINDI CHA HEDHI,,UNAOMBWA KUTOKUFANYA MAMBO YAFUATAYO.....✍️

🌹usinywe maji ya barafu,,sparkling soda(soda water),au usinywe maji ya dafu

🌹usitumie shampoo kuosha nywele zako ukiwa hedhi,,,kwa sabb kipindi ukiwa hedhi vitundu vilivyopo kichwani hua wazi na hivyo husababisha kichwa kuuma sana,,na hii huanza ukiwa mdogo,,na ukiwa mkubwa tatizo huendelea,,,na ni hatari sana

🌹usile tango ukiwa ktk hedhi,,kwa sababu ktk tango kuna vitu au material ambayo yanaweza kuifunga hedhi yako(dam chafu),,kupitia kuta za mrija wa mkojo na hivyo kusababisha ugumba

🌹ukiwa hedhi,,mwili wako hautakiwi kugongwa au kupigwa kwa kishindo na kitu kizito,,,kwa sababu utakwenda kutikisa mfuko wa uzazi na kusababisha kuumiza na kusababisha kutapika damu,,na hiki ndio chanzo cha ugumba na kansa pia ya mfuko wa uzazi

🌹 UCHUNGUZI UNATHIBITISHA KUA,,KULA BARAFU AU MAJI YA BARAFU UKIWA HEDHI,,UNAWEZA KUSABABISHA DAMU KUBAKIA KTK KUTA ZA MFEREJI WA UTERINE,,NA BAADA YA MIAKA 5 HADI KUMI UTAPATA KANSA YA MFUKO WA UZAZI ZINGATIA,,USIPUUZE

wasiliana nasi


#0620195294

FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI ASUBUHI💋Husaidia kuweka mfumo wa kinga yako vizuri.💋Inaongeza hamu ya kufanya mapenzi zaidi.💋hu...
21/03/2021

FAIDA ZA KUFANYA MAPENZI ASUBUHI

💋Husaidia kuweka mfumo wa kinga yako vizuri.

💋Inaongeza hamu ya kufanya mapenzi zaidi.

💋huimarisha kibofu cha mkojo kwa Wanawake.

💋Hupunguza shinikizo la damu.

💋Huhesabika k**a moja ya Zoezi.

💋Hupunguza hatari ya kupata shambulio la moyo.

💋Hupunguza maumivu ya mwili.

💋Inaweza kupunguza uwezekano wa kupata kansa ya tezi dume / Prostate Cancer.

💋Inaboresha hali ya usingizi.

💋Hupunguza Msongo wa Mawazo.

💋Hufanya Misuli ya Uume kuwa Imara.

💋Humfanya Mwanamke ashindwe kutoka nje ya Ndoa (cheating)

zungumza nasi

JE BAAADA YA KUTUMIAA UZAZI WA MPANGO MADHARA YAPI UMEYAPATA 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇Vitu vifuatavyo hutokea iwapo mtu atatumia njia z...
01/03/2021

JE BAAADA YA KUTUMIAA UZAZI WA MPANGO MADHARA YAPI UMEYAPATA 👇👇👇👇👇👇👇👇👇👇Vitu vifuatavyo hutokea iwapo mtu atatumia njia za kisasa za uzazi wa mpango. Njia hizo husababisha saratani ya kizazi, CD4 kushuka, sehemu ya uke kuwa baridi, huchangia kwa 50% kufanyiwa upasuwaji (operation) wakati wa kujifungua, huathiri mtoto atakayezaliwa, huathri ubongo (inapunguza uwezo wa kufikiria), kutokwa na majimaji yenye harufu mbaya ukeni na magonjwa ya mara kwa mara.
Ukiendelea kubaki na dalili tajwa hapo awali kwa muda mrefu, kinga ya mwili itashuka kwa kiasi kikubwa na kusababisha madhara mengi k**a yafuatayo:
-Kutoshika ujauzito kwa muda mrefu
-Mimba kuharibika mara kwa mara;
-Kukosa mtoto au Ugumba
-Maumivu wakati wa tendo la ndoa
-Kuwa na tabia na maumbile ya kiume
-UTI (Urinary Tract Infection) ya mara kwa mara
-Kuzeeka mapema
-Kuziba kwa mirija ya uzazi
-Saratani
-Uvimbe kwenye uzazi wa mwanamke (Fibroids)

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUFURAHIA UHUSIANO/NDOA.Kuna watu wengi wanashindwa kufurahia Maisha ya uhusiano walionao.Ziko s...
01/03/2021

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUFURAHIA UHUSIANO/NDOA.

Kuna watu wengi wanashindwa kufurahia Maisha ya uhusiano walionao.Ziko sababu nyingi ,lakini Kubwa ni watu wenyewe KUTOJALIANA tena.
Sababu za KUTOJALIANA pamoja na mambo mengine,ni mmoja au wote kutozingatia yale ambayo walikuwa wamekubaliana.Je,wewe uliwahi kumuahidi nini mwenzi wako?
Kutoa ahadi zisizo na utekelezaji ni mojawapo ya sababu za uhusiano wa wengi kuwa mbaya;Hii inaweza kuwa ni kwa pande zote MUME ama MKE.
Wengine hawatekelezi ahadi kwa vile wanazo sababu za msingi,lakini wengine ni kwa sababu za makusudi.Ni jambo la kuzingatia kuwa watu wanaingia kwenye uhusiano si kwa sababu wanakwenda Kusaka SHIDA,bali FURAHA ya dhati,urafiki wa dhati na mambo mengine yanayofanana na hayo.

KUPENDANA.
Je,mkeo au mumeo unampenda k**a ilivyokuwa zamani? Je,unajifunza kumpenda zaidi au kwa sababu ziko kasoro za hapa na pale,unaanza kufikiria zaidi kuachana?
Kukwaruzana na mtu ni suala la kawaida,k**a hata mama yake aliyekaa tumboni mwake kuna wakati wanakwaruzana,itakuwa wewe ambaye mmekutana tu mtaani?
Shida kubwa inayoonekana ni kwamba wengi hawana UPENDO wa DHATI,k**a kweli umempenda mtu,Utamvumilia,Utamfundisha ili aweze kuwa mtu safi au pole pole anaweza kubadilika.
Tunapolima shamba likiota majani huwa hatung'oi mimea tuliyopanda bali huwa tunasaka dawa kwa ajili ya kuua majani yaliyoota,ndivyo ilivyo katika Maisha ya NDOA,tunapokuwa na tatizo tafuta Tiba kwa ajili ya shida iliyotokea sio kufikiria kuachana.
Utaachana na wangapi? Cha msingi ni kufanya tathmini kwa nini sasa kawa mbaya mbona mwanzo alikuwa mzuri?
Wakati mwingine inawezekana ni MATENDO yako ndio yamemfanya abadilike awe mbaya
Kupendana ndio jambo la msingi sana.Ukiwa na UPENDO wa DHATI unapogombana na mwenzi wako huwezi kumwambia TUACHANE bali mtasaka tiba kwa tatizo lililoko.
Mnapokuwa wapenzi,mnapaswa kupendana kiasi kwamba kila mtu awe huru kuzungumza na mwingine bila hofu.

ITAENDELEA....

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUFURAHIA UHUSIANO -2Kwa bahati mbaya unaweza kuona baadhi ya nyumba MWANAUME anapenda kuonekana...
01/03/2021

MAMBO YA KUZINGATIA ILI KUFURAHIA UHUSIANO -2

Kwa bahati mbaya unaweza kuona baadhi ya nyumba MWANAUME anapenda kuonekana k**a MFALME,jambo ambalo si sahihi.
MWANAUME si bosi wala MWANAMKE si MFANYAKAZI,bali wote ni watu ambao wanapaswa kuishi k**a MARAFIKI..
Hii ina maana kwamba unatakiwa kuishi na mwenzi wako katika hali ambayo inamfanya anakuwa wazi kwako.
Kuwa wazi kunasaidia kumfanya mwenzi wako kusema bila uoga pale anapotaka kitu fulani au jambo fulani baina yenu linapokwenda hovyo.
K**a katika uhusiano wenu mko wazi kunapotokea jambo ambalo halikuridhishi ni rahisi kumwambia..kinyume na hapo huwa ni vigumu kusema.
Je,wewe na mwenzi wako mnaishi katika hali gani,ya URAFIKI au KUOGOPANA??

KUHURUMIANA.
Je,k**a mwenza wako akikwambia anaumwa au kuumia,unamsikiliza au unajali zaidi HISIA zako?
Ukweli ni kwamba mwenye UPENDO wa DHATI,humuangalia pia MWENZI wake na kumjali.

Je,wewe unalipa baya kwa baya au ni mtu wa kulaumu? Ukweli ni kwamba k**a unataka kuwa na uhusiano bora,achana na kulaumu au kufikira kulipa mabaya.Unakuta labda Mke au Mume katoka nje,Naye anafikiria kutoka k**a njia ya kukomoana,hilo ni kosa.Usahihi ni kwamba unapaswa kuendelea kutenda mazuri,hakika nakuambia wengi wanaofanyiwa mazuri wakati wanatenda mabaya,huwa wanaumia katika nafsi zao na kuamua kuwa wazuri.

RANGI ZA UTE NA MAANA ZAKE.Somo la kutokwa na ute, majimaji pamoja na uchafu ukeni limekuwa somo linalorudiwa na wengi, ...
13/01/2021

RANGI ZA UTE NA MAANA ZAKE.

Somo la kutokwa na ute, majimaji pamoja na uchafu ukeni limekuwa somo linalorudiwa na wengi, hii ishara ya kwamba ni tatizo linalowakumba watu wengi zaidi.Tumeshafundisha mara nyingi kwanini ute, majimaji au uchafu unatoka hivyo sasa tujifunze aina za rangi za ute wa kawaida.

Kuna rangi za ute ambazo hutoka kwenye uke, zipo za kawaida na zisizo za kawaida, kutofahamu ute wa kawaida huongeza hofu kwa wengi lakini ukifahamu ute wa kawaida ni msaada kujua ute upi si wa kawaida na kugundua mapema kwamba upo kwenye tatizo linalohitaji tiba.

Rangi ya ute unaotoka kwenye uke unapaswa kuwa mweupe na wenye kuonekana vyema (clear), ute huo ni sehemu ya mwili kufanya kazi vizuri, unatoka kwaajili ya kusafisha na kuweka uke salama.

Uzito na muonekano wake unategemea zaidi uko katika kipindi gani ndani ya uanguaji mayai au kipindi cha damu ya hedhi kwa ujumla.

Mabadiliko yoyote ya rangi ya ute zikiambatana na dalili tofauti inaweza kuwa ni sehemu ya maambukizi fulani,yanayohitaji uangalizi na umakini ni vyema kwenda hospitali kwa uchunguzi zaidi.

Unapaswa kuangalia zaidi rangi ya ute na harufu yake, ni rahisi kujua tatizo ndani yake, ute wa kawaida hautoi harufu wala haukeri, lakini wenye maambukizi fulani unatoa harufu.

*UTE MWEUPE.(white)*

Huu ni ute wa kawaida kutoka kwa mwanamke hasa katika kipindi cha hedhi lakini utakapokuwa mzito kiasi na wenye kufanana na mtindi,ukiambatana na maumivu ni dalili ya maambukizi (yeast infection) Matibabu baada ya uchunguzi yanahitajika.

*UTE WA MAJIMAJI.(clear waterly)*

Ute wa majimaji ni ute unaohitajika zaidi kwa mwanamke, ute unaofanya uke usiwe mkamvu, ute huu mwanamke anapaswa kuhakikisha anakuwa nao hasa kwenye tendo la ndoa, unasaidia kulinda manii na kuzisafirisha, unaleta uwezekano mkubwa wa mimba kutunga.Ute unaoshiria kwamba upo kwenye kipindi cha kuangua mayai, ukiwa nao wala hauna shida wala tatizo.

*UTE WA NJANO.( yellow or greenish)*

Ute huu si salama unapomtoka mwanamke, ni ute unaoshiria maambukizi ya bakteria pamoja na magonjwa ya zinaa, hutoa harufu isiyopendeza unaweza ukaambatana na ukijani ndani yake, pindi unapouona nenda hospitali na mwenza wako, magonjwa ya zinaa hutibiw

MKEO AMEFARIKI.“Mkeo amefariki Msiba uko hapa nyumbani?”Denis alipokea ujumbe mfupi kwenye simu yake,kuangalia ulitoka k...
13/01/2021

MKEO AMEFARIKI.
“Mkeo amefariki Msiba uko hapa nyumbani?”
Denis alipokea ujumbe mfupi kwenye simu yake,
kuangalia ulitoka kwa Mama yake mzazi. Nguvu
zilimuishia, alikuwa akiongea na mteja ofisini
kwake lakini sauti ilikauka.
Bila kujijua alijikuta ananyanyuka na kuanza
kutembea. tembea ofisini kwake akiwa
hajitambui. Wafanyakazi wake walimuuliza bosi
vipi lakini hakuwa na jibu la maana la kuwapa.
Akili yake ilikumbuka maneno ambayo
alimwambia mkewe asubuhi wakati anaondoka,
mkewe alimwambia sukari imeisha na kwa
dharau alimjibu, “Sasa unaniambia mimi ili nini?
Kwani ni lazima unywe chai, huko kwenu mlikua
mnakunywa chai kila siku?”
Alikumbuka namna usiku wake alivyompiga
makofi baada tu ya mboga kuungua alipochelewa
kuepua kwani alikua ananyonyesha mtoto wao
wa mwisho ambaye yeye mwenyewe ndiyo
alimuita amnyonyeshe kwani alikuwa analia sana.
Alikumbuka namna siku mbili kabla mkewe
alisema amechoka kupigwa na kunyanyaswa,
anakumbuka namna alivyomjibu kwa dharau
kuwa k**a amechoka aondoke amuachie watoto
wake.
“Ameniachia wanangu!” Alijikuta anaropoka na
machozi yalianza kumtoka. Alishindwa hata
kutembea hivyo alikaa chini kabisa sakafuni.
Wafanyakazi wake walikuja na kumnyanyua na
baada ya kumuuliza ndipo alipowaambia mkewe
amefariki.
Walimchukua mpaka kwenye gari na safari ya
kurejea nyumbani ilianza, walifika nyumbani, kila
kitu kilikuwa kimya, nyumba ilikua imefungwa na
hakukuwa na mtu.
Denis alizidi kuchanganyikiwa zaidi asijue nini
cha kufanya ndipo alipokumbuka kuwa Mama
yake alimwambia msiba uko nyumbani hivyo
alidhani kuwa ni nyumbani kwao.
********************
Safari nyingine ilianza, Dennis alikuwa na
mawazo, hayakuwa mawazo tu ya kufiwa bali ya
aibu. Pamoja na kumiliki kampuni kubwa akiajiri
watu zaidi ya kumi lakini mkewe alimnyanyasa na
kumtesa k**a kinyago, mbali na kumpiga lakini
alikua hamhudumii vizuri.
“Atakuwa amefia kwa Mama wakati ameenda
kuomba hela ya matumizi…” Aliwaza kwani mara
nyingi alipokuwa akimnyima pesa Mama yake
mzazi ndiyo alikuwa akimsaidia na ndiye alizuia
mara nyingi mkewe asiondoke.
Alifika mpaka nyumbani kwao, kweli kulikuwa na
msiba, maturubai yalishawekwa, watu
walishaanza kupika na watu walishaanza kujaa
taratibu. Alijita

UGONJWA WA PID NI CHANZO CHA UGUMBA KWA WANAWAKE WENGI, JE NINI SULUHISHO...!!!UGONJWA WA PID (Pelvic Inflammatory Disea...
09/01/2021

UGONJWA WA PID NI CHANZO CHA UGUMBA KWA WANAWAKE WENGI, JE NINI SULUHISHO...!!!

UGONJWA WA PID (Pelvic Inflammatory Disease) au Maambukizi Katika Mfumo wa Uzazi wa Mwanamke. Mara nyingi wataalamu wengi huuchanganya wakifikiri ni UTI.

✍🏻Magonjwa ya zinaa ndio sababu kuu ya wanawake kupata maambukizi katika mfumo wa uzazi yaani (PID). Mwanamke 1 kati ya wanawake 8 waliopota PID katika wakati wowote ndani ya maisha yao hupata tabu kushika mimba.

PID NI NINI?

✍🏻PID ni maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke na mara nyingi husababishwa na magonjwa ya zinaa k**a gonorrhea na chlamydia, Ila kuna aina us maambukizi mengine mbali na magonjwa ya zinaa yanaweza kusababisha maambukizi ya PID.

JE! MWANAMKE HUAMBUKIZWAJE PID?

✍🏻Kuna njia kadhaa ambazo mwanamke anaweza kuambukizwa PID. Njia hizo ni pamoja na:

➡️K**a una ugonjwa wa zinaa na haujatibiwa kwa muda mrefu.
➡️Kufanya ngono zembe isiyo salama (yani kulala na wanaume tafauti tafauti)
➡️Kuwa na mpenzi ambaye ana wanawake wengi nje
➡️Kuwa na historia ya PID hapo nyuma
➡️Maambukizi ya njia ya uzazi hasa kipindi mara baada ya kujifungua (au postpartum period)
➡️Maambukizi ya njia ya uzazi mara baada ya kutoa mimba kwa njia zisizo salama (post abortion) au mara baada ya mimba kutoka (miscarriage)
➡️Kutumia vipandikizi vya ndani ya mfuko wa uzazi (IUCD) k**a njia mojawapo ya uzazi wa mpango
➡️Kuambukizwa kupitia damu iliyo na vimelea vya PID

DALILI NA UTAMBUZI WA PID

✍🏻Zipo dalili kadhaa za ugonjwa huu wa PID. Miongoni mwa dalili hizi ni:
👉Mwanamke kuhisi maumivu ya tumbo hasa maeneo ya chini ya kitovu
👉Kupata maumivu ya mgongo
👉Mwanamke kupata utoko mchafu sehemu za siri. Utoko huu huambatana na harufu mbaya.
👉Kuhisi maumivu wakati wa kukojoa
👉Kupata maumivu au kutokwa na damu wakati wa tendo la ndoa
👉Kutoka damu bila mpangilio wakati wa hedhi
👉Kupata homa
👉Kupata damu nje ya siku zako zako za kawaida kupata damu ya hedhi
👉Wakati fulani kuhisi kichefuchefu k**a mwanamke mja mzito na kutapika

VIPIMO VYA PID

➡️Kuchunguza mkojo ili kufahamu k**a mgonjwa ana mimba. Kipimo hiki ni muhimu hasa kwa mwanamke aliye katika umri wa kuzaa au mwenye uwezo wa kubeba mimba
➡️Uchunguzi wa mkojo kwenye darubini ili kutambua aina za vimelea vinavyomletea mgonjwa uambukizi. Aidha mkojo huweza kuoteshwa katika maabara kwa ajili ya kutambua aina nyingine za vimelea viletavyo uambukizi huo.
➡️Kupima damu kwa ajili ya kuchunguza jinsi aina mbalimbali za chembe za damu zilivyoathiriwa na uambukizi huo au k**a kuna mwingiliano na magonjwa mengine yaliyojificha. Kipimo hiki kwa kitaalamu huitwa (Full Blood Picture).
➡️Kuchukua utando unaozunguka shingo ya uzazi na kuuotesha kwa ajili ya utambuzi wa aina za vimelea viletavyo maambukizi hayo. Kipimo hiki huitwa (Cervical culture)
➡️Aidha ni muhimu pia kufanya vipimo vingine kwa ajili ya utambuzi wa magonjwa yaambukizwayo kwa njia ya kujamiiana, k**a vile virusi vya ukimwi na kisonono.
➡️Mgonjwa pia anaweza kufanyiwa ultrasound ya nyonga ili kuangalia k**a kuna athari yeyote katika mfumo wake wa uzazi.

MADHARA YA PID ISIPOTIBIWA

👉Maumivu ya mfuko wa uzazi ya kudumu
👉Kupatapata ugumu wa kushika mimba
👉Ectopic pregnancy (mimba kutunga nje ya mfuko wa uzazi)
👉Kuziba kwa njia ya uzazi

JINSI YA KUZUIA MAAMBUKIZI

➡️Njia hakiki ya kujizuia na maambukizi haya ni kuwacha ngono zembe na kufanya ngono salama ndani ya ndoa halali kwani zina ni haramu, k**a utakuwa mwenye kutaka dhambi basi tumia kondomu ili usiwaambukize watu wengine
➡️Wahi kuwaona wataalamu wa afya mara dalili za ugonjwa
huu zinapoanza kujitokeza au pindi tu unapogundua kuwa mwenzi wako ana dalili za magonjwa ya zinaa au anatembea na wanawake wengine
➡️Fanya vipimo mara kwa mara hasa vya mfumo wa uzazi, pamoja na vipimo vya maambukizi ya magonjwa yanayosambazwa kwa njia ya ngono (STI) khususan ugonjwa wa chlamydia ufanyie vipimo kila mwaka mara 1
➡️Kutofanya ngono mara baada ya kujifungua, mimba kutoka ili kuhakikisha njia ya shingo ya uzazi imefunga
zungumza nasi 0620195294 au 0679799588

29/11/2020

Address

Moshi

Telephone

+255679799588

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when LINDA AFYA yako ,utajiri WAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to LINDA AFYA yako ,utajiri WAKO:

Share