Neytips77 punguza uzito haraka

Neytips77 punguza uzito haraka afya yako ni jukumu letu.

Ngoja nikupe angalau faida 3 za mmea huu.  1. Inafaa sana kwa vipele vyote vya ngozi.(Majani). 2. Pia ni nzuri kwa kuond...
04/05/2025

Ngoja nikupe angalau faida 3 za mmea huu.

1. Inafaa sana kwa vipele vyote vya ngozi.(Majani).
2. Pia ni nzuri kwa kuondoa sumu kwenye tumbo.(Majani).
3. Ni nzuri kwa vimelea vya tumbo.(Majani).

Jinsi ya kutumia njoo group la bure what's app
0745707003

*BAADA YA CHANGAMOTO YA UZITO MKUBWA KUIKUMBA JAMII JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI WALIOBOBEA KATIKA AFYA YA MWANADAMU WALI...
03/05/2025

*BAADA YA CHANGAMOTO YA UZITO MKUBWA KUIKUMBA JAMII JOPO LA WATAALAMU/MADAKTARI WALIOBOBEA KATIKA AFYA YA MWANADAMU WALIFANYA TAFITI WA NAMNA YA KUPUNGUZA UZITO BILA KUTUMIA DAWA AU VIAMBATA VYENYE SUMU BALI KUTUMIA VIRUTUBISHO.*

✅Program hii imekuwa ikitumiwa na watu wengi kwa zaidi ya mataifa *170+* Duniani na nina shuhuda nyingi za watu mbalimbali waliotumia program hii na wakapungua vizuri bila kupata madhara yoyote kiafya na kuboresha afya zao na wengine ndani ya Group wameanza kutumia program hii baada ya kuwaelimisha faida na umuhimu wa kubomoa mwili ili kupungua kiafya.

*SOMA HAPA FAIDA ZA KUTUMIA PROGRAM YA KUBOMOA MWILI ILI KUPUNGUZA UZITO*

➡️Itakusaidia kupunguza kilo kuanzia 10 na kuendelea ndani ya siku 24 tu bila madhara ndio maana nakuhakikishia ni suluisho bora sana kwako.
➡️Itakusaidia kusafisha mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ambapo ndiyo engine ya maisha na afya ya kila mmoja wetu na hapa itasaidia sana kuhakikisha unapata choo vizuri na kilaini bila kutumia nguvu, kumaliza matatizo ya tumbo kuwaka moto na kujaa gesi (Acid reflux),
➡️Hata walioambiwa figo zina shida baada ya kutumia program hii zilionekana ziko sawa✅ hivyo hauna haja ya kuhofu juu ya figo zako unapotumia program hii kupunguza uzito
➡️Itakusaidia kubalance homon (wanawake na wanaume pia).
➡️Itakusaidia kupunguza hamu ya kula ovyo
➡️Itakusaidia kusafisha mwili, kutoa taka mwili na sumu mwilini hivyo utapungua vizuri na kiafya.
➡️Itakusaidia kuburn fat kwa haraka hivo ni nzuri kutumiwa hata na wenye changamoto ya sukari na presha.
➡️Itakusaidia kupandisha kinga ya mwili na uwezo wa mwili kujilinda na magonjwa.
➡️Kuboresha mwonekano wa mwili (Shape) pamoja na ngozi na kupunguza kasi ya kuzeeka (Ant aging)
➡️Kuboresha usingizi, kumbukumbu na uwezo wa kufikiri.

✅Ni virutubisho asili ambavyo vimeshawasaidia watu wengi saana hapa nchini na Duniani kwa Ujumla. *Karibu kwa ushauri.*

*PUNGUZA UZITO KWA KUZINGATIA AFYA YAKO*

Ninae kuhudumia naitwa *Dr 0766231903*

Mawasiliano yangu: 0766231903

*VINYWAJI AMBAVO MGONJWA WA SUKARI HATAKIWI KUTUMIA KABISA*Nimekuwa nikipata maswali mara kwa mara ni kinywaji ambayo mg...
03/05/2025

*VINYWAJI AMBAVO MGONJWA WA SUKARI HATAKIWI KUTUMIA KABISA*

Nimekuwa nikipata maswali mara kwa mara ni kinywaji ambayo mgonjwa wa sukari hatakiwi kutumia KABISA

Leo nimeamua kuandika makala ya vinywaji gani mgonjwa wa sukari hatakiwi kutumia kabisa

*1. SODA:* Hii haitaki mjadala mkubwa

Soda ina kiwango kikubwa cha sukari na carbohydrates ndani yake lakini pia soda haina fiber hivyo ukiinywa inaenda kupandisha sukari moja kwa moja

*Achana na matumizi ya soda aina zote*

*2. Soda dayat:* nimekuwa nikiiulizwa sana kuhusu soda diet

Kwa ufupi soda diet Haifai kwa mgonjwa wa sukari sababu wanaeka MSG *(MONO SODIUM GLUTAMATE)* ama inaitwa artificial sweetener

Haifai hata kidogo kwa mgonjwa wa sukari

*3. Energy drinks:* ni k**a ilivo soda energy drinks hazifai kwa mgonjwa wa sukari

*4. Pombe:* pombe aina zote hazifai kwa mgonjwa wa sukari

Wengine wanasema serengeti haina kiwango kikubwa cha sukari

Sikia pombe zote zinafanyiwa umengenywaji na ini

Na inazaa msururu wa sukari na mwishowe inasababisha fat liver ambayo ni chanzo kikubwa cha insulin resistance na mwishowe kisukari

Achana na pombe aina zote utakuja kunishukuru baadae

Je umefaidika na makala hii??

*Comment kitu ambacho umejifunza*

Kwa Mawasiliano binafsi,
*Dr 0766231903* karibu sana

03/05/2025

Je nawewe unapenda muonekano huuu tutafute

Makundi ya damu (Group O, A, B, AB) yamehusishwa na aina fulani za lishe kupitia Blood Type Diet, ambayo ilipata umaaruf...
03/05/2025

Makundi ya damu (Group O, A, B, AB) yamehusishwa na aina fulani za lishe kupitia Blood Type Diet, ambayo ilipata umaarufu kutokana na kitabu cha Dr. Peter D'Adamo. Ingawa haijathibitishwa kisayansi kikamilifu, hapa kuna miongozo ya vyakula vinavyopendekezwa kwa watu wa kundi la damu O:

Vyakula vinavyopendekezwa kwa Group O:

1. Protini nyingi za wanyama:

Nyama nyekundu (k**a nyama ya ng'ombe, kondoo)

Samaki (hasa samaki wa baharini k**a salmon na cod)

2. Mboga:

Broccoli, spinach, kale, vitunguu

Epuka viazi na mbilingani

3. Matunda:

Plums, figs, cherries, apples

Epuka machungwa na ndizi

4. Karanga na mbegu:

Walnuts, pumpkin seeds

Epuka karanga za kawaida (peanuts)

5. Mafuta bora:

Mafuta ya mzeituni, mafuta ya flaxseed

6. Chakula cha kuepuka:

Nafaka k**a ngano, mahindi, na shayiri

Maziwa na bidhaa zake nyingi (k**a siagi, jibini nzito)

Vyakula vilivyosindikwa (processed foods)

Karibu kwenye group zetu za what's app kwa mafunzo zaidi buree piga ...0766231903

https://chat.whatsapp.com/KPmcB3lCm7TJbiQgQwr3sjPUNGUZA tumbo au mwili mzima kwa haraka hamna madhara yoyote ..📍30 days ...
01/02/2024

https://chat.whatsapp.com/KPmcB3lCm7TJbiQgQwr3sj
PUNGUZA tumbo au mwili mzima kwa haraka hamna madhara yoyote ..

📍30 days weight loss ••• kwa packet kwa ajili ya kupungua mwili wote pamoja na tumbo manyama uzembe kifua manyama ya mgongo mikono nk.. bei yake ni elf 35000

📍 30 days flat tummy ••• kwa packet kwa ajili ya kupungua tumbo na manyama uzembe.. bei yake ni elf 35000

MATOKEO YAKE UNAYAONA NDANI YA WEEK TUU UKISHAANZA KUITUMIA

Delivery kwa dar ni tsh 2000 unaletewa mpaka ulipo.

Mawasiliano: 0766231903

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Anna Nombo, Zaidu Ramadhani, Restuta Msangi, Chesco Mwamb...
16/12/2023

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Anna Nombo, Zaidu Ramadhani, Restuta Msangi, Chesco Mwambutila, Peace Jr Cllasic, Patirck Saimoni, Daudi Nashon, Michaely Meta, Suleiman Tz, Hamisi Msuya, Athuman Mbwana, Khadija Issa, Mana Musa, Habibu Luyangi, Ishay Beybe, Montama Alute, Irene Morsi, Hasan Hashim, Aisha Kasim, Freemasoni TZ Zenji, Ndimwa Golden, Halimeh Ibrah, Lucy Damasy, Asu Defalo, Violet Tillya, Sixtus Masumbuko, Joseph Moses, Fedrick Mwanisawa, Onesmo Ndendya, Lovie Laizer, Sofrety Maingu Kasara, Jackson Boaz

🎃*Faida 7 za kisayansi zinazotokana* *na Matumizi ya mbegu za maboga*.Hadi mwisho, Utapata kufahamu🩸Faida za mbegu za ma...
16/12/2023

🎃*Faida 7 za kisayansi zinazotokana* *na Matumizi ya mbegu za maboga*.

Hadi mwisho, Utapata kufahamu
🩸Faida za mbegu za maboga kwa watu wote.
🩸Faida za mbegu za maboga kwa wanaume.
🩸Faida za mbegu za maboga kwa wanaume (Nguvu za kiume).
🩸Jinsi ya kutumia mbegu za maboga.

🧿Baadhi ya watu hutupa mbegu za maboga, k**a kitu kisicho na maana,Unapokula boga kausha na utunza mbegu zake. kuzitupa siyo jambo jema kiafya. mbegu za maboga zina virutubisho vingi sana ambavyo vinatosha kukujaza afya tele.

🧿Hapa nitakwenda kukuonesha faida za mbegu za maboga, kwa wanaume na faida zake kwa wanawake.

Kabla hatujafika mbali ngoja nikufahamishe baadhi ya virutubisho vinavyopatikana, katika maboga.

🧿Mbegu za maboga zina kalori ya kutosha.
🩸Wanga
🩸mafuta safi

https://chat.whatsapp.com/BotBeH0Ehjh00Bc1avPDNQ

🩸protini
🩸Nyuzinyuzi
🩸Madini ya zinc
🩸Madini ya sodium.
🩸Madini ya shaba(copper).
🩸Madini ya Phosphorus
🩸Magnesium na Potassium.
🩸Bila kusahau vitamin B2.

Zifuatazo ni faida za mbegu za maboga.
Kwanza nitataja faida za pamoja kwa ujumla, kisha nitaeleza faida kwa wanawake na kisha faida kwa wanaume.

*1.Kuongeza kinga ya mwili*.
Madini ya zinc ndani ya mbegu za maboga, Hufaa sana katika kuchochea kinga ya mwili. Hivyo kuupatia mwili uwezo wa kukabiliana na maambukizi ya vimelea vya magonjwa. Wanaotumia mbegu za maboga, hawawezi kuwa na upungufu wa madini ya zinc.

*2.Husaidia ukuaji na Ukarabati wa seli za mwili*.

Protein safi ndani ya mbegu za maboga huwezesha ukuaji na ukarabati wa seli chakavu ndani ya mwili wako.Hata kijiko kimoja tu cha mbegu za maboga kwa siku, zinatosha kukupatia manufaa haya makubwa ya kiafya.

*3.Huleta afya ya Moyo*.
Hivi unafahamu kwamba madini ya magnessium ni madini rafiki kwa ajili ya kushusha shinikizo la juu la damu?
na kuondoa hatari ya magonjwa ya moyo. Husisha mbegu za maboga katika maisha yako nawe uwe na shangwe tena.Pamoja na hivyo madini ya zinc, magnesium na mafuta safi (fatty acid) Pamoja na kemikali mimea ndani ya maboga, vyote hupigana kiume ili kuimarisha afya ya moyo wako.

*4. Huwezesha usingizi mnono*.
Ndani ya mbegu za maboga kuna Tryptophan, aina ya amino acid ambayo huongeza ubora wa usingizi. K**a unasumbuka kwa kukosa usingizi, mbegu za maboga zitakufaa kwa hilo. Anza kuzihusisha katika mlo wako. utakuwa unaamka kila siku ukiwa mpya.

*5.Hurekebisha kiwango cha sukari*.
Madini ya magnesium pia yana msaada mkubwa katika kuleta uwiano wa sukari. Tunda la boga kadhalika ni chakula rafiki sana kwa wagonjwa wa kisukari, kutokana na uwepo wa resistant starch ndani yake.

https://chat.whatsapp.com/BotBeH0Ehjh00Bc1avPDNQ

*6.Hupunguza hatari ya kupata saratani mbalimbali*.

Tafiti nyingi zimeonesha kuwa, mbegu za maboga, hupunguza sana uwezekano wa mtu kuwa na saratani ya tumbo,mapafu,utumbo mpana, na saratani ya tezi dume. Aina fulani ndani ya mbegu za maboga imedhibitika kuzuia, ukuaji wa seli za saratani katika mwivIDA ZA MBEGU ZA MABOGA KWA WANAWAKE*.

*1.Huzuia saratani ya t**i.*
Tafiti za hivi karibuni zinaonesha kuwa, wanawake walio katika ukomo wa hedhi, ambao walitumia mbegu za maboga, kwa kipindi fulani. walionekana kupungua uwezekano wa kuwa na saratani ya t**i. Kemikali mimea k**a lignans iliyopo ndani ya mbegu za maboga, husaidia sana kukinga saratani ya t**i kwa wanawake.

*2.Husaidia katika tatizo la Uvimbe kwenye mfuko wa mayai* (Polycyst ovarian syndrome-PCOS).
Mbegu za maboga husaidia homoni za k**e kuwa katika uwiano, hali inayopelekea kupungua kwa ukubwa wa vime katika kifuko cha mayai(PCOS).Vile vile tafiti zinasema, mbegu za maboga husaidia katika kuzuia tatizo la nywele kukatika katika na tatizo la wepesi wa mifuta (Osteoporosis) Maradhi ambayo huwakabiri sana wanawake kutokana na hali yao ya kupoteza damu kila mwezi.Mbegu za maboga pia huondoa cholesterol mbaya kwa wanawake, na hivyo kupunguza hatari ya magonjwa ya moyo.

*MANUFAA YA MBEGU ZA MABOGA KWA WANAUME*.
*1.Kudhibiti tezi dume*.
K**a ilivyo kuwa kwa wanawake, wanaume pia wananufaika na mbegu za maboga kwa namna nyingi zaidi.Moja wapo ikiwa ni Kupunguza hatari za kupata tezi dume.
Wanaume wenye tatizo la tezi dume, zaidi sana wanakabiliwa na hali ya kutaka kukojoa kila muda. Tafiti zinasema kuwa, mbegu za maboga huondoa kabisa hali hiyo.

*2.Huongeza ubora wa mbegu za kiume*.
Mbegu za maboga ni msaada kwa tatizo la nguvu za kiume.Unaweza ukawa unatoa mbegu, lakini ni dhaifu, haziwezi kutungisha mimba.Mbegu duni huwa ni dalili za mwanzo za uhanithi.
Jipatie mbegu za maboga, ili hali yako ianze kuimarika.Madini ya zinc yatakufanikishia kazi hiyo. Pia huweza kukarabati kabisa hata mbegu zilizoharibiwa na mionzi hata matumizi ya dawa za saratani.

*Njinsi ya Kuziandaa na kuzitumia mbegu za maboga*.
Kula mbegu za maboga hata siyo kazi ngumu.Ili kupata manufaa yote ya hapo juu, unaweza kutafuna zikiwa kavu kawaida. Hakika zimesafishwa vizuri na kuhifadhiwa.

🩸Lakinimpia unaweza kuzikaanga kidogo tu, kisha ukatumia kwa kutafuna.

🩸Lakini pia unaweza kuzichanganaya kwenye kachumbali au kuzisagia katika juisi yako. kumbuka kipimo ni kijiko 1 au 2 tu kwa siku.Kwa kipindi endelevu.

*Hitimisho.*
Japo mbegu za maboga zinafaida nyingi sana, mtu fulani zinaweza zisimuafiki, kutokana na changamoto mbalimbali za magonjwa. K**a ukitumia mara ya kwanza, aina hizi na ukaona zinakuletea shida, basi ni bora kuziacha na kutumia vitu vingine.

Neema herbalist clinic 🔥 0766231903

Kitungu swaumu unapokitafuna asubuhi bila chochote tumboni husaidia faida hizi - Kuzuia bacteria kwenye kinywa - Kuzuia ...
15/12/2023

Kitungu swaumu unapokitafuna asubuhi bila chochote tumboni husaidia faida hizi

- Kuzuia bacteria kwenye kinywa

- Kuzuia kwa meno kuharibika

- Kuimarisha mfumo wa tumbo

- Kuboresha uwezo utumbo kusaga chakula

- Kuimarisha mzunguko wa chakula tumboni
-

~ Vipi k**a utakunywa Kitungu sumu na maji moto zipi faida

- Huyeyusha mafuta tumboni

- Hutibu magonjwa ya minyoo tumboni.

- Kusaidia kutibu Typhoid ya tumbo.

- Huzuia matatizo ya kifua.

- Kuongeza uwezo wa nguvu za kiume

~ Vipi k**a utamix Kitungu swaumu na tangawizi

- Husaidia magonjwa ya upumuaji

- Huimarisha uwezo wa kuhema

- Huondoa matatizo ya pressure ya damu

- Hushusha pressure

~Vipi k**a utamix Kitungu swaumu na Asali

- Utakuwa unatibu magonjwa ya 24 yasio kuwa na jina sababu hayajavumbuliwa

- Utaongeza mbegu za kiume na ufanisi mzuri katika tendo la ndoa kwa wanaume

- Kutaongeza virutubisho kwenye mapafu

- Utazuia vikohozi na vumbi kwenye mapafu.

Endelea kujifunza na kuchukua hatua
Asili Yetu Afrika tunaendelea kukushika mkono wewe mwenye matatizo ya magonjwa ya uzazi k**a Fangasi, P.I.D sugu, Mirija Kuziba, Vivimbe katika kizazi, Kukosa Ujauzito, Mwanaume kuwa na matatizo ya uzazi n.k

K**a kuna changamoto ya uzazi na hujafahamu uitatue vipi basi tuandikie changamoto hiyo kwenda WhatsApp namba 0766231903 elimu hii unapewa bure kabisa

Kwa wanawake wenye changamoto za uzazi, ipo product pendwa chai dada

ambayo inasafisha via vya uzazi yaani inasafisha mirija ya uzazi na fuko la uzazi na kuondoa uchafu na maambukizi ya bakteria / fangasi (P.I.D)
.. Inaondoa makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids & ovarian cysts)
Inaondoa changamoto ya mvurugiko wa hedhi k**a unapata tatizo la kukosa hisia, kuwa mkavu ukeni wakati wa tendo, hedhi kupishana, damu ya hedhi kuwa na utelezi, hedhi kutoka mabonge, hedhi kuambatana na maumivu makali (chango) na inakusaidia kupevusha mayai siku za ovulation

Hakuna gharama ya usafirishaji, yaani ni free delivery mpaka ulipo

Kwa mawasiliano zaidi kuhusu dawa na afya ya uzazi
PIGA SIMU / WhatsApp 0766231903

Vyakula hivi vya protein vina nyuzi nyingi ambazo zitakufanya usipatwe choo kigumu na  vitakusaidia usinenepe tena karib...
15/12/2023

Vyakula hivi vya protein vina nyuzi nyingi ambazo zitakufanya usipatwe choo kigumu na vitakusaidia usinenepe tena karibuni kwenye group la kupunguza uzito ujifunze mengi bure

HABARI NJEMA KWA WOTE WANAOSUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO SUGUKwa kutumia Tiba hii ambayo imetengenezwa kwa kutumia mime...
15/12/2023

HABARI NJEMA KWA WOTE WANAOSUMBULIWA NA VIDONDA VYA TUMBO SUGU
Kwa kutumia Tiba hii ambayo imetengenezwa kwa kutumia mimea asilia na kufanyiwa utafiti kwa zaidi ya miaka 10, utaweza kupona kabisa aina zote za vidonda vya tumbo kwa 100%.

Tiba hii ya kipekee imeshawaponya mamia ya watu walioitumia na kusahau kabisa shida hizo.

Dawa hii hutibu na kuponya kabisa yafuatayo:
1. Inaponesha kabisa Vidonda vya tumbo vya aina zote ndani ya muda mfupi.
2. Inaua Bakteria wanaosababisha Vidonda Vya Tumbo (H.pylori)
3. Inaweka Ulinzi Kwenye Kuta Za Tumbo Kuzuia madhara ya Asidi.
4. Inaondoa kiungulia na matatizo yote yaliyotokana na vidonda vya Tumbo.
5. Utaanza kuona matokeo makubwa kuanzia siku saba za kutumia dawa hii
6. Inatibu kabisa tatizo la choo kigumu na hivyo kukinga pia na ugonjwa wa bawasir

OFA YA PUNGUZO KABAMBE
Kwa mwezi huu tu utaipata kwa bei ya OFA ya Tshs 120,000/= badala ya bei yake halisi ya Tshs 170,000/= ambapo utaaokoa Tshs 50,000/=)
Hii ni dozi ya siku 60 ambapo nusu dozi ya siku 30 ni Tsh 60,000/=

Wahi kabla OFA hii haijaisha ili uweze kupona na kusahau kabisa vidonda vya tumbo

Kwa tiba na ushauri wa kupona kabisa vidonda vya tumbo na magonjwa mbalimbali wasiliana nasi kwa 0766231903

Aina za vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo la ndoaSpinachiWataalamu wa afya wanasema mboga ya majani aina ya spinachi i...
15/12/2023

Aina za vyakula vinavyoongeza hamu ya tendo la ndoa

Spinachi

Wataalamu wa afya wanasema mboga ya majani aina ya spinachi ina wingi wa madini ya magnesium ambayo husaidia kusambaza damu kwenye mirija. Damu inaposambaa vyema mwilini hata hamu ya tendo la ndoa huongezeka.

👉🏾Kula kwa wingi mboga hizo kunamsaidia mwanamke hata kufikia kilele.

Chai ya Kijani (Green tea)

Chai ya kijani ina kompaundi iitwayo catechins. Hii inaelezwa kuwa inasaidia kuyeyusha mafuta mwilini.
👉🏾Lakini pia inalisaidia ini kuchuja sumu na kuisaidia mishipa ya damu kufanya kazi vizuri. Damu ikitembea vyema mwilini, ni rahisi kwa mwanamke kujisikia hamu ya tendo.

Mafuta ya samaki

Zipo aina nyingi za mafuta ya samaki. Lakini mafuta ya samaki yenye asidi ya Omega-3 yana virutubisho ambavyo huongeza kiwango cha ‘dopamine’ kwenye ubongo.

Dopamine ni eneo la ubongo linalofanya kazi ya kudhibiti faraja na hisia.
K**a dopamine
👉🏾itaongezeka basi mwanamke hujisikia kuridhika anapokuwa na mwenza wake.

Chokoleti
Pamoja na utamu wake, lakini ‘chocolate’ ina virutubisho na madini ya magnesium ambayo humfanya mwanamke kuridhika.
👉🏾Pia huufanya ubongo wa mwanamke kutulia kwa kuondoa msongo wa mawazo. Msongo wa mawazo ukiisha ni rahisi kwa mwanamke kupata hamu ya tendo la ndoa

K**a unahitaji Virutubisho lishe (Supplement) kwa ajili ya kuboresha mfumo wako wa uzazi pamoja na kuzuia kupata tezi dume wasiliana nasi

Simu/Whtasap: 0766231903

Address

Moshi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Neytips77 punguza uzito haraka posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Neytips77 punguza uzito haraka:

Share