Afya na Ustawi wangu

Afya na Ustawi wangu Tunalenga Kuboresha Afya za watu kwa kuwapa ushauri wa magonjwa mbalimbali na jinsi ya kujilinda na

Nimeishi na mke wangu na kuzaa nae watoto watatu, wakiume 2 na wakime 1. Tulipendana Sana na tulikuwa tukiishi kwa amani...
18/04/2022

Nimeishi na mke wangu na kuzaa nae watoto watatu, wakiume 2 na wakime 1. Tulipendana Sana na tulikuwa tukiishi kwa amani na upendo. Baada ya ukaguzi wa serikali kuhusiana na vyeti nilisimamishwa kazi kwa kuonekana nilifoji cheti cha form 4. Ukweli ni kwamba cheti changu kilitumiwa na ndugu yangu kuombea ajira kwenye Taasisi fulani na hapo ndipo niliposimamishwa kazi nakutakiwa nilete cheti original cha form 4. Wakati naendelea kufuatilia cheti ambacho kilikuwa kwa wazazi wangu ilemela jijini mwanza, Mke wangu alibadilika Sana na kuanza kunidharau. Hali ya maisha kwa miezi kadhaa ilikuwa ngumu sana kiasi cha kuwa na madeni mtaani. Mke wangu alinikimbia na kuacha watoto ambao kwa wakati huo walikuwa wakimuhitaji Sana. Nilipambana na watoto wangu na kwa bahati nzuri niliweza kurudishwa kazini baada ya miezi sita. Nililipa madeni ya watu na Karo za watoto wangu. Wakati huo mke wangu alianzisha mahusiano na jamaaa mwingine na akapewa uja uzito. Huyo jamaa ameukana ujauzito na kumtimua nyumbani kwake. Mke wangu amenipigia simu na kuniomba radhi nimemkatalia na kumwambia anipe muda. Kinachonishangaza juzi ameniripoti Dawati la jinsia kuwa nimetelekeza familia ikiwemo kumfukuza yeye na anadai watoto wake ambao yeye mwenyewe ndie alie waacha na kwenda kuanzisha maisha mengine.

Mtoto : Tumekuwa tukiishi na baba na mama kwa upendo mkubwa Sana. Mama ni mhasibu na baba ni mfanya biashara. Wazazi wan...
18/04/2022

Mtoto : Tumekuwa tukiishi na baba na mama kwa upendo mkubwa Sana. Mama ni mhasibu na baba ni mfanya biashara. Wazazi wangu wamekuwa bize Sana kufanya kazi na muda mwingine afadhali baba anapata muda wa kucheza nanisi na kutuhoji maswali kadhaa ingawa mengine kwa mimi mtoto wa k**e nilikuwa nashindwa kumwambia baba. Kuna kipindi alikuja mdogo wake baba ambae sisi tunamuita (Aunt) shangazi. Alikuwa akisoma chuo lakini sikumbuki ni chuo gani. Shangazi alikuwa akija nyumbani anakuja na madoli na kwasababu tulikuwa tukilala nae usiku alikuwa akituamsha tunaanza kumnyonya uke wake nasisi anatunyonya, tunaingizana vidole nyuma na mbele. Hali hiyo iliendelea kwa muda mrefu mpaka pale tulipokuwa wakubwa hatukuwahi kuwaeleza wazazi wetu kuwa Aunt (Shangazi) alikuwa akitufundisha michezo hiyo ambayo mpaka Sasa hatuwezi kuiacha Mana tumekuwa tukitamani wanawake wenzetu kuwafanyia. Aunt yetu alifariki kwa ajali ya gari mwaka 2007.

Address

Moshi

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya na Ustawi wangu posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya na Ustawi wangu:

Share