Kilimanjaro Afya.

Kilimanjaro Afya. Tunawasaidia wanawake wenye changamoto za uzazi,Kuondokana nazo kupitia Mimea asilia,vyakula na Matunda! What-SApp +255654669728.

                                                #            #   #
21/08/2024

# # #

11/07/2024

# #

09/07/2024

# 's

05/07/2024

's

03/07/2024

UNAACHWA NA KILA MWANAUME?? BASI HII NDIYO SABABU!
Leo nimeona niongelee hili swala la wanawake wengi kutodumu kwenye mahusiano au kuachwa mara kwa mara!
Kuna sababu nyingi sana zinazoweza kuchangia lkn kuna wakati mwanaume anaamua tu, kutoka na mwanamke mwingine na baadae kukuacha kabisa, wanawake wengi huona k**a hakuna tatizo ila ni maamuzi tu ya mwanaume lkn ukweli ni kwamba kuna sababu moja kubwa sana ambayo ukiwa nayo basi hakuna mwanaume atakaedumu na wewe yaani ukimpa mara mbili tu, anakuacha!
Sababu hiyo ni magonjwa katika mfumo wa uzazi ambayo yanaweza kupelekea kutokwa na mtindi ukeni,Harufu mbaya,maji maji,fungus,muwasho, au harufu mfano wa samaki, wanawake wengi wakiwa na hali hii huwa ni ngumu sana kujitambua maana siku zote tatizo la harufu ukiwa nalo mwilini sio rahisi kujijua lkn mtu mwingine akikusogelea tu anasikia harufu!
Hali hii huwa haiwezi kuvumilika na mwanaume yoyote na mbaya zaidi wanaume ni waoga sana kumwambia mwanamke ukweli kwamba anatoa harufu au uchafu hivyo huamua kutoka nje ya ndoa tu na baadae ndoa inaweza kuvunjika kabisa!
Sasa k**a una tatizo hili au bado hujui ila unahisi unalo basi usipanic nimekuandalia somo jingine kwaajili ya kujitibu wewe mwenyewe ukiwa nyumbani bila kwenye hospitali au kutumia gharama yoyote,
Katika somo hili nimeeleza hatua kwa hatua jinsi ya kutengeneza dawa hizo na k**a utataka nikutumie video hiyo basi nitumie ujumbe wenye neno VIDEO kwenye whatsapp yangu 0654669728 na nitakutumia bila malipo yoyote
http://bitly.ws/odYL

24/06/2024

's

23/06/2024

#

Address

Moshi

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Kilimanjaro Afya. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share