Twibbu herbal

Twibbu herbal Watoa huduma za tiba asilia kwa matatizo mbali mbali, kama vile, bawasiri, heshima ya ndoa, PID. nk.

*MUQAWWIY, MUQAWWIY🧄* Ukitumia dawa yetu pendwa ya MUQAWWIY utapata matokeo haya:1. Kutoa sumu mwilini na kusafisha miri...
05/02/2023

*MUQAWWIY, MUQAWWIY🧄*

Ukitumia dawa yetu pendwa ya MUQAWWIY utapata matokeo haya:

1. Kutoa sumu mwilini na kusafisha mirija ya uzazi na mishipa ya damu.

2. Kutibu chango la uzazi na kuondoa gesi tumboni.

3. kuboresha vichocheo kati ya viungo vya uzazi na ubongo.

4. kuufanya uume usisimka hata kwa wale walio athirika na punyento.

5. Inasaidia kutirirsha damu kwenye uume na kuupa nguvu na uimara.

6. Inaongeza nguvu za kiume.

7. kuongeza uwingi wa mbegu za kiume (s***m).

8. Inaongeza homoni za testosterone (homoni za jinsia ya kiume na kusimamisha uume)

9. Inasaidia na kuwezesha uume kusimama mda mrefu na kuupa afya na nguvu na kukuwezesha kufanya jimai muda mrefu.

10. Inakuwezesha kuweza kurudia tendo la ndoa.

11. Inasaidia kuupa nguvu mwili na kuzidisha kinga mwilini.

12. Inasaidia S***m kusafiri kwa kasi.

13. uume kutosinyaa haraka na kubaki na msisimko mda mrefu.

14. Inasaidia kuchelewa kufika kileleni na inakuwezesha kukaa kifuani kwa mke muda mrefu.

15. Inauwezesha uume kusimama imara na kutosinyaa wakati wa tendo la ndoa.

DELIVERY NI FREE KABISA KWA DAR ES SALAAM

Tucheki kwa namba zifuatazo uepukane na tatizo moja kwa moja, Kwa bei ya 45,000 utaletewa hadi ulipo bila gharama ya delivery ikiwa upo Dar es Salaam.

+255674916068

Kwa kopo tatu za dawa unaondokana na tatizo la upungufu wa nguvu za kiume. Tena kwa bei nafuu kabisa. Tutafute kwa mawasiliano. +255674916068

SULUHISHO SULUHISHO K**a umeteseka kwa muda mrefu basi suluhisho hili hapa Jua dalili za tatizo na kazi inayofanywa na d...
02/01/2023

SULUHISHO SULUHISHO
K**a umeteseka kwa muda mrefu basi suluhisho hili hapa

Jua dalili za tatizo na kazi inayofanywa na dawa yetu ya MUQAWWIY paada ya kuitumia

*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU*

Dalili za tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni pamoja na zifuatazo:

1. Kutokuwa na uwezo wa kuanza kusimama uume ila baada ya kuulazimisha.

2. Kushindwa kudumisha usimamaji wa uume, au kusimama uume kwa muda mfupi ambao hauruhusu kukamilika kwa tendo.

3. kumwaga mapema, au kuchelewa sanaa, au kutofika kileleni kabisa.

4. Uume kusinyaa na kurudi ndani.

5. Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

6. Uume kusimama ukiwa legelege.

7. Manii kutokua na uwezo wa kutungisha mimba.

8. Kushindwa kurudia tendo la ndoa.

9. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa.

10. Kila ukiamka asubuhi uume umelala.

11. Kuwa na kiwango kichache cha Manii.

12. Kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.
¶¶. ¶¶
Dawa ya MUQAWWIY inafanya kazi gani mwilini mwako?
Inafanya kazi zifuatazo:

1. Kutoa sumu mwilini na kusafisha mirija ya uzazi na mishipa ya damu.

2. Kutibu chango la uzazi na kuondoa gesi tumboni.

3. kuboresha vichocheo kati ya viungo vya uzazi na ubongo.

4. kuufanya uume usisimka hata kwa wale walio athirika na punyento.

5. Inasaidia kutirirsha damu kwenye uume na kuupa nguvu na uimara.

6. Inaongeza nguvu za kiume.

7. kuongeza uwingi wa mbegu za kiume (s***m).

8. Inaongeza homoni za testosterone (homoni za jinsia ya kiume na kusimamisha uume)

9. Inasaidia na kuwezesha uume kusimama mda mrefu na kuupa afya na nguvu na kukuwezesha kufanya jimai muda mrefu.

10. Inakuwezesha kuweza kurudia tendo la ndoa.

11. Inasaidia kuupa nguvu mwili na kuzidisha kinga mwilini.

12. Inasaidia S***m kusafiri kwa kasi.

13. uume kutosinyaa haraka na kubaki na msisimko mda mrefu.

14. Inasaidia kuchelewa kufika kileleni na inakuwezesha kukaa kifuani kwa mke muda mrefu.

15. Inauwezesha uume kusimama imara na kutosinyaa wakati wa tendo la ndoa.

DELIVERY NI FREE KABISA KWA DAR ES SALAAM

Tucheki kwa namba zifuatazo uepukane na tatizo moja kwa moja, Kwa bei ya 45,000 utaletewa hadi ulipo bila gharama ya delivery ikiwa upo Dar es Salaam.
+255674916068

*🌱UPUNGUFU NA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME🌱*Mwanaume huzingatiwa kuwa na tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume iw...
25/12/2022

*🌱UPUNGUFU NA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME🌱*

Mwanaume huzingatiwa kuwa na tatizo la upungufu au ukosefu wa nguvu za kiume iwapo mara kwa mara atapata dalili za tatizo la upungufu wa nguvu za kiume, pia kushindwa kumridhisha mwanamke.

wala mtu hatahesabika kua na upungufu kwa kuzingatia hali inayojitokeza mara moja moja.

*DALILI ZA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME*

Dalili za tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni pamoja na zifuatazo:

1. Kutokuwa na uwezo wa kuanza kusimama uume ila baada ya kuulazimisha.

2. Kushindwa kudumisha usimamiaji wa uume, au kusimama kwa uume kwa muda mfupi ambao hauruhusu kukamilika kwa tendo.

3. kumwaga mapema, au kuchelewa sanaa, au kutofika kileleni kabisa.

4. Uume kusinyaa na kurudi ndani.

5. Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa.

6. Uume kusimama ukiwa legelege.

7. Manii kutokua na uwezo wa kutungisha mimba.

8. Kushindwa kurudia tendo la ndoa.

9. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa.

10. Kila ukiamka asuhuhi uume umelala.

11. Kuwa na kiwango kichache cha Manii.

12. Kushindwa kumfikisha mwanamke kileleni.

*MIONGONI MWA SABABU ZA KUKOSA AU KUPUNGUKIWA NA NGUVU ZA KIUME*

*(A) Sababu za kimwili*
Mara nyingi ukosefu au upungufu wa nguvu husababishwa na sababu ya kimwili.

Sababu hizo kimwili za kawaida ni pamoja na:

1. ugonjwa wa moyo.

2. Kuziba kwa mishipa ya damu (atherosclerosis).

3. cholesterol kua juu.
Shinikizo la damu/presha.

4. Ugonjwa wa kisukari.

5. Unene kupita kiasi.

6. Ugonjwa wa kimetaboliki -ni hali ya maradhi inayojumuisha shinikizo la damu, viwango vya juu vya insulini, mafuta ya mwili kuzidi katika maeneo ya mzunguko wa kiuno na tumbo, na cholesterol ya juu.

7. ugonjwa wa Parkinson (Parkinson's Disease) Yaan mtu anatetemeka mikono/miguu bila kukusudia huku yeye ametulia tu na hawezi kujizuia, hata k**a akili yake iko vizuri.

8. Ugonjwa wa Sclerosis (Multiple Sclerosis) ugonjwa ambao huathiri mfumo wa neva, na kuathiri hisia .
9. Baadhi ya dawa zinye kemikali zikitumiwa kwa muda mrefu.

10. Uvutaji wa sigara na matumizi yote ya bidhaa za tumbaku

11. Ugonjwa wa Peyronie - kujiunda tishu za kovu ndani ya uume kuufanya upinde.

12. Ulevi na aina zingine za matumizi ya dawa za kulevya au pombe.

13. Matatizo ya usingizi.

14. Njia za kutibu saratani ya tezi dume/Prostate au Prostate iliyopanuka.

15. Upasuaji au kuumia kunakopelekea kuathiri eneo la kiuno au uti wa mgongo.

16. Upungufu wa homoni za testosterone .

17. kula vyakula visivyo na Afya.

18. Mazoea ya kutumia dawa za uchovu na maumivu.
19. Umri kusogea sana.
20. Baadhi ya matibabu ya kisasa, k**a vile mionzi kwa wenye saratani.

*(B) Sababu za kisaikolojia*

Sababu za kisaikolojia zinazopelekea kupatwa na upungufu wa nguvu za kiume.

Ubongo una jukumu kubwa katika kuanzisha mlolongo wa matukio ya kimwili ambayo husababisha kusimama kwa uume na kuibuka hisia za msisimko wa kujamiana.

Mambo mengi yanaweza kuingilia hisia za ngono na kusababisha kuharibika kwa nguvu za kiume au hali mbaya ya kulitenda tendo la ndoa.

Mambo hayo Ikiwa ni pamoja na:

1. Unyogovu/ ugonjwa wa mhemko, au hisia za huzuni, hasara, au hasira ambazo huingilia shughuli za kila siku za mtu binafsi.

Matukio muhimu ya maisha yanaweza kusababisha unyogovu, k**a vile huzuni au kupoteza kazi. Hata hivyo, hisia za uchungu zinazingatiwa kuwa sehemu ya unyogovu ikiwa zinaendelea.

Unyogovu ni shida inayoendelea, sio ya muda mfupi.

Inajumuisha matukio ya kudumu angalau wiki mbili ambapo dalili hudumu kwa wiki, miezi, au miaka .

2. Wasiwasi.

3. Hali zingine za matatizo ya afya ya akili.

4. Matatizo ya mahusiano yanayoleta msongo wa mawazo.

5. Mawasiliano duni au matatizo mengine kati ya wenza wawili.

*KINGA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.*

1. Jitahidi uondoe msongo wa mawazo.

2. Fanya mazoezi (mazoezi ya kigel na yoga) yatakusaidia hasa kwa wale wanaochoka sana baada ya tendo.

3. Jiepusha kabisa na uvutaji wa sigara na matumizi ya tumbaku.

4. Dhibiti uzito wako usikuzidi.

*TIBA YA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME .*

Ikiwa upungufu wa nguvu za kiume umetokana na tatizo la kiafya basi fanya haraka kujitibu.

Aidha ikiwa tatizo linatokana na ada za maisha za kimakosa k**a vile migogoro nk. Basi Jitahidi urekebishe.

Sambamba na hayo nikuusie kinywaji cha tangawizi, asali na kitunguu thaumu kipo vizuri sana.

*TWIBBU HERBAL TUNAYO DAWA YA NGUVU ZA KIUME.*

Dawa yetu ni ya asili inamaliza matatizo ya upungufu na ukosefu wa nguvu za kiume.

JINA LA DAWA NI *_MUQAWIY_*

*FAIDA ZA DAWA YA MUQAWIY KWA UFUPI*

1. Uume kusimama ukiwa imara k**a.

2. Kukuwezesha kukaa kifuani kwa muda mrefu.

3. Kukuwezesha kurudia tendo la ndoa zaidi ya mara mbili bila misuli ya uume kuchoka au kulegea.

4. Kuuwezesha uume kusimama wenyewe bila kuhitaji vichocheo vingi.

5. Inakufanya kukamilisha tendo la ndoa kwa ukamilifu mkubwa.

6. Kuongeza wingi wa mbegu za kiume.
7. Huongeza wingi wa manii

NOTE:
*DAWA ZIPO TATU/CHUPA TATU NA TIBA KAMILI YA MUQAWIY NI KUTUMIA DAWA ZOTE TATU (3).*

Bei zetu ni rafiki

Kwa Mawasiliano:

+255674916068

WhatsApp group 👇
https://chat.whatsapp.com/CXGd34ZEqi59Hq4Hvd8iam

Telegram 👇
TWIBBU HERBAL
Miti ni dawa ya kila ugonjwa
https://t.me/twibbu_herbal

https://twibbuherbal.wordpress.com/

*🌱CHAKULA CHENYE AFYA🌱*Elimu ya chakula chenye afya ni elimu inayotafiti viambata vya chakula anachokila binadamu na ath...
04/12/2022

*🌱CHAKULA CHENYE AFYA🌱*

Elimu ya chakula chenye afya ni elimu inayotafiti viambata vya chakula anachokila binadamu na athari zake kwenye afya ya mwili, chakula tunachokila kinabeba virutubisho maarufu ambavyo ni :
1-Proteins
2-Carbohydrates
3-Fat

Virutubisho hivi vitatu ndio nguzo mama za kuzalisha nishati na kujenga mwili na seli zake, lakini pia kuna virutubisho vingine vinavyopatikana kwenye chakula kazi yake ni kukamilisha kazi ya virutubisho vitatu vilivyotangulia na virutubisho hivyo ni :
1-vitamins
2-Minerals
3-Fiber

Tambua kwamba maji ndio kirutubisho muhimu zaidi na hiyo ni kwasababu virutubisho vyote tulivyovitaja haviwezi kufanya kazi yake isipokua kwa kuwepo maji.

Basi itoshe kujua kwamba maji ni nguzo ya uhai, na mwili hauwezi kufanya kazi yake bila maji.

Sasa turudi kuuangalia mwili unahitaji nini? Mwili unahitajika :
1-Maji.
2-wanga.
3-Mafuta.
4-Vitamin.
5-madini
6-nyuzinyuzi.

Kwa hiyo chakula kizuri ni muhimu kwa ajili ya kuhifadhi virutubisho hivi ndani ya mwili ili mwili ubaki salama na wenye afya, na kukisemwa chakula kizuri hakumaanishwi kitamu mdomoni, kunakusudiwa chenye virutubisho sahihi vinavyohitajiwa na mwili.

Na hakuna mjadala kwamba magonjwa mengi yanatokana na upungufu wa virutubisho, kila kirutubisho kina kazi yake mwilini hivyo kuzidi au kupungua kwa kirutubisho kunapelekea kupata tatizo mwilini.
--------
Imeletwa na :Abuu Khaythama Swabuni.

*TWIBBU HERBAL*
+255674916068
______
https://chat.whatsapp.com/BIQf62xvjtXBF0kRgdcLOl
_____
https://www.facebook.com/twibbuherbal
____
https://t.me/twibbu_herbal

WhatsApp Group Invite

*TRACHOMA/TRAKOMA*Ugonjwa wa trakoma ni ugonjwa wa macho ambao unaweza sababisha upofu.*Dawa weka asali tone moja kwenye...
04/12/2022

*TRACHOMA/TRAKOMA*

Ugonjwa wa trakoma ni ugonjwa wa macho ambao unaweza sababisha upofu.

*Dawa weka asali tone moja kwenye kila jicho.*

Tumia dawa hii subuhi na jioni.
Tanbihi:
Hakikisha asali ni safi

*Twibbu herbal*
+255674916068

https://twibbuherbal.wordpress.com

Telegram👇
https://t.me/twibbu_herbal

WhatsApp group 👇
https://chat.whatsapp.com/BIQf62xvjtXBF0kRgdcLOl

*🌱DALILI NA ISHARA ZA KUA UMEPATWA NA UCHAWI AU MASHETANI🌱* 1. Ukosefu wa usingizi; nako ni mtu kutoweza kupata usingizi ila baada ya muda mrefu baada ya kujipumzisha. 2. Hamaniko; Kuamka mara nyingi usingizini usiku. 3. Jinamizi; ni mtu kuona usingizini jambo linalomtia dhiki naye anataka kuo...

04/12/2022

Address

Moshi

Telephone

+255674916068

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Twibbu herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram