Jennie health care

Jennie health care My name is JENIPHA, a health consultant from MOSHI - KILIMANJARO

π—§π—œπ—•π—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π——π—¨π— π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—‘π——π—”π—‘π—œ 𝗑𝗔 π—‘π—π—˜) πŸ‘‡*0766574166*𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦/π—£π—œπ—Ÿπ—˜)πŸ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na k...
31/03/2024

π—§π—œπ—•π—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π——π—¨π— π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—‘π——π—”π—‘π—œ 𝗑𝗔 π—‘π—π—˜) πŸ‘‡
*0766574166*
𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦/π—£π—œπ—Ÿπ—˜)
πŸ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

𝗖𝗛𝗔𝗑𝗭𝗒 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
βœ“ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
βœ“ Tatizo sugu la kuharisha
βœ“ Ujauzito
βœ“ Uzito wa mwili kupita kiasi
βœ“ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
βœ“ Kupata Choo Kigumu
βœ“ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
βœ“ Kunywa pombe
βœ“ Kula sana nyama nyekundu
βœ“ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
βœ“ Ngiri (Chango/Hernia)
βœ“ Kula sana pilipili
βœ“ Kunyanyua vitu vizito

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
✍️ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
✍️ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔π—₯𝗔 𝗬𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
πŸ€ Upungufu wa damu mwilini
πŸ€ Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
πŸ€ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
πŸ€ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
πŸ€ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi (Sexual Performance)
πŸ€ Kupata tatizo la kisaikolojia
πŸ€ Kutopata ujauzito (Infertility)
πŸ€ Mimba kuharibika (Miscarriage)

π—žπ—ͺ𝗔 π—§π—œπ—•π—” 𝗑𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨π—₯π—œ π—­π—”π—œπ——π—œ
Tembelea Ofisi Zangu Zilizopo Nchi Nzima au Nipigie Sasa Kupitia

☎️0766574166

25/02/2024

TIBA YA KUDUMU YA NGIRI {HERNIA}, CHANGO - WANAWAKE NA WANAUME BILA UPASUAJI β€’{ OPERATION }β€’

Call&Txt&Whatsapp
+255766574166

DALILI ZA NGIRI CHANGA KWA WANAUME

1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2. Kupiga mingurumo tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11. Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12. Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14. Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto

DALILI ZA NGIRI (HERNIA) SUGU( iliyo komaa)

1. kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
2. kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
3. kufanyiwa UPASUAJI wa hernia
4. Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
5. kende( pumbu) kupotea zote au moja
6. Kenda kujaa maji.
7. Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wenye kujaa k**a nyama
8. Kuwa na uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani
9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani
10. Maumivu/Kusikia kichefuchefu/

DALILI ZA CHANGO LA UZAZI { WANAWAKE }

1️⃣maumivu makali wakati wa kuingia siku za hedhi
2️⃣maumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa
3️⃣homa kali anapokaribia siku zake za hedhi
4️⃣uchovu mkubwa wakati siku za hedhi
5️⃣Kuvurugika kwa mzunguko wa hedhi
6️⃣kupata michubuko kwenye sehemu za uke
7️⃣kuchukia kushiriki tendo la ndoa
8️⃣kupata uvimbe kwenye kizazi

|Tiba| ushauri| na utafiti Dawa asili|

Call & txt & Whatsapp
+255766574166.....................................

09/11/2023

π—§π—œπ—•π—” 𝗬𝗔 π—žπ—¨π——π—¨π— π—¨ 𝗬𝗔 π—§π—”π—§π—œπ—­π—’ π—Ÿπ—” 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—‘π——π—”π—‘π—œ 𝗑𝗔 π—‘π—π—˜) πŸ‘‡

𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ (π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦/π—£π—œπ—Ÿπ—˜)
πŸ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

𝗖𝗛𝗔𝗑𝗭𝗒 𝗖𝗛𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
βœ“ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
βœ“ Tatizo sugu la kuharisha
βœ“ Ujauzito
βœ“ Uzito wa mwili kupita kiasi
βœ“ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
βœ“ Kupata Choo Kigumu
βœ“ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
βœ“ Kunywa pombe
βœ“ Kula sana nyama nyekundu
βœ“ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
βœ“ Ngiri (Chango/Hernia)
βœ“ Kula sana pilipili
βœ“ Kunyanyua vitu vizito

π——π—”π—Ÿπ—œπ—Ÿπ—œ 𝗭𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
✍️ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
✍️ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
✍️ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
✍️ Kupata kinyesi chenye damu
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
✍️ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
✍️ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
✍️ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
✍️ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

𝗠𝗔𝗗𝗛𝗔π—₯𝗔 𝗬𝗔 𝗕𝗔π—ͺπ—”π—¦π—œπ—₯π—œ
(π—›π—˜π— π—’π—₯π—₯π—›π—’π—œπ——π—¦)
πŸ€ Upungufu wa damu mwilini
πŸ€ Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
πŸ€ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
πŸ€ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
πŸ€ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi (Sexual Performance)
πŸ€ Kupata tatizo la kisaikolojia
πŸ€ Kutopata ujauzito (Infertility)
πŸ€ Mimba kuharibika (Miscarriage)

π—žπ—ͺ𝗔 π—§π—œπ—•π—” 𝗑𝗔 𝗨𝗦𝗛𝗔𝗨π—₯π—œ π—­π—”π—œπ——π—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

☎️*0766574166*

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}**0766574166**BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*βž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kw...
25/08/2023

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*

*0766574166*

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
βž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*CHANZO CHA BAWASIRI*
βž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
βž– Tatizo sugu la kuharisha
βž– Ujauzito
βž– Uzito wa mwili kupita kiasi
βž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
βž– Kupata haja kubwa ngumu
βž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
βž– Kunywa pombe
βž– Kula sana nyama nyekundu
βž– Vidonda vya tumbo
βž– Ngiri(Chango/Hernia
βž– Kula sana pilipili
βž– Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
βž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
βž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
βž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
βž– Kupata kinyesi chenye damu
βž– Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
βž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
βž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
βž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
βž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
βž– Upungufu wa damu mwilini
βž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
βž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
βž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
βž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
βž– Kupata tatizo la kisaikolojia
βž– Kutopata ujauzito
βž– Mimba kuharibika

Callβž–text&smsβž–whatsappπŸ‘‡

*0766574166*

*UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA), CHANZO, DALILI NA TIBA***0766574166***Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri seh...
24/08/2023

*UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA), CHANZO, DALILI NA TIBA*
**0766574166**
*Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu zinazojulikana kitaalamu k**a *bronchioles*.

*MAMBO YANAYOSABABISHA PUMU*

*πŸ‘‰πŸ»Matatizo ya kinasaba*
*πŸ‘‰πŸ»Uvutaji wa sigara au tumbaku kipindi cha ujauzito*
*πŸ‘‰πŸ»Maendeleo ya kiuchumi*
*πŸ‘‰πŸ»Uchafuzi wa mazingira k**a moshi na baadhi ya harufu kali*
*πŸ‘‰πŸ»Baadhi ya wagonjwa wanaotumia dawa za kushusha shinikizo la damu* *zilizo katika jamii ya beta-blockers k**a vile propanolol wapo katika hatari ya kupata shambulio la ugonjwa wa pumu.*

*πŸ‘‰πŸ»Magonjwa kwenye mfumo wa kupumua yasabishwayo na baadhi ya virusi na bakteria k**a vile rhinovirus, Chlamydia pneumonia au Bordetella pertusis*
*πŸ‘‰πŸ»Ongezeko la msongo wa mawazo*
*πŸ‘‰πŸ»Upasuaji wakati wa kujifungua* *caesarian section*

*VIHATARISHI*

*✍🏻Uwezekano wa kupata ugonjwa wa* *pumu huongezeka iwapo mtu:*
*πŸ‘‰πŸ»Atakuwa na magonjwa ya mzio k**a vile magonjwa ya ngozi (eczema) au homa isababishwayo na aina fulani ya vumbi (hay fever) kwa mawasiliano kupata huduma piga

*0766574166*

24/08/2023

*UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)*
**0766574166**
Hernia ni uvimbe (eneo lililotuna) kutokana na viungo vya ndani ya mwili kusukuma kuta za misuli inayozunguka au kushikilia viungo hivyo.

✍🏻Hernia hutokea wakati kuna udhaifu au kuna tundu kwenye kuta za misuli inayoshikilia na kuviweka viungo vya tumbo kwenye sehemu yake (peritoneum).

✍🏻Udhaifu huo unaweza kuviruhusu viungo vya ndani kusukuma na kupenyeza na kujenga eneo lililotuna.

*SABABU ZA HERNIA*

✍🏻Ukiondoa hernia inayotokana na upasuaji wa awali, mara nyingi hakuna sababu inayoeleweka ya kusababisha hernia.

✍🏻Watu walio kwenye hatari zaidi ya kupata hernia ni wenye umri mkubwa, na wanaume wapo kwenye hatari zaidi kuliko wanawake.

✍🏻Hernia inaweza kujitokeza mtoto anapozaliwa au kwa watoto waliozaliwa na dosari kwenye kuta za matumbo yao.

✍🏻Vitu hivi ni pamoja na:
πŸ‘‰πŸ»Kujik**au kwa nguvu wakati wa haja kubwa kutokana na choo kuwa kigumu
πŸ‘‰πŸ»Kikoozi cha mara kwa mara
πŸ‘‰πŸ»Kuwa na tatizo la cystic fibrosis
πŸ‘‰πŸ»Kuvimba kwa tezi dume
πŸ‘‰πŸ»Unene wa kupindukia
πŸ‘‰πŸ»Kukojoa kwa shida
πŸ‘‰πŸ»Kunyanyua vitu vizito
πŸ‘‰πŸ»Maji tumboni
πŸ‘‰πŸ»Lishe duni
πŸ‘‰πŸ»uvutaji wa tumbaku
πŸ‘‰πŸ»Korodani zisizoshuka
πŸ‘‰πŸ»Uchovu wa mwili

*DALILI ZA HERNIA*

✍🏻Mara nyingi, hernia ni uvimbe unaoonekana usio na mauvimu na usiohitaji tiba ya haraka. Lakini wakati mwingine, inaweza kukukosesha raha na kuwa na maumivu, dalili zikiongezeka wakati umesimama au wakati unanyanyua vitu vizito.

✍🏻Dalili za Hernia ni:

πŸ‘‰πŸ»Maumivu
πŸ‘‰πŸ»Kusikia kichefuchefu
πŸ‘‰πŸ»Kutapika

✍🏻Uvimbe wa hernia yenye dalili hizi mara nyingi ni mgumu na huleta maumivu na hauwezi kusukumwa urudi ndani ya tumbo.

*TIBA YETU KWA WAGONJWA WA HERNIA*

✍🏻Hatufanyi upasuaji kwa mtu mwenye ngiri/Hernia ila hutumia dawa ambazo ni zina uwezo wa kuondoa tatizo kwa matumizi ya dawa kwa mda wa wiki 9 hadi wiki 12.

✍🏻Unapogundua kuwa una dalili au tatizo la ngiri, usisite kuwasiliana.
*0766574166*

21/08/2023

BAADHI YA DALILI ZA UTI
πŸ”΅Kujisikia kukojoa muda wote
πŸ”΅kuchoka sanaa
πŸ”΅Mkojo kutoa harufu
πŸ”΅Mkojo wa rangi
πŸ”΅Homa Kali
πŸ”΅kichefuchefu
πŸ”΅kutapika

BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI
▢️kuwashwa sehemu za siri
▢️Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
▢️Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri
▢️Kupata vidonda
▢️Kupata michubuko ukeni
▢️Maumivu wakati wa kukojoa
▢️Kutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
▢️Mdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

BAADHI YA DALILI ZA PID
⏩Kutokwa na uchafu mzito ukeni
⏩Uchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano
⏩Uke kutoa harufu mbaya
⏩Kuwashwa sehemu za siri
⏩maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
⏩Uke kuwa mlaini sana
⏩Maumivu wakati wa tendo la ndoa
⏩Kuvurugikwa kwa hedhi
⏩Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
⏩Maumivu wakati wa kukojoa
⏩Homa/uchovu na kuchoka
⏩kizungu zungu na n.k

BAADHI YA DALILI ZA FIBROIDS AU UVIMBE KWENYE KIZAZI
πŸ”΄Kutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
πŸ”΄Kutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni
πŸ”΄Kutokwa na uchafu mwingi na mweupe ukeni
πŸ”΄Maumivu makali ya kiuno wakati wa hedhi
πŸ”΄Tumbo kuuma sanaa chini ya kitovu
πŸ”΄Hedhi isiyokuwa na mpangilio
πŸ”΄Maumivu wakati wa tendo la ndoa
πŸ”΄Maumivu makali wakati wa hedhi
πŸ”΄kukosa hamu ya tendo la ndoa na n.k

BAADHI YA DALILI ZA HORMONE IMBALANCE (mvurugiko wa vichocheo)
πŸ”΅ukavu ukeni
πŸ”΅Maumivu wakati wa tendo la ndoa
πŸ”΅Kutoa jasho jingi usiku
πŸ”΅Maumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
πŸ”΅Kukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa
πŸ”΅Hedhi isiyo na mpangilio na n.k

BAADHI YA DALILI ZA UGUMBA
πŸ”·Kutoshika ujauzito wakati unakutana na mwanaume
πŸ”·Kutoingia kwenye siku za hatari
πŸ”·Kukosa ute wa siku za hatari
πŸ”·Zaidi ya mwaka bila kupata ujauzito huku ukishiriki tendo la ndoa na mwenzio

πŸ”₯K**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa

πŸ”΄Sisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa
πŸ”΄Kwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?

πŸ”΄Kwa ushauri au kapata huduma zetu tupigie/whatsap. 0766574166

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA (i)AKINA MAMA ***Mawasiliano ni :****0766574166*TUNA SULUHISHO KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIW...
20/08/2023

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA (i)AKINA MAMA
***Mawasiliano ni :***
*0766574166*

TUNA SULUHISHO KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'♀️
πŸ“ŒMvurugiko wa homoni
πŸ“ŒHedhi isiyo na mpangilio
πŸ“ŒUke mkavu
πŸ“ŒMirija kuziba/kujaa maji
πŸ“ŒHedhi isiyoisha
πŸ“ŒUvimbe kwenye kizazi
πŸ“ŒKutoshika ujauzito/ugumba
πŸ“ŒKukosa hedhi kipindi kirefu
πŸ“ŒWale wote waliothiriwa na matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
πŸ“ŒMimba kuharibika
πŸ“ŒKupata hedhi yenye mabongemabonge
πŸ“ŒMaumivu wakati wa tendo la ndoa
πŸ“ŒUke kutoa maji/harufu mbaya
πŸ“ŒP.I.D
πŸ“ŒKukosa hamu ya tendo la ndoa
πŸ“ŒUchafu katika mfumo mzima wa uzazi
πŸ“ŒFangasi za ukeni
πŸ“ŒMasundosundo/Vigwaru
πŸ“ŒU.T.I sugu n.K Hizi sababu ambazo zinafanya usishike Mimba

☎️☎️☎️☎️☎️☎️
*0766574166*

IFAHAMU TEZI DUMEPROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUMEMawasiliano ni*0766574166*-Hii ni tezi ya wanaume yen...
20/08/2023

IFAHAMU TEZI DUME
PROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUME
Mawasiliano ni*0766574166*

-Hii ni tezi ya wanaume yenye sifa zifuatazo.
~Ina umbo km yai(oval shape)
~Ina ukubwa wenye vipimo hivi, upana 4cm na unene 3cm ingawaje hivi vipimo vinatofautiana kwa kila mwanaume.
~Tezi hii ipo inazunguka shingo ya kibofu cha mkojo na kuzunguka mrija unaopeleka mkojo nje(urethra)
~Tezi hii hua yenye ukubwa wa kawaida lakini huongezeka ukubwa kadri ya umri.
~Tezi hii hutengeneza majimaji yenye rutuba ya mbegu za kiume(shahawa)

SEHEMU KUU ZA TEZI YA KIUME

1.PERIPHERAL ZONE(SEHEMU YA NJE)
~Hii ni sehemu ya nje ya tezi ambayo madakari wengi hutumia hii tezi kubaina k**a kuna tatizo kwenye tezi kwani ni virahisi kiugusa km daktari akiingiza ikiingiza index fingure(kidole cha kusontea) kwenye njia ya haja kubwa. Kukua kwa sehemu hii hakuwezi kuathiri utokaji wa mkojo.
2. TRANSITIONAL ZONE(SEHEMU YA KATI)
~ Hii ni sehemu ya tezi ambayo ikikua yani ikiongezeka ukubwa tunasema KUVIMBA KWA TEZI DUME kitalamu BENIGN PROSTATIC HYPERPLASIA (BPH) kuna uwezekano mkubwa wa tezi dume iliyovimba kuzuia njia ya mkojo kupita. Kwani ndio sehemu ya tezi iliyo karibu kabisa na njia ya mkojo. Mara nyingi hii sehemu ikikua ndio inayo sababisha matatizo ya kukojoa(obstructive symptoms). Tezi hii pia daktari anaweza kuibaini kwa kutumia kidole kipomo hiki huitwa DIGITAL RE**AL EXAMINATION(DRE)
hii ni kwa sababu ikikua inasukuma ile sehemu ya pembezoni yani peripheral zone kuelekea njia ya haja kubwa. Hivyo dakatri anaweza kubaini km tezi imekua au laa.
3. CENTRAL ZONE(SEHEMU YA KATI)
~Hii sehemu iko mbele ya transitional zone hivyo uvimbe katika sehemu hii ni vigumu kubaini kipitia kipimo hiki cha haraka cha kutumia kidole hivyo tunatumia vipomo vya picha kinaitwa CYTOSCOPY. Hiki ni kipimo cha picha kinacho angalia kipofu cha mkojo na njia ya mkojo na kutoa majibu katika mfumo ya picha au video.

KUKUA KWA TEZI YA KIUME
~Kukua kwa tezi ya kiume kitalamu tunaita BENIGN PROSTATIC HYPERPLASIA (BPH). Hili tatizo mara nyingi huanza baada ya miaka 40 hivi na dalili huja kujionesha uzeeni. Hivyo tezi inaweza ikawa kubwa sana lakini haina dalili hii ni kutokana na sehemu gani ya tezi iliyovimba au kuongezeka. Tezi inapoonesha dalili jua tatizo hilo ni sugu na liko ktk hali mbaya.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI
1. Kukojoa mara kwa mara
2. Kubakiza mkojo kwenye kibofu
3. Kukujoa sana usiku
4. Maumivu wakati wa kukojoa
5.Kupungukiwa nguvu za kiume
6. UTI ya mara kwa mara
7. Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikano wa mkojo.
8. Figo kujaa maji. Hii sababu mkojo huo unarudi nyuma kuelekea figo(hydronephrosis)
9. Kupoteza fahamu(uremia)
HIZI DALILI NIMEZITAJA KULINGANA NA TATIZO LINAVYOKUWA SUGU KWA MGONJWA HIVYO UGONJWA HUU NI HATARI USIPO WAHI.

JINSI YA KUBAINI KUVIMBA KWA TEZI
~Kumbuka BPH sio kansa ni uvimbe tu wa kawaida wa tezi lkn kumbuka tezi hii inaweza kuvimba pia kutokana na kansa ya tezi dume (prostate cancer)
1. Uchunguzi wa kawaida kwa kutumia kidole kupitia njia ya haja kubwa kuangalia k**a tezi ina tatizo. Kipimo hiki huitwa DIGITAL RE**AL EXAMINATION. Baada ya kipimo hicho daktari huandika alicho kigusa k**a ni ugonjwa au iko kawaida.
2. Hiki ni kipimo cha kupiga picha kibofu cha mkojo kinaitwa CYTOSCOPE. Kumbuka kipimo hiki una ingiziwa waya flani wenye tochi mbele kwenye njia ya mkojo huku huo waya umeunga nishwa kwenye screen. Hivyo chochote huo waya utakacho murika kitaonekana kwenye screen. Ubaya wa hiki kipimo ni kwamba kinaweza kuumiza kuta za njia ya mkojo na baada ya wiki km mbili njia inaweza kuziba mbili jeraha linapo pona. Ila ni kipimo kizuri sana.
3. Kipimo kingine kinaitwa RE**AL UTRASOUND hiki ni kipimo cha kupiga picha kupitia njia ya haja kubwa (re**al) na kutoa picha kwenye jarida gumu kumsaidia daktari kusoma.
4. Kipimo cha kutofautisha kati ya uvimbe wa kawaida(BPH) na kansa ya kipofu(PROSTATE CANCER) Kipimo hiki kinaitwa PROSTATIC SPECIFIC ANTIGEN. Hii ni protein inatolea kwa wingi endapo kuna kansa ya tezi dume. Hivyo damu ya mgonjwa itachukuliwa na kupekwa maabala kuchunguza km ni nyingi kupita kiasi kwenye damu. K**a hii protein ipo kawaida basi uvimbe huo sio kansa ni BPH. Lakini km kiwango ni kingi uvimbe huo ni KANSA. Hivyo uchunguzi zaidi unahitajika k**a kuchukua sample ya kinyama kutoka katika tezi na kupeleka maabala.

MATIBABU YA KUKUA KWA TEZI DUME

1. Tezi dume k**a haina dalili zozote mara nyingi waga haishighulikiwi sana hospitali lakini dawa za kupunguza kasi anaweza pewa mgonjwa. Lakink ni mara chache.
2. K**a tezi imesha anza kuleta dalili k**a usumbufu wakati wa kukojoa siku hizi kuna operation ya bila kukata inaitwa TRANSURETHRAL RECTIONING OF PROSTATE AU CHANNEL TURP.
Hii operation inafanywa k**a akiwa anafanya kipimo cha CYSTOSCOPE. Lakini hapa anaweka wire mbele kiko chamviringo kinapitishwa njia ya mkojo kina enda kukata kinyama kinachoziba i mean tezi iliyovimba. Hapa inazibua njia ya mkojo ili mtu akojoe. Ukifanyiwa operation hii vizuri tezi hujirudia baada ya miaka k**a 3-5 tangu siku ya operation.
MADHARA YA TIBA HII
1. Kukosa uwezo wa kufikia kishindo yani hutoi shahawa(RETROGRADE EJ*******ON) wazee wengi hulalamika sana baada ya hii operation hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.
2. Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hizo wakati wa kitendo hicho. Panapokua panapona hilo kovu linaziba njia ya mkojo.
3. Operation kubwa ya kuondoa tezi hio hufanyika kwa kufungua kibofu cha mkojo na kutoa hio tezi. Madhara ni mengi sana kuhusu hii bora ile no mbili

KWA ATAKAYE HITAJI KINGA/ TIBA YA TEZI DUME
Call 0766574166

Address

Moshi-Kilimanjaro
Moshi

Telephone

+255766574166

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jennie health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jennie health care:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram