Jennie health care

Jennie health care My name is JENIPHA, a health consultant from MOSHI - KILIMANJARO

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ (๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ก๐—๐—˜) ๐Ÿ‘‡*0766574166*๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ (๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ/๐—ฃ๐—œ๐—Ÿ๐—˜)๐Ÿ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na k...
31/03/2024

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ (๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ก๐—๐—˜) ๐Ÿ‘‡
*0766574166*
๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ (๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ/๐—ฃ๐—œ๐—Ÿ๐—˜)
๐Ÿ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข ๐—–๐—›๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ
(๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ)
โœ“ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
โœ“ Tatizo sugu la kuharisha
โœ“ Ujauzito
โœ“ Uzito wa mwili kupita kiasi
โœ“ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
โœ“ Kupata Choo Kigumu
โœ“ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โœ“ Kunywa pombe
โœ“ Kula sana nyama nyekundu
โœ“ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
โœ“ Ngiri (Chango/Hernia)
โœ“ Kula sana pilipili
โœ“ Kunyanyua vitu vizito

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ
(๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ)
โœ๏ธ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โœ๏ธ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โœ๏ธ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
โœ๏ธ Kupata kinyesi chenye damu
โœ๏ธ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โœ๏ธ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โœ๏ธ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โœ๏ธ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โœ๏ธ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ
(๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ)
๐Ÿ€ Upungufu wa damu mwilini
๐Ÿ€ Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
๐Ÿ€ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
๐Ÿ€ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
๐Ÿ€ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi (Sexual Performance)
๐Ÿ€ Kupata tatizo la kisaikolojia
๐Ÿ€ Kutopata ujauzito (Infertility)
๐Ÿ€ Mimba kuharibika (Miscarriage)

๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ
Tembelea Ofisi Zangu Zilizopo Nchi Nzima au Nipigie Sasa Kupitia

โ˜Ž๏ธ0766574166

25/02/2024

TIBA YA KUDUMU YA NGIRI {HERNIA}, CHANGO - WANAWAKE NA WANAUME BILA UPASUAJI โ€ข{ OPERATION }โ€ข

Call&Txt&Whatsapp
+255766574166

DALILI ZA NGIRI CHANGA KWA WANAUME

1. Kubana tumbo khasa chini ya kitovu wakati wa baridi au unapokula vitu vitamu.
2. Kupiga mingurumo tumboni.
3. Kujaa gesi tumboni.
4. Kuhisi haja kubwa na ukifika chooni unatoa upepo tu.
5. Kupata haja ngumu k**a ya mbuzi.
6. Kukaa siku kadhaa bila kwenda haja kubwa.
7. Wakati fulani unakwenda haja sana, kila mara.
8. Unaweza kufanya jimai mara moja tu kisha hamu inakuishia hupati nguvu tena mpaka kesho.
9. Nuru ya macho hupotea taratibu.
10. Hutokea wakati mwingine kufanya jimai mwanzo kabisa au katikati ya tendo gari linazimika.
11. Kuvutwa makende au upande mmoja maumivu.
12. Kupiga mishale sehemu za haja kubwa na pembeni karibu na tupu.
13. Maumivu makali ya mgongo au kiuno
14. Uume kusinyaa na kunywea k**a wa mtoto

DALILI ZA NGIRI (HERNIA) SUGU( iliyo komaa)

1. kende(pumbu) moja au mbili kuvimba
2. kuvimba Juu ya kinena kushoto au kulia
3. kufanyiwa UPASUAJI wa hernia
4. Kufanyiwa UPASUAJI kisha ika rejea tena
5. kende( pumbu) kupotea zote au moja
6. Kenda kujaa maji.
7. Kuvimba kwa kitovu au kende uvimbe wenye kujaa k**a nyama
8. Kuwa na uvimbe unaoteremka kuingia ndani ya korodani
9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kuteremka hadi ndani ya korodani
10. Maumivu/Kusikia kichefuchefu/

DALILI ZA CHANGO LA UZAZI { WANAWAKE }

1๏ธโƒฃmaumivu makali wakati wa kuingia siku za hedhi
2๏ธโƒฃmaumivu makali wakati wa kushiriki tendo la ndoa
3๏ธโƒฃhoma kali anapokaribia siku zake za hedhi
4๏ธโƒฃuchovu mkubwa wakati siku za hedhi
5๏ธโƒฃKuvurugika kwa mzunguko wa hedhi
6๏ธโƒฃkupata michubuko kwenye sehemu za uke
7๏ธโƒฃkuchukia kushiriki tendo la ndoa
8๏ธโƒฃkupata uvimbe kwenye kizazi

|Tiba| ushauri| na utafiti Dawa asili|

Call & txt & Whatsapp
+255766574166.....................................

09/11/2023

๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—ž๐—จ๐——๐—จ๐— ๐—จ ๐—ฌ๐—” ๐—ง๐—”๐—ง๐—œ๐—ญ๐—ข ๐—Ÿ๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ (๐—ก๐——๐—”๐—ก๐—œ ๐—ก๐—” ๐—ก๐—๐—˜) ๐Ÿ‘‡

๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ (๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ/๐—ฃ๐—œ๐—Ÿ๐—˜)
๐Ÿ‘‰ Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

๐—–๐—›๐—”๐—ก๐—ญ๐—ข ๐—–๐—›๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ
(๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ)
โœ“ Tabia ya kukaa sehemu moja kwa muda mrefu mfano (Madereva/Mafundi kushona)
โœ“ Tatizo sugu la kuharisha
โœ“ Ujauzito
โœ“ Uzito wa mwili kupita kiasi
โœ“ Kufanya ngono Kinyume na Maumbile (kulawitiwa)
โœ“ Kupata Choo Kigumu
โœ“ Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โœ“ Kunywa pombe
โœ“ Kula sana nyama nyekundu
โœ“ Vidonda vya tumbo (Ulcers)
โœ“ Ngiri (Chango/Hernia)
โœ“ Kula sana pilipili
โœ“ Kunyanyua vitu vizito

๐——๐—”๐—Ÿ๐—œ๐—Ÿ๐—œ ๐—ญ๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ
(๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ)
โœ๏ธ Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โœ๏ธ Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โœ๏ธ Kutokewa na kiuvimbe katika tundu La Haja kubwa
โœ๏ธ Kupata kinyesi chenye damu
โœ๏ธ Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โœ๏ธ kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โœ๏ธ Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โœ๏ธ Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โœ๏ธ Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

๐— ๐—”๐——๐—›๐—”๐—ฅ๐—” ๐—ฌ๐—” ๐—•๐—”๐—ช๐—”๐—ฆ๐—œ๐—ฅ๐—œ
(๐—›๐—˜๐— ๐—ข๐—ฅ๐—ฅ๐—›๐—ข๐—œ๐——๐—ฆ)
๐Ÿ€ Upungufu wa damu mwilini
๐Ÿ€ Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
๐Ÿ€ Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
๐Ÿ€ Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
๐Ÿ€ Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi (Sexual Performance)
๐Ÿ€ Kupata tatizo la kisaikolojia
๐Ÿ€ Kutopata ujauzito (Infertility)
๐Ÿ€ Mimba kuharibika (Miscarriage)

๐—ž๐—ช๐—” ๐—ง๐—œ๐—•๐—” ๐—ก๐—” ๐—จ๐—ฆ๐—›๐—”๐—จ๐—ฅ๐—œ ๐—ญ๐—”๐—œ๐——๐—œ
Tembelea Ofisi Zetu Zilizopo Nchi Nzima au Tupigie Sasa Kupitia

โ˜Ž๏ธ*0766574166*

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}**0766574166**BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*โž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kw...
25/08/2023

*TIBA YA KUDUMU YA BAWASIRI {NDANI NA NJE}*

*0766574166*

*BAWASIRI {HEMORRHOIDS/PILE*
โž– Ni ugonjwa unaotokana na kuvimba kwa mishipa ya damu katika mfereji wa njia ya haja kubwa na kuoelekea kuota kinyama sehemu ya haja kubwa

*CHANZO CHA BAWASIRI*
โž– Tabia ya kuketi sehemu moja kwa muda mrefu mfano; madereva
โž– Tatizo sugu la kuharisha
โž– Ujauzito
โž– Uzito wa mwili kupita kiasi
โž– Kufanya ngono kupitia tundu la haja kubwa (kulawitiwa)
โž– Kupata haja kubwa ngumu
โž– Kua na mgandamizo mkubwa tumboni
โž– Kunywa pombe
โž– Kula sana nyama nyekundu
โž– Vidonda vya tumbo
โž– Ngiri(Chango/Hernia
โž– Kula sana pilipili
โž– Kunyanyua vitu vizito

*DALILI ZA BAWASIRI*
โž– Kupata muwasho mkali katika eneo la juu la haja kubwa
โž– Kujitokeza kwa kinyama eneo la haja kubwa
โž– Kutokewa na kiuvimbe katika tundu ya haja kubwa
โž– Kupata kinyesi chenye damu
โž– Kupata maumivu makali wakati wa
kujisaidia haja kubwa
โž– kutokwa na uteute sehemu ya haja kubwa
โž– Kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia haja kubwa na kusababisha mishipa ya sehemu ya haja kubwa kukwanguliwa
โž– Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya utumbo (Cancer) kwasababu kile kinyama kinakaa k**a kidonda
โž– Uume kusinya (unapoteza urefu na ukak**avu)

*MADHARA YA BAWASIRI*
โž– Upungufu wa damu mwilini
โž–Kutokwa na kinyesi bila kujitambua
โž– Kukosa hamu ya kufanya tendo la ndoa
โž– Kupungukia nguvu za kiume (kwa wanaume)
โž– Kupungukiwa na uwezo wa kufanya kazi kutokana na maumivu
โž– Kupata tatizo la kisaikolojia
โž– Kutopata ujauzito
โž– Mimba kuharibika

Callโž–text&smsโž–whatsapp๐Ÿ‘‡

*0766574166*

*UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA), CHANZO, DALILI NA TIBA***0766574166***Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri seh...
24/08/2023

*UGONJWA WA PUMU (BRONCHIAL ASTHMA), CHANZO, DALILI NA TIBA*
**0766574166**
*Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu zinazojulikana kitaalamu k**a *bronchioles*.

*MAMBO YANAYOSABABISHA PUMU*

*๐Ÿ‘‰๐ŸปMatatizo ya kinasaba*
*๐Ÿ‘‰๐ŸปUvutaji wa sigara au tumbaku kipindi cha ujauzito*
*๐Ÿ‘‰๐ŸปMaendeleo ya kiuchumi*
*๐Ÿ‘‰๐ŸปUchafuzi wa mazingira k**a moshi na baadhi ya harufu kali*
*๐Ÿ‘‰๐ŸปBaadhi ya wagonjwa wanaotumia dawa za kushusha shinikizo la damu* *zilizo katika jamii ya beta-blockers k**a vile propanolol wapo katika hatari ya kupata shambulio la ugonjwa wa pumu.*

*๐Ÿ‘‰๐ŸปMagonjwa kwenye mfumo wa kupumua yasabishwayo na baadhi ya virusi na bakteria k**a vile rhinovirus, Chlamydia pneumonia au Bordetella pertusis*
*๐Ÿ‘‰๐ŸปOngezeko la msongo wa mawazo*
*๐Ÿ‘‰๐ŸปUpasuaji wakati wa kujifungua* *caesarian section*

*VIHATARISHI*

*โœ๐ŸปUwezekano wa kupata ugonjwa wa* *pumu huongezeka iwapo mtu:*
*๐Ÿ‘‰๐ŸปAtakuwa na magonjwa ya mzio k**a vile magonjwa ya ngozi (eczema) au homa isababishwayo na aina fulani ya vumbi (hay fever) kwa mawasiliano kupata huduma piga

*0766574166*

24/08/2023

*UGONJWA WA NGIRI (HERNIA)*
**0766574166**
Hernia ni uvimbe (eneo lililotuna) kutokana na viungo vya ndani ya mwili kusukuma kuta za misuli inayozunguka au kushikilia viungo hivyo.

โœ๐ŸปHernia hutokea wakati kuna udhaifu au kuna tundu kwenye kuta za misuli inayoshikilia na kuviweka viungo vya tumbo kwenye sehemu yake (peritoneum).

โœ๐ŸปUdhaifu huo unaweza kuviruhusu viungo vya ndani kusukuma na kupenyeza na kujenga eneo lililotuna.

*SABABU ZA HERNIA*

โœ๐ŸปUkiondoa hernia inayotokana na upasuaji wa awali, mara nyingi hakuna sababu inayoeleweka ya kusababisha hernia.

โœ๐ŸปWatu walio kwenye hatari zaidi ya kupata hernia ni wenye umri mkubwa, na wanaume wapo kwenye hatari zaidi kuliko wanawake.

โœ๐ŸปHernia inaweza kujitokeza mtoto anapozaliwa au kwa watoto waliozaliwa na dosari kwenye kuta za matumbo yao.

โœ๐ŸปVitu hivi ni pamoja na:
๐Ÿ‘‰๐ŸปKujik**au kwa nguvu wakati wa haja kubwa kutokana na choo kuwa kigumu
๐Ÿ‘‰๐ŸปKikoozi cha mara kwa mara
๐Ÿ‘‰๐ŸปKuwa na tatizo la cystic fibrosis
๐Ÿ‘‰๐ŸปKuvimba kwa tezi dume
๐Ÿ‘‰๐ŸปUnene wa kupindukia
๐Ÿ‘‰๐ŸปKukojoa kwa shida
๐Ÿ‘‰๐ŸปKunyanyua vitu vizito
๐Ÿ‘‰๐ŸปMaji tumboni
๐Ÿ‘‰๐ŸปLishe duni
๐Ÿ‘‰๐Ÿปuvutaji wa tumbaku
๐Ÿ‘‰๐ŸปKorodani zisizoshuka
๐Ÿ‘‰๐ŸปUchovu wa mwili

*DALILI ZA HERNIA*

โœ๐ŸปMara nyingi, hernia ni uvimbe unaoonekana usio na mauvimu na usiohitaji tiba ya haraka. Lakini wakati mwingine, inaweza kukukosesha raha na kuwa na maumivu, dalili zikiongezeka wakati umesimama au wakati unanyanyua vitu vizito.

โœ๐ŸปDalili za Hernia ni:

๐Ÿ‘‰๐ŸปMaumivu
๐Ÿ‘‰๐ŸปKusikia kichefuchefu
๐Ÿ‘‰๐ŸปKutapika

โœ๐ŸปUvimbe wa hernia yenye dalili hizi mara nyingi ni mgumu na huleta maumivu na hauwezi kusukumwa urudi ndani ya tumbo.

*TIBA YETU KWA WAGONJWA WA HERNIA*

โœ๐ŸปHatufanyi upasuaji kwa mtu mwenye ngiri/Hernia ila hutumia dawa ambazo ni zina uwezo wa kuondoa tatizo kwa matumizi ya dawa kwa mda wa wiki 9 hadi wiki 12.

โœ๐ŸปUnapogundua kuwa una dalili au tatizo la ngiri, usisite kuwasiliana.
*0766574166*

21/08/2023

BAADHI YA DALILI ZA UTI
๐Ÿ”ตKujisikia kukojoa muda wote
๐Ÿ”ตkuchoka sanaa
๐Ÿ”ตMkojo kutoa harufu
๐Ÿ”ตMkojo wa rangi
๐Ÿ”ตHoma Kali
๐Ÿ”ตkichefuchefu
๐Ÿ”ตkutapika

BAADHI YA DALILI ZA FANGASI UKENI
โ–ถ๏ธkuwashwa sehemu za siri
โ–ถ๏ธKuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa
โ–ถ๏ธKuhisi kuwaka moto sehemu za siri
โ–ถ๏ธKupata vidonda
โ–ถ๏ธKupata michubuko ukeni
โ–ถ๏ธMaumivu wakati wa kukojoa
โ–ถ๏ธKutokwa na uchafu wa rangi mweupe ukeni usio wa kawaida
โ–ถ๏ธMdomo wa uke kuvimba na kuwa na rangi nyekundu

BAADHI YA DALILI ZA PID
โฉKutokwa na uchafu mzito ukeni
โฉUchafu ukeni wa rangi nyeupe au njano
โฉUke kutoa harufu mbaya
โฉKuwashwa sehemu za siri
โฉmaumivu makali ya tumbo chini ya kitovu
โฉUke kuwa mlaini sana
โฉMaumivu wakati wa tendo la ndoa
โฉKuvurugikwa kwa hedhi
โฉKutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi
โฉMaumivu wakati wa kukojoa
โฉHoma/uchovu na kuchoka
โฉkizungu zungu na n.k

BAADHI YA DALILI ZA FIBROIDS AU UVIMBE KWENYE KIZAZI
๐Ÿ”ดKutokwa na damu kwenye via vya uzazi katikati ya mwezi
๐Ÿ”ดKutokwa na uchafu wenye harufu mbaya ukeni
๐Ÿ”ดKutokwa na uchafu mwingi na mweupe ukeni
๐Ÿ”ดMaumivu makali ya kiuno wakati wa hedhi
๐Ÿ”ดTumbo kuuma sanaa chini ya kitovu
๐Ÿ”ดHedhi isiyokuwa na mpangilio
๐Ÿ”ดMaumivu wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ”ดMaumivu makali wakati wa hedhi
๐Ÿ”ดkukosa hamu ya tendo la ndoa na n.k

BAADHI YA DALILI ZA HORMONE IMBALANCE (mvurugiko wa vichocheo)
๐Ÿ”ตukavu ukeni
๐Ÿ”ตMaumivu wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ”ตKutoa jasho jingi usiku
๐Ÿ”ตMaumivu chini ya kitovu wakati wa hedhi
๐Ÿ”ตKukosa hamu kabisa ya tendo la ndoa
๐Ÿ”ตHedhi isiyo na mpangilio na n.k

BAADHI YA DALILI ZA UGUMBA
๐Ÿ”ทKutoshika ujauzito wakati unakutana na mwanaume
๐Ÿ”ทKutoingia kwenye siku za hatari
๐Ÿ”ทKukosa ute wa siku za hatari
๐Ÿ”ทZaidi ya mwaka bila kupata ujauzito huku ukishiriki tendo la ndoa na mwenzio

๐Ÿ”ฅK**a una dalili kati ya hizo chukuwa hatua sasa

๐Ÿ”ดSisi hatutulizi tatizo bali tunakinga,tunazuia,tunadhibiti na kuponya kabisa
๐Ÿ”ดKwanini unateseka na tatizo linalodhibitika?

๐Ÿ”ดKwa ushauri au kapata huduma zetu tupigie/whatsap. 0766574166

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA (i)AKINA MAMA ***Mawasiliano ni :****0766574166*TUNA SULUHISHO KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIW...
20/08/2023

KWA MATATIZO YOTE YA UZAZI KWA (i)AKINA MAMA
***Mawasiliano ni :***
*0766574166*

TUNA SULUHISHO KWA WANAWAKE WANAOSUMBULIWA NA MATATIZO YAFUATAYO'โ™€๏ธ
๐Ÿ“ŒMvurugiko wa homoni
๐Ÿ“ŒHedhi isiyo na mpangilio
๐Ÿ“ŒUke mkavu
๐Ÿ“ŒMirija kuziba/kujaa maji
๐Ÿ“ŒHedhi isiyoisha
๐Ÿ“ŒUvimbe kwenye kizazi
๐Ÿ“ŒKutoshika ujauzito/ugumba
๐Ÿ“ŒKukosa hedhi kipindi kirefu
๐Ÿ“ŒWale wote waliothiriwa na matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
๐Ÿ“ŒMimba kuharibika
๐Ÿ“ŒKupata hedhi yenye mabongemabonge
๐Ÿ“ŒMaumivu wakati wa tendo la ndoa
๐Ÿ“ŒUke kutoa maji/harufu mbaya
๐Ÿ“ŒP.I.D
๐Ÿ“ŒKukosa hamu ya tendo la ndoa
๐Ÿ“ŒUchafu katika mfumo mzima wa uzazi
๐Ÿ“ŒFangasi za ukeni
๐Ÿ“ŒMasundosundo/Vigwaru
๐Ÿ“ŒU.T.I sugu n.K Hizi sababu ambazo zinafanya usishike Mimba

โ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธโ˜Ž๏ธ
*0766574166*

IFAHAMU TEZI DUMEPROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUMEMawasiliano ni*0766574166*-Hii ni tezi ya wanaume yen...
20/08/2023

IFAHAMU TEZI DUME
PROSTATE GLAND (TEZI DUME) TATIZO SUGU KWA WANAUME
Mawasiliano ni*0766574166*

-Hii ni tezi ya wanaume yenye sifa zifuatazo.
~Ina umbo km yai(oval shape)
~Ina ukubwa wenye vipimo hivi, upana 4cm na unene 3cm ingawaje hivi vipimo vinatofautiana kwa kila mwanaume.
~Tezi hii ipo inazunguka shingo ya kibofu cha mkojo na kuzunguka mrija unaopeleka mkojo nje(urethra)
~Tezi hii hua yenye ukubwa wa kawaida lakini huongezeka ukubwa kadri ya umri.
~Tezi hii hutengeneza majimaji yenye rutuba ya mbegu za kiume(shahawa)

SEHEMU KUU ZA TEZI YA KIUME

1.PERIPHERAL ZONE(SEHEMU YA NJE)
~Hii ni sehemu ya nje ya tezi ambayo madakari wengi hutumia hii tezi kubaina k**a kuna tatizo kwenye tezi kwani ni virahisi kiugusa km daktari akiingiza ikiingiza index fingure(kidole cha kusontea) kwenye njia ya haja kubwa. Kukua kwa sehemu hii hakuwezi kuathiri utokaji wa mkojo.
2. TRANSITIONAL ZONE(SEHEMU YA KATI)
~ Hii ni sehemu ya tezi ambayo ikikua yani ikiongezeka ukubwa tunasema KUVIMBA KWA TEZI DUME kitalamu BENIGN PROSTATIC HYPERPLASIA (BPH) kuna uwezekano mkubwa wa tezi dume iliyovimba kuzuia njia ya mkojo kupita. Kwani ndio sehemu ya tezi iliyo karibu kabisa na njia ya mkojo. Mara nyingi hii sehemu ikikua ndio inayo sababisha matatizo ya kukojoa(obstructive symptoms). Tezi hii pia daktari anaweza kuibaini kwa kutumia kidole kipomo hiki huitwa DIGITAL RE**AL EXAMINATION(DRE)
hii ni kwa sababu ikikua inasukuma ile sehemu ya pembezoni yani peripheral zone kuelekea njia ya haja kubwa. Hivyo dakatri anaweza kubaini km tezi imekua au laa.
3. CENTRAL ZONE(SEHEMU YA KATI)
~Hii sehemu iko mbele ya transitional zone hivyo uvimbe katika sehemu hii ni vigumu kubaini kipitia kipimo hiki cha haraka cha kutumia kidole hivyo tunatumia vipomo vya picha kinaitwa CYTOSCOPY. Hiki ni kipimo cha picha kinacho angalia kipofu cha mkojo na njia ya mkojo na kutoa majibu katika mfumo ya picha au video.

KUKUA KWA TEZI YA KIUME
~Kukua kwa tezi ya kiume kitalamu tunaita BENIGN PROSTATIC HYPERPLASIA (BPH). Hili tatizo mara nyingi huanza baada ya miaka 40 hivi na dalili huja kujionesha uzeeni. Hivyo tezi inaweza ikawa kubwa sana lakini haina dalili hii ni kutokana na sehemu gani ya tezi iliyovimba au kuongezeka. Tezi inapoonesha dalili jua tatizo hilo ni sugu na liko ktk hali mbaya.

DALILI ZA KUVIMBA KWA TEZI
1. Kukojoa mara kwa mara
2. Kubakiza mkojo kwenye kibofu
3. Kukujoa sana usiku
4. Maumivu wakati wa kukojoa
5.Kupungukiwa nguvu za kiume
6. UTI ya mara kwa mara
7. Mawe kwenye kibofu kutokana na mrundikano wa mkojo.
8. Figo kujaa maji. Hii sababu mkojo huo unarudi nyuma kuelekea figo(hydronephrosis)
9. Kupoteza fahamu(uremia)
HIZI DALILI NIMEZITAJA KULINGANA NA TATIZO LINAVYOKUWA SUGU KWA MGONJWA HIVYO UGONJWA HUU NI HATARI USIPO WAHI.

JINSI YA KUBAINI KUVIMBA KWA TEZI
~Kumbuka BPH sio kansa ni uvimbe tu wa kawaida wa tezi lkn kumbuka tezi hii inaweza kuvimba pia kutokana na kansa ya tezi dume (prostate cancer)
1. Uchunguzi wa kawaida kwa kutumia kidole kupitia njia ya haja kubwa kuangalia k**a tezi ina tatizo. Kipimo hiki huitwa DIGITAL RE**AL EXAMINATION. Baada ya kipimo hicho daktari huandika alicho kigusa k**a ni ugonjwa au iko kawaida.
2. Hiki ni kipimo cha kupiga picha kibofu cha mkojo kinaitwa CYTOSCOPE. Kumbuka kipimo hiki una ingiziwa waya flani wenye tochi mbele kwenye njia ya mkojo huku huo waya umeunga nishwa kwenye screen. Hivyo chochote huo waya utakacho murika kitaonekana kwenye screen. Ubaya wa hiki kipimo ni kwamba kinaweza kuumiza kuta za njia ya mkojo na baada ya wiki km mbili njia inaweza kuziba mbili jeraha linapo pona. Ila ni kipimo kizuri sana.
3. Kipimo kingine kinaitwa RE**AL UTRASOUND hiki ni kipimo cha kupiga picha kupitia njia ya haja kubwa (re**al) na kutoa picha kwenye jarida gumu kumsaidia daktari kusoma.
4. Kipimo cha kutofautisha kati ya uvimbe wa kawaida(BPH) na kansa ya kipofu(PROSTATE CANCER) Kipimo hiki kinaitwa PROSTATIC SPECIFIC ANTIGEN. Hii ni protein inatolea kwa wingi endapo kuna kansa ya tezi dume. Hivyo damu ya mgonjwa itachukuliwa na kupekwa maabala kuchunguza km ni nyingi kupita kiasi kwenye damu. K**a hii protein ipo kawaida basi uvimbe huo sio kansa ni BPH. Lakini km kiwango ni kingi uvimbe huo ni KANSA. Hivyo uchunguzi zaidi unahitajika k**a kuchukua sample ya kinyama kutoka katika tezi na kupeleka maabala.

MATIBABU YA KUKUA KWA TEZI DUME

1. Tezi dume k**a haina dalili zozote mara nyingi waga haishighulikiwi sana hospitali lakini dawa za kupunguza kasi anaweza pewa mgonjwa. Lakink ni mara chache.
2. K**a tezi imesha anza kuleta dalili k**a usumbufu wakati wa kukojoa siku hizi kuna operation ya bila kukata inaitwa TRANSURETHRAL RECTIONING OF PROSTATE AU CHANNEL TURP.
Hii operation inafanywa k**a akiwa anafanya kipimo cha CYSTOSCOPE. Lakini hapa anaweka wire mbele kiko chamviringo kinapitishwa njia ya mkojo kina enda kukata kinyama kinachoziba i mean tezi iliyovimba. Hapa inazibua njia ya mkojo ili mtu akojoe. Ukifanyiwa operation hii vizuri tezi hujirudia baada ya miaka k**a 3-5 tangu siku ya operation.
MADHARA YA TIBA HII
1. Kukosa uwezo wa kufikia kishindo yani hutoi shahawa(RETROGRADE EJ*******ON) wazee wengi hulalamika sana baada ya hii operation hivyo ushauri nasaha lazima utolewe ili mgonjwa ajue nini madhara yake kabla ya operation.
2. Kuziba kwa njia ya mkojo kutoka na kuumia kwa njia hizo wakati wa kitendo hicho. Panapokua panapona hilo kovu linaziba njia ya mkojo.
3. Operation kubwa ya kuondoa tezi hio hufanyika kwa kufungua kibofu cha mkojo na kutoa hio tezi. Madhara ni mengi sana kuhusu hii bora ile no mbili

KWA ATAKAYE HITAJI KINGA/ TIBA YA TEZI DUME
Call 0766574166

UGONJWA WA MIFUPA NA MAUNGIOWhatsapp/call/normal text0766574166MAGONJWA MIFUPA NA MAUNGIOUTANGULIZIMaumivu ya joint ni t...
18/08/2023

UGONJWA WA MIFUPA NA MAUNGIO

Whatsapp/call/normal text
0766574166

MAGONJWA MIFUPA NA MAUNGIO

UTANGULIZI

Maumivu ya joint ni tatizo linalosumbua watu wengi kwa sasa kutokana na mabadiliko ya mitindo ya Maisha. Umri mkubwa ni moja ya sababu inayopelekea kutokea kwa tatizo, ambapo tishu za mwili zinakuwa kavu na kupoteza uwezo wa kuvutika. Watu wengi wanfikiri kwamba kufanya mazoezi ni hatari kwa afya ya joints lakini ukweli ni kwamba ili kuepuka magonjwa ya joints mazoezi ni lazima katika akuongeza ufanisi wa viungo pia.

Nina uhakika kuwa umewaona akina mama wenye umri mkubwa na miili mikubwa wanavyopata shida kutembea huku wakiinama toka upande mmoja hadi mwingine kila wakipiga hatua au shida wanayopata pale inapowabidi kupanda ngazi au kuchuchumaa. Maneno k**a โ€œugonjwa wa kuumwa joints, nina tatizo la joints, maumivu ya jointsโ€ na maumivu ya mifupa umeyasikia mara nyingi. Tatizo hili haswa hujulikana k**a ugonjwa wa arthritis.

UGONJWA WA ARTHRITIS NI NINI?

Arthritis ni ugonjwa unaotokana na namna yo yote ya hitilafu katika maungio ya mifupa ya binadamu ambao husababisha maumivu na pengine kuvimba katika sehemu moja au zaidi ya maungio hayo. Neno arthritis halilengi ugonjwa mmoja bali jamii ya magonjwa ambayo kwa ujumla yapo zaidi ya 100. Tabia kuu ya magonjwa haya ni maumivu kwenye maungio ya mifupa (joints) ambayo ni endelevu na ambayo hutokea eneo hilo moja.

CHANZO CHA ARTHRITIS NI NINI?

Kusudi kuelewa chanzo cha ugonjwa huu, hebu kwanza tutazame muundo wa joint au sehemu mifupa miwili inapokutana. Fikiria goti ambapo mifupa miwili mmoja wa paja na mwingine wa mguu vinapokutana:

Ligaments: Ndicho kitu kinachoshikilia mifupa hii miwili pamoja. Hii ni k**a utepe wa plastiki au mpira unaonyumbuka uliozunguka eneo hilo kwa nje, ukikunja goti inanyumbuka na ukinyoosha mguu inarudi.

Cartilage: Huu ni utando unafunika eneo ambalo mifupa hugusana ili kuzuia mifupa hii isisuguane moja kwa moja. Utando huu ambao kwa kiswahili tunauita gegedu huyawezesha maungio hayo kufanya kazi kiulaini pasipo kusababisha maumivu.

Capsule: Hiki ni kitu kinachofunika maungio haya kikizunguka pande zote. Ndani ya mfuko huu wa capsule kuna synovial fluid ambayo huzalishwa na synovial membrane. Synovial fluid ni ute wa kulainisha sehemu hiyo ya maungio na synovial membrane ni utando ulio kwenye kuta za ndani za capsule.

Ugonjwa wa arthritis unasababishwa na hitilafu yoyote katika sehemu hizo za maungio ya mifupa. Inaweza kuwa cartilage inalika, upungufu wa synovial fluid, maambukizi ya vijidudu katika moja ya maeneo hayo au mchanganyiko wa matatizo.

AINA ZA UGONJWA WA JOINTS-ARTHRITIS

K**a nilivyoeleza hapo juu, kuna aina zaidi ya 100 za ugonjwa huu wa joints au arthritis, tutatazama aina k**a nne hivi za ugonjwa huu, tukielezea chanzo cha kila aina.

a) OSTEOARTHRITIS: Hii ni aina ya arthritis inayosumbua watu wengi zaidi kuliko aina nyingine zote. Ugonjwa huu huwapata zaidi watu wenye umri mkubwa. Osteoarthritis hutokea pale cartilage inapopoteza uwezo wake wa kubonyea na kuwa ngumu hivyo kuharibika haraka. Cartilage ni kiungo cha kuhimili migandamizo ya ghafla (shock absorber). Cartilage hii inapopoteza ubora wake, tendons na ligaments huvutika na kusababisha maumivu. Hali ya uharibifu huu wa cartilage ikiendelea, mwishowe mifupa

huanza kusuguana moja kwa moja na ndipo mgonjwa atakapoanza kupata maumivu makali sana.

ATHARI ZA UGONJWA

Athari za ugonjwa huanza taratibu na kuongezeka na muda. Kutaanza kutokea maumivu kwenye joint baada ya kufanya shuguli fulani au baada ya mapumziko ya muda mrefu. Joints zitakaza, hasa mapema asubuhi unapotaka kuanza shughuli zako za kawaida. Siku zinavyosogea ndivyo utakavyoona ni vigumu zaidi kukitumia kiungo chako. Mara nyingine utaona uvimbe kwenye joint. Osteoarthritis hushambulia zaidi nyonga, mikono, magoti na uti wa mgongo

b) RHEUMATOID ARTHRITIS: Ugonjwa huu hutokea pale mfumo wa kinga ya mwili kwa bahati mbaya kuanza kushambulia viungo vya mwili ikiwa ni pamoja na synovial membrane (synovium) na kusababisha uvimbe na maumivu. Hali hii isipodhibitiwa itafanya mtu asitembee kabsa hata kujihusisha na kazi za mikono,, Sasa njoo *bf SUMA upateee suluhuu ndani y sikuchachee* saana _.
Mawasiliano ni 0766574166.

14/08/2023

๐Ÿ•ณ HOMA YA INI/HEPATITIS ๐Ÿ•ณ

๐Ÿ•ณHoma ya Ini ni ugonjwa unaoambukizwa kwa njia ya virusi ambavyo vikishaingia mwilini hushambulia ini kabla ya kugeuka maradhi sugu.

~ Virusi hivyo vinaitwa *Hepatitis Virus* (Vipo vya aina nne yani Hepatitis A, B, C na D) .ila B na C Ndiyo hatari Zaidi.

๐Ÿ•ณVirusi hivyo husambazwa kwa njia ya damu au majimaji mengine ya mwilini, mfano mate au jasho.

~ Watu takriban 1,000,000 wanapoteza maisha duniani kote kutokana na Ugonjwa wa Homa ya Ini ( *Hepatitis* ).

๐Ÿ•ณ Ugonjwa huu k**a haujatibiwa hutengeneza uvimbe katika ini na kusababisha kansa ya ini na baadaye Kifo.

๐Ÿ•ณKatika maeneo hatari zaidi duniani, Virusi vya *Hepatitis B* (HBV) kwa kawaida husambazwa kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto wakati wa kuzaliwa au kutoka kwa mtu mmoja hadi mwingine hususan nyakati za utotoni.

๐Ÿ•ณK**a ilivyo kwa Ukimwi, Virusi vya *Homa ya Ini* pia huambukizwa kwa njia ya kujamiiana, mate, jasho na mwingiliano wowote ule wa damChanjo. *Njia kuu za maambukizi* :-

-Kujamiana bila kinga
-Kunyonyana ndimi 'denda'
-Mama mwenye ugonjwa kumwambukiza mtoto wakati wa kujifungua.
-Kuchangia damu isiyo salama
-Kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k
-Kuchangia miswaki
-kuchangia taulo na mwenye ugonjwa huo.
-kubadilishana nguo au kukumbatiana wakati mkiwa mnavuja jasho.

๐Ÿ•ณTafiti za kitaalamu zinaonesha kuwa virusi hivyo ni hatari kuliko hata vya Ukimwi kwa sababu vinaweza kuishi nje ya mwili wa binadamu ( *Yaani nje ya mfumo wa damu* ) kwa siku saba.

~ Virusi vya Ukimwi (VVU) havina uwezo wa kuishi nje ya mfumo wa damu hata kwa dakika moja.

๐Ÿ•ณKutokana na usugu wa HBV, maana yake ni kwamba k**a kirusi kipo kwenye ngozi, kitaendelea kuwa hai kwa siku saba na katika kipindi hicho mtu anaweza kuambukizwa kwa njia ya damu au jasho.

๐Ÿ•ณKwa wastani kirusi cha HBV kikishaingia mwilini, hupevuka ndani ya siku 75, hata hivyo upo uwezekano wa kupevuka kati ya siku 30 hadi 180. Ndani ya siku 30 mpaka 60, mtu mwenye HBV anaweza kugundulika ikiwa atapimwa.

๐Ÿ•ณMtu mwenye *Homa ya Ini* ana wastani mdogo wa kuishi kuliko mwenye Ukimwi. Kwa maana hiyo, mwenye maambukizi ya Virusi vya Homa ya Ini hufariki dunia haraka kuliko mwenye VVU.

๐Ÿ•ณDalili za Ugonjwa wa HOMA YA INI na Jinsi Unavyoambukizwa ( *Ugonjwa huu ni hatari kuliko UKIMWI* ).

๐Ÿ•ณWatu wengi hawaonyeshi dalili yoyote. Kwa maana hiyo mtu anaweza kuishi na HBV na kusababisha maambukizi kwa wengine bila kugundulika.

๐Ÿ•ณHata hivyo, watu wengine husumbuliwa na homa kali na dalili ambazo hudumu kwa wiki kadhaa. Dalili hizo ni:

-Uchovu.
-Kichefu,chefu.
-Mwili kuwa dhaifu.
-Homa kali.
-Kupoteza hamu ya kula.
-Kupungua Uzito.
-Maumivu makali ya tumbo upande wa Sehemu ini lilipo.
-Macho na ngozi kuwa vya njano kupita kiasi.
-Mkojo mweusi.

๐Ÿ•ณKwa wagonjwa wengine, Virusi vya Hepatitis B hukua hadi kusababisha ini kuharibika kabisa ( *cirrhosis of the liver* ) au saratani ya ini ( *liver cancer* ).

โ€ข Ili Kuepuka Maambukizi Ya Ugonjwa huu wa *Homa Ya Ini* / *Hepatitis* Unaweza Kuchukua tahadhali Zifuatazo :-

- Pata Chanjo
- Tumia kinga wakati wa kujamiana.
- acha kuchangia vitu vya ncha kali k**a sindano, wembe n.k
- Epuka Kuchangia miswaki
- Kuwa na mpenzi mmoja mwaminifu.
- Usishiriki Kuchangia damu isiyo salama.

๐Ÿ•ณAsilimia 80-90 ya watoto wachanga ambao huambukizwa katika kipindi cha mwaka wa kwanza tangu kuzaliwa, Homa ya Ini hukua mpaka kufikia kuwa sugu na hatimaye kifo.

๐Ÿ•ณAsilimia 30-50 ambao huambukizwa kabla ya kufikisha umri wa miaka sita, Hepatitis B hukua mpaka kuwa sugu na baadaye ni kifo.

๐Ÿ•ณAsilimia 90 ya watu wazima wanaopata HBV, virusi hivyo hutoweka ndani ya miezi sita. Yaani uimara wa ini husababisha virusi hivyo kupotea.

๐Ÿ•ณAsilimia tano kushuka chini ya watu wazima wanaopata maambukizi ya HBV, virusi hivyo vya Hepatitis B kugeuka sugu na hatimaye kifo.

๐Ÿ•ณAsilimia 15-25 ya watu wazima ambao walipata maambukizi utotoni na hatimaye Hepatitis B kuwa sugu, hufariki dunia kutokana na matokeo ya ini kuharibika kabisa au kwa saratani ya ini.

๐Ÿ•ณHoma Ya Ini Ikipatiwa Matibabu Sahihi Ya Mapema Kabla Ya Ini Kuharibika Sana Inatibika 90%.

ยฐ Kwa Msaada Zaidi na Haraka Wa Matibabu Ya Magonjwa Mbali Mbali Kwa Njia za Kisasa Zaidi ~ Tafadhali : Wasiliana Nasi Kupit
0766574166

Send a message to learn more

13/08/2023

*MWANAMKE WAHI MAPEMA โœ…. +255(0766574166)๐Ÿ“ž FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE.*

Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja

*KAZI ZAKE*
๐Ÿ‘‰Hutibu UTI sugu
๐Ÿ‘‰Hutibu Fangasi sugu
๐Ÿ‘‰Inaondoa Miwasho ukeni
๐Ÿ‘‰Inaondoa Harufu mbaya ukeni
๐Ÿ‘‰inaondoa Uchafu unatoka ukeni
๐Ÿ‘‰inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
๐Ÿ‘‰inakurinda usipate UTI na Fangasi
๐Ÿ‘‰inaufanya uke unakuwa msafi na kuvutia muda wote
๐Ÿ‘‰inaongeza joto la uke
๐Ÿ‘‰inabana Kuta za uke zilizo legea
๐Ÿ‘‰inapunguza Maumivu makali wakati wa Hedhi
๐Ÿ‘‰inarudisha ute ute ukeni
๐Ÿ‘‰inatibu PID ikitumika na refined, Refined ni ya vidonde unameza

*Kwa maelekezo zaidi namna ya Kuipata hadi ulipo karibu,*MWANAMKE WAHI MAPEMA โœ…. +255(0766574166)๐Ÿ“ž FEMICARE KIPENZI CHA WANAWAKE.*

Ni dawa ipo katika mfumo wa kimiminika
Unasafishia ukeni usiku mara Moja

*KAZI ZAKE*
๐Ÿ‘‰Hutibu UTI sugu
๐Ÿ‘‰Hutibu Fangasi sugu
๐Ÿ‘‰Inaondoa Miwasho ukeni
๐Ÿ‘‰Inaondoa Harufu mbaya ukeni
๐Ÿ‘‰inaondoa Uchafu unatoka ukeni
๐Ÿ‘‰inasafisha na kuzibua milija ya uzazi
๐Ÿ‘‰inakurinda wasiliana nasi au fika ofisini kwetu sasa โ˜Ž๏ธ.*
Mawasiliano ni 0766574166

13/08/2023

SULUHISHO LA BAWASIR(MGOLO) HEMORHOIDS.,BILA UPASUAJI,
*Mawasiliano ni 0766574166*
KWANZA UFAHAMU UGONJWA WA BAWASIRI AU KUOTA KINYAMA SEHEMU YA HAJA KUBWA NA NAMNA YA KUEPUKA NA UGONJWA HUU

JE, UNAJUA BAWASIRI/HEMORRHOIDS NI NINI????!!
~Ni ugonjwa unaotokana na kuathirika kwa mishipa ya damu ya ndani na nnje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingine mishipa hiyo huweza kupasuka/kuteleza na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kasababisha kutoka kinyama au uvimbe
# # #

*CHANZO CHA TATIZO*
~chanzo halisi cha ugonjwa huu hakijapatikana ila Kuna vitu ambavyo huwa chanzo cha kupata ugonjwa wa bawasiri ambayo ni รท
๐Ÿ‘‰TATIZO LA KUTOPATA CHOO (CHOO KIGUMU)
*Constpation*
๐Ÿ‘‰MATATIZO YA UMRI
๐Ÿ‘‰KUKAA KITAKO KWA MUDA MREFU
๐Ÿ‘‰UZITO KUPITA KIASI
๐Ÿ‘‰MATUMIZI YA VYOO VYA KUKAA KWA MUDA MREFU

# # # DALILI ZA BAWASIRI
๐Ÿ‘‰Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
๐Ÿ‘‰kupata maumivu makali wakati wa kujisaidia
๐Ÿ‘‰kutokea uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
๐Ÿ‘‰kujitokeza kwa kinyama katika eneo la tundu Hilo
๐Ÿ‘‰kinyesi kuwa na damu na kunuka harufu mbaya sana

*MADHARA YA TATIZO LA BAWASIRI*
๐Ÿ‘‰kupata upungufu wa damu (anemia)
๐Ÿ‘‰Kupata tatizo la kutokuweza kuhimil choo
๐Ÿ‘‰hupunguza nguvu za kiume na kuondoa hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake na wanaume.
๐Ÿ‘‰kuathirika kisaikolojia
๐Ÿ‘‰kukosa morali ya kufanya Kaz kutokana na maumivu makali
๐Ÿ‘‰Kuna uwezekano mkubwa wa kupata saratani ya UTUMBOCANCER) kwa sababu kile kinyama kinakaa K**a kidonda.,,
Kwa mawasiliano zaidi kupata tiba sahihi bila upasuaji
0766574166

13/08/2023

JE? MWANAMKE UNAFAHAMU KUWA UKE UNA KINGA ASILI? USIACHE KUSOMA HII

PH- Potential hydrogen ni kinga maalumu ya uke ya asili ambaya kila mwanamke anazaliwa nayo.ni moja tu ya kinga ambayo Mungu amewawekea wanawake k**a kinga ya bacteria wabaya pamoja na magonjwa yote ukeni.kwenye njia ya ukeni Mungu ameweka bacteria wazuri ili waishi kwenye ute ute unaweza kuwa mwingi au kiasi hii sio tatizo ni jambo la kawaida tu.

MAMBO AMBAYO YANAWEZA KUONDOA PH KATIKA UKENI

1.Kujisafisha kwa za kemikali.
2.kujitia vidole au kwa namna yeyote iwe wakati wa kujamiiana.
3.kupulizia ukeni
4.Au kutia vitu kwa ajili ya kuongeza ukeni.
5.mapenzi ya nyuma na kisha kuhamia ukeni kwa wakati mmoja kunahamisha bacteria wachafu sehemu ya haja kubwa na kuleta ukeni.
6.mchezo wa kujichua kwa wanawake
7.kuvaa nguo za kubana kwa kinadada huleta joto Kali ukeni na kuuwa bacteria wazuri na uke kukosa ulinzi
8.kujisafisha kutoa mkono nyuma kuelekea mbele au zig zag haitakiwi kwani kunasababisha wabaya kutoka nyuma kuja mbele NB.nawa kuanzia mbele kwenda nyuma.
9.Tabia za sehemu za siri hasa ukeni

Tabia hizo hapo juu zikifanywa Mara kwa Mara hupelekea mwanamke kutokwa na uchafu wa rangi ya kahawia,njano,au uchafu mzito k**a maziwa mtindi halii inaashilia wingi wa bacteria wabaya ukeni na fangasi.

MADHARA YA UKE KUKOSA ULINZI ASILIA

1. isiyoisha ukeni
2. na harufu mbaya.
3.kutokwa na maji yasio ya kawaida ukeni na yenye .
4.ugonjwa wa mfumo wa mkojo #(U.T.I)
5.Maambukizi katika via vya uzazi (P.I.D)

ANGALIZO-
wanawake wengi wamekuwa wakiugua fangasi,u.t.i,na magonjwa mengine ukeni na kukimbilia madawa ambayo ni kweli hutibu tatizo lao lakini baadae hurudi tena kwa sababu uke hauna ulinzi tena na kuwa waanga wa magonjwa sugu ya ukeni..

Nashauri k**a wewe umekuwa muhanga wa U.T.I na fangasi Sugu tumia bidhaa ya kutibu na kujikinga na magonjwa ya ukeni,pia unaweza kutumiwa hata k**a huna tatizo iwe k**a kinga ya magonjwa hayo ambayo humpata mwanamke Mara kwa Mara kutokana na mazingira mengine ambayo hayapo ndani ya uwezo wake k**a uvaaji wa pedi

(N.B)Tumia pedi zilizotengenezwa kwa namba(cotton)bidhaa hii bora ambayo napenda kuiita ni mkombozi wa kinamama ni ya asili ikitengenezwa kwa viambata vifuatavyo:

1.Mafuta kutoka katika mimea
2.vitamini mbalimbali kutoka kwenye matunda
3.madini na Amino acid

Ambavyo vitaenda kurudisha tena ulinzi wa uke wako na kuua bacteria wabaya ukeni.. Hutosumbuka na fangasi tena,miwasho,harufu mbaya,kutokwa na maji maji yasiyo ya kawaida,uke kulegea..utafurahia na kuwa mwenye kujiamini kila wakati..asanteni

Dawa hii sio ya pharmacy wala hospital ili kuweza kuipata wasiliana nami kupitia
0766574166.
Hii ni kwa wote walio mikoa ifuatayo





-es-salaam
n.k

Address

Moshi

Telephone

+255766574166

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Jennie health care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Jennie health care:

Share