10/10/2023
FURSA FURSA FURSA
BF SUMA TZ🇹🇿
BF SUMA ni kampuni inayojihusisha na uzalishaji na usambazaji wa bidhaa za VIRUTUBISHO LISHE. Bidhaa hizi huzalishwa katika nchi za MAREKANI🇺🇸, GERMANY 🇩🇪 na HONGKONG
Unaweza kujisajili na kuwa wakala wa BF SUMA Kwa mtaji mdogo sana
FAIDA ZA KUWA WAKALA WA BF SUMA
1. UBORA WA BIDHAA, bidhaa zetu ni bora Kwa kuwa na matokeo mazuri Kwa kila mtumiaji
2. BEI ZA BIDHAA, tuna bidhaa nyingi za bei za chin ambazo watu wengi wanamudu hivyo itakurahisishia kufanya kazi Kwa watu wenye matabaka yote/level zote
3. NAMNA YA KUANZA BIASHARA, ni rahisi kuanza biashara na BF SUMA Kwan mtaji unaoitajika ni mdogo sana ambao watu wengi wanamudu
Utachukua bidhaa ambazo unahitaji kutumia au mteja anaitaji kutumia
4.MPANGO WA MASOKO BORA NA UNAOTEKELEZEKA, mpango wa masoko wa BF SUMA ni rahisi Kwa kila mwenye kujituma katika kufanya kazi hivyo huwezesha MAWAKALA kupata BONUS kila mwezi na zawadi za MAGARI na SAFARI
5. UWEPO WA BIDHAA NYINGI AINA TOFAUTI TOFAUTI, Hii itakusaidia wewe wakala kukua kibiashara kwan unakuwa na wigo Mpana wa masoko
6. BIASHARA YA BF SUMA UNAIFANYA KWA MDA WAKO WA ZIADA, Hii biashara ya BF SUMA aiathiri shughuli zako za kila siku mana unaeza ifanya k**a part time au full time
Pia kampuni ya BF SUMA huzalisha bidhaa zake zote yenyewe kitu kinachowezesha kampuni ku kontrol UBORA WA BIDHAA tofauti na makampuni mengine ambayo huingia hubia/mikataba na viwanda/wazalishaji Ili kuweza kuzalishiwa bidhaa Kwa brand/ majina yao
FIKIRIA CHUKUA HATUA
KILA KITU KINAWEZEKANA
JIUNGE NASI TUTAKUWEZESHA KUFIKIA MALENGO YAKO
WASILIANA NASI KWA NAMBA ZIFUATAZO
TUMA NENO BIASHARA AU FURSA KWENDA NAMBA
0652623914 WASAP CALL SMS