
22/07/2025
*Asubuhi ni zawadi kutoka kwa MUNGU Shukuru kwansa kwa uhai Kisha juwa kwamba Asubuhi ni muda wa kujiweka sawa kimwili, kiroho na kiakili. Kunywa maji, fanya mazoezi na tafakari kidogo kabla hujaanza siku yako Anza leo ukiwa na nguvu mpya!*