daktari_kiganjani

daktari_kiganjani Daktari mtoa Huduma & Elimu kwa jamii |
Maelezo kuhusu hali za kiafya na magonjwa |
Ipende Afya yako
Ujuzi wako kiafya utamuokoa Umpendaye Siku moja.

Haiweza kuonesha madhara kwa haraka ila ni kosa linalo fanyika sana na watu wengi...Nini  kosa?
23/09/2025

Haiweza kuonesha madhara kwa haraka ila ni kosa linalo fanyika sana na watu wengi...

Nini kosa?

23/09/2025

Mtoto anaangalia unacho kifanya na kuiga

Unamjua yeyote aliweza kufanikiwa kuwapa hata wanne tuu?
21/09/2025

Unamjua yeyote aliweza kufanikiwa kuwapa hata wanne tuu?

Kwa ambao Hamfaham, Hii post ilopostiwa na ubalozi wa marekani.Mungu huwa anawatoa watu mavumbini na kuwaweka wanapo sta...
21/09/2025

Kwa ambao Hamfaham, Hii post ilopostiwa na ubalozi wa marekani.

Mungu huwa anawatoa watu mavumbini na kuwaweka wanapo stahili.

Usikate tamaa na mimi bado sijafika...

21/09/2025

Ilikua ni Jumapili ya kawaida nikiwa ugenini nikaenda Ibadani,nilishangaa nilipo ona ibada ya Jumapili iliebadilika kuwa Harusi...

Nilikua mtundu sana wakati nikiwa mdogo. Nishawahi kuvunja viti vya darasani.. Nilikua nateguliwa vitendawili... Mtoto m...
20/09/2025

Nilikua mtundu sana wakati nikiwa mdogo. Nishawahi kuvunja viti vya darasani.. Nilikua nateguliwa vitendawili... Mtoto mtundu ni nani....?

Daah nilipo tembelea hii hospitali, nikaona hicho kiti na nikakumbuka mbali sana...

Kwakweli tumetoka mbali mnooo na bado nina toshea kabiaa nikikaa.

Jembe alikua bora  na moja ya mamilioni ya mbegu..Tumetoka huku....
20/09/2025

Jembe alikua bora na moja ya mamilioni ya mbegu..
Tumetoka huku....

Basi ikawa hivyo.... Tunafurahia uha
19/09/2025

Basi ikawa hivyo.... Tunafurahia uha

Mwaka 2015 wakati unamalizia Kampeni zako ulinikuta hospitali nina fanya mazoezi kabka ya kutunukiwa cheti cha udaktari....
19/09/2025

Mwaka 2015 wakati unamalizia Kampeni zako ulinikuta hospitali nina fanya mazoezi kabka ya kutunukiwa cheti cha udaktari. Uniheshimu na uanafunzi wangu wala hukunibeza.

Nilifurahia sana uongozi wako, busara na mpango maalumu kwa Tanzania.

Nimeshindwa kuzuia machozi nilipo pata fursa ya kuona ulipo zikwa pembeni ya makaburi ya wanafamilia ambao wote walifariki mwezi wa nane.

Mungu analo kusudi na daima nitakukumbuka.
Rest in peace shujaa wa Africa.

Mtumie mmoja anaependa kulaumu sana wenzie..
17/09/2025

Mtumie mmoja anaependa kulaumu sana wenzie..

Utafiti wa mwaka 2017 uliotafiti uhusiano wa Herufi ya kwanza ya jina la ukoo, ulibaini uhusiano wa jina la ukoo na tabi...
16/09/2025

Utafiti wa mwaka 2017 uliotafiti uhusiano wa Herufi ya kwanza ya jina la ukoo, ulibaini uhusiano wa jina la ukoo na tabia mbali mbali za wanaume.

Jina lako la ukoo ni nani?
Wale wakina Z.... makasiriko vipi??

Address

Capripoint. Block 35
Mwanza

Opening Hours

Monday 08:00 - 19:00
Tuesday 08:00 - 19:00
Wednesday 08:00 - 19:00
Thursday 08:00 - 19:00
Friday 08:00 - 19:00

Telephone

+255624054976

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when daktari_kiganjani posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to daktari_kiganjani:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram