
12/09/2022
Ujauzito wa mwezi mmoja🤰🤰 Hakika ni jambo la kumshukuru Mungu.
Hii ni baada ya kuangaika kwa muda mrefu kutafuta mtoto lakini pia changamoto ya uvimbe.
Mpendwa wetu aliamua kuamini huduma zetu badala ya kufanyiwa upasuaji.