Tibu Chanzo Care

Tibu Chanzo Care Rooted Healthy Solutions For Your Future.
%

๐Ÿ’ฅWant To Last Longer In Bed?๐Ÿ’ฅ๐†๐ž๐ญ ๐‘๐ž๐š๐๐ฒ ๐“๐จ ๐‘๐ข๐๐ž ๐‹๐จ๐ง๐ ๐ž๐ซ ๐…๐ซ๐จ๐ฆ ๐“๐จ๐๐š๐ฒNo More 1mins match in the Oda roomSay goodbye to short ...
11/06/2024

๐Ÿ’ฅWant To Last Longer In Bed?๐Ÿ’ฅ

๐†๐ž๐ญ ๐‘๐ž๐š๐๐ฒ ๐“๐จ ๐‘๐ข๐๐ž ๐‹๐จ๐ง๐ ๐ž๐ซ ๐…๐ซ๐จ๐ฆ ๐“๐จ๐๐š๐ฒ

No More 1mins match in the Oda room

Say goodbye to short matches permanently today

๐“๐ก๐ข๐ฌ ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ% ๐๐š๐ญ๐ฎ๐ซ๐š๐ฅ ๐’๐จ๐ฅ๐ฎ๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐‡๐ž๐ฅ๐ฉ๐ฌ ๐“๐จ:

โœ…Boost Sexual Stamina

โœ…Wipe out all Erectile Infection

โœ…Repairs long time Erectile Dysfunction

โœ…Completely wipe out pre-mature ej*******on

โœ…Boost Low Sp3rm Count & Poor Sp3rm Motility

๐Ÿฅฐ๐‘๐„๐†๐€๐ˆ๐ ๐˜๐Ž๐”๐‘ ๐‚๐Ž๐๐…๐ˆ๐ƒ๐„๐๐‚๐„, ๐Œ๐š๐ค๐ž ๐˜๐จ๐ฎ๐ซ๐ฌ๐ž๐ฅ๐Ÿ ๐“๐ก๐ž ๐‘๐ž๐š๐ฅ ๐Œ๐š๐ง ๐€๐ง๐ ๐’๐ญ๐š๐ซ๐ญ ๐๐ž๐ซ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐ข๐ง๐  ๐๐ž๐ญ๐ญ๐ž๐ซ ๐€๐ ๐š๐ข๐ง ๐Ÿ’ช

โœ…๐๐€๐…๐ƒ๐€๐‚ ๐€๐ฉ๐ฉ๐ซ๐จ๐ฏ๐ž๐ โœ…๐…๐ซ๐ž๐ž ๐ƒ๐ž๐ฅ๐ข๐ฏ๐ž๐ซ๐ฒ

๐Ÿ›๏ธCLICK ๐‡๐„๐‘๐„ NOW>>https://vinumarcel.com/revive/

*******on *******on

"Premature Ej*******on: Expert Tips and Techniques for Lasting Longer"๐Ÿ’ฅWant To Last Longer In Bed?๐Ÿ’ฅ๐†๐ž๐ญ ๐‘๐ž๐š๐๐ฒ ๐“๐จ ๐‘๐ข๐๐ž ๐‹๐จ๐ง...
11/06/2024

"Premature Ej*******on: Expert Tips and Techniques for Lasting Longer"

๐Ÿ’ฅWant To Last Longer In Bed?๐Ÿ’ฅ

๐†๐ž๐ญ ๐‘๐ž๐š๐๐ฒ ๐“๐จ ๐‘๐ข๐๐ž ๐‹๐จ๐ง๐ ๐ž๐ซ ๐…๐ซ๐จ๐ฆ ๐“๐จ๐๐š๐ฒ

No More 1mins match in the Oda room

Say goodbye to short matches permanently today

๐“๐ก๐ข๐ฌ ๐Ÿ๐ŸŽ๐ŸŽ% ๐๐š๐ญ๐ฎ๐ซ๐š๐ฅ ๐’๐จ๐ฅ๐ฎ๐ญ๐ข๐จ๐ง ๐‡๐ž๐ฅ๐ฉ๐ฌ ๐“๐จ:

โœ…Boost Sexual Stamina

โœ…Wipe out all Erectile Infection

โœ…Repairs long time Erectile Dysfunction

โœ…Completely wipe out pre-mature ej*******on

โœ…Boost Low Sp3rm Count & Poor Sp3rm Motility

๐Ÿฅฐ๐‘๐„๐†๐€๐ˆ๐ ๐˜๐Ž๐”๐‘ ๐‚๐Ž๐๐…๐ˆ๐ƒ๐„๐๐‚๐„, ๐Œ๐š๐ค๐ž ๐˜๐จ๐ฎ๐ซ๐ฌ๐ž๐ฅ๐Ÿ ๐“๐ก๐ž ๐‘๐ž๐š๐ฅ ๐Œ๐š๐ง ๐€๐ง๐ ๐’๐ญ๐š๐ซ๐ญ ๐๐ž๐ซ๐Ÿ๐จ๐ซ๐ฆ๐ข๐ง๐  ๐๐ž๐ญ๐ญ๐ž๐ซ ๐€๐ ๐š๐ข๐ง ๐Ÿ’ช

โœ…๐๐€๐…๐ƒ๐€๐‚ ๐€๐ฉ๐ฉ๐ซ๐จ๐ฏ๐ž๐ โœ…๐…๐ซ๐ž๐ž ๐ƒ๐ž๐ฅ๐ข๐ฏ๐ž๐ซ๐ฒ

๐Ÿ›๏ธCLICK ๐‡๐„๐‘๐„ NOW>>https://vinumarcel.com/revive

Nahitaji nifundishe Njia 7 za kuchelewa KUMALIZA. Wangapi tupo tiyali? Tuma Niko tiyali Whatsapp 0743 303 831
14/05/2024

Nahitaji nifundishe Njia 7 za kuchelewa KUMALIZA. Wangapi tupo tiyali? Tuma Niko tiyali Whatsapp 0743 303 831

VITU VYA KUZINGATIA ILI KUBORESHA AFYA YA MWANAUME 1.Fanya Mazoezi ya Cardio husaidia mzungunguko wa damu kukaa sawa2.Ji...
20/03/2024

VITU VYA KUZINGATIA ILI KUBORESHA AFYA YA MWANAUME

1.Fanya Mazoezi ya Cardio husaidia mzungunguko wa damu kukaa sawa

2.Jitahidi kulifft vitu vizito kuimairisha misuli

3.Jitahidi kuwa maintain Uzito ..K**a upo obese jaribu kupunguza uzito

Kipimo Chukua Cha urefu kwa centimetre mfano
Urefu ni 180 na uzito wako ni 90
180cm -100cm = 80 ina maan uzito unapaswa kuwa nao ni 80

4.Hakikisha unalala masaa si chini ya 7
Na iwe deep sleep.Ili usingizi wako usivurugane jitahidi usinywe maji ovyo kwa usiku.Jitahid kunywa maji kuanzia sa moja

5.Jitahidi kuangalia kiwango cha cholestrol kwenye mishipa ya damu

6.Punguza au acha matumizi ya Pombe
Madhara ya pombe
i)premature ej*******on (kuwahi kileleni)
ii)Low s*x drive (hamu ya tendo kupungua)
iii) Uume kusinyaa

7.Punguza au acha kuvuta Sigara
Madhara
i) Moyo kuathirika
ii)Inasababisha Cancer
iii) Mfumo wa kupumua unaaadhirika

8.Acha kuangalia picha za P**n
Hii inapelekea mtu kujichua na kuathiri Mishipa ya Uume

9.Fanya mazoezi ya Pelvic floor( KEGEL EXERCISE)
Inasaiidia kuitighten Misuli ya Uume

10.Jitahid kucontrol Stress( Msongo wa mawazo)
Uwepo wa stress ina punguza hamu ya tendo la ndoa

11.Kula vya kula vyenye high L arginine
Mfano Sea food (Samaki wa baharini k**a vile Pweza , ngisi nk), Viazi vitamu,Mihogo , karanga, Almonds , Walnuts

Kwa suluhisho, tiba, muongozo nipigie ๐Ÿ“ž0743 303 831











Nini kinachofanya uume usimame? Kwa haraka unaweza kujibu ni msisimko. Naam, unaweza kuwa sahihi. Lakini msisimko ni mat...
19/03/2024

Nini kinachofanya uume usimame? Kwa haraka unaweza kujibu ni msisimko. Naam, unaweza kuwa sahihi. Lakini msisimko ni matokeo. Kuna kinachosababisha msisimko huo. Bila hicho, msisimko hauwezi kutokea.

Kila mwanaume anapaswa kuwa na jibu sahihi la swali hili, ili atakapoona tatizo ajuwe pa kuanzia na pa kumalizia. Hata k**a si kwa undani, Elimu ya kujijuwa jinsi mfumo wako wa mwili unavyofanya kazi ni mhimu sana kwa kila mtu na si kwa madakatari pekee k**a ilivyo dhana ya watu wengi.

Kutokuwa na chochpote kichwani kuhusu miili yetu ndiyo sababu kubwa inayotufanya kuparamia madawa kiholela na hivyo kujidhuru badala ya kujitibu.

Kinachofanya uume usimame ni mzunguko wa damu. Na kabla hujaendelea kusoma tambua jambo moja mhimu; ''Asilimia 94 ya damu ni maji''. Hii ni kusema katika kila lita 10 za damu, lita 9 kati ya hizo 10 ni maji. Kwa kifupi maji ndiyo kila kitu mwilini na k**a bado unasubiri kiu ndipo unywe maji na tena unakunywa maji ya baridi ya kwenye friji, POLE SANA.

Mzunguko wa damu unaofanya kazi vizuri k**a inavyotakiwa na usio na hitilafu yeyote ni kipengele mhimu sana katika kusimama kwa uume wako. Kwanini?

Mzunguko wa damu ulio katika afya njema husambaza damu ya kutosha katika viungo vyako vyote vya mwili wako ikiwa ni pamoja na kwenye mishipa ya uume wako. Hii ni kwamba hata k**a utagusana na mwanamke hautaweza kufanya chochote k**a damu haizunguki katika viungo vyako inavyostahili. Tazama mtu aliyekufa, damu haizunguki, je anafanya chochote? Hata hivyo huo ni mfano wa juu zaidi.

Chochote ambacho huzuia mtiririko wa damu kwenda kwenye uume kinaweza kuzuia kusimama kwa uume. K**a mishipa yako ya vena na ateri imeziba, mwili wako hautaweza kusimamisha uume. Hii ni kwa sababu uume hautapata damu ya kutosha.

Mara nyingi vena zilizoziba sababu ya mzunguko dhaifu wa damu ni sababu ya kushindwa kusimama uume kwa wanaume walio na umri zaidi ya miaka 60, wanaume wenye kisukari na pia wanaume wenye ateriosclorisis (hali ya ugonjwa inayosababishwa na kukauka kwa vijiateri vya ateri), na wenye maradhi ya moyo.
K**a ungependa TUKUSAIDIE piga 0743303831




Malalamiko ni mengi sana kuhusiana na kujirudia kwa changamoto hii hata baada ya mtu kutumia kirutubisho fulani.Malalami...
22/01/2024

Malalamiko ni mengi sana kuhusiana na kujirudia kwa changamoto hii hata baada ya mtu kutumia kirutubisho fulani.

Malalamiko haya yamepelekea wengi kukata tamaa yakuondokana na changamoto hii hivyo kujichukulia k**a ulemavu uliongia mwilini mwake.

Wengi wamekuwa wakipambana kuiondoa hali hii ila bahati mbaya huishia kupata matokeo kwa muda mfupi ama asipate matokeo kabisa.

Tambua changamoto hii inatatulika kwa asilimia zote.

Ni hivi, ili kuimaliza changamoto hii ni lazima ujue changamoto hii huhusisha maswala ya kisaikolojia na mfumo wako wa uzazi kwa ujumla wake.

SASA KWANINI HUPATI MATOKEO?

Sababu zaweza kuwa,

1๏ธโƒฃ Umetumia kirutubisho kisicho sahihi kwenye kulimaliza tatizo hili.
2๏ธโƒฃ Mwili haukufanyiwa usafi na hivyo kushindwa kusharabu kirutubisho ulichotumia
3๏ธโƒฃ Ulikosa mwongozo sahihi wa kisaikolojia ili kupata matokeo mazuri pindi unapo liendea tendo.
4๏ธโƒฃ Haukuelezwa ni mazoezi yepi stahiki kuyafanya kwaajili yakuimalisha uwezo wako wa tendo la ndoa.
5๏ธโƒฃ Huna muongozo sahihi kuweza kushape mtindo wako wa ulaji.

SASA TIBUCHANZOCARE TUNAWEZAJE KULIMALIZA JAMBO HILI?

Usijali.
๐Ÿ“Œ Ipo program maalum tulio iandaa kitaalamu kabisa kwaajili ya kuijenga vizuri saikolojia yako na kukufanya mwenye amani na hamasa kuliendea tendo.
๐Ÿ“Œ Ipo TASFIA mahususi kwaajili yakuondoa cholesterol, sumu mwilini mwako na mabaki mengine ya vyakula ambavyo havikusharabu mwili na vyenye kuzuia mzunguko mzuri wa damu mwilini mwako.
๐Ÿ“Œ Ipo video maalumu na nyepesi kabisa kwaajili ya mazoezi ya uume wako utakayoifanya kwa siku chache na ukiwa chumbani kwako.

MWISHO: Ila si kwa umuhimu vipo virutubisho vinaenda kufanya yafuatayo mwilini mwako

1๏ธโƒฃ: Vitaongeza uchochezi wa uzalishaji wa homoni ya testosterone.
2๏ธโƒฃ: Vinaenda kuifungua vizuri mshipa wako wa ateri na hivyo kupelekea flow nzuri ya damu kwenda katika uume wako.
3๏ธโƒฃ: Vinaenda kufunga valvu za Vena pindi uume unapokuwa na damu ya kutosha.
4๏ธโƒฃ : Vinaenda kukupa urahisi wa kutungisha ujauzito kwa asilimia zote
5๏ธโƒฃ: Huongeza hamasa na mshawasha zaidi kwakua valvu zimefunga na shahawa hazijatoka bila ridhaa yako.
6๏ธโƒฃ: Calsium iliyopo kwenye PowerMax inaimarisha usambaaji nervous impulses.

Kupata PROGRAMU hii pamoja na virutubisho vyote sasa utatatikiwa kuwekeza 250,000/= utapata kila kitu yaani FULL PACKAGE ๐Ÿ“ฆ

Virutubisho, Mazoezi na muongozo sahihi WA KUMALIZA KABISA CHANGAMOTO YA NGUVU ZA KIUME.

Kupata programu hii na utaratibu wa malipo tafadhali wasiliana nasi Kwa 0743 303 831.

Mbinu za Kumsaidia Mwanaume Kuongeza Wingi na Ubora wa Manii .....Kunywa maziwa huku unatafuna karanga mbichi/kavu kunas...
08/01/2024

Mbinu za Kumsaidia Mwanaume Kuongeza Wingi na Ubora wa Manii
.....Kunywa maziwa huku unatafuna karanga mbichi/kavu kunasaidia kuongeza shahawa nyingi kwenye korodani
.....Kunywa supu ya samaki asubuhi na maziwa fresh au mgando husaidia jogoo (muhogo) kuongezeka umbo lake yaani unene na urefu
......Kula bamia mbichi iliyochovya kwenye Asali mbichi huongeza upumuaji mzuri bila kuchoka. K**a kupumua vizuri wakati wa s*x ichukue hio itakusaidia
.....Kumeza kitunguu swaumu na glass ya maji moto kusaidia kuongeza pumzi na msukumo mzuri wa damu kwenye mwili
.....Kunywa supu ya ng'ombe iliyochanganywa na mbegu za maboga zinaongeza zinc ambayo huimarisha nguvu za kiume.
.....Ukinywa kahawa iliyochanganywa na limao + Asali vijiko 4 hadi 6 husaidia kufanya tendo la ndoa kwa muda mrefu bila kuchoka

K**a wewe ni mwanaume basi chagua njia mojawapo itumie, k**a wewe ni mwanamke basi chagua njia mojawapo umuandalie mumeo, within 14 days njoo unipe feedback

โ€ขK**a lengo ni kuongeza ubora wa shahawa/mbegu za kiume, tafadhali usije kutumia pombe wakati ukitumia dawa hizi ili uweze kupata matokeo mazuri zaidi

Kazi yangu ni kuhakikisha una Afya njema ya uzazi.

Ukihitaji pack ya Kurejesha nguvu za kiume na kuimarisha viungo vyako vya uzazi vyote dozi nzima kabisa ni tsh 240,000/=

Nimimi
Mwenye kujali afya Yako

01/01/2024
Unajiskiaje ukienda round moja tu CHALI? Yaani unaonekana kwa mwenzi wako k**a MTU ASIYE NA MAAJABU?Kwa CHANGAMOTO ya ku...
05/12/2023

Unajiskiaje ukienda round moja tu CHALI? Yaani unaonekana kwa mwenzi wako k**a MTU ASIYE NA MAAJABU?

Kwa CHANGAMOTO ya kukosa HAMU ya tendo la ndoa,,,ukienda round moja ndo baas Tena hadi kesho,,MUHESHIMIWA anasimama NUSU MLINGOTI, Umeathirika na PUNYETO,uume unarud ndani,Sasa HALI JOJO?
TUMEKUANDALIA PROGRAM MAALUM kwa ajili yako itakayokusaidia Kurejesha kwenye UHALISIA wako.

1. Kusimamisha uume k**a msumari na Kwa Muda mrefu.

2. Kuhimili tendo Kwa Muda mrefu bila kuchoka.

3. Kumukuna mwanamke yoyote kisawasawa bila kujali umri wako, umbo lako Wala Hali Yako.

4. Kumfikisha mke/mwenzi wako kileleni na haraka kiasi Cha kwamba atang'ang'ania kulala nawewe Tena na Tena kwasababu ya kumukuna vizuri.

5. Kuongeza size ya uume na kuufanya uume uwe na mvuto zaidi ya awali.


PROGRAMU HIZO ZIPO KATIKA MCHANGANUO UFUATAO...

A). PROGRAMU YA KUKUSAIDIA 1,2,3,4 na 5 hapo juu๐Ÿ‘† ni 240,000/= Kupona Kabisa bila kujirudia (NGUVU ZA KIUME KWA UJUMLA).

B) . TEZIDUME/KISUKARI/VIDONDA VYA TUMBO/BAWASIRI/UZITO/UNENE na NGUVU ZA KIUME. ni 160,000/= siku 15, 320,000/= siku 30, 420,000/= Kupona Kabisa.

Kujiunga Kwenye Darasa Bure la Whatsapp bofya link hapa Chini๐Ÿ‘‡.

https://chat.whatsapp.com/GrP1VJX8qXZ7dkgqJD9aIX

Mawasiliano ni 0743 303 831 Dr ivan.

Kuboresha nguvu za kiume mara nyingi hujumuisha kufanya mabadiliko kadhaa katika mtindo wa maisha. Hapa kuna ufafanuzi z...
21/11/2023

Kuboresha nguvu za kiume mara nyingi hujumuisha kufanya mabadiliko kadhaa katika mtindo wa maisha. Hapa kuna ufafanuzi zaidi:

1. Chakula Bora:
Ongeza vyakula vyenye zinki k**a nyama, mbegu za maboga, na dagaa.
Vitamini E pia ni muhimu; unaweza kupata hii kutoka kwa matunda na mboga k**a vile parachichi na mboga za kijani.

2. Mazoezi:
Mazoezi yanaweza kuongeza mzunguko wa damu, kuboresha afya ya moyo, na kuchangia kuboresha nguvu za kiume.
Mazoezi ya uzito yanaweza kusaidia kuongeza viwango vya testosterone.

3. Kupumzika:Kupata usingizi wa kutosha ni muhimu kwa afya ya kijinsia. Uchovu na kukosa usingizi vinaweza kuathiri vibaya nguvu za kiume.

4.Epuka Mihadarati:
Tumbaku na unywaji wa kupindukia vinaweza kusababisha shida za nguvu za kiume. Kuacha au kupunguza matumizi inaweza kuwa na athari chanya.

5. Kupunguza Uzito:
Uzito uliozidi unaweza kuathiri uzalishaji wa homoni na kusababisha shida za nguvu za kiume.

6.Kujiepusha na Shinikizo la Damu:
Shinikizo la damu lililokithiri linaweza kuharibu mishipa ya damu, kuzuia mzunguko wa damu kwenye eneo la pelvic, na kusababisha shida za nguvu za kiume.

Ni muhimu kutambua kuwa matokeo hayatatimia mara moja. Mabadiliko haya ya mtindo wa maisha yanaweza kuchukua muda. Ikiwa masuala yanaendelea au yanahatarisha afya yako, ni vyema kuonana na daktari kwa ushauri zaidi na uchunguzi wa kina.

Wasiliana nasisi kujua mbinu ambayo wameitumia maelfu ya watu kumaliza changamoto hii ya nguvu za kiume.

Address

Mwanza

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00

Telephone

+255743303831

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tibu Chanzo Care posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram