dr.singano_afya

dr.singano_afya Elimu ya afya na ushauri juu ya afya

27/05/2026

EID AL ADHA MUBARAKA

Comment Eid below
❤️

25/05/2026

Hedhi kuchelewa sio mimba pekee.
Mwili wako unaweza kuwa unakutumia ujumbe muhimu kuhusu afya yako. ⚠️
Stress, mabadiliko ya uzito, PCOS, hormones au mazoezi makali vinaweza kusababisha hedhi kuchelewa au kupitiliza mwezi mzima.
Usipuuze dalili hizi.
Kuelewa chanzo ni hatua ya kwanza ya kulinda afya yako. 💗
SWIPE ➡️ kujifunza zaidi.
SAVE post hii kwa matumizi ya baadaye.
— Dr.Singano_afya.

05/05/2026

Application hizi ni bora kwa hedhi yenye afya

🇹🇿

05/05/2026

Mnyonye mtoto wako kwa wakati

🇹🇿

04/05/2026

Hizi ni baadhi ya apps ambazo zitkusaidia kufatilia afya ya hedhi yako

🇹🇿

03/05/2026

Hizi njia hazifai kuzitumia
🇹🇿

10/04/2026

📌Je unayajua Makosa unayofanya wakati unapiga mswaki.
1.kupiga mswaki kwa nguvu
2.Kutumia mswaki mgumu
3. Kupiga mswaki chini ya dakika tatu.
4. Kusahau kupiga mswaki ulimi
5. Kutumia mswaki zaidi ya miezi mitatu
6. Kuweka mswaki bafuni
7. Kupiga mswaki kwa mazoea
8.kusukutua na maji mengi baada ya kupiga mswaki.
9.Jinsi ya kuweka mswaki kwenye jino ( mswaki unatakiwe utengeneze nyuzi 45 na jino)
10. Matumizi ya dawa sisizo na viwango
JE WEWE UNAFANYA KOSA GANI KATI YA HAYO comment hapa🤣
🇹🇿

09/04/2026

📌Wengi wamekua wakijiuliza je nawezaje kuacha kujichua(kupiga Nyeto)???

🔵Hapa kuna hatua za kufuata:
👉TAMBUA CHANZO CHA KUJICHUA:
Jiulize ni kwa nini unahisi hitaji la kupiga punyeto. Je, ni kwa ajili ya kupunguza msongo wa mawazo, upweke, au labda ni tabia ya kawaida? Kuelewa sababu za msingi kunaweza kukusaidia kutafuta njia mbadala za kukabiliana na hisia au hali zinazochochea tabia hiyo.

👉JIWEKEE MALENGO UNAYOWEZA KUYATIMIZA
Amua kwa nini unataka kuacha au kupunguza tabia hiyo. Malengo ya kibinafsi, k**a vile kuboresha kujidhibiti, afya ya kiakili, au kuimarisha uhusiano wako wa kiroho au wa kimapenzi inaweza kukusaidia.

👉 TAFUTA KITU MMBADALA
Badilisha wakati ambao kwa kawaida ungetumia kupiga punyeto na shughuli zingine za kujenga. Kwa mfano:
Mazoezi ya viungo (k**a Kegel),kucheza game,
Kusoma kitabu, kuandika, au kujifunza ujuzi mpya.
Kuandika diary kuelezea hisia zako, kuchora, kupika, au kushiriki katika shughuli za kijamii.

👉EPUKA VICHOCHEZI
Epuka mambo yanayoweza kukuchochea, k**a vile kuangalia video za ngono (p**n) au kuwa peke yako kwa muda mrefu katika mazingira yanayokukumbusha tabia hiyo.
Ikiwa unapiga punyeto kabla ya kulala, jaribu kubadilisha ratiba yako ya kulala, k**a kusoma kitabu au kutafakari kabla ya kulala.

👉TAFUTA MSAADA WA KIROHO
Ikiwa unaamini katika dini au imani ya kiroho, sala au kutafakari kunaweza kukusaidia kupata nguvu ya ndani.Ongea na mtu wa karibu unayemwamini ikiwa unahisi tabia hiyo inakulemea au inasababisha aibu au hatia.

👉BADILI TABIA YAKO:
Jihusishe na chakula bora, usingizi wa kutosha, na mazoezi ya viungo. Afya ya mwili na akili inaweza kusaidia kupunguza hitaji la kutafuta starehe kupitia punyeto.

ITAENDELEA...........

03/04/2026

🇹🇿

31/03/2026

30/03/2026

🇹🇿

Address

Mkolani
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when dr.singano_afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to dr.singano_afya:

Share

Category