Dr. Ebby Herbal

Dr. Ebby Herbal Nawasaidia watu wenye changamoto za ki afya Kwa Tiba na Ushauri kwa kutumia mimea Asili matunda na mboga mboga za majani,. ASILI HUPONYA..

MIMI NINATIBU NA MUNGU ANAPONYA /Whatsapp_0757991560_Dr. Ebby 🤝

*UJUMBE WA MATUMAINI KWA WENYE KUTAMANI WATOTO* na Dr. Ebby 📞 0757991560K**a bado haujabarikiwa kupata mtoto, kumbuka ja...
24/09/2025

*UJUMBE WA MATUMAINI KWA WENYE KUTAMANI WATOTO* na Dr. Ebby 📞 0757991560

K**a bado haujabarikiwa kupata mtoto, kumbuka jambo hili:
Mungu hajaandika mwisho wa safari yako.

🔹 Kila kilio chako hakijapotea bure.
🔹 Kila sala yako imehifadhiwa mikononi mwa Baba wa mbinguni.

Kumbuka mifano ya Biblia:

Sara alicheka akiwa mzee, lakini bado akashika mimba.

Hana alilia kwa machozi makali, hatimaye akakumbukwa.

Elizabeth alidhani amechelewa, lakini Mungu akamfanya kuwa mama.

👉 Hivyo basi, usiache kuamini.
Tunda la tumbo ni baraka kutoka kwa Mungu, na wakati wake ukifika hakuna atakayezuilia.

🌹 Usikate tamaa.
🙏 Endelea kushikilia imani.
👶 Kesho yako inaweza kuwa ndiyo siku ya muujiza wako.

Na k**a una changamoto ya kia afya ambayo ndio kikwazo usiache kutafuta matibabu na kwa Mwanamke sisi tunayo dawa mujarabu ya maswala ya uzazi nayo ni CHAI CARE hii ni dawa iliyoleta furaha kwa wanawake wengi, gharama yake ni 185,000 Dozi

Kwa WANAUME basi mkombozi ni dawa iitwayo MAN CARE hii ina uwezo mzuri wa kufanya Shemeji akatema mate....😅 Gharama yake ni 160,000 Dozi

🙏 NAOMBA PAMOJA NA HAYO TUFANYE MAOMBI PAMOJA— Tuombe👇

Naomba tuombe pamoja nami:
🤲
Mungu Mwenye rehema, tunakuja mbele zako kwa unyenyekevu. Tunakuomba ujaze nyumba hizi mbegu za matumaini; ubariki mbegu za uzazi, uamzishe nafsi zetu kwa nguvu na tumaini, na utoe muujiza wako kwa wakati wako. Uweke amani mioyoni mwetu katika safari hii. Amina.

HEALTH COMMUNITY CARE Tunajali na kuthamini afya yako Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner kwa mikoani tunakuagizia kwa basi au kwa ndege bila shida k**a una ndugu yako anaweza kuja ofisini kwetu kukuchukulia dawa pia🤝

*KWA DALILI HIZI BAADHI, TAYARI UNA VIDONDA VYA TUMBO*👇1. Kuhisi k**a unakwanguliwa tumboni ukikaa muda mrefu kabla ya k...
19/09/2025

*KWA DALILI HIZI BAADHI, TAYARI UNA VIDONDA VYA TUMBO*👇

1. Kuhisi k**a unakwanguliwa tumboni ukikaa muda mrefu kabla ya kula au usiku
2. Kuna muda unahisi tumbo k**a linawaka moto
3. Kuna muda unahisi maumivu ya mgongo
4. Kutapika damu au kinyesi kuwa cheusi (dalili ya kutokwa na damu ndani ya tumbo).
5. Kuhisi kuvimbiwa kila siku
6. Kuna muda ukinywa soda au vitu vichachu unaanza kusikia tumbo linauma
7. Kupatwa na choo kigumu
8. Kukosa hamu ya kula na kupungua uzito
9.Kuhisi kichefuchefu na wakati mwingine kutapika.
10.Kuvimbiwa au gesi nyingi (bloating).

Kwa dalili hizo 10 tu ukiwa nazo zote au baadhi, basi kuna uwezekano mkubwa ukawa tayari una vidonda vya TUMBO

KUHUSU DAWA TUNAYOTOA..
✅Dozi ni ndani ya siku 28
✅Ni ya unga na maji
✅Unatumia kunywa na maji ya kawaida tu siyo moto
✅Bei ipo kwenye Tsh 150,000 Dozi yake ambayo hii sio kutuliza bali ni kupona kabisa

Ofisi || Mwanza || Mkolani Jirani na Ghorofa la Family corner

Mikoa mingine yote tunatuma au k**a una ndugu yako aliyepo Mwanza mtume aje ofisini akuchukulie

Simu || Whatsapp 0757991560🤝

USITIBU NGUVU K**A UNA  NGIRI LAZIMA ITAKUGHARIMU, TIBU NGIRI CHAPU👇Lundo la wanaume lipo kwenye kisababishi cha kukosa ...
17/09/2025

USITIBU NGUVU K**A UNA NGIRI LAZIMA ITAKUGHARIMU, TIBU NGIRI CHAPU👇

Lundo la wanaume lipo kwenye kisababishi cha kukosa nguvu sababu ya ngiri.

Ukisoma haya kwa umakini utaelewa dalili za NGIRI k**a:
1. Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
2. Kutoa upepo tu ukienda chooni
3. Kukata hamu/mashine kulala wakati wa shughuli
4. Korodani kuvimba
5. Korodani kuuma, hasa wakati wa baridi au wakati wote

Dalili zipo nyingi tu ila hizo ni baadhi

Kupitia hizo sababu/dalili ndo utajua kuwa una ngiri

Jitahidi upate dawa ya kutibu NGIRI&Tezi Solution pamoja na KUPANDISHA HOMONI ZA KIUME kwa gharama ya Tsh 165,000 kwa package moja na hii inamfaa ambae tatizo si la muda mrefu ila k**a ni la muda mrefu basi itakugharimu package tatu..

Ofisi: Mwanza - Mkolani

Ukifika mkolani Kuna Ghorofa kimeandikwa family corner basi ukifika hapo umefika Ofisini

K**a upo mkoa mwingine, wewe lipia usafiri tu halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea dawa.

Pia k**a una ndugu yako yupo Mwanza mtume aje ofisini akuchukulie

Simu 0757991560

ANDAA HII DAWA KIBOKO YA VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI/ACID REFLUX... Na Dr. Ebby 📞 0757991560👇Ukifanikiwa kuandaa d...
15/09/2025

ANDAA HII DAWA KIBOKO YA VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI/ACID REFLUX... Na Dr. Ebby 📞 0757991560👇

Ukifanikiwa kuandaa dawa hii basi wewe ni byee byee vidonda vya tumbo na Acid reflux kwa uwezo Mungu kwani nime elekeza wengi na wamepona ila chonde ukiandaa hii na ukatumia ukapata matokeo usije ukauza nawe saidia Bure, zingatia Hilo🙏🏿

ANDAA HIVI UVICHANGANYE...
1. Vifuu vya n**i, choma mkaa usage upate unga
2. Mti wa mkaratusi, nao choma mkaa upate unga wake
3. Mti wa Mkuyu pia nao uchome mkaa upate unga wake
4. Mbegu ya parachichi usage upate unga wake

Changanya hivyo vitu vyote vinne na hiyo ndo dawa imekamilika

MATUMIZI
Utakuwa unachota dawa yako NUSU YA KIJIKO CHA CHAKULA unachanganya na asali mbichi kijiko kimoja cha chakula, unalamba asubuhi, mchana na jioni kabla ya chakula.

K**a huwa hupendelei asali au asali inakusumbua tumbo utachanganya dawa yako na maji ya kawaida ya kunywa tu(siyo ya moto), maji yawe NUSU KIKOMBE, unywe asubuhi kabla ya chai, mchana kabla ya chakula na usiku kabla ya chakula

Tumia dawa hiyo kwa wiki 2 tu, hakuna tena vidonda vya tumbo wala gesi/kiungulia/acid reflux

K**a unahitaji dawa ambayo tayari imeandaliwa yaani product na Dozi kutoka kwetu unaweza kuja kuchukua au kuagiza kwetu Tsh 150,000 ambayo ni *STOMACH CARE* ni ya kutibu kwa siku 28 hii inaweka sawa mpaka mfumo wa mmeng'enyo wa chakula pia inaua kabisa bacteria wa H.pylor.....

Na wanaume wenye shida za ngiri au homoni za kiume zipo chini pamoja na walioathirika kwa kujichua/punyeto, vitu vyao vipo legelege haviwezi kazi....pia dawa tunazo na gharama ni Tsh. 165,000 Tu ila kwa mwenye Ngiri au tezi dume ya muda basi anatakiwa kutumia package tatu hizo

Ofisi yetu ipo Mwanza peke yake, eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner

Mikoa mingine yote tunaweza kukutumia baada ya wewe KULIPIA USAFIRI TU halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea

Simu || Whatsapp 0757991560

*Somo la Ukumbusho wa Afya na Maombi ya Uzima*  na Dr. Ebby 📞 0757991560Afya ni hazina kubwa kuliko mali yoyote duniani....
14/09/2025

*Somo la Ukumbusho wa Afya na Maombi ya Uzima* na Dr. Ebby 📞 0757991560

Afya ni hazina kubwa kuliko mali yoyote duniani. Mara nyingi tunapokuwa na nguvu na mwili wenye afya, huwa tunasahau kuitunza. Lakini ukweli ni kwamba mwili wetu ni hekalu la Roho Mtakatifu, hivyo tunapaswa kuutunza kwa kula vyakula bora, kunywa maji ya kutosha, kufanya mazoezi, kupumzika ipasavyo na kuacha mawazo yanayoumiza mioyo yetu.

Magonjwa na changamoto za mwili huja bila hodi, lakini Mungu ameweka ndani yetu tumaini la uponyaji. Tunapojali afya, ni k**a tunashirikiana na neema ya Mungu kuishi maisha marefu na yenye nguvu.

“Naye atakuponya magonjwa yako yote.” (Zaburi 103:3)

🙏Na Leo naomba kufanya nawe Maombi ya Uzima na Uponyaji👇

Ee Mungu wa rehema,
Tunakuja mbele zako tukijua wewe ndiwe mganga mkuu.
Tunakabidhi miili yetu mikononi mwako.
Tunaomba uponyaji kwa kila ugonjwa, nguvu mpya kwa walio dhaifu,
faraja kwa wenye maumivu na amani kwa wenye hofu.

Tufundishe kuishi kwa nidhamu ya afya njema,
tukue kiroho na kimwili, na tuwe mashahidi wa uzima ulio ndani yako, Amen...🙏🏿

K**a una changamoto yoyote ya ki afya basi wasiliana nami sasa uweze kupata ushauri na hata matibabu kwa kutumia dawa zetu za asili zisizo na kemikali na zenye uwezo wa mkubwa🤝 📱0757991560

🌿 Unahitaji dawa gani leo?Je, uko tayari kuanza matibabu yako na kurejesha afya yako?👉 Njoo uniandikie Inbox sasa hivi, ...
13/09/2025

🌿 Unahitaji dawa gani leo?
Je, uko tayari kuanza matibabu yako na kurejesha afya yako?

👉 Njoo uniandikie Inbox sasa hivi, nikupatie OFFA ya leo pekee 🏷️
Usiache nafasi hii ikupite – afya yako ni ya thamani kuliko chochote! 🙏 0757991560

*KWA WENYE KISUKARI, TUNARUDIA TENA KUANDIKA, HII NI DAWA YA KUKURUDISHA VIZURI SUKARI YAKO* na Dr Ebby 📱 0757991560 👇 ✅...
03/09/2025

*KWA WENYE KISUKARI, TUNARUDIA TENA KUANDIKA, HII NI DAWA YA KUKURUDISHA VIZURI SUKARI YAKO* na Dr Ebby 📱 0757991560 👇

✅Kwenye picha ni kirutubisho kilichosaidia wagonjwa wengi mno wa Kisukari,..

✅Dozi ni package tatu ambazo utatumia ndani ya miezi mitatu Ukishaanza kutumia ndani package ya mwezi mmoja tu nenda kapime Sukari uone imekuwa ngapi, ni lazima iwe imeanza kurudi kwenye hali ya kawaida, labda k**a kuna mkono wa mtu😄

✅Kuna wale wanaume wenye Kisukari ambao uwezo wa kulimudu tendo umeshuka, wakianza kutumia hii dawa watashangaa mzee anaanza kunyanyuka mwenyewe bila dawa ya ziada👋

✅Ndo maana tumesema kuwa kwa dawa hii ni lazima Kisukari kikuheshimu🙌

*DIABETIC CONTROL* (kwenye picha) gharama yake ni Tsh 18,0000 kwa dozi yote, zinakuwa package tatu Kila mwezi gharama ndio 180,000,..

✅Ofisi yetu ipo Mwanza, eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner,..

✅K**a upo nje ya Mwanza tunakushauri utafute mtu/ndugu yako aliyepo Mwanza aje ofisini akuchukulie au ukiamua kutuamini sisi wenyewe tunaweza kukutumia mkoa wowote na utapata uthibitisho wa mzigo wako kuondoka ndani ya masaa mawili tu,.. haijalishi umetumia Dawa nyingi kiasi gani tuamini tukuhudumie,..

🌿 Health community care tunajali na kuthamini afya yako *SISI TUNATIBU NA MUNGU ANAPONYA* Dr. Ebby 🤳 0757991560

31/08/2025

*HAKUNA MWANAUME ANAYEPENDA KUWAHI KUSHUSHA MZIGO, HII HAPA DAWA* na Dr. Ebby 0757991560

Yes, hakuna mwanaume anayependa kuwahi kumaliza, kuwahi kushusha mzigo..

Yaani sekunde tu, hata dakika haifiki ushatupa taulo!!
Hakuna mwanamke unayeweza kumridhisha kwa hizo sekunde!!

Tiba ni rahisi tu, unga wa mizizi mlonge.

KWANZA HAKIKISHA UNGA HUO UMEANIKWA KIVULINI, VINGINEVYO HAKUNA UTAKACHOAMBULIA

Tumia kunywa unga huo kwenye maji vuguvugu au kwenye chai

K**a unataka kujitibu kabisa tatizo basi tumia kwa wiki 8, tunakuhakikishia utaweza kulimudu tendo kwa muda unaotaka wewe, hii ni kwale ambao shida zao hazihusiani na punyeto na hakikisha huna tatizo jingine la kia afya lenye uhusiano na upungufu wa nguvu za kiume👇

Andaa Mlonge au nunua kokote unakojua wewe, ila hakikisha umepata ulioandaliwa vyema kwa kuanikwa kivulini tu huu itakufaa tofauti na hapo ni kazi bure,.

Kwetu sisi unga huo tunautoa kwa Tsh 75,000.

Ni unga wa kutosha kutumika kwa wiki 8+(kopo 3)

Ofisi: Mwanza peke yake

Eneo: Fika hadi Mkolani Kisha ulizia Ghorofa la Family Corner ukifika hapo basi utakuwa umefika ofisini piga tu simu

Mikoa mingine yote tunaweza kukutumia ukihitaji, wewe utalipia usafiri tu halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea

NB: HATUTUMI MZIGO AMBAO HAUJALIPIWA USAFIRI

Simu: Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby

Dr. Ebby 📱 0757991560 KWA MWANAMKE*VYAKULA 8 VINAVYSAIDIA KUSHIKA MIMBA HARAKA* *Ikiwa unatamani kushika mimba haraka ba...
29/08/2025

Dr. Ebby 📱 0757991560

KWA MWANAMKE
*VYAKULA 8 VINAVYSAIDIA KUSHIKA MIMBA HARAKA*

*Ikiwa unatamani kushika mimba haraka basi anza sasa kutumia kwa wingi vyakula vifuatavyo:-*

🪣Ndizi mbivu.
🪣Kabeji.
🪣Machungwa na matunda mengine ya jamii hii.
🪣Mananasi.
🪣Viazi Mviringo.
🪣Viazi vitamu.
🪣Samaki wabichi.
🪣Mboga za majani.
🪣Parachichi.

*K**a utajitahidi kula vyakula hivyo kwa wingi uwezekano wa kushika mimba unakuwa ni mkubwa sana.Lakini pia unapaswa kuepuka kutumia vitu vifuatavyo.*

🌹Pombe.
🌹Sigara.
🌹Bidhaa za viwandani.
🌹Madawa ya kuzuia usingizi.
🌹Kahawa.
🌹Sukari.
🌹vyakula vilivyokobolewa.
🌹Maziwa.

*Zingatia: Swala la kutafuta watoto ni jambo la pande mbili mr and mrs sasa mshirikishe mr au mrs muweze kutimiza uzazi wenu.*

Lakini pia k**a umefanya yote na Bado huoni matokeo basi nikualike kutumia dawa yetu ya uzazi Kwa Kwa Mwanamke iitwayo *CHAI CARE* na Kwa mwanaume ni *MAN CARE* ni dawa ambazo zimetoa matokeo mengi mazuri zaidi

🌿Health community care tunajali na kuthamini afya yako *SISI TUNATIBU MUNGU ANAPONYA*

INAHUZUNISHA TAKWIMU ZA KANSA, KANDA YA ZIWA INAONGOZAKUNA UGUMU GANI KUTUMIA MSITAFELI K**A KINGA?Juzi kati nilikuwa na...
27/08/2025

INAHUZUNISHA TAKWIMU ZA KANSA, KANDA YA ZIWA INAONGOZA

KUNA UGUMU GANI KUTUMIA MSITAFELI K**A KINGA?

Juzi kati nilikuwa nasikiliza chombo kimoja cha habari, na walikuwa wakizungumzia Kansa kwa ujumla

Takwimu zinaonyesha kwa Tanzania mikoa ya Kanda ya ziwa inaongoza kwa kuwa na wagonjwa wengi wa Kansa, yaani kansa zote kwa ujumla

Ikumbukwe kuwa dawa za kemikali Hospitalini kwa ajili ya Kansa ni GHALI mno, inafikia Tsh 400,000 kwa mzunguko mmoja(circle), na mgonjwa anatakiwa kufanya circle k**a 6, na hiyo bei ndo ya chini zaidi maana zipo hadi za milioni 4 pia!

SASA KWANINI UFIKIE HUKO?
Tumia unga wa majani msitafeli k**a kinga, itakuzuia usipate kabisa Kansa, yaani hautapata kansa maishani mwako k**a utakuwa ukitumia unga wa msitafeli angalau miezi miwili tu kwa mwaka mzima

OFA UNGA WA MSITAFELI
Utalipia Tsh 60,000 tu kwa dozi ya miezi miwili(kopo 3)

Hapo hakuna kansa ya kukusogelea, hata tezi dume haiwezi kukugusa wewe mwanaume

Sasa wewe endelea na ubishi wako, halafu kansa au tezi dume vikikupata unaanza kuutafuta msitafeli ukiwa tayari umepaniki/umechanganyikiwa unataka upone kansa kwa wiki 1😀

Ofisini kwetu ni Mwanza peke yake, hatuna tawi mkoa mwingine, wewe k**a hupendi kutumiwa tunakushauri utafute ndugu yako aliyepo Mwanza aje ofisini akuchukulie

Unapotaka tukutumie mkoa mwingine HAKIKISHA UMELIPIA USAFIRI Tsh 10,000 hadi 15,000 kutegemeana na wapi ulipo

KUMBUKA: HAPA KWETU NDO SEHEMU PEKE UNAPOWEZA KUPATA UNGA SAFI WA MSITAFELI ULIOANDALIWA KWA KUANIKWA KIVULINI UKIWA NA VIRUTUBISHO VYAKE VYOTE.... Call/Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby

*UHAI NI ZAWADI YA MUNGU-TUUTHAMINI TANGU MWANZO* na Dr. Ebby 📞 07579915601. Maisha ni zawadi, siyo bahatiKila kiumbe ki...
24/08/2025

*UHAI NI ZAWADI YA MUNGU-TUUTHAMINI TANGU MWANZO* na Dr. Ebby 📞 0757991560

1. Maisha ni zawadi, siyo bahati
Kila kiumbe kinachotungwa tumboni siyo ajali, bali ni mpango wa Mungu. Biblia inasema:
“Kabla sijakuumba tumboni nilikujua, na kabla hujatoka tumbo la mama yako nilikutakasa.” (Yeremia 1:5)
Hii inatufundisha kwamba uhai unaanza pale mtu anapokuwa bado tumboni, na kila kiini cha maisha ni cha thamani kubwa mbele za Mungu.

2. Hofu ya Mungu hutufundisha kuthamini maisha
Mara nyingi wanadamu hujiona wenye mamlaka makubwa juu ya uhai, lakini hofu ya Mungu hutufundisha kuwa sisi ni wasimamizi tu, siyo wamiliki wa maisha. Tunapothamini uhai, tunamnyenyekea Muumba na tunapata hekima ya kuishi kwa heshima na upendo.

3. Picha ya uhai tumboni ni funzo kwa kila mmoja wetu

Inatufundisha kuwa binadamu si kiumbe dhaifu asiye na maana, bali ni kazi ya mikono ya Mungu tangu mwanzo wake mdogo.

Inatufundisha kuwa hatuna sababu ya kujivuna kwa mali au muonekano, kwa maana sote tulianza k**a kiumbe mdogo dhaifu.

Inatufundisha thamani ya huruma na upendo: yule ambaye leo ni mdogo tumboni, kesho anaweza kuwa tumaini kubwa kwa dunia.

4. Wagonjwa na walioko katika majaribu wajifunze

K**a Mungu anaweza kulea kiumbe mdogo tumboni hadi akue, ndivyo anaweza kukuponya na kukuinua hata wewe katika udhaifu wako.

Uhai wa mwanadamu ni mwaliko wa kumtumainia Mungu zaidi kuliko kutegemea nguvu za kibinadamu.

Tumaini la kweli hupatikana pale tunapomcha Mungu na kumkabidhi maisha yetu mikononi mwake.

5. Hitimisho
Hii picha ya kiumbe mdogo tumboni hutufundisha kuwa:
✨ Uhai siyo bahati – ni mpango wa Mungu.
✨ Tusijivune kwa chochote, maana sote tulianza dhaifu.
✨ Tumheshimu Mungu kwa kuuthamini uhai, nasi tutabarikiwa kwa amani, faraja na nguvu mpya.

Je Nini ambacho UMEJIFUNZA hapa? Tuambie hapa chini🤝

22/08/2025

*SOMA SOMO HILI UJUE KWA KINA KUHUSU BAWASIRI (HEMORRHOIDS)* na Dr. Ebby 0757991560/👇

📌 Bawasiri ni nini?

Bawasiri ni uvimbe wa mishipa ya damu sehemu ya haja kubwa au nje yake unaosababisha maumivu, kuwashwa na wakati mwingine kutokwa na damu. Ni tatizo linalowapata watu wa rika zote na mara nyingi husababishwa na:

Kukaa muda mrefu bila kusogea

Kula vyakula visivyo na nyuzinyuzi (fiber)

Kukosa choo kwa muda mrefu (constipation)

Ujauzito au uzito mkubwa kupita kiasi

Kushinikiza sana wakati wa kujisaidia

📌 Dalili kuu za bawasiri

1. Kutokwa na damu nyekundu wakati wa kujisaidia.

2. Maumivu na maumivu makali unapokaa au kujisaidia.

3. Kuwashwa sehemu ya haja kubwa.

4. Kuvimba au kutoka nyama ndogo k**a uvimbe karibu na tundu la haja kubwa.

5. Haja kubwa isiyokamilika au usumbufu kila wakati.

⚠️ Tahadhari na madhara ya kuipuuzia

Kupuuzia bawasiri kunaweza kusababisha:

Upungufu wa damu (anemia) kutokana na kupoteza damu mara kwa mara.

Maumivu sugu yanayopunguza utulivu wa maisha ya kila siku.

Uvimbe kuongezeka na kusababisha kushindwa kujisaidia vizuri.

Upungufu wa nguvu za kiume na hata kukosa hamu ya tendo kwa wanawake

Maambukizi ya bakteria na kuleta harufu mbaya.

🚨 Uharaka wa kupata matibabu

Usisubiri dalili ziendelee kuwa mbaya. Kadri bawasiri inavyokua bila tiba, ndivyo matibabu yanavyokuwa magumu zaidi na madhara yake kuwa makubwa. Ni muhimu kupata tiba mapema ili kuondoa maumivu na kurejesha afya kwa haraka.

🌿 SULUHISHO LETU: BAWASIRI CARE

Kwa upande wetu tumekuandalia tiba ya asili yenye nguvu iitwayo BAWASIRI CARE, ambayo imeundwa mahsusi kusaidia:

Kuondoa maumivu na uvimbe wa bawasiri

Kusafisha njia ya haja kubwa na kuzuia maambukizi

Kutibu bawasiri kwa ndani na nje kwa ufanisi

👉 Matumizi: Ni dawa ya kunywa na kupakaa
👉 Dozi: Siku 30 mfululizo
👉 Gharama: Shilingi 185,000/= kwa dozi

Kwa matibabu ya haraka, salama na yenye uhakika – chukua hatua sasa kabla hali haijawa mbaya zaidi.

🌱Bawasiri siyo aibu, ni ugonjwa unaotibika. Ukiona dalili, chukua hatua mapema. Afya yako ni kipaumbele!

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ebby Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram