
24/09/2025
*UJUMBE WA MATUMAINI KWA WENYE KUTAMANI WATOTO* na Dr. Ebby 📞 0757991560
K**a bado haujabarikiwa kupata mtoto, kumbuka jambo hili:
Mungu hajaandika mwisho wa safari yako.
🔹 Kila kilio chako hakijapotea bure.
🔹 Kila sala yako imehifadhiwa mikononi mwa Baba wa mbinguni.
Kumbuka mifano ya Biblia:
Sara alicheka akiwa mzee, lakini bado akashika mimba.
Hana alilia kwa machozi makali, hatimaye akakumbukwa.
Elizabeth alidhani amechelewa, lakini Mungu akamfanya kuwa mama.
👉 Hivyo basi, usiache kuamini.
Tunda la tumbo ni baraka kutoka kwa Mungu, na wakati wake ukifika hakuna atakayezuilia.
🌹 Usikate tamaa.
🙏 Endelea kushikilia imani.
👶 Kesho yako inaweza kuwa ndiyo siku ya muujiza wako.
Na k**a una changamoto ya kia afya ambayo ndio kikwazo usiache kutafuta matibabu na kwa Mwanamke sisi tunayo dawa mujarabu ya maswala ya uzazi nayo ni CHAI CARE hii ni dawa iliyoleta furaha kwa wanawake wengi, gharama yake ni 185,000 Dozi
Kwa WANAUME basi mkombozi ni dawa iitwayo MAN CARE hii ina uwezo mzuri wa kufanya Shemeji akatema mate....😅 Gharama yake ni 160,000 Dozi
🙏 NAOMBA PAMOJA NA HAYO TUFANYE MAOMBI PAMOJA— Tuombe👇
Naomba tuombe pamoja nami:
🤲
Mungu Mwenye rehema, tunakuja mbele zako kwa unyenyekevu. Tunakuomba ujaze nyumba hizi mbegu za matumaini; ubariki mbegu za uzazi, uamzishe nafsi zetu kwa nguvu na tumaini, na utoe muujiza wako kwa wakati wako. Uweke amani mioyoni mwetu katika safari hii. Amina.
HEALTH COMMUNITY CARE Tunajali na kuthamini afya yako Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner kwa mikoani tunakuagizia kwa basi au kwa ndege bila shida k**a una ndugu yako anaweza kuja ofisini kwetu kukuchukulia dawa pia🤝