Dr. Ebby Herbal

Dr. Ebby Herbal Nawasaidia watu wenye changamoto za ki afya Kwa Tiba na Ushauri kwa kutumia mimea Asili matunda na mboga mboga za majani,. ASILI HUPONYA..

MIMI NINATIBU NA MUNGU ANAPONYA /Whatsapp_0757991560_Dr. Ebby 🤝

*HILI NI SOMO MUHIMU SANA NA KUNA KITU UTAJIFUNZA* na Dr. Ebby 📞 0757991560Kuwashwa sehemu ya haja kubwa (mkundu), hasa ...
07/01/2026

*HILI NI SOMO MUHIMU SANA NA KUNA KITU UTAJIFUNZA* na Dr. Ebby 📞 0757991560

Kuwashwa sehemu ya haja kubwa (mkundu), hasa wakati wa usiku, ni dalili ambayo watu wengi huipuuza.
Hata hivyo, hali hii mara nyingine inaweza kuhusishwa na maambukizi ya minyoo aina ya PINWORM (Enterobius vermicularis) — tatizo linalozuilika na kutibika kabisa endapo litagunduliwa mapema.
📌 Dalili za kawaida za pinworm ni pamoja na:
Kuwashwa mkundu sana, hasa usiku
Kukosa usingizi au kusinzia mchana
Maumivu ya tumbo mara kwa mara
Kichefuchefu au hamu ndogo ya kula
Kwa watoto: kuwashwa sehemu za siri au tabia ya kujikuna sana
📌 Kwa nini kuwashwa huongezeka usiku?
Minyoo hawa hutoka usiku kwenda kutaga mayai kuzunguka mkundu, hali inayosababisha kuwashwa sana.
📌 Njia za kujikinga:
Kunawa mikono mara kwa mara kwa sabuni na maji tiririka
Kukata kucha fupi na kuepuka kujikuna
Kuosha nguo za ndani na mashuka mara kwa mara
Kunywa dawa za minyoo kwa ushauri wa mtaalamu wa afya
👉 Kujua dalili mapema hukusaidia kuchukua hatua kwa wakati na kulinda afya yako pamoja na ya familia.
💡 Usipuuze kuwashwa mkundu, hasa kunapotokea usiku.
Hakikisha unapimwa au kupata ushauri wa kitaalamu.
📲 Hifadhi na ushiriki ujumbe huu ili kuwasaidia wengine kujilinda.

HEALTH COMMUNITY CARE Tunajali na kuthamini afya yako,

📍 Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner Karibu kwa ushauri na matibabu ya magonjwa mbali mbali 📞 0757991560🤝

*USIKURUPUKE KUTIBU NGUVU BILA KUTIBU NGIRI... UTALAUMU WAUZA DAWA BUREEE* na Dr. Ebby 0757991560Wanaume tunafeli sana k...
04/01/2026

*USIKURUPUKE KUTIBU NGUVU BILA KUTIBU NGIRI... UTALAUMU WAUZA DAWA BUREEE* na Dr. Ebby 0757991560

Wanaume tunafeli sana kitandani na shida kubwa huanzia kwenye NGIRI, ukiwa na ngiri hufanya homoni zako za kiume zipungue uwezo..

Ona hizi dalili za NGIRI hadi TEZI DUME...
👇👇👇👇👇

1. Korodani moja au zote kuvimba

2. Kuvimba juu ya kinena kushoto au kulia

3. Tumbo linaunguruma kila mara

4. Hisia za tendo kukata ghafla wakati wa mechi

5. Korodani kupotea zote au moja

6. Korodani kujaa maji

7. Kuvimba kwa korodani uvimbe wenye kujaa k**a nyama

8. Kuwa na uvimbe unaotelemka kuingia ndani ya korodani

9. Kuwa na uvimbe unaojitokeza tumboni na kutelemka hadi ndani ya korodani

10. Mashine yako kuingia ndani na kupungua k**a ya mtoto

11. Unapata mkojo mara kwa mara, hasa usiku

12. Mkojo unatoka kwa shida

13. Ukikojoa mkojo hauendi mbali, yaani we ni mtu mzima ila huwezi kuupeleka mbali mkojo wakati unakojoa

14. Maumivu wakati wa kukojoa

15. Mkojo kubakia baada ya kukojoa. Yaani unakojoa mkojo unahisi umemaliza lakini kuna mkojo umebakia(mkojo hauishi wote)

Shida za mkojo zinawapata zaidi wanaume wenye umri kuanzia miaka 40+

GHARAMA ya Dawa hii ni 165,000 tu! Hii imesaidia wanaume wengi

Ofisi || Mwanza || Mkolani

Ni jirani na Ghorofa la Family Corner ndipo ilipo ofisi yetu

Ukiwa makao Makuu ya Mkoa wowote tunaweza kukutumia ukihitaj, na malipo ya dawa ni baada ya kupokea, lakini utalipia kwanza gharama za kusafirisha

Simu//Whatsapp 📞 0757991560

Sisi tunatibu na Mungu anaponya 🤝

♥️ HERI YA MWAKA MPYA 2026 na Dr. Ebby 0757991560(NEEMA MBELE YETU)♥️Kadiri tunavyopokea mwaka mpya, tunajikumbusha jamb...
31/12/2025

♥️ HERI YA MWAKA MPYA 2026 na Dr. Ebby 0757991560
(NEEMA MBELE YETU)♥️
Kadiri tunavyopokea mwaka mpya, tunajikumbusha jambo moja,..
Mungu ndiye Mwanzo wetu, Mungu ndiye Mwisho wetu.
Kila hatua tuliyoipiga, kila machozi yaliyokaushwa, kila nafuu tuliyoipata—ni kwa neema, rehema na ulinzi wa Mungu aliye hai.

Katika safari ya afya na maisha, tumeshuhudia mengi:
✍️ Wapo waliopata matibabu na leo wanatabasamu.
✍️Wapo waliopona na sasa wanashuhudia.
✍️ Wapo ambao safari bado inaendelea—hawajapata majibu ya mwisho, lakini tumaini lao halijakufa.
Tunawapokea nyote kwa heri:
🔹 Walioanza safari nasi zamani,
🔹 Waliojiunga nasi mwaka huu,
🔹 Na hata waliokuja kwa hatua ya mwisho ya matumaini, bado tupo pamoja.
Hakuna aliyechelewa mbele ya Mungu; kila mmoja ana wakati wake.

Mwaka mpya ni mlango wa uponyaji mpya, maamuzi mapya, na fursa mpya.
Tukiingia 2026, tumuombe Mungu atutangulie mbele kwa hekima, hofu ya Mungu, na afya bora.
📌 Tafakari ya kuanza mwaka:
“Ee Bwana, utuongoze mwaka huu mpya.
Tupe akili ya kuchagua kilicho sahihi,
nguvu za kutafuta nafuu,
upole wa kukubali mabadiliko,
na amani ya kukabiliana na magumu.
Ubariki familia zetu, kazi zetu, na miili yetu.
Tufunge milango ya maumivu,
tufungue milango ya neema.
Tuishi kwa shukrani.
Tuwe watu wa nuru.
Amen..

📌 OFA MAALUM YA MWAKA MPYA
K**a hukuwahi kufanikiwa kupata ofa ya mwisho wa mwaka usiogope wala usione aibu.
Tunafungua OFA MAALUM YA MWAKA MPYA kwa wanaohitaji msaada wa kiafya:
👉 Tuma ujumbe inbox
📝 Andika neno: “OFA”

Tutazungumza kwa upole na kuangalia namna ya kukusaidia kibajeti na kiafya, kulingana na hali yako.
(Malipo baada ya kupokea mzigo kwa utaratibu maalumu.)
MALIZO KUU YA BARAKA
Kukosa leo sio kufeli.
Kuchelewa si kushindwa.
Mungu hachelewi — huja kwa wakati wake ulio kamili.
Huu uwe mwaka wa:
✍️Amani
✍️ Afya
✍️ Maamuzi sahihi
🤲🏽 Ushindi wa kimwili na kiroho
Mungu atutangulie. Mungu atatufanikisha. Mungu atatufunika.

HERI YA MWAKA MPYA 2026
Karibuni kwenye safari ya uponyaji, matumaini na baraka.
NEEMA MBELE YETU!

“Wanaume wenzangu jamani, mmeshindwa hata kusubiri arubaini? 🤣  Wiki tatu tu tayari mnawaka k**a umeme wa TANESCO kabla ...
29/12/2025

“Wanaume wenzangu jamani, mmeshindwa hata kusubiri arubaini? 🤣

Wiki tatu tu tayari mnawaka k**a umeme wa TANESCO kabla ya mvua! Hata mafundi wanakupa ‘service period’, sembuse mama kajifungua na kushonwa njia mpya! 😅

Hii mi shauku mnaitolea wapi wazee?”
*“Halafu mkitaka kusubiri kidogo tu mnanuna k**a watoto mliokosa peremende! 😂 Kweli mwanaume ni viumbe wa ajabu bana kasoro mimi tuh!… kwa nini hamuwezi tu kusubiri arubaini kwanza???????🤔 Dr. Ebby 0757991560

25/12/2025

🌲 HERI YA CHRISTMAS na Dr. Ebby 📞 0757991560

Mwanga wa siku hii ulete
uponyaji kwenye mwili, utulivu
kwenye akili, na pumziko kwenye roho.

K**a ulikuwa unaumia, upone.

K**a umechoka, upumzike.

K**a umevunjika, ujengeke upya.

K**a ulijisahau, ujikumbuke.

NIANDIKIE TU NENO 'AMEN' ILI NI0NE WANGAPI TUMEFIKA NAO LEO YENYE NEEMA NA BARAKA NA TUKO PAMOJA🤝

NINASUBIRIA MIALIKO YENU TAFADHALI 🫶🫶🫶🫶

🌲 HERI YA CHRISTMAS na Dr. Ebby 📞 0757991560Mwanga wa siku hii ulete uponyaji kwenye mwili, utulivu kwenye akili, na pum...
25/12/2025

🌲 HERI YA CHRISTMAS na Dr. Ebby 📞 0757991560

Mwanga wa siku hii ulete
uponyaji kwenye mwili, utulivu
kwenye akili, na pumziko kwenye roho.

K**a ulikuwa unaumia, upone.

K**a umechoka, upumzike.

K**a umevunjika, ujengeke upya.

K**a ulijisahau, ujikumbuke.

NIANDIKIE TU NENO 'AMEN' ILI NI0NE WANGAPI TUMEFIKA NAO LEO YENYE NEEMA NA BARAKA NA TUKO PAMOJA🤝

NIKASUBIRIA MIALIKO YENU TAFADHALI 🫶🫶🫶🫶

FAHAMU HILI WEWE MWENYE ACID REFLUX AU VIDONDA VYA TUMBO. na Dr. Ebby 📞 0757991560Vidonda vya tumbo na acid vina uhusian...
20/12/2025

FAHAMU HILI WEWE MWENYE ACID REFLUX AU VIDONDA VYA TUMBO. na Dr. Ebby 📞 0757991560

Vidonda vya tumbo na acid vina uhusiano wa karibu sana.
Acid ikizidi au ikikaa muda mrefu, huanza kuumiza ukuta wa tumbo na hatimaye kusababisha vidonda.
Usipuuze kiungulia, maumivu ya juu ya tumbo au kichefuchefu, mara nyingi ni ishara za mwanzo hivyo ni busara kufuata KANUNI na maelekezo ya Daktari na hata kutafuta matibabu sahihi

Karibu kwa ushauri na matibabu ya magonjwa mbali mbali ikiwemo Acid reflux na vidonda vya tumbo,

Health community care tunajali na kuthamini afya yako, Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner lakini kwa mikoani tunakuagizia bila shida🤝

*ifanye Leo kuwa ya furaha kwako, OFA hii imebeba tumaini la uponyaji na mwisho wa mateso yako, pengine gharama ya dawa ...
15/12/2025

*ifanye Leo kuwa ya furaha kwako, OFA hii imebeba tumaini la uponyaji na mwisho wa mateso yako, pengine gharama ya dawa ilikua ni mtihani kwako sasa nufaika na punguzo hili la bei* Sisi tunatibu na Mungu anaponya,... Uwe na JUMAPILI njema mpendwa 🤝

Dr. Ebby 0757991560

NIKUTAKIE KUMBUKIZI NJEMA YA SIKU HII MUHIMU YA KUSHEREHEKEA KUMBUKIZI YA UHURU WA TANZANIA BARA, IKAWE KHERI NA BARAKA ...
09/12/2025

NIKUTAKIE KUMBUKIZI NJEMA YA SIKU HII MUHIMU YA KUSHEREHEKEA KUMBUKIZI YA UHURU WA TANZANIA BARA, IKAWE KHERI NA BARAKA KWAKO KWA PAMOJA TUENDELEE KULINDA AMANI NA TUNU YA TAIFA LETU PENDWA🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Na Dr. Ebby 📞 0757991560 NAOMBA SOMA SOMO HILI LENYE FAIDA NYINGI KWAKO KWA WATU WA KARIBU YAKO👇

Rafiki yangu, hebu nitumie dakika chache nikuonyeshe kitu ambacho kitaabadilisha maisha yako.

Ninakuandikia hili si kwa sababu ya biashara,
bali kwa sababu nataka uamke siku moja bila maumivu, bila hofu, bila presha, bila kukurukuka kila asubuhi.
Kwa muda mrefu umekuwa ukila chakula “kwa mazoea”… lakini leo nakufundisha kula “kwa uponyaji”.

1️⃣ 75% — Mafuta Mazuri (Hapa ndipo mwili wako unapata tiba ya kweli)

Rafiki yangu, mwili wako umechoka kutumia sukari k**a chanzo cha nguvu.
Ndiyo maana unachoka haraka, unapata kizunguzungu, usingizi unakukimbia, presha inapanda kwa ghafla.

Lakini unapoweka mafuta mazuri kwenye sahani yako—
mwili wako unawaka upya k**a2 injini mpya iliyofanyiwa service.

Nataka sahani yako iwe na:

1. parachichi

2. mafuta ya n**i

3. mafuta ya olive (cold press)

4. mafuta ya samaki

5. ghee

Haya mafuta ndiyo tiba.
Yanasafisha mishipa, yanatuliza moyo, yanayeyusha uvimbe unaosababisha presha kupanda.

2️⃣ 20% — Protini Halisi (zinajenga mishipa, zinatuliza mwili)

Rafiki yangu, nataka uchague protini zilizo “hai”—zinajenga, zinatengeneza, na zinaponya.

Chagua:

1. kuku wa kienyeji

2. mayai

3. samaki fresh3

4. maini / nyama ya kupika

Protini hizi:
• zinapunguza njaa,
• zinajenga misuli,
• zinapunguza uzito bila mateso,
• hazipandishi sukari—kwa hiyo zinashusha presha.

Ukila protini sahihi kila siku,
mwili wako unaanza kutulia polepole…
mapigo yanakuwa ya kawaida…
usingizi unarudi…
na unahisi nguvu mpya.

3️⃣ 5% — Vyakula Mbadala wa Low GI (Bila kuumiza mwili)

Mboga zisizo na wanga:

sukuma

spinach

cauliflower

broccoli

kabeji

matango

nyanya

bamia

karoti

hoho

vitunguu maji, saumu

Zero-carb fillers:

mayai

supu ya mifupa

kachumbari2

supu ya mboga zilizochemshwa

Vinywaji vya kushusha presha:

chai ya tangawizi

maji ya uvuguvugu + limao (unaweza kuweka chumvi ya mawe kidogo)

chai ya kijani bila sukari

maji ya moto

Hivi havikuumizi, havipandishi sukari, havibani mishipa ya damu.
Ni k**a “moto mdogo wa uponyaji” ndani ya mwili.

Rafiki yangu, sahani yako ndiyo tiba yako.
Hakuna dawa yoyote hospitalini inayoweza kukupa matokeo ambayo sahani sahihi inaweza kukuletea.

Kwa ushauri, matibabu na hata program maalum ya kuondokana na adui huyu mkorofi kwa sasa basi Karibu na piga simu 0757991560 Dr. Ebby.. Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner 🤝

KWA DALILI HIZI WEWE MWANAUME TAMBUA UNA NGIRI, HII NI KIKWAZO KITANDANI 1. Ukienda chooni unatoa upepo tu badala ya kil...
07/12/2025

KWA DALILI HIZI WEWE MWANAUME TAMBUA UNA NGIRI, HII NI KIKWAZO KITANDANI

1. Ukienda chooni unatoa upepo tu badala ya kile kilichokupeleka
2. Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
3. Hamu kukosa ghafla wakati ukiendelea na tendo
4. Kushindwa kuendelea baada ya kumaliza mara moja
5. Maumivu ya korodani wakati wote au hasa wakati wa baridi
6. Kuhisi maumivu wakati unafika kileleni
7. Kuvimba kwa korodani

Mpaka hapo, wewe unatakiwa KUTIBU NGIRI chapu kwani utendaji kazi wako kitandaniko unaelekea mashakani

Gharama ya package ya dawa ya Ngiri & TEZI SOLUTION ni 160,000 kwa pack61 ya mwezi mmoja ila k**a tatizo ni la muda mrefu basi Package 3 ndizo zinaweza kumaliza tatizo lako...

Ofisi ni Mwanza peke yake, ukifika mkolani mataa kwa mbele utaona Ghorofa limeandikwa Family corner hapo ukifika basi piga simu

Ukiwa mkoa mwingine hasa makao makuu ya mkoa ni vizuri zaidi hapo tunakuagizia bila shida kabisa

Lakini k**a una hofu, mtafute ndugu au jamaa yako aliyepo Mwanza aje ofisini akuchukulie

Simu || Whatsapp 0757991560 Dr. Ebby 🤝

JE, UNGA WA MAJANI YA MPERA UNAFAA KWA AFYA YA UZAZI YA MWANAUME?JIBU => NDIYOMajani ya mpera yana msaada mkubwa mno kwa...
03/12/2025

JE, UNGA WA MAJANI YA MPERA UNAFAA KWA AFYA YA UZAZI YA MWANAUME?

JIBU => NDIYO

Majani ya mpera yana msaada mkubwa mno kwa afya ya uzazi ya mwanaume kwani yanabeba viua sumu vyenye uwezo wa kukinga mbegu za uzazi za mwanaume

Baadhi ya tafiti zilizofanywa kwa wanyama zilionyesha uwezo mkubwa mno wa kuongeza uzalishwaji wa mbegu, mbegu zenye mwendo, mbegu zenye uwezo wa kuishi na kubaki katika hali nzuri na yanasaidia kuongeza uzalishwaji wa homoni za kiume kwa ujumla

👆👆👆👆👆
Kupitia hizo sababu basi tambua kuwa majani ya mpera ni lulu, unga wake una vitu kibao kwa afya ya mwanaume

Utumie unga wako k**a chai kwani pia ni mazuri kwa:
▪️Presha
▪️Kisukari
▪️Moyo
▪️Vidonda vya tumbo

Ukifanikiwa kuandaa unga wake ufanye uwe ndiyo majani yako ya chai

Kwa masomo k**a haya jitahidi kufuatilia page yetu kila siku ili ufaidi nondo hizi

ASILI HUPONYA, ENDELEA KUJIFUNZA USICHOKE KUJIFUNZA! WENGI TUNAANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA

Dr. Ebby _Call//Whatsapp 0757991560 Karibu kwa ushauri na matibabu, Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani jirani na Ghorofa la Family corner 🤝

*HILI SOMO LINA MAANA KUBWA NA FAIDA MNO, JITAHIDI ULISOME MPAKA MWISHO KISHA NIAMBIE UMEJIFUZA NINI* na Dr. Ebby 📞 0757...
30/11/2025

*HILI SOMO LINA MAANA KUBWA NA FAIDA MNO, JITAHIDI ULISOME MPAKA MWISHO KISHA NIAMBIE UMEJIFUZA NINI* na Dr. Ebby 📞 0757991560👇

(Kulijua Tatizo ni Tatizo, Lakini Kulipuuza Tatizo Ndiyo Tatizo Zaidi)

Kuna hekima kubwa sana kwenye namna tunavyokabiliana na matatizo. Watu wengi hutambua kuwa wana tatipo lakini si wote wanaothubutu kulishughulikia. Na hapa ndipo penye hatari, maana kutambua tatizo ni hatua ya kwanza, lakini kulipuuza ni chanzo cha matatizo makubwa zaidi.

1. Tatizo Lisipotiliwa Maanani Hubadilika Kuwa Janga

Matatizo mengi hayaji kwa ghafla; huanza k**a kitu kidogo. Afya inapokuwa sio nzuri, dalili zinapoanza, tabia isiyofaa inapojitokeza, au changamoto ya kifamilia inapoonekana—kila tatizo huja likiwa dogo.
Lakini tatizo dogo lisipotazamwa, hutafuta nafasi ya kukua.
Na linapokua, gharama yake huwa kubwa kuliko ule uamuzi wa mapema wa kuliweka sawa.Kulijua Tatizo ni Tatizo, Lakini Kulipuuza Tatizo Ndiyo Tatizo Zaidi”

Kuna hekima kubwa sana kwenye namna tunavyokabiliana na matatizo. Watu wengi hutambua kuwa wana tatizo, lakini si wote wanaothubutu kulishughulikia. Na hapa ndipo penye hatari, maana kutambua tatizo ni hatua ya kwanza, lakini kulipuuza ni chanzo cha matatizo makubwa zaidi.

1. Tatizo Lisipotiliwa Maanani Hubadilika Kuwa Janga

Matatizo mengi hayaji kwa ghafla; huanza k**a kitu kidogo. Afya inapokuwa sio nzuri, dalili zinapoanza, tabia isiyofaa inapojitokeza, au changamoto ya kifamilia inapoonekana—kila tatizo huja likiwa dogo.
Lakini tatizo dogo lisipotazamwa, hutafuta nafasi ya kukua.
Na linapokua, gharama yake huwa kubwa kuliko ule uamuzi wa mapema wa kuliweka sawa.

2. Watu Wengi Hawaogopi Tatizo, Wanaogopa Kulishughulikia

Hofu, aibu, uvivu, na kujifariji kwamba “bado si mbaya sana” ndio huchangia watu kulipuuza tatizo.
Lakini ukweli ni kwamba:
Hakuna tatizo linalopona kwa kupuuzwa.
Ukimya hauponyi shida.
Kuahirisha hakumalizi maumivu.
Kujifanya huoni hakubadilishi ukweli.

3. Ukikubali Tatizo, Unafungua Mlango wa Mabadiliko

Kukiri kuwa kuna changamoto ni hatua ya ushindi wa kwanza.
Ni k**a kutambua kuwa nyufa kwenye ukuta zinaweza kuharibu nyumba nzima.
Mara unaposema “Ndiyo, nina tatizo,” tayari umeanza safari ya kutatua.
Kwa sababu kukiri kunaleta ujasiri, kunatoa mwanga, na kunakupa nguvu ya kuchukua hatua.

4. Tatizo Lililopuuzwa Hutafuta Nafasi ya Kukutawala

Tatizo halikai kimya.
Hujirudia, huongezeka, hupanuka na hatimaye hukufanya kuwa mateka wa hali uliyoiwacha ikue.
Matatizo ya afya huongezeka.
Matatizo ya tabia huimarika.
Matatizo ya kiroho hukausha moyo.
Matatizo ya kifamilia hujenga ukuta wa maumivu.
Na yote haya hutokea kwa sababu mtu aliamua kupuuzia tatizo badala ya kulikabili.

5. Ukichukua Hatua Mapema, Unajipunguzia Machungu ya Kesho

Kuwa jasiri leo ni kuokoa kesho yako.
Tatizo lolote—kifedha, kiafya, kimahusiano, kisaikolojia ama kiroho—likitazamwa mapema linakuwa rahisi kulitatua.
Ndiyo maana hekima ya leo ni moja:
Tatizo likionekana, litazamwe. Likigunduliwa, litafutiwe suluhisho. Likijulikana, lisiachwe lipumue.

6. Kuhitimisha: Tatizo Sio Adui, Kupuuzia Tatizo Ndiyo Adui

Tatizo ni mwalimu—lakini ukilipuuza linakuwa mwuaji wa matumaini yako.
Chagua ujasiri kuliko visingizio.
Chagua hatua kuliko hofu.
Chagua mabadiliko kuliko kupuuza.

Kwa sababu matatizo hayapungui kwa kuyapuuza—yanapungua kwa kukumbatia ukweli na kuchukua hatua.

2. Watu Wengi Hawaogopi Tatizo, Wanaogopa Kulishughulikia

Hofu, aibu, uvivu, na kujifariji kwamba “bado si mbaya sana” ndio huchangia watu kulipuuza tatizo.
Lakini ukweli ni kwamba:
Hakuna tatizo linalopona kwa kupuuzwa.
Ukimya hauponyi shida.
Kuahirisha hakumalizi maumivu.
Kujifanya huoni hakubadilishi ukweli.

3. Ukikubali Tatizo, Unafungua Mlango wa Mabadiliko

Kukiri kuwa kuna changamoto ni hatua ya ushindi wa kwanza.
Ni k**a kutambua kuwa nyufa kwenye ukuta zinaweza kuharibu nyumba nzima.
Mara unaposema “Ndiyo, nina tatizo,” tayari umeanza safari ya kutatua.
Kwa sababu kukiri kunaleta ujasiri, kunatoa mwanga, na kunakupa nguvu ya kuchukua hatua.

4. Tatizo Lililopuuzwa Hutafuta Nafasi ya Kukutawala

Tatizo halikai kimya.
Hujirudia, huongezeka, hupanuka na hatimaye hukufanya kuwa mateka wa hali uliyoiwacha ikue.
Matatizo ya afya huongezeka.
Matatizo ya tabia huimarika.
Matatizo ya kiroho hukausha moyo.
Matatizo ya kifamilia hujenga ukuta wa maumivu.
Na yote haya hutokea kwa sababu mtu aliamua kupuuzia tatizo badala ya kulikabili.

5. Ukichukua Hatua Mapema, Unajipunguzia Machungu ya Kesho

Kuwa jasiri leo ni kuokoa kesho yako.
Tatizo lolote iwe kifedha, kiafya, kimahusiano, kisaikolojia ama kiroho, likitazamwa mapema linakuwa rahisi kulitatua.
Ndiyo maana hekima ya leo ni moja:
Tatizo likionekana, litazamwe. Likigunduliwa, litafutiwe suluhisho. Likijulikana, lisiachwe lipumue.

6. Kuhitimisha: Tatizo Sio Adui, Kupuuzia Tatizo Ndiyo Adui

Tatizo ni mwalimu lakini ukilipuuza linakuwa muuaji wa matumaini yako.
Chagua ujasiri kuliko visingizio.
Chagua hatua kuliko hofu.
Chagua mabadiliko kuliko kupuuza.

Kwa sababu matatizo hayapungui kwa kuyapuuza—yanapungua kwa kukumbatia ukweli na kuchukua hatua.

Health community care.. Tunajali na kuthamini afya yako, Tunapatikana Mwanza eneo linaitwa Mkolani Karibu kwa Ushauri na matibabu ya magonjwa mbali mbali kwa mtindo sahihi wa maisha na hata tiba m badalia na asili, piga simu//Whatsapp 0757991560🤝🫶

Address

Mwanza
33110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr. Ebby Herbal posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram