Tumaini_la_Afya

Tumaini_la_Afya Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Tumaini_la_Afya, Medical and health, TMDA, Mwanza.

DALILI  KUU ZINAZOONESHA KWAMBA MWANAUME UMEPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME.1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi...
27/12/2022

DALILI KUU ZINAZOONESHA KWAMBA MWANAUME UMEPUNGUKIWA NGUVU ZA KIUME.

1️⃣Ukienda Safari Moja Mwili unachoka alafu unahisi usingizi .

2️⃣Sehemu za Siri Zinasinyaa taratibu baada ya goli moja.

3️⃣Mwili unahisi ganzi pamoja na sehemu za Siri.

4️⃣Hamu inakata ghafla Mara baada ya kutoa Manii ,ule uchangamfu unapotea kabisa.

5️⃣Nyeti zinasimama Vizuri Lakini ukitaka kuingiza kwa mwanamke Zinasinyaa .Hapa Wengi huhisi kwamba Wamerogwa Lakini ukweli Ni Kwamba hawajarogwa .

6️⃣Kupoteza hamu ya tendo la ndoa.

7️⃣kushindwa kurudia Mara ya Pili .unakuta ukishatoa Goli Mara Moja, Basi mashine inakata Moto haisimami Tena hata ufanyeje inazidi kulala.

8️⃣Mashine kulala Ndani ya Nyeti Za Mwanamke,unakuta upo katika ya Game ,mzigo unalala ghafla na kulegea Ndani kwa Ndani.

Tuma ujumbe neno TUMAINI LA AFYA kwenda namba
0746153629

JE UNAUPENDA MWILI AU AFYA YAKO" Sumu kwenye mwili wako, ndicho kinachofanya uumwe,K**a sumu zingekuwa hazipo kwenye mwi...
21/11/2022

JE UNAUPENDA MWILI AU AFYA YAKO"

Sumu kwenye mwili wako, ndicho kinachofanya uumwe,
K**a sumu zingekuwa hazipo kwenye mwili wako sasa hakuna mtu angekuwa mgonjwa...

Mithili ya panya aliyelishwa chakula chenye sumu hukosa mwelekeo, hali mwili hupoteza nguvu na kuhema kwa taabu hadi pale sumu humzidia nguvu na kuanguka chini na kufa...

K**A UNAUPENDA MWILI WAKO BASI KUWA NA UTARATIBU WA KUONDOA SUMU MWILINI MWAKO MARA MOJA KWA MWEZI

JE UNAFAHAMU MADHARA YA KUWA NA SUMU MWILINI

Asilimia kubwa ya maradhi yanayowasumbua watu hivi leo yanatokana na sumu zilizopo katika miili yao. Inawezekana umewahi kusikia mambo mengi kuhusu sumu kwenye mwili, lakini hufahamu chazo halisi cha sumu hizi.

ipo programu maalum ya DETOXIFICATION (KUONDOA SIMU MAWILI) kwa kutumia tiba za virutubisho lishe bora na asili

FAIDA ZA KUONDOA SUMU MWILINI/KUFANYA DETOX👇👇👇

01. MZUNGUKO WA DAMU
(KISUKARI,PRESSURE & CHOLESTEROL, UZITO,KUMBUKUMBU )

✓ Detox Huboresha mzunguko wa Damu mwilini, kuzibua mishipa midogo midogo ya Damu na hivyo kusaidia matibabu ya magonjwa ya Pressure na dalili Zake.
✓Husaidia kuzuia unyonywaji na kuongeza uyeyushwaji wa Mafuta, kupunguza glucose mwilini hivyo kusaidia matibabu ya Kisukari na cholesterol.
✓HUTIBU DALILI K**A
Ganzi, Maumivu ya Viungo, Kizunguzungu, Uchovu wa Mwili, Maungio kukakamaa nk.

02. MISHIPA YA FAHAMU (KUSAHAU, KUPOTEZA KUMBUKUMBU,MATATIZO YA MACHO)

✓Detox huboresha utendaji kazi wa mishipa ya Fahamu, na usafirishwaji wa taarifa hivyo kutibu Tatizo la kusahau na Kupoteza kumbukumbu
✓Huboresha mishipa ya macho, Kuondoa ukungu machoni na kutibu Matatizo ya uoni (Kutokuona na Maumivu ya macho)
✓Hutibu Matatizo ya kichwa kuuma Mara kwa Mara.

03. SARATANI
✓Husaidia kuzuia na kutumika kwenye matibabu ya Saratani haswa ya Tezi Dume na Saratani ya Matiti.

04. UZAZI (MENOPAUSE NA NGUVU ZA KIUME)
✓Huboresha Nguvu za kiume na pia kusaidia Kuondoa Matatizo Wakati wa ukomo wa hedhi kwa wanawake (MENOPAUSE)

05. NGOZI NA NYWELE
✓Huboresha muonekano

Address

TMDA
Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tumaini_la_Afya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share