JENGA AFYA YAKO

JENGA AFYA YAKO Pata suluhisho la magonjwa mbalimbali kupitia Tiba asilia na virutubisho asilia,Tiba ya vidonda vya

Je unasumbuliwa na bawasiri?!! Usisite kutupigia 0654498254 Kupata suluhisho
07/12/2022

Je unasumbuliwa na bawasiri?!! Usisite kutupigia 0654498254 Kupata suluhisho

KUPATA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO PIGA 0654498254Mwanza TanzaniaMikoani Dawa tunatuma
07/12/2022

KUPATA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO PIGA 0654498254
Mwanza Tanzania
Mikoani Dawa tunatuma

13/11/2022

*DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO*

⚫Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na kuendelea kukuza tatizo, vidonda vya tumbo vina dalili k**a:

1.📎 Kupata maumivu ya tumbo ya kuwaka moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
2.📎 Kupatwa na kiungulia(heartburn) karibu na chembe ya moyo
3.📎 Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
4📎 Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
5.📎 Kupata haja kubwa ya rangi ya kahawia au nyeusi cheenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
6.📎 Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
7.📎 Kushindwa kupumua vizuri.
8.📎Kuharisha hasa unapokula vyakula vinavyochochea vidonda vya TUMBO.
9.📎Kupata choo kigumu k**a cha mbuzi
10.📎 Maumivu ya mgongo
11.📎 Tumbo kuwaka moto.
12.📎 Kupungukiwa damu na kupelekea kupata kizunguzungu.
13.📎 Mwili kudhoofika na kupungukiwa kilo
14.📎 Dhakari(Uume) kulegea/kusinyaa na kushindwa kuhimili tendo la ndoa.
15.📎Mapigo ya moyo kwenda mbio.
16.📎 Macho kupunguza nguvu ya kuona vizuri.

*UFANYEJE ILI KUTATUA TATIZO LA VIDONDA VYA TUMBO*

Ili mtu atumie dawa ya vidonda vya TUMBO na kupona anatakiwa kuzingatia yafuatayo:

1.📎 Apate dawa sahihi (yenye uwezo wa kutibu vidonda vya TUMBO)

2.📎 Ajiepushe na vichochezi vya Vidonda vya TUMBO.vichochezi hivyo ni k**a vile
-Msongo wa mawazo (Stress)
-Vyakula visivyokuwa rafiki kwa mwenye vidonda vya tumbo basi. Hapo utakuwa umemaliza shida ama kulipunguza kwa kiasi kikubwa.

KUPATA DAWA YA VIDONDA VYA TUMBO WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA 0654498254 / 0624421594

*Victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

Bado Una tafuta dawa nzuri ya vidonda vya tumbo!? *Complete ulcers* ni dawa Bora yenye matokeo makubwa..., Wasiliana nam...
10/11/2022

Bado Una tafuta dawa nzuri ya vidonda vya tumbo!?
*Complete ulcers* ni dawa Bora yenye matokeo makubwa...,

Wasiliana nami Kupata Dawa hii kupitia namba 0654498254

*DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):*Na Dr Victoria 0654498254 or 0624421594✅Kupata damu ...
10/11/2022

*DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (UTERINE FIBROIDS):*
Na Dr Victoria 0654498254 or 0624421594

✅Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.

✅Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.

✅Kuvimba miguu.

✅Unaweza kuhisi una ujauzito.

✅Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

✅Kuhisi kuvimbiwa.

✅Kupata haja ndogo kwa taabu.

✅Kutokwa na uchafu ukeni.

✅Kupata choo kigumu au kufunga choo.
✅Maumivu nyuma ya mgongo.

✅Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

✅Upungufu wa damu.

✅Maumivu ya kichwa.

✅Uzazi wa shida.

✅Kutopata ujauzito.

✅Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

✅Maumivu ya nyonga.

✅Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

✅Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

✅Hedhi zisizokuwa na mpangilio

🧏‍♂️K**a unadalili k**a hizo haina haja ya kukaa kimya paza sauti yako upate suruhishia la tatizo lako...
Uvimbe kwenye kizazi unatibika.

*Je wewe dalili yako ni ipi..?*

Victoria healthcare 🌿
Suluhisho la Afya yako

*DALILI YA KUZIDI ASIDI MWILINI*:Sababu ya Acidity• Uvutaji wa sigara kwa wingi• Kunywa pombe • Vidonda vya tumbo• kuzid...
01/11/2022

*DALILI YA KUZIDI ASIDI MWILINI*:

Sababu ya Acidity
• Uvutaji wa sigara kwa wingi
• Kunywa pombe
• Vidonda vya tumbo
• kuzidi kwa asidi ya tumbo
• Kutokula kwa wakati
• Kula kukaanga na viungo vya chakula mara kwa mara
• Matatizo katika utendaji wa mfumo wa mmeng'enyo wa chakula tumboni
• Kukaa na njaa kwa muda mrefu au kuto kula chakula cha Asubuhi
• Kula vyakula vingi vya mafuta, k**a chocolates
• kuwa na Mimba kunasababisha asidi pia.
• kuzeeka
• Utokaji yatokanayo na jua na joto
• Muafaka wa chakula tabia
• kuwa hisia mbaya
• Udhaifu wa mishipa ya mwilini
Dalili ya Acidity
• Mchomo au maumivu katika tumbo, 1-4 masaa baada ya mlo
• maumivu ya kifua
• Kiungulia cha Muda mrefu
• Uvimbe katika kifua
• Kuhisi njaa mara kwa mara
• Daima maumivu katika tumbo la juu
• Kucheua
• Kichefuchefu
• Kuona Uchungu ladha katika kinywa
• Kupoteza hamu ya kula
• Kutapika
• Kukohoa
• Sauti ya mabadiliko na malezi ya kidonda katika umio (tube kuunganisha kinywa na tumbo)
• Maumivu ya sehemu za misuli ya mwili
• Maumivu katika masikio
DAWA YA KUONDOSHA HAYAMARADHI MWILINI
Mwili wako unayo Asidi nyingi aka Asidi ndio chanzo kikuu cha Maradhi yote Mwilini Mwako. Tumia Dawa iitwayo *Acidinto*

WASILIANA NASI KUPITIA NAMBA 0654498254 / 0624421594

*Victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

*Je, unapata dalili zifuatazo?*1. 🎋Kukojoa mara kwa mara 2. 🎋Mkojo kuwa na harufu Kali 3. 🎋Kusikia kichefuchefu na kutap...
07/10/2022

*Je, unapata dalili zifuatazo?*

1. 🎋Kukojoa mara kwa mara

2. 🎋Mkojo kuwa na harufu Kali

3. 🎋Kusikia kichefuchefu na kutapika

4. 🎋Maumivu ya misuli na tumbo hasa la chini ya kitovu

5. 🎋Kusikia maumivu wakati wa kukojoa

6. 🎋Maumivu ya kiuno

7. 🎋Kuwashwa sehemu za siri

8. 🎋Kuhisi maumivu wakati wa kujamiana

9. 🎋Kupata vidonda vya ukeni

10. 🎋Kuvimba na kuwa mwekundu kwa mdomo wa inje wa uke

11. 🎋Kuhisi kuwaka moto sehemu za siri baada ya tendo la ndoa

12. 🎋Kutokwa na uchafu wa rangi nyeupe au kijivu unaoweza kuwa mweupe au mzito wa maji maji.

Hizi Ni Dalili za U.T.I

__Hello karibu tukutumie
Maelezo na tiba wasiliana nasi

Dr Victoria
0654498254

Victoria healthcare 🌿
Suluhisho la Afya yako✍️

♐ *UGONJWA WA KUOTA NYAMA NJIA YA HAJA KUBWA* ♐ *BAWASIRI* - ( *Hemoroid* ).▶ Ni pale mishipa ya veins ( *nyama* ) zinap...
02/10/2022

♐ *UGONJWA WA KUOTA NYAMA NJIA YA HAJA KUBWA* ♐

*BAWASIRI* - ( *Hemoroid* ).

▶ Ni pale mishipa ya veins ( *nyama* ) zinapojitokeza eneo la haja kubwa ( *A**s* )
Hali hii humfanya mtu ajisikie hali ya kukera sana na wakati mwingine maumivu makali.

▶ Hali ya kukera hutokea kipindi Mgonjwa anapo jaribu Kwenda chooni kupata haja kubwa ila kwa wengine hali hii huwafanya wapate maumivu kila wakati na kujisikia vibaya sana na kushindwa kufanya mambo mengine.

▶ Mara nyingi bawasiri huendana na kupata Choo Chenye damu.

▶ Kawaida eneo la haja kubwa lina mishipa ya damu mingi aina ya *VEINS* na mishipa hii Ipo juu juu sana. Sasa presha inapoongezeka eneo hili mishipa hiyo hupasuka na hujitokeza kwa nje hivyo huonekana k**a nyama zimejitokeza.

▶ Ingawa wakati mwigine *BAWASIRI* Hujitokeza ndani kabisa ya njia ya haja kubwa hivyo hufanya bawasiri iwe ya ndani bila nyama kutokea nje ya haja kubwa Mtu atajisikia hali ya kukera bila nyama kutoka nje kwa hiyo hii inaitwa BAWASIRI ya ndani.

▶ *SABABU ZA BAWASIRI KUTOKEA* 🕳

1⃣ *KUPATA CHOO KIGUMU.*

▶ Choo kigumu huongeza presha eneo la haja kubwa hivyo husababisha bawasiri kutokea

• Hii hutokea zaidi kwa watoto wadogo na watu wenye constipation au wenye tatizo la kutopata choo.

2⃣ *UZAZI* - ( *MIMBA* ).

• Huongeza presha eneo la nyonga hivyo huongeza presha eneo la haja kubwa na Kuongeza nafasi ya kupata bawasiri

3⃣ *UZITO MKUBWA* ( *OBESITY* ).

• Pia huongeza presha eneo la nyonga, hii hupelekea huongeza presha eneo la haja kubwa.

4⃣ *KUNYANYUA VITU VIZITO* 🕳

• Pia huongeza presha eneo la haja kubwa na huongeza nafasi ya kupata Bawasiri

▶ Mara nyingi watu wengine hufanyiwa *UPASUAJI* kutatua tatizo hili kwa jinsi lilivyo.

▶ *TIBA YA BAWASIRI BILA UPASUAJI* 🕳

▶ Zipo tiba za aina nyingi katika kutatua ugonjwa huu! Ila kwetu sisi tunatumia njia mbadala ambayo huondoa tatizo hilo Kabisa na hutakuwa na haja ya kufanyiwa upasuaji.

🕳 Usisite Kuwasiliana Nasi Kuhusu Tiba na Ushauri wa Masuala Mbali Mbali Ya Afya.

• Tupigie Sasa Kupitia Namba Zifuatazo 0654498254 /0624421594 Ili Kufanya oda Ya Dose Ya Tatizo hili na Utatumiwa Popote Ulipo.

*Victoria healthcare*🌿
Suluhisho la Afya yako

BADO UNAENDELEA KUTESEKA NA VIDONDA VYA TUMBO, SULUHISHO LIPO,.ILI KUPATA TIBA WASILIANA NAMI KUPITA 0654498254 / 062442...
09/09/2022

BADO UNAENDELEA KUTESEKA NA VIDONDA VYA TUMBO, SULUHISHO LIPO,.ILI KUPATA TIBA WASILIANA NAMI KUPITA 0654498254 / 0624421594

*NINI VIDONDA VYA TUMBO*?Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ...
09/09/2022

*NINI VIDONDA VYA TUMBO*?
Ni vidonda vinavyotokea katika ukuta wa tumbo. Vidonda hivi tumezoea kuviita vidonda vya tumbo ila hapa nitataja kitaalamu kuwa vidonda hivi hufahamika k**a peptic ulcers. Vidonda hivi hutokea kutokana na mashambulizi ya bakteria wanaoitwa Helicobacter pylori (H.pylori) au kulika kwa ukuta wa tumbo kutokanana na athari za tindikali zilizopo tumboni (stomach acids) k**a vile tindikali ya hydrocloric yaani hydrocloric acid. Kwa wakati tulio nao hili ni tatizo la kawaida maana limewapata watu wengi na halisabababishi vifo vya watu wengi k**a maaradhi ya saratani na kisukari.

AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
Vidonda hivi vimegawanyika katika makundi makuu matatu ambayo ni:-
1.Gastric ulcers hivi hutokea ndani ya tumbo la chakula
2.Esophageal ulcers hivi hutokea ndani ya esophagus. Hii ni sehemu inayounganisha kati ya koo la chakula na tumbo la chakula.
3.Duodenal ulcers hivi hutokea kwenye sehemu ya juu ya utumbo mdogo inayoitwa duodenum
Vidonda vya tumbo ni pamoja na:

SABABU ZA KUTOKEA KWA VIDONDA VYA TUMBO
Sababu za kawaida za vidonda vya tumbo ni maambukizo na bakteria Helicobacter pylori (H. pylori) na utumiaji wa dawa za muda mrefu za aspirini na aina za dawa ziitwazo nonsteroidal anti-inflammatory drugs (NSAIDs) ni k**a (Advil, Aleve, na nyingine).

Stress (msongo wa mawazo) na vyakula vyenye viungo havisababishi vidonda vya tumbo. Walakini, vinaweza kufanya dalili zako kuwa mbaya zaidi.

KWA USHAURI NA TIBA WASILIANA NASI 0654498254 / 0624421594

*Victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

04/09/2022

Je uteseka na Vidonda vya tumbo,suluhisho lipo
Pata Tiba kupitia Dawa zetu

Piga 0654398254 /0624421594

JE WAJUA KUHUSU BAWASIRI?        Na Dr Victoria 0654498254 BAWASIRI :ni ugonjwa unaotokana na kuathilika kwa mshipa ya d...
31/08/2022

JE WAJUA KUHUSU BAWASIRI?
Na Dr Victoria 0654498254

BAWASIRI :ni ugonjwa unaotokana na kuathilika kwa mshipa ya damu ya ndani au nje ya sehemu ya haja kubwa na wakati mwingne mshipa huweza kupasuka na kuvuja damu kwenye njia ya haja kubwa na kusababisha kutoka kinyama au uvimbe sehemu ya haja kubwa.

CHANZO CHA BAWASIRI
1.Mfumo mbovu wa umengenyaji chakula
2.Kitambi/uzito mkubwa
3.Kufanya mapenzi kinyume na maumbile
4.Kuharisha mda mrefu
5.Matumizi ya vyoo vya kukaa mda mrefu
6.Kukosa choo kwa mda mrefu

DALILI ZA BAWASIRI
1.Ngozi kuwasha katika eneo la tundu la haja kubwa
2.Maumivu makali wakati wa kujisaidia
3.Kutokwa na uvimbe katika eneo la tundu la haja kubwa
4.Kinyesi kutoka na damu na harufu kali
5.Kutokwa na kinyama eneo la haja kubwa

MADHARA YA BAWASIRI
1.Kupata upungufu wa damu
2.Kupata tatizo la kushindwa kuzuia choo
3.Kukosa hamu ya tendo la ndoa
4.Upungufu wa nguvu za kiume kwa mwanaume
5.Kuatilika kisaikolojia
6.Kukosa moral ya kufanya kazi.

USIHANGAIKE TENA PATA SULUHISHO LA KUDUMU LA KUMALIZA TATIZO. KWA MSAADA NA MAELEZO TUWASILIANE KWENDA NUMBER 0654498254

Victoria healthcare 🌿
Suluhisho la Afya yako

Dalili za ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi (PID) hujitokeza baada ya wiki 1-2 tangu kupatwa na maambukizi (Inc...
29/08/2022

Dalili za ugonjwa wa maambukizi kwenye via vya uzazi (PID) hujitokeza baada ya wiki 1-2 tangu kupatwa na maambukizi (Incubation period), huwa kuna athari kubwa ndani ya safu ya ukuta wa uke, mlango wa shingo ya kizazi (cervical canal), mji wa uzazi na mirija ya uzazi (fallopian tubes). Ndani ya mirija ya uzazi, athari mbaya za utungisho wa usaha (acute suppurative salpingitis) huwanza kujitokeza, maambukizi huenea kwenye fuko la mayai (o***y) na kusababisha maambukizi ya mirija pamoja na vifuko vya mayai (salpingo-oophoritis). Mkusanyiko wa usaha ndani ya vifuko vya mayai na mirija husababisha majipu (tubo-ovarian abscess) au (pyosalpinx), mkusanyiko wa usaha huunda aina ya majimaji machafu ambayo hujaa ndani ya kizazi na kusababisha ugumba kwa mwanamke (infertility)

Tiba na ushauri piga simu/WhatsApp 0654498254

29/08/2022

JINSI BAWASIRI ISIYOONEKANA INAVYOWATESA WENGI.
Na Dr Victoria 0654498254

Ili bawasiri hii ya ndani isiendelee kukutesa ni vizuri ukatambua viashiria vyake.

1. Inaweza kuwa na dalili ya maumivu au isiwe nayo.
2. Inaweza kuwa na maumivu wakati wa kujisaidia.
3. Inaweza kuleta damu kwenye choo chako.
4. Inaweza kukupa miwasho baada ya kujisaidia au wakati wa kulala usiku.
5. Inaweza kukufanya kuhisi k**a unawaka moto sehemu ya tundu la haja kubwa.
6. Inaweza kukufanya upate kizunguzungu.
7. Inaweza kukufanya upungukiwe damu mara kwa mara bila kujua chanzo.
8. Inaweza kukupa maumivu wakati wa kukaa na kuhisi kuchomwachomwa.
9. Pia inaweza isiwe na dalili yoyote lakini
ikawa inatokeza nje kinyama wakati wa kujisaidia alafu kinarudi ndani.
10. Inaweza kufanya kinyama kitokee ndani na kukaa kimeninginia kwa nje mda wote.

JE, WEWE UNAHISI UNA DALILI GANI HAPO..? ok! ONDOA SHAKA KABISA *DR Victoria* ATAKUSAIDIA NA HARI HIYO YOTE ITAONDOKA KABISA NA UTARUDISHA FURAHA YAKO NA TABASAMU LAKO.

Mwisho wa yote ni dawa mjarabu itambulikayo k**a hemorrhoids remover ni suluhisho la uhakika na kudumu.
Dozi 120000
Napatikana mwanza 0654498254

Mikoani tunatuma

14/08/2022
*FIBROIDS INATIBIKA BILA UPASUAJI/DAWA(BADO MWANAMKE HUJAPATA NJIA/TIBA MMBADALA YA TATIZO HILO)*    Na Dr Victoria 0654...
14/08/2022

*FIBROIDS INATIBIKA BILA UPASUAJI/DAWA(BADO MWANAMKE HUJAPATA NJIA/TIBA MMBADALA YA TATIZO HILO)*
Na Dr Victoria 0654498254

*FIBROIDS/ UTERINE FIBROIDS/MYOMAS NINI?*
Ni uvimbe wa misuli laini wenye mizizi ya kuiunganisha na kukua kwenye uterus.
Fibroids ni aina ya uvimbe unaoonekana kwa wingi zaidi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke.
Uvimbe wa fibroids unakuwa na ukubwa tofauti tofauti, unaweza kuwa mdogo k**a haragwe na kuongezeka ukubwa taratibu.

*CHANZO CHA FIBROIDS*
Sababu hasa za kuota kwa fibroids katika viungo vya uzazi vya mwanamke bado hazieleweki vizuri ingawa inaamika kwamba kila uvimbe wa fibroid unatokana na seli ya misuli wa uterus ambayo imeamua kuwa na tabia ya tofauti na nyingine na ikaanza kukua kwa haraka ikichangiwa na uwepo wa homoni ya estrogen.

Wanawake wanaokaribia kufikia ukomo wa kupata siku zao za mwezi wanaonekana kuwa kwenye hatari kubwa zaidi ya kupata fibroids kwa sababu ya kuwa wameishi na homoni ya estrogen kwa muda mrefu zaidi.

*DALILI ZA FIBROIDS*
Wanawake wengine wenye uvimbe wa fibroids huwa hawaoni dalili zo zote zile (wengi hawajui k**a wana fibroids) au kuona dalili kidogo na kwa wengine dalili hizi hujitokeza sana na kuwasumbua hadi kufikia kutafuta tiba.
Baadhi ya dalili za fibroids ni;

*Kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku za periods au kutokwa na damu kwa muda mrefu

*Kutokawa na damu kusiko kwa kawaida katikati ya siku za mwezi

*Mauvimu ya nyonga (uvimbe kugandamiza kwenye viungo vya nyonga)

*Kupata haja ndogo mara kwa mara

*Maumivu ya mgongo

*Maumivu wakati wa tendo la ndoa
*Upungufu wa damu kwa sababu ya kutokwa na damu kwa wingi wakati wa siku za periods

*Maumivu ya kichwa
*Maumivu kwenye miguu
* Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo (Fibroids kubwa)
*Uzazi wa shida
*Mimba za shida
*Kutopata mimba
* Kutoka kwa mimba mara kwa mara

*AINA ZA FIBROIDS*
*Intramural Fibroids*
Fibroids aina hii hukua kwenye kuta za uterus. Hii ndiyo aina ya fibroids inayowapata wanawake wengi.

*Subserosal fibroids*
Fibroids aina hii hukua nje ya kuta za uterus na huweza kuwa na shina. Hii huweza kukua na kuwa kubwa sana.
*Submucosal fibroids*
Fibrioids ainahii huota na kukua kwenye misuli chini ya ngozi laini ya kuta za uterus.
*Cervical fibroids*
Fibroids aina hii hujenga kwenye shingo ya tumbo la uzazi (Cervix).

*TIBA/DAWA ZA FIBROIDS*
K**a mwanamke hapati usumbufu wa namna yo yote katika shughuli zake za kawaida, anaweza asipewe tiba ya aina yo yote hata k**a imegundulika kuwa ana uvimbe wa fibroid kwa sababu mwanamke anapokaribia kukoma hedhi fibroids hunyauka zenyewe na mara nyingine kutoweka kabisa.

Endapo Tiba/Dawa imekuwa ni ya lazima, anaweza kupewa dawa au kufanyiwa upasuaji kutokana na hali iliyopo.

*Tiba zaa Fibroids Kwa Kutumia Dawa*

(a) Dawa aina ya GnRHA
Tiba kubwa ya fibroids ni kwa kutumia dawa aina ya GnRHA (gonadotropin released hormone agonist) ambayo hutolewa k**a sindano. Dawa hii huufanya mwili wa mwanamke upunguze utengenezaji wa estrogen hivyo kusababisha fibroids kunyauka.

(b) Tranexamic acid, vidonge vya kuzuia maumivu, vidonge vya kuzuia mimba (kuzuia mwanamke asipate siku) na
(c) LNG-IUS (Levonorgestrel intrauterine system) ambacho ni kifaaa cha plastiki kinachowekwa kwenye uterus.

*Tiba Ya Fibroids Kwa Upasuaji na Madhara yake*
K**a dawa zimeshindwa kufanya kazi, mgonjwa hufanyiwa upasuaji kwa moja ya njia zifuatazo;
*Hysterectomy*
Kuondoa uterus. Hii hufanywa pale fibroids zinapokuwa kubwa sana au pale ambapo mgonjwa anatokwa na damu nyingi sana.
*MADHARA YAKE*
Upasuaji huu una madhara ya aina mbili:
*Myomectomy*
Fibroids kuondolewa kutoka wenye ukuta wa uterus. Hii hufanyika pale ambapo mgonjwa anapenda kuendelea kuzaa.

*Endometrial ablation* Kuondoa wa ngozi laini ya ndani ya uterus.

*Uterine Artery Embolization(UAE)*
Hii ni kuzuia fibroids zisipate damu na hivyo kunyauka. UAE hufanywa kwa fibroids kubwa.

*Magnetic-resonance-guided percutaneous laser ablation* Sindano nyembamba hupenyezwa kupitia ngozi hadi kulifikia fibroid. Fibroid humulikwa na mionzi ya laser kupitia waya fiber-optic uliopitishwa kwenye sindano na kulinyausha Fibroid.

*Magnetic-resonance-guided focused ultrasound surgery* Kifaa maalumu hutumika kugundua eneo la fibroid, kisha mawimbi ya sauti huelekezwa kwenye fibroid. Mawimbi hayo hulinyausha fibroid.

*MADHARA YA NJIA YA UPASUAJI NA DAWA*
1:Kupunguza hamu ya kufanya tendo la ndoa.
2:Kukoma hedhi mapema
3:Kuondoa kizazi
4:Kutopata uwezekano wa kuzaa k**a kizazi kikiondolewa
5:Fibroids kujirudia jirudia kila baada ya muda fulani
6:Maumivu wakati wa tendo la ndoa na periods kutokuwa na muda maalumu au kutoeleweka..
7:Kumaliza kinga,virutubisho,vitamins na madini mwilini kutokana na utumiaji wa dawa za fibroids hupekea mwili kuwa na sumu na kusabisha mwili kusambuliwa na magonjwa mengine(Sides effects za dawa)

*NJIA SAHIHI NA SALAMA Kwa kutumia dawa yetu za asili*
Njia hii ni Salama kabisa kwa kutumia tiba asili na maalumu kwa ajili ya kuyenyusha fibroids,kuweka sawa mfumo mzima wa afya ya uzazi ya mwanamke,kubalance au kuweka sawa homoni za uzazi nakulinda afya ya mwanamke kwa ujumla...

Ndugu msomaji na hasa mwanamke
Katika Nakala yangu uweza pata kujifunza fibroids ni nini, chanzo cha fibroids, dalili zake, aina za fibroids na tiba kwa njoa za dawa na upasuaji zinazotumika kuondoa fibroids na mwisho madhara ya dawa na upasuaji.

Matarajio yangu umeielewa vizuri mada hii,
Ewe mwanamke au mwanaume/baba una mke au mwanamke bado hajapata njia sahihi ya Tatizo hili la Fibroids au amepata Dawa na hata upasuaji tatizo lipo bado angalia njia mmbada ya *TIBA ASILIA*
Kwa maelezo ya Tiba usisite kuwasiliana nasi kwa namba
*0654498254 Tigo*
*0624421594 halopesa*
Piga simu au tuma ujumbe kwa text au whatsapp
*MWANAMKE JALI AFYA YAKO YA UZAZI*

Address

Mwanza

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JENGA AFYA YAKO posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to JENGA AFYA YAKO:

Share