Imarisha AFYA YAKo

Imarisha AFYA YAKo Karibu tukuhudumie kwa magonjwa mbalimbali.

MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE* .🕊Kutokana na sababu mbalimbali, wanawake wengi hupatwa na tatizo la maum...
02/07/2022

MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE* .🕊

Kutokana na sababu mbalimbali, wanawake wengi hupatwa na tatizo la maumivu ya tumbo chini ya kitovu kwa nyakati tofauti.

Maumivu haya mara nyingi hutokea katika kibofu cha mkojo au katika via vya uzazi vya mwanamke.

Mara nyingi ni ngumu kujua sababu hasa ya maumivu , lakini kwa kuzingatia dalili na maelezo ya mgonjwa ,daktari anaweza kujua chanzo cha tatizo.

*DALILI NA SABABU ZA MAUMIVU YA TUMBO CHINI YA KITOVU KWA WANAWAKE.*

•Dalili kuu ni maumivu ,ambayo yanaweza kuwa chini ya kitovu katikati, kulia na kushoto. Kuna yale ya upande mmoja yanayosambaa.

•Kuna maumivu mengine chini ya kitovu huwapata wanawake wanaposhiriki tendo la ndoa kwa ndani ya uke au chini ya kitovu.

•Pia yapo ambayo huwapata wanawake wakati wameinama, wakati wa kunyanyua vitu vizito, wakati wa kucheka au kuimba, na wngine wakiwa wamelala kifudifudi.

SABABU

1️⃣ Mirija ya uzazi kujaa maji mazito na machafu ambayo huzuia yai kutembea kwenye mirija ya uzazi.
Mwanamke ambaye amewahi kuambiwa na daktari kwamba anatakiwa asafishwe kizazi chake/mirija ya uzazi na wakati huo huo anasikia maumivu chini ya kitovu kushoto na kulia au upande mmoja kuna uwezekano akawa na tatizo la mirija ya uzazi kuziba kutokana na kujaa maji machafu.

2️⃣. Kutokukomaa kwa mayai ya uzazi.
Hii husababisha vifuko vya mayai ya uzazi kuvimba(ovaritis) na kumletea mwanamke maumivu chini ya kitovu mithili ya kichomi. Mwanamke ambaye anamaumivu chini ya kitovu na wakati huo huo ana matatizo ya hedhi mfano hedhi kukoma au kutokuwa na mpangilio maalum kunauwezekano mkubwa akawa na tatizo la vifuko vyake vya mayai ya uzazi kutokomaza mayai na hivyo mayai kutotoka kwenye vifuko hivyo na kusababisha kuvimba na hatimaye kumsababishia mwanamke maumivu makali mithili ya kichomi.

3️⃣. Kuvimba kwa kuta za mji wa mimba na kuta za mirija ya uzazi (PID/Pelvic Inflamatory Disease).
Mwanamke anayesikia maumivu chini ya kitovu katikati na pembeni kwa wakati mmoja na wakati huo huo akawa anatokwa na uchafu mzito mithili ya maziwa mtindi kunauwezekano akawa na PID hasa hasa k**a amewahi kukumbwa na tatizo la kuharibika kwa mimba kabla haijafikisha miezi mitano.

4️⃣. Afya mbovu ya kibofu cha mkojo ikiambatana na matatizo ya maambukizi kwenye mfumo mzima wa mkojo (UTI). Maumivu chini ya kitovu yanayohusisha afya mbovu ya kibofu cha mkojo huambatana na mgonjwa kutoa haja ndogo kidogo sana ila mara kwa mara.

•TIBA NA USHAURI
matatizo haya yanatibika, hivyo ni vizuri kwenda hospitali ili ufanyiwe uchunguzi na kupewa tiba sahilili kutokana na chanzo cha tatizo lako, pia tunazo dawa asilia/Mimea PELVIC CARE kwa ajiri ya Kutibu matatizo
1️⃣ sugu ya UTI,PID,
2️⃣zinasaidia mayai kukomaa.
3️⃣Uvimbe
4️⃣Hedhi ya kubadilika badilika
5️⃣Mvurugiko wa homoni n.k

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH 🕊
DR BULUBA
0758050039

Tabasamu la Ushindi! NI PALE MWANAMKE ANAPOPATA HITAJI LAKE KITOTO AU BABY 🤰🏽🤱😍 🙏🏽 𝗩𝗬𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗧𝗔 ...
01/07/2022

Tabasamu la Ushindi! NI PALE MWANAMKE ANAPOPATA HITAJI LAKE KITOTO AU BABY 🤰🏽🤱😍 🙏🏽

𝗩𝗬𝗔𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗪𝗔𝗡𝗔𝗠𝗞𝗘 𝗞𝗨𝗦𝗛𝗜𝗡𝗗𝗪𝗔 𝗞𝗨𝗣𝗔𝗧𝗔 𝗨𝗝𝗔𝗨𝗭𝗜𝗧𝗢:

Tafiti zilizotolewa na shirika la afya duniani linasema katika kila familia sita, familia moja inakutana na tatizo la ugumba au utasa, Baadhi ya sababu zinazosababisha ugumba ama utasa kwa wanawake ni:

1️⃣Kushindwa kupevusha yai(40% ya wanawake)
2️⃣Maambukizi sugu k**a PID
3️⃣Mvurugiko wa homoni
4️⃣Uvimbe/majimaji/kuziba katika mirija ya kupitisha mayai
5️⃣Mayai kudhoofika kabla ya umri(POI)
6️⃣Magonjwa au vimbe mf fibroids, cancer, kisukari,
7️⃣Matatizo katika tezi za shingo(hyperthyroidism)
8️⃣Makovu katika mji wa uzazi labda kutokana na utoaji mimba katika njia zisizosalama
9️⃣Kulegea au kuziba kwa shingo ya uzazi
🔟Uzito kupita kiasi
1️⃣1️⃣Unywaji pombe au uvutaji wa sigara
1️⃣2️⃣Magonjwa sugu katika mfumo wa upumuaji ambayo huathiri ubora wa mayai, mzunguko wa damu

🆕️WEKA COMMENTS YA TATIZO LAKO HAPO CHINI UWEZE KUPATA SULUHISHO PEKEE

🩺 *USIKAE KIMYA MAMA AU DADA
WASILIANA NA DR BULUBA AKUPE USHAURI NA TIBA PIA*

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH 🕊
DR BULUBA
0758050039

Tatizo la PID lisikupe moyo wa kukata tamaa hata k**a umetumia dawa za hosptalini kwa muda mrefu bila kupata mafanikio y...
01/07/2022

Tatizo la PID lisikupe moyo wa kukata tamaa hata k**a umetumia dawa za hosptalini kwa muda mrefu bila kupata mafanikio yeyote ile DR BULUBA AMEWEZA KUKUANDALIA DAWA YA PID IITWAYO *PELVIC CARE* ipo kwenye mfumo wa unga k**a utahitaji wasiliana na Dr Buluba 0758050039.

JE! UNASUMBULIWA NA TATIZO LA P.I.D LICHA YA KUTUMIA KILA AINA YA DAWA....BILA KUPATA MAFANIKIO YEYOTE YALE.* 🆕️ *DR BUL...
30/06/2022

JE! UNASUMBULIWA NA TATIZO LA P.I.D LICHA YA KUTUMIA KILA AINA YA DAWA....BILA KUPATA MAFANIKIO YEYOTE YALE.*

🆕️ *DR BULUBA AMEWEZA KUKUANDALIA DAWA YA PELVIC CARE AMBAYO IMEWEZA KUWAFUTA MACHOZI😪 KINA WANAWAKE WENGI WENYE TATIZO LA P.I.D NA WAMEWEZA KUREJESHA HALI ZAO NA MAISHA YANAENDELEA VIZURI K**A KAWAIDA* 🤔

🕊Tuambie hapo chini kwa comment una pid ya muda na unahitaji msaada ngani kutoka kwa DR BULUBA

_Dalili(ishara) 9 Za Tatizo Hili Mara Nyingi Huwa ni …_

*➡️•1-Kutokwa na uchafu mzito sehemu za siri, yawezekana ukawa ni mweupe, njano, au k**a maziwa*

*➡️•2- Kuwashwa sehemu za siri*

*➡️•3- Uke kutoa harufu inayonuka.*

*➡️•4-Maumivu makali ya tumbo chini ya kitovu*

*➡️•5-Maumivu wakati wa tendo la ndoa mda mwingine mpaka damu kutoka*

*➡️•6-Kuvurugika Kwa hedhi*

*➡️•7-Kutokwa na majimaji ukeni kupita kiasi mpaka yanachafua chupi*

➡️•8-Maumivu wakati wa kukojoa na wakati wa choo kubwa

*➡️•9-Homa, uchovu, kizunguzungu na kukosa hamu ya kula*

_Madhara Yake Makubwa huwa ni …_

🛑 *• Ugumba au mimba kuharibika kabla ya miezi 3*

🛑 *• Kansa ya shingo ya kizazi*

🛑 *• Mirija ya uzazi kuziba au kuoza*

🛑 *• Kupata hedhi yenye harufu kali*

*HATUTAKI UENDELEE KUTESEKA* 🕊

*• Tumi Pelvic care iliyowasaidia Wanawake wengi k**a wewe kuondoa Tatizo hilo La Pid*
..Wengi Waliotuamini PELVIC CARE WAMEPONA!

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH 🕊
DR BULUBA
0758050039

*Dalili 10 za mvurugiko wa homoni kwa wanawake*  *UPUNGUFU WA HOMONI YA PROGESTERONE* Hii ndio aina kubwa zaidi ya mvuru...
30/06/2022

*Dalili 10 za mvurugiko wa homoni kwa wanawake*

*UPUNGUFU WA HOMONI YA PROGESTERONE*
Hii ndio aina kubwa zaidi ya mvurugiko wa homoni inayowasibu wanawake wengi sana wa rika zote. Vyanzo mara nyingi huwa ni mfumo wa ulaji pamoja na matumizi ya njia mbalimbali za uzazi wa mpango. Dalili zake ni pamoja na:
— Premenstrual syndrome (Hali inayomkumba mwanamke wiki moja hadi mbili kabla ya kuona siku zake k**a uchovu, miwasho sehemu za siri, vipele vyekundu au vyeusi hasa usoni, pamoja na mabadiliko ya mood)
— Kutoka kwa mimba
— Kuongezeka uzito ghafla
— Wasiwasi (Anxiety)
— Kukosa usingizi
— Maumivu au Vimbe kwenye maziwa
— Kupata Kizunguzungu mara kwa mara
— Ugumba

*UPUNGUFU WA ESTROGEN*
Aina hii ya mvurugiko wa homoni ipo zaidi kwa wanawake wanaopitia ukomo wa hedhi kutokana na umri (menopause). Wanawake wembamba huathiriwa zaidi na upungufu huu wa homoni ya estrogen kuliko wanawake wengine. Dalili zake ni :
— Ukavu ukeni
— Maumivu wakati wa kushiriki tendo la ndoa— Bladder Infections
— Homa za vipindi
— Kuvuja jasho usiku
— Matatizo ya kukumbuka
— Kujisikia mvivu na mzito kufanya mambo au kazi

*ONGEZEKO LA ESTROGEN*

Unaweza ukawa na estrogen ya ziada k**a utakuwa umetumia vidonge/matibabu ya homoni za kutengenezwa maabara/zisizo za asili ambavyo mara nyingi hupewa wanawake wanaopitia menopause. Dalili kuu ni pamoja na:
— Tumbo kujaa gesi/kuvimba/kukaza
— Kuongezeka uzito ghafla
— Mabadiliko ya hisia mara kwa mara (Mood swings)
— Wasiswasi (Anxiety) au Msongo wa mawazo
— Kukosa usingizi
— Vipele vyekundu usoni
— Kuota kwa vinyama/vipele kwenye via vya uzazi
— Kuvimba kwa maziwa
— Utakaji mwingi wa damu wakati wa hedhi
— Maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
— Kupoteza kumbukumbu na uzito wa kufikiria

*UTAWALA WA ESTROGEN (Estrogen Dominance)*
Hali hii hutokea pale mwili unaposhindwa kutengeneza homoni ya progesterone ya kutosha kuweza kuleta uwiano na estrogen. Dalili zake:
— Premenstrual syndrome (Hali inayomkumba mwanamke wiki moja hadi mbili kabla ya kuona siku zake k**a uchovu, miwasho sehemu za siri, vipele vyekundu au vyeusi hasa usoni, pamoja na mabadiliko ya mood)
— Kutoka kwa mimba
— Kuongezeka uzito ghafla
— Wasiwasi (Anxiety)
— Kukosa usingizi
— Maumivu au Vimbe kwenye maziwa
— Kupata Kizunguzungu mara kwa mara
— Ugumba
— Tumbo kujaa gesi/kuvimba/kukaza
— Vipele vyekundu na chunusi hasa usoni na ngozi kuwa na mafuta sana
— Maumivu ya kichwa ya mara kwa mara
— Kupoteza kumbukumbu na uzito wa kufikiria

*KIWANGO CHA JUU CHA ANDROGEN*
Homoni ya Androgen ni homoni ya kiume. Wanawake wanaweza kupata tatizo la ongezeko la homoni hii kiwango kisichohitajika kwa kula vitu vyenye sukari sana au kwa kula wanga sana. Pia wanawake wanao kumbwa na tatizo la tatizo la polycystic o***y syndrome (PCOS) wako hatarini zaidi kupata tatizo la uwiano wa homoni hii ya androgen kuvurugika. Dalili zake ni:
— Vipele vyekundu na chunusi hasa usoni na ngozi kuwa na mafuta sana
— Mwanamke kuota ndevu, na vinyoleo vingi mikononi na miguuni
— Nywele nyepesi
— Ugumba
— Sukari kushuka (Hypoglycemia)
— Ovarian Cysts

*UPUNGUFU WA HOMONI YA CORTISOL*
Hali hii hutokana na tezi (adrena glands) kufanya kazi kupitaliza hali ambayo mara nyingi husababishwa na msongo wa mawazo wa muda mrefu-yani wale watu ambao muda mwingi huwa wenye mawazo. Dalili zake ni:
— Uchovu usioisha
— Uzito wa kufikiria na kufanya maamuzi
— Ngozi kuwa nyepesi na kavu
— Madoa doa usoni
— Sukari ya chini
— Wastani wa sukari usio imara (inapanda na kushuka mara kwa mara)
— Kushindwa/kutovumilia kufanya mazoezi
K**a unadalili mbili au zaidi kati ya zilizo ainishwa hapo juu unaweza ukawa na tatizo la mvurugiko wa uwiano wa homoni (Hormone imbalance). Ni vyema kupata ushauri kutoka kwa Daktari akaweza kukupendekezea tiba ya kukusaidia tatizo lako.

DELICATE HEALTH

WE CARE ABOUT YOUR HEALTH

BY DR BULUBA
0758050039.

27/06/2022

*MAMBO MHIMU YA KUZINGATIA KUEPUKA FANGASI ZA UKENI

Zingatia dawa peke yake hazitofaa kitu bila kuzingatia ushauri au masharti mhimu yafuatayo:

1️⃣Kunywa maji mengi kila siku kuanzia glasi 8 hadi 10

2️⃣Tumia zaidi vyakula vyenye vitamini B, C, D na E

3️⃣Tumia sana matunda hasa machungwa, limau, ndizi na vitunguu

4️⃣Punguza vyakula vyenye wanga

5️⃣Acha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango, hii ni kwa sababu vidonge hivi vinasemwa huwa vinasababisha kushuka kwa kinga ya mwili na kukufanya mrahisi kupata maambukizi ya fangasi.

6️⃣Epuka mapenzi kinyume na maumbile

7️⃣Acha kutumia sukari na badala yake tumia asali

8️⃣Usitumie chokoleti na vitu vingine vya namna hiyo

9️⃣Kuwa na mpenzi mmoja tu

🔟Pendelea kujiweka msafi muda wote

1️⃣1️⃣Oga maji ya moto

1️⃣2️⃣Acha vinywaji baridi, acha pia chai ya rangi na kahawa

1️⃣3️⃣Acha vilevi

1️⃣4️⃣Acha matumizi ya pafyumu hasa maeneo ya huko

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH 🕊
DR BULUBA
0758050039

Unachotakiwa Kufanya Ili Kiwango Cha Damu Kiongezeke MwiliniUPUNGUFU wa damu mwilini ni ile hali ya kiwango kuwa kidogo ...
26/06/2022

Unachotakiwa Kufanya Ili Kiwango Cha Damu Kiongezeke Mwilini

UPUNGUFU wa damu mwilini ni ile hali ya kiwango kuwa kidogo kuliko kinachotakiwa na mwili kulingana na hali ya mtu na jinsia yake.
Hupimwa kwenye maabara na hospitalini kwa kuangalia kiasi cha Haemoglobin.

Dalili za upungufu wa damu mwilini ni k**a vile;

1️⃣mwili kukosa nguvu na uchovu wa mara kwa mara

2️⃣mapigo ya moyo kubadilika na moyo kupiga mbio sana

3️⃣kupumua kwa shida

4️⃣maumivu ya kifua

5️⃣kusinzia sana

6️⃣kupata maumivu ya kichwa

1️⃣Hatua ya kwanza ni kuimarisha ufanyaji kazi wa wengu yaani spleen.

Spleen ni kiungo kinachohusika na utengenezaji wa seli nyekundu za damu. K**a spleen yako ina shida basi hii ni sababu ya kwanza kwa nini una upungufu wa damu mwilini.

2️⃣Tumia vyakula k**a spinachi na mboga zingine za kijani, maboga na mbegu za maboga na njugu karanga.

3️⃣Kuimarisha mfumo wa chakula
Hatua ya kusafisha na kuimarisha mfumo wa chakula ni muhimu sana kutokana na kwamba unaweza kula vyakula vyenye madini ya chuma kwa wingi lakini mwili ukashindwa kufanya madini kuingia kwenye damu.

4️⃣Kula vyakula sahihi
vitakavyokusaidia kusafisha tumbo, kuongeza bakteria wazuri tumboni na hivo kuimarisha usagaji na ufyonzaji wa virutubisho.

5️⃣Tumia kwa wingi vyakula vyenye madini ya chuma
Hatua inayofuata katika kuimarisha utengenezaji wa seli nyekundu za damu ni kuongeza kweye sahani yako vyakula vyenye madini chuma kwa wingi.

6️⃣Vyakula hivi ni k**a Nyama, samaki, karanga, maharage na mboga za kijani k**a spinachi.
Tumia virutubisho ili kuongeza uzalishaji wa damu mwilini
Virutubisho hivi ni k**a Vitamin B

7️⃣Juisi
Sio juisi zote huongeza kiwango cha damu. Unashauriwa kunywa juisi ya nyanya; kiasi cha glasi moja na uchanganye na juisi ya tikiti maji na karoti.

8️⃣Madini
Kula vyakula vyenye kiwango kikubwa cha madini ya chuma. Vyakula hivyo ni k**a nyama, maini, maharage, na viazi vitamu.
Pia kula matunda tofauti kwa wingi.

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH 🕊
DR BULUBA
0758050039

Vyakula 10 bora ambavyo mama mjamzito anastahili kula1. Jamii KundeMbegu za makundekunde ni sehemu muhimu ya chakula kwa...
25/06/2022

Vyakula 10 bora ambavyo mama mjamzito anastahili kula

1. Jamii Kunde

Mbegu za makundekunde ni sehemu muhimu ya chakula kwa mama mjamzito kwa sababu huwa na kiwango kikubwa cha protini. Kwa watu wasiokula nyama au wana uwezo mdogo tu kujipatia nyama mbegu za jamii kunde zinatosheleza mahitaji ya protini. Hivi ni vyakula vya mimea k**a Soya,Peas,Karanga, Alfa alfa,Mikunde, maharage.

2.Mayai

Mayai mawili kwa siku husaidia kuupa mwili protini, vitamini A na madini ambayo itasaidia kuzuia kupatwa na maradhi ya magonjwa mbali mbali.

3. *Maziwa na vyakula vya jamii ya maziwa*

Glasi nne au zaidi ya maziwa ya aina yoyote pamoja na/au vyakula vyenye jamii ya maziwa k**a jibini, mtindi na siagi. Maziwa ni muhimu kwa protini, calcium, vitamini na virutubisho vingi. Vitasaidia ukuaji wa mifupa na misuli, Ni muhimu kwa damu yenye afya, kusaidia usingizi na kusawazisha mdundo wa moyo.

4. Viazi tamu 🤰

Viazi vitamu vina vitamini A ambayo husaidia ukuaji wa macho ya mtoto,ngozi na mifupa

5. Nyama 🤰

Nyama ya kuku au ngombe huwa na protini nyingi sana na husaidia katika ukuaji wa mwili wa mtoto hasa kwa mama mjamzito wa miezi minne.

6. Nafaka na vyakula vya Wanga 🤰

Vyakula hivi huipa mwili nguvu ya kufanya kazi na pia ukuaji wa mtoto tumboni.Vyakula hivi ni k**a mahindi,mtama ,mihogo,vyakula vya ngano k**a mkate n.k.

7.Avocado/Parachichi 🤰

Ni matunda ambayo yana mafuta mengi maarufu k**a fatty acid. Avocado inasaidia katika ukuaji wa ubongo,ngozi nyororo na ukuaji wa misuli ya mtoto tumboni.

8 .Mboga za majani 🤰

Mboga za majani k**a spinach, kabeji, mchicha na matembele. Mboga hizi zinafaa ziwe zenye rangi ya kijani iliyokolea kwa sababu hizi ndizo zenye virutubisho vya kutosha. Mboga hizi zitampa mama na mtoto wake Vitamin A na B, pia virutubisho vitakavyosaidia mwili kupata protini ya kutosha, ukuaji wa mwili, na utengenezaji wa damu.

9. Mafuta ya samaki 🤰

Mafuta ya maini ya samaki huwa na Omega fatty acids ambayo inasaidia ukuaji wa ubongo na macho ya mtoto.

10.Maji 🤰

Maji ni muhimu kwa mwili kwa sababu inasaidia kwenye mmenyenyo na unyonywaji chakula na pia husaidia kuzia choo ngumu Maji pia huzuia uvimbe wa mwili na maambukizi ya mfumo wa mkojo(UTI)

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH 🕊
DR BULUBA
0758050039.

UKE* : ni sehemu mojawapo ya maumbile yalipo katika mfumo wa uzazi wa mwanamke. *Uke mkavu* ; Ni tatizo ambalo husababis...
13/06/2022

UKE* : ni sehemu mojawapo ya maumbile yalipo katika mfumo wa uzazi wa mwanamke.

*Uke mkavu* ; Ni tatizo ambalo husababishwa na upungufu wa homoni au kuto kuwa na uwiano wa homoni ya estrogen ambayo hupeleke misuri ya uke kusinya na kukosa vilainishi.

*KAZI ZA UKE*
👉kupitisha damu ya hedhi
👉kuruhusu uume kupita wakati wa kujamiiana
👉kupokea shahawa wakati wa kujamiiana
👉kuruhusu mtoto kupita wakati wa kujifungua (SVD)

1️⃣Ikumbukwe kwamba ni salama kwa uke kuwa mkavu katika mazingira yasiyo ya kujamiiana.
2️⃣wakati mwingine sio tatizo la kiafya kwa uke kuwa mkavu wakati wa kujamiiana
3️⃣Na pia wakati mwingine huwa ni tatizo la kiafya

*VISABABISHI*
👉matumizi ya manukato,lotion na sabuni zenye kemikali ukeni.
👉msongo wa mawazo.
👉magonjwa ya zinaa na fangasi ukeni.

*DALILI*
👉maumivu wakati wa tendo la ndoa
👉kupungua kwa hamu ya tendo la ndoa
👉michubuko au kuungua ukeni wakati wa tendo

*MADHARA*
👉michubuko ukeni.
👉kutokufurahia tendo.
👉kutokufika kileleni.
👉hatari ya maambukizi ukeni eg:-fungus,bacteria

MAMA ,DADA THAMANI AFYA YAKO KWANI AFYA IKIWA BORA UTAWEZA KUJIAMINI NA KUWA NA AMANI

NB k**a hili tatizo lina kungusa chukua hormone care ambayo inapatikana kwenye huduma ya delicate health na pia utapewa na mpangilio wa vyakula

Kwa msaada wa mawasiliano zaidi 0758050039.

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH
DR BULUBA
0758050039

Mwanamke anaweza kubeba mimba kwa urahisi sana Endapo ana sifa Zifuatazo :* 1️⃣Mayai yanakomaa na kupevuka  vizuri 2️⃣Mi...
12/06/2022

Mwanamke anaweza kubeba mimba kwa urahisi sana Endapo ana sifa Zifuatazo :*

1️⃣Mayai yanakomaa na kupevuka vizuri

2️⃣Mirija ya uzazi kuvimba au kujaa maji au kuwa na kakovu

3️⃣Mji wa mimba au uterus ipo safi na hauna Vivimbe

4️⃣Kizazi hakina uambukizo wa aina yoyote,
fangasi,
UTI,(Urinary Track Infection),
PID - (Pelvic Inflammatory Disease )

5️⃣Homoni zake zimebalance vizuri

6️⃣UTE wa Uzazi /OVULATION uwepo katika siku za hatari.

🕊Uwezo wa kupata sifa hizo na kukufanya ubebe mimba upo.

K**a una changamoto ya kutoshika Mimba na umeona tatizo lako hapo juu

Wasiliana na Dr Buluba kwa msaada zaidi.

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH
DR BULUBA
0758050039

MAHUSIANO: MADHARA YA KUNYONYANA SEHEMU ZA SIRI.* 🕊Kuna maneno mengi sana yanazungumzwa kila kukicha kuhusu tabia ya mwa...
11/06/2022

MAHUSIANO: MADHARA YA KUNYONYANA SEHEMU ZA SIRI.*

🕊Kuna maneno mengi sana yanazungumzwa kila kukicha kuhusu tabia ya mwanaume kumnyonya uke mwanamke k**a moja ya njia rahisi sana ya kumfikisha mwanamke kileleni.

1️⃣Wapo baadhi wanajaribu kuelezea juu ya madhara
apatayo mwanaume kunyonya *UKE* mchezo ambao maarufu unaitwa kuzama chumvini au uvinza,
Siwezi kuwa mnafiki kwa kusema mchezo huu hauna madhara kwa mnyonyaji la hasha nitakuwa nawaongopea,
Nilichoamua kuwashirikisha siku ya leo wapendwa ni juu ya ukweli halisi kwa wapendaji wa mchezo huu kwani si ajabu kukuta mtu akikemea na kupinga vikali juu ya unyonyaji uke akisema ni mchezo mchafu na wenye madhara na haupaswi kabisa kufanywa,
Mara nyingi watu hawa wamekuwa wakionesha matokeo mabaya (athari) zaidi na kuto zungumzia juu ya faida yoyote ipatikanayo kwa wawili hao katika mchakato mzima wa kuridhishana.

2️⃣Wapo wengine pia wanaotetea juu ya kamchezo haka katamu na kenye kumnyegesha kwa haraka zaidi mwanamke na kumfanya hata aanze kuzungumza vitu asivyovijua kutokana na raha aipatayo hasa pale ulimi unapokuwa kunako kisimi na sehemu nyinginezo.

3️⃣Kundi hili pia la watu husahau kusema madhara ambayo huweza mwanaume kuyapata kutokana na kamchezo haka hasahasa k**a amekurupuka tu kufanya haka kamchezo.

♌ Leo naomba nitumie fursa hii kuondoa mzizi wa fitna kuzungumza ukweli halisi juu ya mchezo huu,

1️⃣Mchezo huu unamadhara tu iwapo mwanamke atafanya makosa k**a vile kunyonywa akiwa hajajisafisha vizuri kwa sabuni zenye dawa(medicated soap)katika kona zote muhimu za uchi wake kuanzia nje kabisa,maeneo ya kinembe,kwenye visikio na ndani kabisa kona zote.

2️⃣Usafishaji huu unahitaji muda wa kutosha usiopungua dakika 45,usione kuchelewa ukakimbilia kwenda kufanya mdada japo uume tamu sana lakini subira muhimu dada.

3️⃣Kunyonya uke pasipo kusafisha vizuri huweza kusababisha mnyonyaji kupata fangasi au maambukizo ya magonjwa ya zinaa k**a vile virusi vya ukimwi na kisonono kwa urahisi zaidi kwani uke huwa na majimaji ambayo huweza kuhifadhi vijidudu vinavyoweza kuleta madhara kwa mnyonyaji.

4️⃣Lakini pale ambapo mwanadada ametumia muda wa kutosha na umakini wa hali ya juu na kufanikisha kuosha vizuri uke wake hakika ni wakati murua wa mwanaume wake kuenjoy na kufaidi utamu uliopo kila sehemu katika kwa mwenzawake,

AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YAKO🤔🤔

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH
DR BULUBA
0758050039

Pelvic care ndio suluhisho la kudumu Madam palimina baada ya kumaliza dose ameenda kufanya vipimo kujilizisha k**a PID a...
05/06/2022

Pelvic care ndio suluhisho la kudumu Madam palimina baada ya kumaliza dose ameenda kufanya vipimo kujilizisha k**a PID anayo lakini amekutwa hana PID tena. Wa sumbuliwa na tatizo la PID wasiliana nami leo kwa msaada zaidi 0758050039.

FAIDA ZA JUICE YA TENDE MOJAKuwaongezea nguvu na ubora wa mbegu wanaume walio na tatizo hilo.PILI Kuinua hamu na uwezo w...
31/05/2022

FAIDA ZA JUICE YA TENDE

MOJA
Kuwaongezea nguvu na ubora wa mbegu wanaume walio na tatizo hilo.
PILI
Kuinua hamu na uwezo wa kushiriki tendo la ndoa kwa kina mama; tatu kuimarish
afya ya mama mjamzito na kichanga chake.
NNE
Uwezo wa kusaidia kuondoa vilevi mwilini (hasa kwa wanywaji pombe).
TANO
Uwezo wa kuukinga mwili dhidi ya magonjwa k**a saratani ya tumbo na kiharusi.
SITA
Kusaidia mchakato wa usagaji wa chakula tumboni.
SABA
Faida ya mchanganyiko huo kuondoa tatizo la ukosefu wa choo au mtu kupata cho
kigumu.
NANE
Uwezo wa kumuondolea mtu uchovu.
TISA
Kuongeza damu mwilini kutokana na kujaaliwa wingi wa madini chuma
KUMI
Uwezo wa kusaidia mishipa ya fahamu kufanya kazi yake vizuri.

FAIDA ZA BAMIA MWILI KWA ULAJI WAKE.*Moja ya zao lenye faida mwilini ni bamia k**a tunda mboga kwani linaweza kukutoa ka...
28/05/2022

FAIDA ZA BAMIA MWILI KWA ULAJI WAKE.*

Moja ya zao lenye faida mwilini ni bamia k**a tunda mboga kwani linaweza kukutoa katika hatari ya kupata ugonjwa wa kisukari kwa sababu ya uwezo wake wa kusaidia kuyeyusha au kumeng’enya sukari na kuuweka sawa mfumo wa sukari mwilini.
Mara nyingi tumekuwa tukichukulia bamia k**a mboga ya kimasikini pasipo kujua kuwa bamia ni tunda mboga lenye faida nyingi sana mwilini au kiafya.

*FAIDA ZA BAMIA KIAFYA*

1️⃣Moja wapo ya faida ambayo ni muhimu ni kusaidia kumeng’enya sukari mwili au kuweka sawa mfumo wa sukari mwilini.

2️⃣Bamia ni aina ya tunda mboga lenye utajiri wa makapimlo ambayo ni muhimu sana katika mwili hasa katika usagaji wa chakula.

3️⃣Aidha, kukosa choo ni tatizo la kawaida kwa wagonjwa wa kisukari hasa kwa ambao bado hawajua jinsi ya kudhibiti kiwango chao cha sukari katika damu. Bamia ikiliwa mara kwa mara inasaidia kurekebisha mfumo wa umeng’enya chakula na sukari mwilini kisha kuondoa tatizo hili.

4️⃣Maji maji yanayotoka katika Bamia yana uwezo wa kuondoa lehemu katika mishipa ya damu kwenye mwili. Lehemu ni aina ya mafuta yanayopatikana kwenye mishipa damu,endapo mafuta haya yakazidi huweza husababisha maradhi ya shinikizo la damu hivyo mgonjwa wa kisukari mwenye shida ya lehemu ni muhimu sana kula bamia mara kwa mara.

5️⃣Mgonjwa wa Kisukari anahitaji kula aina ya vyakula vyenye virutubisho vya kutosha na bamia imejaliwa kuwa na virutubisho vyenye protini tofauti na matunda mboga mengine au lishe nyingine zenye asili ya mimea,.

6️⃣Mbali na hayo, bamia ina utajiri mkubwa wa virutubisho na vitamin A na B ambavyo kazi ya vitamin hizi ni kuboresha na kuimarisha uwezo wa macho kuona na kwakuwa moja ya changamoto ya wagonjwa wa kisukari ni uono hafifu, bamia ni tiba kinga nzuri kwa afya ya macho.

7️⃣Bamia humsaidia mama mjamzito pamoja na mtoto aliye tumboni kuwa na afya bora na nzuri. Ulaji wa Bamia kwa mama mjamzito humtoa katika hatari ya kujifungua mtoto mwenye tatizo la kupasuka kwa uti wa mgongo au kuwa na tatizo la mgongo wazi. Washauri Lishe wanasisitiza kuwa mama mjauzito apendelee kula aina ya vyakula vyenye wingi wa makapimlo k**a bamia ambavyo pia kusaidia kudhibiti kiwango chake cha sukari na kumuepusha kupata Kisukari aina ya tatu.

8️⃣Bamia huongeza na kuboresha kinga ya mwili hasa kwa watu ambao kinga yao ya mwili imeshuka k**a watu wenye maradhi yasiyo ya kuambukiza na hata maradhi ya kuambukiza k**a HIV.

9️⃣Bamia sio tu kwa watu wenye hayo matatizo tajwa, pia husaidia watoto katika kuboresha kinga na ukuaji wao. Kwa mujibu wa wataalum lishe, wanasema kuwa watu wengi wamekuwa wanakula bamia kwa kuidharau ila bamia husaidia sana kuzuia magonjwa ya moyo, kwa kuisaidia mishipa ya damu kufanya kazi vizuri.

🔟Bamia pia husaidia watu wenye matatizo ya vidonda vya tumbona kudhibiti kabisa tatizo hilo.

1️⃣1️⃣Matumizi ya bamia kwa wingi husaidia kupunguza uwezekano wa kupata saratani ya tumbo na kuongeza kiwango cha damu mwilini. Watu wengi wanatumia bamia k**a dawa ya kuongeza kinga ya mwili kwa kutafuna zikiwa mbichi au kuzichemsha.

*Angalizo*
Kwa wagonjwa ambao tayari wanaumwa kisukari, wasiache dawa zao na kuanza kutumia bamia k**a dawa, bali watumie bamia mara kwa mara k**a tunda mboga ambalo inasaidia kumeng’esha sukari mwilini na kuimarisha kinga ya mwili wako huku wakiendelea na dawa zao.

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH
DR BULUBA
0758050039.

26/05/2022

*LEO TUJIFUNZE MAUMIVU MAKALI YA KITOVU.*

Nilichojifunza juu ya maumivu ya kitovu.

*Maumivu ya Kitovu Husababishwa na nini?*

👉Maumivu ya kitovu yanaweza kuwa ya taratibu na ya muda mfupi ama yanaweza kuwa makali na yakachukua muda mrefu.

👉 Unaweza kupata maumivu haya kwenye kitovu chenyewe ama yakaendea kuelekea sehemu za tumbo zinazozunguka kitovu.

👉Napenda ufahamu kwamba maumivu ya kitovu hayatokani na kitovu chenyewe bali ni tatizo linaloanzia mbali, maumivu ya kitovu ni dalili tu ya tatizo kubwa ulilonalo ambalo ndio chanzo.

🍅 *Ukipata dalili hizi Zikiambataana na Maumivu ya Kitovu wahi Haraka Hospitali.*

🧇Kutapika damu
🧇Maumivu bila kukoma kwa zaidi ya saa moja
🧇Maumivu ya kifua
🧇Kukosa pumzi ikiambatana na maumivu yanayosambaa kwenye shingo, mikono na taya.
🧇Kupata choo chenye damu.

🍅 *Maumivu ya Kitovu Yanayovuta*

👉K**a unapata maumivu kitovu ya haraka na yanayovuta unaweza kuwa na hernia au ngiri

🩺Hernia au ngiri hutokana na kuongezeka kwa mgandamizo karibu na kitovu. Hernia inaweza kutibika kwa upasuaji.

*Mazingira haya yanaweza kuongeza hatari ya kupata henia*

⚡Kulegea kwa kuta za tumbo
⚡Unyanyuaji wa vitu vizito
⚡Uzito mkubwa
⚡Kikohozi cha muda mrefu

🍅Maumivu ya Kitovu Yanayoambatana na Tumbo Kujaa

👉Maumivu haya hutokana na tumbo kushindwa kusaga chakula vizuri na hivo kupelekea tumbo kujaa gesi au maji.

🏹 *Dalili zingine ambazo huambatana ni k**a*

✅Kujiskia umeshiba muda mwingi
✅Kujiskia ovyo baada ya kula
✅Kupata maumivu karibu na kitovu
✅Kichefuchefu

👉Vidonda vya tumbo ni sababu ingine ya tumbo kujaa gesi.

*Ni changamoto GANI GANI unayopitia ambayo unahitaji utatuzi wa haraka Sana twambie.*

Delicate health

We care about your health

By Dr Buluba
0758050039

24/05/2022

*VYAKULA UNAVYOPASWA KUTUMIA UKIWA NA BAWASIRI*

*Nafaka za nyuzinyuzi*
⬇️Karanga
⬇️Buckwheat
⬇️Maharagwe
⬇️Maharagwe ya soya
⬇️Dengu
➡️Mbaazi safi
⬇️Grey shayiri
⬇️Mchele
⬇️Unga wa sembe

*MATUNDA YA NYUZI*
⬇️Parachichi,
↗️Karoti
↙️Machungwa,Maembe.
↙️Tikiti maji,
↙️Matango,
↙️Mbilingani,Pilipili tamu,Ndizi,
↙️ZabibuNyanya
↙️Peari
↙️Matikiti,
⬇️Kabichi nyeupe,
⬇️Viazi,
⬇️Ndimu,
↪Cherries,
↗️Vitunguu
⬇️Maembe

Vyakula ambavyo hupaswi kuvitumia.

⬇️Pilipili
⬇️Vyakula vya kiwandi,vya kusindikwa
⬇️Pombe
⬇️Tangawizi

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH
DR BULUBA
0758050039

FAIDA ZA JUICE YA CABBAGE* Makala hii inaelezea na kufafanua Faida mbalimbali za *KABEJI* mwilini. Kabeji ni aina ya mbo...
24/05/2022

FAIDA ZA JUICE YA CABBAGE*

Makala hii inaelezea na kufafanua Faida mbalimbali za *KABEJI* mwilini.
Kabeji ni aina ya mboga ya Majani ambayo huchumwa na kuandaliwa k**a mbogamboga zingine, watu wengi huwa haiwependelei sana k**a mboga zingine za majani zinavyo pendelewa.
Mboga aina ya kabeji zina faida nyingi kwenye zaidi tofauti ambavyo wanavyo ichukulia

*ZIFUATAZO NI FAIDA YA JUICE KABEJI MWILINI.*

1. *INAONDOSHA SUMU MWILINI.*
Vitamini C na sulfur inayo patikana katika kabeji ina saidia kuondoa sumu mwilini, viambatana SUMU ni k**a k**a vile free radical na uric acid katika mwili., inayo pelekea uharibifu wa cell katika mwili. Vitamini C na Sulfur husaidia kukinga cell isiharibiwe na viambata sumu kwa kuviondoa nje ya mwili.

2. *KUPUNGUZA SHINIKIZO LA DAMU. (BLOOD PRESSURE.)*
Kiwango kingi cha madini ya potassium katika mwili yanasaidia kupunguza na kuweka mlinganyo msukumo wa damu katika hali yake nzuri kwa kuingiliana na madhara ya sababishwayo na uwepo wa kiwango kikubwa cha madini ya Sodium katika mwili.

3 *KUWEKA SAWA KIWANGO CHA SUKARI (TO REGULATE BLOOD SUGAR).*
kiwango cha sukari kinacho patikana katika mwili huwekwa sawa katika mlinganyo na madini pamoja na vitamini mbalimbali zinazo kuwa zimezapatika kutoka kwenye kabeji.

4; *Anti_inflammatory*
Hii ni aina ya kazi inayo fanywa na kabeji katika mwili wa binadamu, husaidia kuzuia vimbe mbalimbali pamoja na kuziba sehemu zilizo wazi, husaidia kupunguza maumivu kwa watu wanao sumbuliwa na vimbe za joints, pamoja na vidonda vya koo,

5; *PROBIOTICS*
Hawa ni aina za bacteria ambao huwa na faida kwenye mwili wa binadamu husaidia au kuwezesha umeng'enywaji wa chakula katika mfumo wa chakula, husaidia kuepusha bacteria hatarishi katika mfumo wa umeng'enywaji, bacteria hawa hupatika katika kabeji baada ya kufanyiwa fermentation process

6; *BEAUTIFYING MINERAL,*
kabeji zina kiwango kikubwa cha madini ya sulfur yanayo saidia uzalishaji wa compound keratin zinazo saidia ukuaji mzuri wa nywele na ngozi.

*7;ANTIOXIDANTS*
Hizi ni kompound zinzo saidia kupambana na madhara ya cancer, hubadili products ambazo husababisha cancer na kuzifanya ziwe salama katika mwili wa binadamu, kabeji nyekundu hasahasa zina kuwa na polyphenols ambazo zinakuwa zinafanya N**i k**a anti oxidants zinazo saidia ukuaji mzuri wa ubongo na moyo.

8; *UNASAIDIA UKUAJI WA UBONGO.*
Kabeji ni mboga ambazo zinakuwa na wingi wa madini ya iodine, Ambayo husaidia ukuaji mzuri wa ubongo pia kuweka mfumo wa fahamu vizuri katika ufanyaji N**i.

9; *WINGI WA KAMBAKAMBA*
kabeji inasaidia kuondoa upungufu wa kambakamba mwilini ambazo zinasaidia kuzuia (constipation) Ukavu wa kinyesi ambaco hushindwa kutoka kiurahisi wakati wa haja kubwa, kupitia kambakamba(fiber) zinazo katika kabeji MTU akitumia uwezekano wa MTU kupata constipation unakuwa mdogo sana.

10; *KUPUNGUZA UZITO,*
Kabeji inasadia upunguzaji wa uzito ulio kithiri katika mwili wa binadamu kulingana na vitamini mbalimbali vinavyo patikana katika kabeji, pia madini mbalimbali ambayo yanakuwa na uwezo wa kupunguza calories, pia wingi wa fibers katika kabeji husaidia kupunguza calories katika mwili.
Ndugu msomaji naimani umepta angalau uelewa juu ya faida za kabeji katika mwili hivyo kwa yule ambaye alkuwa hapendlei kula kabeji, ni vema ukawa mtumiaji mzuri wa kabeji kwa faida mbalimbali.

TUMIA ASUBUHI ,MCHANA NA JIONI

NB. ONGEZA VIJIKO VIWILI VYA ASALI KWENYE GLASS YAKO YA JUICE

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH
DR BULUBA
0758050039

22/05/2022

NINI CHANZO CHA MAT**I KUVIMBA AU KUUMA*

mwonekano wa mat**i
Nini Kinasababisha mat**i kuvimba na kuwa Mazito sana? Ni kawaida kwa mat**i kubadilika katika mzunguko wako wa hedhi. Lakini ni muhimu kuwa mfatiliaji mzuri kwani urembo wako upo kwenye mat**i.

Endapo t**i moja likikatwa kwa sababu ya ugonjwa inaweza kukuharibia shape yako nzuri. K**a mat**i yako unaona kabisa yamekuwa mazito kupita kiasi basi hakikisha unaenda hospitali mapema kwani waweza kuwa na changamoto mojawapo kati ya hapa chini

Uvimbe Usio Saratani Kwenye t**i(Fibrocytic breast)
Nusu ya wanawake wote duniani wanaweza kupatwa na tatizo hili katika kipindi fulani kwenye maisha yao. Uvimbe huu usio saratani unaweza kuleta mabadiliko makubwa kwenye mat**i yako, k**a kujaa maji kwa tishu za mat**i na kisha kufanya mat**i kuwa mazito kuliko kawaida.

*DALILI ZINGINE ZA KUKUONESHA KWAMBA UNA UVIMBE KWENYE T**I ni PAMOJA NA*

maumivu na mat**i kuwa laini sana kuliko inavotokea wakati wa hedhi
maumivu ya mat**i yanayosambaa mpaka kwenye kwapa na kwenye mikono
kutokea na kupotea kwa nundu kwenye t**i, ambazo zinabadilika ukubwa kila mara
kutokwa na majimaji ya kijani au kijivu kwenye mat**i.

Mat**i Kuvimba na Kuwa Mazito kwa Sababu ya Hedhi
Kutokana na mabadiliko ya homoni kuu mbili *ESTROGEN* na *PROGESTERONE,TISHU* za kwenye mat**i zinaweza kuongezeka ukubwa.

Mabadiliko pia ya homoni hizi yanaweza kupelekea maji mengi kuhifadhiwa kwenye mat**i na kufanya mat**i kuwa mazito. Dalili zingine kwenye mat**i wakati wa hedhi ni pamoja na

chuchu kuwa laini na zenye msisimko mkubwa
kuvimba mat**i na
maumivu yanayosambaa mpaka kwenye kwapa
Kuvimba Mat**i Kutokana na Mimba
Mat**i kuvimba na kujaa ni dalili moja wapo ya mimba, na mat**i huanza kuvimba week moja au mbili baada ya kushika mimba. Kuvimba huku hutokana na mabadiliko ya homoni. Mat**i huvimba, kusisimka zaidi na pia kuwa malaini sana kuliko kawaida.

K**a mat**i yako yamevimba na unaona kabisa umeshapitiliza hedhi basi kuna haja ya kuchukua kipimo cha UPT na kupima mkjo wako, maana yaweza kuwa ni mimba.

*DALILI ZINGINE ZA MIMBA CHANGA ni PAMOJA NA*

1️⃣kupitisha hedhi
2️⃣kupata matone ya damu
3️⃣mwili kuchoka sana
4️⃣kizunguzungu na kutapika.
K**a mimba ipo kweli basi mat**i yako yataendelea kukua na kuwa mazito zaidi kukuandaa kwa ajili ya kunyonyesha mtoto atakayezaliwa

5️⃣Mat**i Kuvimba na Kuongezeka Ukubwa wakati wa Kunyonyesha
Kunyonyesha mtoto ni changamoto sana. Bilashaka wewe k**a mama umeshakutana na changamoto ya maziwa kutoka kwa wingi kupita kiasi na chuchu kuuma sana. Maziwa yanapokuwa mengi sana mat**i hujaa zaidi na kuwa mzito.

*DALILI UNAOWEZA UZIPATA ENDAPO MAZIWA NI MENGI SANA NI PAMOJA NA*

1️⃣mat**i kuwa magumu sana
1️⃣mat**i kuwa ya moto
3️⃣wekundu kwenye mat**i
chuchu kuwa flati
4️⃣homa kwa mbali
5️⃣Mat**i Kuvimba Kutokana na Matumizi ya Dawa
6️⃣Baadhi ya dawa zinaweza kupelekea mat**i yako kuongezeka na kuwa mazito sana. Dawa hizi ni pamoja na vidonge vya uzazi wa mpango, dawa za uzazi na tiba za kurekebisha homoni.

🕊Baadhi ya dawa za kupunguza msongo wa mawazo pia zaweza kubadili uwiano wa homoni na hivo kufanya mat**i kuvimba na kuwa mazito sana.

Maambukizi Kwenye Mat**i
Kitaalamu mast**is, maambukizi haya yanatokea sana kwa wanawake wengi wanaonyonyesha. Maambukizi haya yaweza kusababisha mat**i kuvimba na kuwa mazito zaidi.

Mast**is hutokea pale maziwa yanapoziba mrija wa kupitisha maziwa na kupelekea bakteria wabaya kukua. Baadhi ya dalili kwamba umepata maambukizi haya ni pamoja na

1️⃣mat**i kuwa laini sana
2️⃣kuvimba kwa mat**i
3️⃣maumivu makali hasa wakati wa kunyonyesha
4️⃣kupata nundu kwenye t**i
kupata homa na mat**i kuwa na wekundu
5️⃣Saratani Ya Mat**i
Pamoja na kwamba saratani ya mat**i inatokea kwa wanawake wachache zaidi, watakiwa kuchukua tahadhari pale unapoona dalili za tofauti. *DALILI HIZI NI K**A*

t**i kuwa jekundu kwa zaidi ya nusu
ngozi ya t**i kuwa ya njao k**a ganda la chungwa
chuchu kuzama ndani
t**i kubonyea ndani ya kuchelewa kurudi juu(dimple)

Je Ni Muda Gani Natakiwa Kumwona Daktari?
Ni jambo la kawaida mat**i yako kubadilika na kuwa mazito. Lakini kumbuka ni muhimu sana kuwa na tabia ya kufanya vipimo vya mat**i mara kwa mara. K**a una hofu kwamba mat**i yako hayapo kawaida basi yatakiwa kwenda hospitali haraka.
Fuatilia mabadiliko ya mat**i yako kila mara ili kugundua k**a kuvimba ni kwa kawaida ama ni dalili mbaya.

DELICATE HEALTH
WE CARE ABOUT YOUR HEALTH
DR BULUBA
0758050039

Address

Nyegezi
Mwanza

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Imarisha AFYA YAKo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram