Tuongee AFYA

Tuongee AFYA Tunatibu Changamoto yoyote ya CANCER iliyoshindikana
Tupigie au whatsaap no 0659905019.

09/02/2024

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Shingo ya kizazi (cervix) ni kiungo cha mwili kinachopatikana kwenye mfumo wa uzazi wa mwanamke. Ni sehemu ya mji wa mimba (Uterus) inayotokezea kwenye uke (tupu) wa mwanamke. Tazama picha

SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI NI NINI?
Ni mabadiliko hasi (yasiyo ya kawaida) ya chembechembe hai zilizopo kwenye shingo ya kizazi. Mara nyingi saratani hii ikiwa inaanza haionyeshi dalili yoyote hivyo mgonjwa hawezi kuchukua hatua yoyote kukabiliana na tatizo hili kwa wakati huu.

Kwa kiasi kikubwa saratani hii husababishwa na maambukizi ya mda mrefu (persistence infection) ya virusi viitwavyo Human papilloma, ambavyo huenezwa kwa njia ya kujamiiana. Kawaida mwili una uwezo wa hudhibiti maambukizi haya yaingiapo mwilini, lakini yasipodhibitiwa kikamilifu na kuwepo mwilini kwa mda mrefu husababisha ugonjwa wa saratani ya shingo ya kizazi.

MAMBO MENGINE YANAYOCHANGIA KUPATA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Kufanya ngono zembe
Kuwa na wapenzi wengi
Kukoma siku katika umri mkubwa
Utumiaji mafuta mengi katika chakula.
Kutokufanya mazoezi ya mara kwa mara.
Unene kupita kiasi
Uvutaji sigara.
Utumiaji wa pombe kupita kiasi.
Historia ya saratani ya matiti katika familia.
DALILI ZA UGONJWA WA SARATANI YA SHINGO YA KIZAZI

Dalili za ugonjwa huu huanza kujitokeza baada ya tatizo kuanza kukomaa, zifuatazo ni baadhi ya dalili

Kutokwa na maji maji yenye harufu ukeni
Kutokwa damu baada ya kujamiiana
Kutokwa damu kusiko kwa kawaida (siyo damu ya hedhi)
Kuumwa mgongo na kiuno
Kuumwa miguu
Kizunguzungu na kuishiwa nguvu
NINI KIFANYIKE?

Saratani ya shingo ya kizazi inazuilika au kutibika kabisa endapo itagundulika ikiwa kwenye hatua za awali.

Hivyo ni muhimu kufanya uchunguzi wa afya yako kwa kadiri utakavyoshauriwa na wataalam wa afya

Wanawake wote walio na umri kuanzia miaka 30 na kuendelea wanatakiwa kufanya uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi.

Kumbuka: Wakati wa uchunguzi wa saratani ya shingo ya kizazi ni sasa usisubiri hadi uone dalili

Whatsaap 0659905019

02/08/2023

TAARIFA MBAYA⚠️⚠️ SOMA HADI MWISHO

wanawake wengi hawafundishwi kuhusu maumbile yao ya uzazi nawanahisi aibu kujadili. Kuna umuhimu Mkubwa sana wa kuelewa maumbile ya uke wako na namna uke wako ulivyo,

Uke usipotunzwa vizuri unaweza kupata Maambukizi ya bakteria, fangasi na virus ambao hupelekea dalili k**a vile miwasho, hari k**a ya kuungua, kutokwa na uchafu usio wa kawaida, vipere kwenye mashavu ya uke, kuvimba kwa mashavu ya uke,

maumivu wakati wa ngono,harufu, kulegea kwa misuri ya uke na ukavu ukeni, Ukavu wa uke ni jambo lingine linalosumbua, haswa miongoni mwa wanawake waliokoma hedhi, na linaweza kusababisha usumbufu wakati wa kufanya ngono.

*TAARIFA* *NJEMA* nimekuletea Muongozo ulithibitishwa na Wataalamu unaolezea namna ya kutunza na kusafisha uke. Mwongozo huu ni muhimu wa kwa Kila mwanamke KUFAHAMU na kufanyia Kazi. *utapata dawa hata mwanaume unaweza kumnunulia Mke wako hakika atakushukuru sana.

.Kisha njoo Inbox KWANGU nitakutumia Muongozo wako huo Ndani ya dakika 2 tu ofa hii ni ya masaa 12 tu baada ya hapo bei itakuwa k**a mwanzo.

Chukua hatua sasa!!!

Je, ni bidhaa gani inaweza kumaliza kisukari??.. Una uhakika😱😱😱😱😱 Yeahhh.. ni   .. moja ya bidhaa zinazovuma na sasa ita...
21/07/2023

Je, ni bidhaa gani inaweza kumaliza kisukari??..
Una uhakika😱😱😱😱😱 Yeahhh.. ni .. moja ya bidhaa zinazovuma na sasa itakua new momentum product!!!!!.. Bidhaa hiyo inaitwaje?
Ni CRYSTAL CELL !!!!
🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅 Piga Sasa au DM kwa maelezo :
+25565990519

www.iphyto.com

What kind of product can end diabetes??..
Are you sure😱😱😱😱😱 Yeahhh.. it's .. one of the trending product and now will become new momentum product !!!!!.. What's the name of the Product?
It's CRYSTAL CELL !!!!
🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅🍅 Call Now or DM for info :
+255659905019








SULUHISHO LA MARADHI NA STEM CELL THERAPY Kwa nini Plant Stem Cell au Seli Shina za Mimea Sio Dawa? Seli shina sio dawa ...
21/07/2023

SULUHISHO LA MARADHI NA STEM CELL THERAPY

Kwa nini Plant Stem Cell au Seli Shina za Mimea Sio Dawa?

Seli shina sio dawa kwa sababu inasimama katika kukarabati seli na mwili kujitengenezea uwezo wa kutibu magonjwa mbalimbali. Kwa hiyo tunapo ongelea suala la dawa, dawa inatumika pale pindi ambapo mtu anaweza akawa anajisikia vibaya ama kuumwa na akaamua kwenda hospitali kumuona daktari.

Ndio maana tukasema stem cell au seli shina sio dawa.
Je suala la seli shina au stem cell limekaaje hapa? Mfano daktari amekupatia dawa au virutubisho (supplements) kulingana na ugonjwa husika.
Mkanganyiko ni kuwa mtu ameandikiwa dawa ya ugonjwa wa kisukari.

Chanzo kikubwa cha sukari ni kongosho kushindwa kuzalisha insulini. Sasa zile seli za kongosho pata picha zimeshafubaa au kuharibika kabisa kiasi kwamba haziwezi kuwa na ushirikiano mzuri na zile dawa alizokupa daktari na ndio maana unakuta mtu anaweza akafanya clinic kwa miaka na miaka na asipate ufumbuzi wa kuondoa ugonjwa wa kisukari ila badala yake anapata tu nafuu kidogo (relief) na tatizo bado linabakia pale pale.

Kwa sababu tayari seli zake za kongosho zinakuwa hazifanyi kazi vizuri dawa inapoingia mwilini seli za  kongosho zinakuwa hazina uhai wa kutosha.

Sasa unapoitumia stem cell therapy inasaidia kurejesha uhai wa seli zako za kongosho. Kwa hiyo baada ya kuwa na seli imara mwilini hata dawa inapoingia itafanya kazi kwa ufasaha zaidi kwa sababu imekuta seli zina nguvu ya kuipeleka hiyo dawa mahali husika na kufanya kazi yake vizuri.
Hivyo mtu anaye tumia stem cell therapy mara kwa mara huwezi kukumkuta anaumwa kila mara.  Kwa sababu seli za mwili wake zinakuwa imara.

Stem cell therapy inatumika na watu wote kwa muda wote.  Stem cell therapy haitumiwi na wagonjwa pekee
Pamoja na magonjwa mengine mengi ambayo hayajatajwa hapa.

Wasiliana nami kujua namna ya kununua bidhaa kwa jumla au reja reja

⏩ Kwa taarifa Zaidi

Call/WhatsApp +255659905019

  #

PHYTOSCIENCE *3.Snowphyll*-kuondoa sumu Mwilini. -huchochea kuzalishwa kwa wingi cell nyekundu za damu ikishirikiana na ...
21/07/2023

PHYTOSCIENCE *3.Snowphyll*

-kuondoa sumu Mwilini. -huchochea kuzalishwa kwa wingi cell nyekundu za damu ikishirikiana na double steamcell -Husain ia kupunguza uzee(wrinkles)
No.
-Kwa wale watu wenye magonjwa sugu kabla ya kuanza kutumia bidhaa zetu zozote,tunawashauri watumie hii kwanza kwa ajili ya kusafisha na kutoa sumu ambazo zimesababishwa na matumizi ya madawa mengine
-Pia kwa wale wenye kusumbuliwa na upungufu wa damu basi snowphyllForte inasaidia kwenye kuongeza kiwango cha damu pia
TEKNOLOGIA ya SELI SHINA kutoka maabara ya Mibelle Biochemistry

Kwa taarifa Zaidi 0622036035
+255659905019 whatsasp

Facebook :








KANSA YA T**I NA DAWA ZAKE Utaipa packeji ya dawa na utapewa ushauri bure ,na tatzo itakwishaMwanza whatsaap 0659905019D...
18/07/2023

KANSA YA T**I NA DAWA ZAKE

Utaipa packeji ya dawa na utapewa ushauri bure ,na tatzo itakwisha

Mwanza whatsaap 0659905019
Dar es salaam 0622036035

Kokote huduma inkufikia

PUNGUZA UZITO / UNENE / KITAMBI / MAFUTA MWILINI / NYAMA NYAMA ZEMBE ZOTE ZA KIUNO / TUMBO / MIKONODawa ni za asili kabi...
18/07/2023

PUNGUZA UZITO / UNENE / KITAMBI / MAFUTA MWILINI / NYAMA NYAMA ZEMBE ZOTE ZA KIUNO / TUMBO / MIKONO

Dawa ni za asili kabisa hazina madhara yoyote matokeo yake wiki 1 unapungua kg 5 na tumbo linaisha unabaki ukiwa na mwili wa kawaida wenye kupendeza zaidi

My dear kwanini uteseke na mwili / kitambi / wakati dawa zipo zinapatikana na matokeo yake mazuri sana

1)KUPUNGUZA TUMBO
2)KUPUNGUZA UNENE
3)KUPUNGUZA UZITO
4)KUPUNGUZA NYAMA NYAMA ZEMBE

DAWA ZINAPATIKANA KWA BEI NAFUU

18/07/2023
UKE MKAVU■Uke unkuwamkavu pale ambapo homoni za mwanmke zinakuwa zimevurugika■Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na ute was ...
17/07/2023

UKE MKAVU

■Uke unkuwamkavu pale ambapo homoni za mwanmke zinakuwa zimevurugika

■Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na ute was matani ambao kufanya uke kubana ,kuleta joto na raha wakati wa tendo la ndoa

DALILI ZA UKE MKAVU

1.Mumivu wakati wa tendo
2.kutokwa na damu baada /wakti wa tendo la ndoa
3.mumivu ya kiuno ,mgongo na tumbo chini ya kitovu
4.siku za hedhi kutokwa na mpangulio

MATIBABU
Namna ya kutatua ttzo la uke kuwa mkavu kwa kutumia

Whatsaap 0659905019

💥💥💥💥💥💥■■ *MATATATIZO* YA  KUHARISHA,KUTAPIKA ,MVURUGIKO WA TUMBO  NA MAUMIVU YA TUMBO.Hali hii husababishamwa na bacteri...
17/07/2023

💥💥💥💥💥💥
■■ *MATATATIZO* YA KUHARISHA,KUTAPIKA ,MVURUGIKO WA TUMBO NA MAUMIVU YA TUMBO.

Hali hii husababishamwa na bacteria wabaya ,kushambulia na kuingia kwenye mfumo wa mmengenyaji chakula ,Hivyo mtu mwenye matatizo k**a haya atatumia dawa ya ANTiDIAR hii itasaidia kuondoa maumivu ya tumbo ,inazuia n ma kuharisha na kutapika kwa haraka sana,

Mwanza 0659905019
Dodoma 0622035045
Dar es salaam tuna ofisi pia

17/07/2023

UKE MKAVU

■Uke unkuwamkavu pale ambapo homoni za mwanmke zinakuwa zimevurugika

■Kwa kawaida uke unatakiwa kuwa na ute was matani ambao kufanya uke kubana ,kuleta joto na raha wakati wa tendo la ndoa

DALILI ZA UKE MKAVU

1.Mumivu wakati wa tendo
2.kutokwa na damu baada /wakti wa tendo la ndoa
3.mumivu ya kiuno ,mgongo na tumbo chini ya kitovu
4.siku za hedhi kutokwa na mpangulio

MATIBABU
Wasiliana

0659905019 _mwanza
0622036035_Dodoma
Pia Tuna ofisi Dar es salaam

JE, UNAFAHAMU KUHUSU CRYSTAL CELL AU DOUBLE STEMCELL? HEBU TEGA SIKIOCRYSTAL CELL/DOUBLE STEMCELL ni bidhaa zinazo tenge...
08/07/2023

JE, UNAFAHAMU KUHUSU CRYSTAL CELL AU DOUBLE STEMCELL? HEBU TEGA SIKIO
CRYSTAL CELL/DOUBLE STEMCELL ni bidhaa zinazo tengenezwa kwa teknolojia mpya kutoka kwenye Seli Shina za Mimea aina 3: Apple, Zabibu na Nyanya pori
CRYSTAL CELL/DOUBLE STEMCELL ni 100% suluhisho kwa magonjwa zaidi ya 200 bila kujali yamekuwa mwilini muda mrefu au mfupi, magonjwa k**a
▪️Kisukari/Diabetes mellitus
▪️Saratani/Cancer aina zote
▪️Kiharusi/Stroke
▪️Siko seli/Sickle Cell
▪️Arthritis
▪️Fibroids
▪Tezi dume
▪️Ovarian Cysts/Uvimbe kwenye kizazi
▪️HIV/AIDS/CD4 Count
▪️Kupoteza kumbukumbu
▪️Vidonda vya tumbo/Stomach Ulcers
▪️Mirija ya uzazi kuziba kwa wanawake
▪️Asthma/Pumu/Allergies
▪️High Blood Pressure/Hypertension
▪️Matatizo ya Moyo
▪️Matatizo ya Figo
▪Matatizo ya Ini
▪Matatizo kwenye ngozi/ Vidonda
▪Pneumonia/Homa ya mapafu kwa watoto
▪️Matatizo ya macho/Pressure Ya Macho
▪Kuotesha nywele kwenye vipara
▪Matatizo ya Magoti, Mgongo, Mifupa n.k
▪️Matatizo ya uzazi kwa wanawake na wanaume
▪️Pamoja na magonjwa mengine mengi
CRYSTAL CELL/DOUBLE STEMCELL ni 100%

Whatsap 0659905019

Address

Bugando
Mwanza

Opening Hours

Monday 09:00 - 17:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 07:30 - 17:00
Thursday 09:00 - 17:00
Friday 09:00 - 17:00
Saturday 09:00 - 17:00
Sunday 09:00 - 17:00

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tuongee AFYA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share