19/02/2026
KUWAHI KUMWAGA (Premature Ej*******on) NI NINI?
Kuwahi kumwaga ni hali ambapo mwanaume anamaliza tendo la ndoa ndani ya dakika 1 au muda mfupi sana bila kuwa na uwezo wa kujizuia. Kitaalamu hali hii inaitwa Premature ej*******on.
Sababu zake hizi hapa👇
🔹 Sababu za kisaikolojia
-Wasiwasi
-Msongo wa mawazo
-Msisimko mkubwa kupita kiasi
🔹 Sababu za kimwili
-Homoni kutokuwa sawa
-Msisimko mkubwa wa neva za uume
-Maambukizi au matatizo ya tezi dume
🔹 Mtindo wa maisha
-Uchovu mwingi
-Pombe kupita kiasi
-Kukaa muda mrefu bila tendo
Mbali na ushauri wa kitabibu na mazoezi (k**a Kegel na stop-start method), baadhi ya wanaume hutumia virutubisho vya asili kusaidia stamina na mzunguko wa damu.
🌿 Tangawizi Pori
Hutengenezwa kwa mchanganyiko wa miti na mizizi ya asili, hutumika na asali mbichi.
Dozi nzima 60,000/= 21 days
📌 Kwa maelezo zaidi au kupata bidhaa: 📞 0744 976033
📍 Mwanza