Tangawizi Pori

19/02/2026

KUWAHI KUMWAGA (Premature Ej*******on) NI NINI?
Kuwahi kumwaga ni hali ambapo mwanaume anamaliza tendo la ndoa ndani ya dakika 1 au muda mfupi sana bila kuwa na uwezo wa kujizuia. Kitaalamu hali hii inaitwa Premature ej*******on.

Sababu zake hizi hapa👇
🔹 Sababu za kisaikolojia
-Wasiwasi
-Msongo wa mawazo
-Msisimko mkubwa kupita kiasi
🔹 Sababu za kimwili
-Homoni kutokuwa sawa
-Msisimko mkubwa wa neva za uume
-Maambukizi au matatizo ya tezi dume
🔹 Mtindo wa maisha
-Uchovu mwingi
-Pombe kupita kiasi
-Kukaa muda mrefu bila tendo

Mbali na ushauri wa kitabibu na mazoezi (k**a Kegel na stop-start method), baadhi ya wanaume hutumia virutubisho vya asili kusaidia stamina na mzunguko wa damu.

🌿 Tangawizi Pori
Hutengenezwa kwa mchanganyiko wa miti na mizizi ya asili, hutumika na asali mbichi.

Dozi nzima 60,000/= 21 days

📌 Kwa maelezo zaidi au kupata bidhaa: 📞 0744 976033
📍 Mwanza

MWANAMKE JIRUDISHIE UHALISIA WAKO!!Unasumbuliwa na:✔ Uke kuwa mkavu?✔ Kukosa ute wa kutosha wakati wa tendo?✔ Maumivu au...
18/02/2026

MWANAMKE JIRUDISHIE UHALISIA WAKO!!
Unasumbuliwa na:
✔ Uke kuwa mkavu?
✔ Kukosa ute wa kutosha wakati wa tendo?
✔ Maumivu au muwasho wakati wa tendo?
✔ Kupungua hamu ya tendo?

TUNATIBU FANGAS, MUWASHO UKENI, KUTOKWA UCHAFU WENYE HARUFU KALI

🌿 Tangawizi pori ina mchanganyiko wa miti na mizizi ya asili inayosaidia:
💧 Kuchochea mzunguko wa damu sehemu husika
💧 Kuongeza hamu ya tendo
💧 Kuupa mwili joto na msisimko
💧 Kusaidia mwili kujitengenezea ute wa asili

✨ Hufanya kazi kwa kuchochea mwili wako wenyewe kwa njia ya asili.

🎁 Bonus: Ukifanya oda leo unapata BURE dawa ya kuondoa mafuata na sumu mwilini inapunguza kitambi na uzito. Weka order

💰 Bei: Tsh 25,000
📍 Mwanza – Kisesa
📞 0744 976 033
📩 Agiza sasa wakati ofa bado ipo!

Bidhaa zetu anatumia mtu yeyote awe mwanamke au mwanaume 🫵Unawahi dk 1 ushamaliza🫵Huwezi kurudia round 2......3🫵Unachoka...
18/02/2026

Bidhaa zetu anatumia mtu yeyote awe mwanamke au mwanaume
🫵Unawahi dk 1 ushamaliza
🫵Huwezi kurudia round 2......3
🫵Unachoka sana baada ya hapo
🫵misuli imelegea sana mpaka ikisimama ni lege lege

Mwanamke unakoswa hamu ya tendo huna hisia kabisa uke kuwa mkavu kupita kiasi tumia bidhaa hii itakufanya uwe mwenye ute wa kutosha.💯

KWA MWANAUME
utatumia zaidi ya dk 15 bao la kwanza na kwenda round 3 bila kuchoka

Dozi ya Tangawizi Pori inaenda pamoja na dawa ya kusafisha tumbo ambayo inaondoa mafuta yasiyo hitajika mwilini inaondoa sumu inapunguza kitambi, inapunguza uzito ( UTAIPATA BURE ) itakufanya uwe mwepesi hauta hisi mwili ukichoka tena.

Full dozi 60,000 21 days
Nusu dozi 30,000 10 days

📍Mwanza - kisesa
☎️ 0744 976033

Dar, Dodoma,Arusha,Moshi,Morogoro tunatuma kwa basi hatuna office naomba nieleweke hapa📌 tunatuma kwa uaminifu kwa alietumia bidhaa hii atuambie.

SABABU ZA MWILI KUCHOKA SANA ⚠️Watu wengi huchukulia uchovu k**a jambo la kawaida, lakini wakati mwingine unaweza kuwa i...
17/02/2026

SABABU ZA MWILI KUCHOKA SANA ⚠️
Watu wengi huchukulia uchovu k**a jambo la kawaida, lakini wakati mwingine unaweza kuwa ishara ya tatizo la kiafya.

✔ Upungufu wa damu (Anemia) – Mwili hukosa oksijeni ya kutosha hivyo huhisi dhaifu.
✔ Kukosa usingizi wa kutosha – Mwili na ubongo haupati muda wa kupumzika na kujijenga upya.
✔ Msongo wa mawazo (Stress) – Huchosha akili na kusababisha mwili kukosa nguvu.
✔ Lishe duni – Kukosa vyakula vyenye protini, madini ya chuma na vitamini husababisha uchovu.
✔ Upungufu wa maji mwilini – Maji ni muhimu kwa mzunguko mzuri wa damu na nguvu.
✔ Kutofanya mazoezi – Mwili usiozoea mazoezi huchoka haraka hata kwa kazi ndogo.
✔ Magonjwa ya muda mrefu – K**a kisukari, shinikizo la damu au matatizo ya tezi.

🟢 Nini cha kufanya?
• Lala masaa 6–8 kwa siku
• Kula mlo kamili na matunda
• Kunywa maji ya kutosha
• Punguza msongo wa mawazo
• Fanya uchunguzi hospitali k**a uchovu unaendelea

⚠️ Uchovu wa muda mrefu si wa kupuuza. Sikiliza mwili wako mapema.
Afya ni mtaji – jitunze kila siku 💚

16/02/2026

TANGAWIZI PORI IMETENGENEZWA KWA MITI NA MIZIZI PEKEE HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI.

Mwanamke mchukulie mumeo bidhaa hii mwenye changamoto ya nguvu upate moja bure, itakupa hamu kila wakati na kuweka hormone zako sawa.

📍MWANZA
Weka order👇
☎️0744 - 976033

UTAPATA DAWA YA KUSAFISHA TUMBO AMBAYO INAPUNGUZA UZITO, INATOA SUMU NA MAFUTA MWILINI. KUSUDI UTAKAPOANZA KUTUMIA TANGAWIZI PORI IFANYE KAZI VIZURI ZAIDI.👂

popote ulipo Tanzania, tunakutumia dawa yako kwa haraka na kwa uaminifu.”📦🇹🇿

Vallentine Feb 14 .........................👩‍❤️‍👨TANGAWIZI PORI IMETENGENEZWA KWA MITI NA MIZIZI PEKEE HAINA MADHARA KWA...
13/02/2026

Vallentine Feb 14 .........................👩‍❤️‍👨
TANGAWIZI PORI IMETENGENEZWA KWA MITI NA MIZIZI PEKEE HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI.

Mwanamke mchukulie mumeo bidhaa hii mwenye changamoto ya nguvu upate moja bure, itakupa hamu kila wakati na kuweka hormone zako sawa.

📍MWANZA - KISESA
☎️0744 - 976033
gusa hapo palipoandikwa whatsap uweke order chap kabla tangazo halijaisha.

UTAPATA DAWA YA KUSAFISHA TUMBO AMBAYO INAPUNGUZA UZITO, INATOA SUMU NA MAFUTA MWILINI. KUSUDI UTAKAPOANZA KUTUMIA TANGAWIZI PORI IFANYE KAZI VIZURI ZAIDI.👂

popote ulipo Tanzania, tunakutumia dawa yako kwa haraka na kwa uaminifu.”📦🇹🇿

11/02/2026

JUICE YA TENDE NA MAZIWA
Ni kinywaji cha asili chenye virutubisho vingi kinachosaidia kuimarisha afya ya mwanaume kwa ujumla, hasa nguvu za mwili na uwezo wa uzazi.

✅ Inafanya kazi vipi mwilini?
-Huongeza nguvu za mwili , Tende zina sukari ya asili (glucose na fructose) inayoongeza nguvu haraka.
Maziwa yana protini na mafuta mazuri yanayojenga mwili na kuupa stamina.

-Huongeza nguvu za kiume,Tende zina madini k**a zinc na magnesium yanayosaidia afya ya uzazi wa mwanaume.

-Husaidia kuongeza hamu ya tendo la ndoa na kuimarisha uwezo wa kusimama (performance).

-Huboresha ubora wa mbegu za kiume Virutubisho vilivyopo huchangia kuongeza wingi na ubora wa mbegu za kiume.

-Husaidia wanaume wanaopanga kupata mtoto, huongeza damu mwilini.

-Tende zina chuma (iron) kinachosaidia kuongeza damu na kupunguza uchovu, huimarisha mifupa na misuli.

-Maziwa yana calcium na protini kwa ajili ya mifupa imara na misuli yenye nguvu.

🕒 JINSI YA KUTENGEZA
Changanya tende 5–7 (zilizolowekwa) na glasi 1 ya maziwa safi.
Saga/blend mpaka iwe laini.
Kunywa asubuhi au saa 1 kabla ya kulala.
Tumia mara 3–4 kwa wiki.

⚠️ Tahadhari
Usitumie kupita kiasi k**a una kisukari (ina sukari ya asili).
Tumia kwa kiasi, si lazima kila siku kupita kiasi.

07/02/2026

Dawa ya kutoa mafuta na sumu mwilini
👉 Mwili wa binadamu hukusanya sumu na mafuta yasiyohitajika (toxins) kupitia chakula, vinywaji, dawa na mazingira. Mkusanyiko huu unaweza kusababisha:

-Muwasho wa ngozi
-Jasho lenye harufu
-Kuongezeka kwa kitambi
-Uzito wa mwili
-Uchovu wa mara kwa mara

FAIDA ZA DAWA YA KUSAFISHA TUMBO:
✔️ Huondoa sumu mwilini
✔️ Hutoa mafuta yasiyohitajika tumboni
✔️ Hupunguza kitambi taratibu
✔️ Hufanya mwili kuwa mwepesi na wenye nguvu
✔️ Husaidia dawa nyingine kufanya kazi vizuri zaidi
✔️ Huongeza msukumo wa umbo la tumbo
✔️ Huifanya ngozi kuwa nyororo na yenye mwangaza
📌Inafaa kwa wanawake na wanaume

💰 Bei: 10,000/= tu

📞 Wasiliana nasi: 0744 976 033
📍 Tunapatikana Mwanza
Inafaa kwa wanawake na wanaume
Popote ulipo tunakutumia kwa gharama za mteja

TANGAWIZI PORI IMETENGENEZWA KWA MITI NA MIZIZI PEKEE HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI.Unashindwa kurudia tendo, dk 1 ushamwag...
02/02/2026

TANGAWIZI PORI IMETENGENEZWA KWA MITI NA MIZIZI PEKEE HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI.
Unashindwa kurudia tendo, dk 1 ushamwaga, unachoka mapema
Piga sasa upate huduma......................

📍TUNAPATIKANA MWANZA ☎️0744 - 976033

📌UTAPATA BURE DAWA YA KUSAFISHA TUMBO AMBAYO INAPUNGUZA UZITO, INATOA SUMU NA MAFUTA MWILINI. KUSUDI UTAKAPOANZA KUTUMIA TANGAWIZI PORI IWEZE KUFANYA KAZI VIZURI.📌

popote ulipo Tanzania, tunatuma bidhaa hii haraka na kwa uaminifu

Dar,Dodoma,Moshi,Iringa,Singida weka order sasa kabla Tangazo kuisha.

☎️👆0744 976 033

Dawa ya kutoa mafuta na sumu mwilini👉 Mwili wa binadamu hukusanya sumu na mafuta yasiyohitajika (toxins) kupitia chakula...
24/01/2026

Dawa ya kutoa mafuta na sumu mwilini
👉 Mwili wa binadamu hukusanya sumu na mafuta yasiyohitajika (toxins) kupitia chakula, vinywaji, dawa na mazingira. Mkusanyiko huu unaweza kusababisha:

-Muwasho wa ngozi
-Jasho lenye harufu
-Kuongezeka kwa kitambi
-Uzito wa mwili
-Uchovu wa mara kwa mara

FAIDA ZA DAWA YA KUSAFISHA TUMBO:
✔️ Huondoa sumu mwilini
✔️ Hutoa mafuta yasiyohitajika tumboni
✔️ Hupunguza kitambi taratibu
✔️ Hufanya mwili kuwa mwepesi na wenye nguvu
✔️ Husaidia dawa nyingine kufanya kazi vizuri zaidi
✔️ Huongeza msukumo wa umbo la tumbo
✔️ Huifanya ngozi kuwa nyororo na yenye mwangaza
📌Inafaa kwa wanawake na wanaume

💰 Bei: 10,000/= tu

📞 Wasiliana nasi: 0744 976 033
📍 Tunapatikana Mwanza
Inafaa kwa wanawake na wanaume
Popote ulipo tunakutumia kwa gharama za mteja

TANGAWIZI PORI IMETENGENEZWA KWA MITI NA MIZIZI PEKEE HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI.Piga sasa upate huduma....................
25/11/2025

TANGAWIZI PORI IMETENGENEZWA KWA MITI NA MIZIZI PEKEE HAINA MADHARA KWA MTUMIAJI.
Piga sasa upate huduma......................

📍MWANZA - KISESA ☎️0744 - 976033
gusa hapo palipoandikwa whatsap uweke order chap kwa haraka

📌UTAPATA BURE DAWA YA KUSAFISHA TUMBO AMBAYO INAPUNGUZA UZITO, INATOA SUMU NA MAFUTA MWILINI. KUSUDI UTAKAPOANZA KUTUMIA TANGAWIZI PORI IWEZE KUFANYA KAZI VIZURI.📌

popote ulipo Tanzania, tunakutumia dawa yako kwa haraka na kwa uaminifu.”📦🇹🇿

#

Address

Mwanza

Opening Hours

Monday 08:00 - 18:00
Tuesday 09:00 - 17:00
Wednesday 09:00 - 17:00

Telephone

+255694040527

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tangawizi Pori posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram