06/04/2026
MTI WENYE MATUNDA LAKINI SHINA LIMEOZA... (Siri ya Baba Juma) 🌱
Siku moja, mzee mmoja mwenye busara alikuwa amekaa chini ya mti wa mwembe uliokuwa umenyauka majani. Akapita kijana mmoja aliyeonekana mwenye mawazo mengi, uso wake ukiwa umekata tamaa.
Mzee akamuuliza, "Kijana, mbona unaonekana umebeba gunia la misumari moyoni?"
Kijana akashusha pumzi ndefu na kusema, "Mzee, nina mke mzuri nyumbani, lakini nimeanza kuwa mnyonge. Sina nguvu, sina hamu, na kila nikijaribu, mwili unakataa kabisa. Nimeanza kuogopa hata kurudi nyumbani mapema.
Mzee akacheka kidogo, kisha akauonyesha ule mwembe na kusema: "Tazama huu mti. Watu wengi wanajaribu kuupaka rangi majani ili yaonekane ya kijani, lakini bado unanyauka. Unajua kwanini? Kwa sababu tatizo halipo kwenye majani, tatizo lipo kwenye SHINA na MIZIZI iliyoziba kwa uchafu.
Mzee akaendelea: "Mwili wa mwanaume ni k**a mti. Huwezi kupata matunda (nguvu) k**a shina (mfumo wa damu) limejaa sumu na mishipa imeziba. Lazima usafishe ndani kwanza (Detox) ili damu itiririke vizuri kuanzia kichwani hadi kule kwenye 'shina' lenyewe.
Kijana akauliza, "Sasa mzee, nitapata wapi kitu cha kusafisha hiyo mizizi yangu?
Mzee akamkabidhi chupa ndogo ya Tangawizi Pori na kumwambia: "Hii siyo 'booster' ya muda mfupi. Hii ni TIBA ya asili. Inasafisha sumu zote, inafungua mishipa ya damu, na kurudisha stamina yako ya asili k**a ulivyokuwa kijana mdogo.
Baada ya wiki mbili, yule kijana alirudi akiwa na tabasamu pana. Hakuwa na mawazo tena, na heshima yake nyumbani ilikuwa imerudi mara dufu!
JE, NA WEWE SHINA LAKO LIMEZIBA? 🧐
Usiangaike na vitu vya nusu saa vinavyoumiza moyo. Rudi kwenye asili upate suluhisho la kudumu.
K**A UNAHITAJI KUREJESHA HESHIMA YAKO LEO:
👇 Andika neno "NAHITAJI" kwenye comment hapo chini, kisha nitakufuata inbox kukupa mwongozo kamili wa jinsi ya kuipata.
Wahi sasa, nafasi za ushauri wa bure ni chache kwa siku ya leo!