13/09/2025
NGUVU ZA KIUME.
Upungufu wa nguvu za kiume (Erectile dysfunction /impotence),
Ni ukosefu wa uwezo wa kufanya na kuhimili kikamilifu tendo la ndoa,
Hali hii hupelekea mwanaume kudumu kwa muda mfupi sana au chini ya dakika moja kwenye kkufanya mapenzi na kujikuta anamwaga shahawa mapema sana, baada ya kumwaga shahawa hizo kuna muda uume hushindwa kusimama tena, Kukosa uwezo wa kusimamisha uume mara kwa mara si jambo la kufurahisha.
Kuendelea kwa tatizo hili, linaweza kusababisha Msongo wa mawazo, kukosa ladha ya kufanya mapenzi kwa mwanaume na mwanamke. Matokeo ya kushindwa kujiamini wewe mwenyewe ambayo inaweza kuepelekea kuwa na hasira na kisirani, na kupelekea migogoro kwenye mahusiano.
Uume kushindwa kusimama inaweza kuwa ni dalili ya tatizo la kiafya linalohitaji matibabu, mojawapo ya matatizo hayo inaweza kuwa ni sababu ya ugonjwa wa moyo, kisukari, madonda ya tumbo n.k
Endapo umeona tatizo la kushindwa kusimamisha uume, muone daktari hata k**a limekuvuruga, wakati mwingine kuongea nae inatosha kukurudisha hali ya uwezo wa kusimamisha.
Kwa upande mwingine dawa au maelekezo mengine ya kitaalamu yanaweza kuhusika katika kutatua changamoto hiyo.
Kumekuwepo na wimbi kubwa la watoa dawa au matumizi holela ya dawa za kuongeza nguvu za kiume, wengi hutumia dawa hizo pasipokujua wala kuchunguza nini chanzo kilichopelekea tatizo hilo.
Epuka matumizi holela ya dawa za kuongeza nguvu za kiume bila kujua chanzo cha tatizo hilo, badala ya kutibu tatizo unaweza kujikuta unaongeza tatizo na kuleta madhara mengine mabaya ya kiafya.
Viashiria na Dalili (Signs and Symptoms)
Dalili za upungufu wa nguvu za kiume zinaweza kuwa ni pamoja na;
Kushindwa kusimamisha uume (Trouble getting an er****on),
Uume kushindwa kuendelea kusimama (Trouble keeping an er****on),
Kukosa hamu ya mapenzi (Reduced sexual desire).
Muone daktari
Kumuona daktari ni jambo la msingi sana kuanza nalo unapokuwa na tatizo la kushindwa kusimamisha. Muone daktari k**a ;
Uume unasinya na kushindwa kusimama tena, Unawahi kumwaga shahawa au unachelewa sana kumwaga.
Una kisukari, ugonjwa wa moyo au magonjwa mengine yanayoweza kupelekea uume kushindwa kusimama.
Endapo una dalili ya muda mrefu ya uume kushindwa kusimama.
Vyakula vya kuongeza hamu ya Mapenzi
Tafiti zinaonesha kuwa kuna uhusiano mkubwa kati ya vyakula tunavyokula na afya ya viungo vya uzazi.
Baadhi ya vyakula na virutubishi vimehusishwa na hamu ya kufanya mapenzi (nyege).
Virutubishi ndani ya chakula ambavyo vinasaidia hali hiyo ni antioxidants, vitamin C, vitamin E, potassium na zinc.
GKirutubishi cha zinc ambacho hupatikana ndani ya vitunguu swaumu, mbegu za maboga, ufuta na mbegu za matikitimaji, Tikitimaji lina phytonutrient citrulline ambayo hugeuzwa kuwa arginine.
Arginine ni amino acid ambayo hufanya mishipa ya damu kuwa kwenye hali ya ubora wake na kusadia damu kupita vizuri zaidi.
Tikitimaji kwa hiyo husaidia damu ifike kwa kiwango kizuri zaidi kwenye sehemu ambazo hutakiwa kutanuka wakati mtu akipata hisia za kufanya tendo la ndoa ambazo ni viungo vya ndani ya kisimi cha mwanamke na ndani ya uume wa mwanaume, kinaongeza mbegu kwa mwanaume (s***m count) hivyo humsaidia kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa.
Chakula cho chote chenye virutubishi hivi kikiliwa, humfanya mlaji asikie hamu ya kufanya mapenzi au kwa maneno ya mtaani, chakula hiki kinasaidia kuongeza nyege, Strawberries– matunda haya yana antioxidants kwa kusaidia afya ya moyo na mishipa ya damu (arteri) na vitamin C ambayo huongeza kiwango cha mbegu kwa mwanaume.
Parachichi kuna vitamini E ambayo ni antioxidant.
Ndani ya tunda hili kuna potassium na vitamini B6 ambavyo huboresha afya ya moyo na kusaidia mzunguko wa damu kuwa mzuri hivyo kusaidia damu kufika vizuri maneo ya via vya uzazi na kuchochea hamasa ya kufanya mapenzi.
Kingine katika kundi hili ni broccoli, karafuu, majani ya mlonge, mdalasini, mayai na tangawizi. Viazi vitamu, vina potassium ambayo husaidia kuondoa tatizo la presha ya juu (high-blood pressure)
Ufumbuzi wa Tatizo hili.
Itaendelea.......
MUHIMU;
TUNAFANYA KAZI KUPITIA ONLINE, HIVYO UAMINIFU NI KIPAUMBELE CHETU KIKUBWA, HATUNA MAWAKALA POPOTE, ILA TUNATUMA POPOTE KWA UHAKIKA NA UAMINIFU MKUBWA.
Wasiliana nasi kwa namba 0769247626.