27/04/2026
•"Mazoezi kwa vitendo ni msingi imara wa kuandaa wataalamu Bora wa Afya Nchini Tanzania."Karibu usome kozi zifuatazo:-
1. FAMASI (PHARMACEUTICAL SCIENCES) 💊
•VIGEZO: Wahitimu wa kidato cha 4 wenye ufaulu wa angalau alama D katika masomo ya Chemistry na Biology.
2. UTABIBU (CLINICAL MEDICINE) 💉
•VIGEZO: Wahitimu wa kidato cha 4 wenye ufaulu wa angalau alama D katika masomo ya Chemistry, Biology na Physics.
3. MIONZI (DIAGNOSTIC RADIOGRAPHY)
•VIGEZO: Wahitimu wa kidato cha 4 wenye ufaulu wa angalau alama D katika masomo ya Chemistry, Biology, Physics, Basic Mathematics na English Language. KOZI HII INA MKOPO WA 100% kutoka Bodi ya Mikopo.🚨
4. USTAWI WA JAMII (SOCIAL WORK)
•VIGEZO: Wahitimu wa kidato cha 4 wenye ufaulu wa angalau alama D katika masomo yasiyokuwa ya Dini.
-
• Ada zetu ni nafuu na unalipa kwa Awamu Nane (8). Aidha, huduma ya chakula inapatikana Chuoni kwetu kwa gharama nafuu kabisa.
-
•Chuo kimesajiliwa na NACTVET kwa Namba ya Usajili HAS/151 na kinatambuliwa na Wizara ya Afya . Chuo kinapatikana Manispaa ya Ilemela, Jijini Mwanza.