Tiba asilia na Dr Victoria

Tiba asilia na Dr Victoria SULUHISHO LA MAGONJWA MBALI MBALI KUPITIA TIBA ASILIA

*Uhusiano wa vyakula wanavyokula wanawake wengi na Vivimbe kwenye kizazi upoje?*πŸ•πŸ”πŸŒ­πŸ₯žπŸ³Vyakula vya kukaanga vyenye mafuta ...
11/04/2025

*Uhusiano wa vyakula wanavyokula wanawake wengi na Vivimbe kwenye kizazi upoje?*πŸ•πŸ”πŸŒ­πŸ₯žπŸ³

Vyakula vya kukaanga vyenye mafuta mengi ni chanzo kikubwa sana pia cha Vivimbe kwenye kizazi (fibroids). Juck food. Mfano: Clips, chips yai, na vitu vyote vyakukaangizwa ndani ya mafuta Kwa muda mrefu.

Mara nyingi vyakula hivi pamoja na mafuta, huzalisha mafuta machafu mwilini yanayoitwa Cholesterol, Na hii cholesterol ndiyo chanzo Cha malighafi ya Steroids ya kutengeneza Homoni mbalimbali mwilini ikiwemo Estrojeni. Matokeo yake ni kwamba mwanamke atanenepa bila kutarajia na kiwango kikizidi cha hii homoni tayari shida ya Uzazi inaanzia hapo hapo ikiwemo fibroids.

*Angalizo:* Uvimbe au vivimbe vinavyojitokeza ndani ya mji wa mimba sio kansa, ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrojeni ambayo ni kichochezi cha Uzazi (homoni) ya k**e na ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini kupata aina hii ya vivimbe. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

*By Dr Victoria 065498254*

*VIVIMBE MAJI KWENYE OVARI (PCOS).* ```Na DR VICTORIA 0654498254```πŸ”΅ Vivimbe maji (Polycystic Ovarian syndrome (PCOS). H...
11/04/2025

*VIVIMBE MAJI KWENYE OVARI (PCOS).* ```Na DR VICTORIA 0654498254```

πŸ”΅ Vivimbe maji (Polycystic Ovarian syndrome (PCOS). Hili ni tatizo la homoni ambalo hutokea wakati wa miaka ya uzazi Kwa mwanamke. Ikiwa una Vivimbe maji (PCOS), huenda usiwe na hedhi mara nyingi sana yenye mpangilio mzuri, au unaweza kuwa na hedhi ambayo huchukua siku nyingi kuliko kawaida. Mfano: Badala ya mzunguko wa siku 28, unaenda hadi siku 34. Unaweza pia kuwa na homoni nyingi zinazoitwa androgen za kiume katika mwili wako.

*Swali muhimu: Je, Nini husababisha kutokea Kwa Vivimbe maji kwenye ovari?*

πŸ”΅ Vivimbe maji hutokea baada ya homoni ya k**e aina ya Estrojeni inayozalishwa na seli za Kuta za Ovari (Follicles) kuwa ipo chini sana kwenye damu, hali hii hupelekea Viini vya mayai kwenye Ovari kushindwa kupevuka na kukomaa kwa wakati. Hali hii inaweza kujitokeza upande wa kulia au kushoto kutegemeana na mzunguko wa Ovari ipi inahusika kutoa yai kipindi hicho.

πŸ”΅ Viini vya mayai vilivyojaa majimaji na kushindwa kupasuka na kutawanyika, kisha kubakia vile vile vikiwa vimejaa maji ndani ya Ovari ndiyo hubadilika na kuitwa vivimbe maji. Viini hivi kwa Lugha ya kitaalam hitwa cysts.

Vivimbe vidogo vilivyojaa maji huwa na mayai ambayo hayajakomaa ndani yake, na hali hii ndiyo husababisha maumivu makali sana mwanamke anapokaribia kuingia Hedhi hasa kuanzia siku mbili kabla ya Hedhi yenyewe kuanza kutoka.

TIBA YA UVIMBE BILA UPASUAJI KUPITIA *FIBROID SOLUTIONS* πŸ“² 0654498254

23/05/2024
πŸ€°πŸ‘©πŸ»β€πŸΌWatoto Ni Baraka........ Mungu akaguse tumbo lako na wewe Upate Kuitwa Mama........ Tumewasaidia weng Waliotuamini ...
29/04/2024

πŸ€°πŸ‘©πŸ»β€πŸΌWatoto Ni Baraka........ Mungu akaguse tumbo lako na wewe Upate Kuitwa Mama........ Tumewasaidia weng Waliotuamini tumewahudumia wamepona na wengine wananyonyesha mapachaπŸ‘©πŸ»β€πŸΌπŸ§‘β€πŸΌπŸ§‘β€πŸΌ

*VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA NI;*

πŸͺ„1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance).

πŸͺ„2.Ovaries kushindwa kutoa mayai.

πŸͺ„3.Kuziba kwa mirija ya uzazi.

πŸͺ„4.Mirija ya uzazi kujaa maji.

πŸͺ„5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid).

πŸͺ„6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk.

πŸͺ„7.Kuwa na msongo wa mawazo.

πŸͺ„8.Utoaji wa mimba (Abortion).

πŸͺ„9.kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight).

πŸͺ„10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.

πŸͺ„11.Matumizi ya madawa.

πŸͺ„12.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.

*JE BADO UNAHANGAIKA KUPATA MTOTO? USIJALI, TUMEWASAIDIA WENGI.......NA WEWE UNAWEZA KUITWA MAMA.*

Wasiliana nasi kupitia Whatsapp/sms/Call
πŸ“±0654498254

*victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

Address

Mwanza
33314

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asilia na Dr Victoria posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share