
17/07/2025
K**a mwanamke alievunja ungo tayari, ni haki yako kupata hedhi kila mwezi k**a;
‼️Sio mjamzito 🤰🏻
‼️Hunyonyeshi 👩🍼
‼️Hujafikia ukomo wa hedhi🩸
Vinginevyo k**a huna sababu hizo, inatakiwa utambue kwamba hiyo ni shida ya mvurugiko wa homoni
Hivi ni baadhi ya sababu za mvurugiko wa homoni kutokea;
✔️Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
✔️Matumizi ya vidonge vya dharura vya kuzuia mimba maarufu k**a P2 kiholela
✔️Lishe duni
✔️Uzito mdogo au uzito kupita kiasi
✔️Magonjwa yanayokulazimu kutumia dawa zenye kemikali kwa mda mrefu
✔️Mzunguko mbovu wa damu na kushindwa kwa vichocheo (homoni) mwilini
Mbali na kukosa baadhi ya vipindi vyako vya hedhi, dalili zingine za mvurugiko wa homoni ni;
👉Uke mkavu wakati wa tendo la ndoa
👉Kupoteza hisia za kushiriki tendo la ndoa
👉Kutohisi radha yoyote ya tendo la ndoa unaishia kufanya mradi tu kumridhisha mwanaume wako huku ukiugulia maumivu makali
👉Mzunguko wa hedhi kutoeleweka
👉Kuhisi maziwa kujaa na wakati mwingine kutoa maziwa wakati si mjamzito wala hunyonyeshi
👉Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉Kutokwa na hedhi kidogo k**a matone au nyingi kwa mda mrefu kiasi cha kusababisha kizunguzungu, maumivu ya kichwa
👉Kupata hedhi mara 2 ndani ya mzunguko wako mmoja au kukosa kabisa baadhi ya vipindi vyako vya hedhi
👉Kujawa na hofu na wasiwasi
K**a umefika hospitali kwa hayo na ukapewa dawa lakini hazijakusaidia chochote, Tunayo Dawa maalum *(Female plus)* kwa ajili ya changamoto zote za uzazi kwa mwanamke garama yake ni 180,000/= Tsh Kwa Dozi,nusu dozi pia ipo 90,000
K**a una changamoto hizo, usisite kuwasiliana na *DR VICTORIA* msaada zaidi
Mawasiliano ni 0654498254
*Victoria healthcare*🌿
Suluhisho la Afya yako