Tiba asilia na Dr Victoria

Tiba asilia na Dr Victoria SULUHISHO LA MAGONJWA MBALI MBALI KUPITIA TIBA ASILIA

K**a mwanamke alievunja ungo tayari,  ni haki yako kupata hedhi kila mwezi k**a;‼️Sio mjamzito 🤰🏻‼️Hunyonyeshi 👩‍🍼‼️Huja...
17/07/2025

K**a mwanamke alievunja ungo tayari, ni haki yako kupata hedhi kila mwezi k**a;
‼️Sio mjamzito 🤰🏻
‼️Hunyonyeshi 👩‍🍼
‼️Hujafikia ukomo wa hedhi🩸

Vinginevyo k**a huna sababu hizo, inatakiwa utambue kwamba hiyo ni shida ya mvurugiko wa homoni

Hivi ni baadhi ya sababu za mvurugiko wa homoni kutokea;
✔️Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
✔️Matumizi ya vidonge vya dharura vya kuzuia mimba maarufu k**a P2 kiholela

✔️Lishe duni
✔️Uzito mdogo au uzito kupita kiasi
✔️Magonjwa yanayokulazimu kutumia dawa zenye kemikali kwa mda mrefu

✔️Mzunguko mbovu wa damu na kushindwa kwa vichocheo (homoni) mwilini

Mbali na kukosa baadhi ya vipindi vyako vya hedhi, dalili zingine za mvurugiko wa homoni ni;
👉Uke mkavu wakati wa tendo la ndoa
👉Kupoteza hisia za kushiriki tendo la ndoa

👉Kutohisi radha yoyote ya tendo la ndoa unaishia kufanya mradi tu kumridhisha mwanaume wako huku ukiugulia maumivu makali

👉Mzunguko wa hedhi kutoeleweka
👉Kuhisi maziwa kujaa na wakati mwingine kutoa maziwa wakati si mjamzito wala hunyonyeshi

👉Maumivu makali chini ya kitovu wakati wa hedhi
👉Kutokwa na hedhi kidogo k**a matone au nyingi kwa mda mrefu kiasi cha kusababisha kizunguzungu, maumivu ya kichwa

👉Kupata hedhi mara 2 ndani ya mzunguko wako mmoja au kukosa kabisa baadhi ya vipindi vyako vya hedhi
👉Kujawa na hofu na wasiwasi

K**a umefika hospitali kwa hayo na ukapewa dawa lakini hazijakusaidia chochote, Tunayo Dawa maalum *(Female plus)* kwa ajili ya changamoto zote za uzazi kwa mwanamke garama yake ni 180,000/= Tsh Kwa Dozi,nusu dozi pia ipo 90,000

K**a una changamoto hizo, usisite kuwasiliana na *DR VICTORIA* msaada zaidi

Mawasiliano ni 0654498254

*Victoria healthcare*🌿
Suluhisho la Afya yako

Ujue Mzunguko wako pia siku zako za hatari. Siku za hatari ni muhimu Sana kwa ajili ya kutafuta Mtoto 🫄💃K**a Mzunguko wa...
17/07/2025

Ujue Mzunguko wako pia siku zako za hatari. Siku za hatari ni muhimu Sana kwa ajili ya kutafuta Mtoto 🫄💃

K**a Mzunguko wako haueleweki ,tarehe zina badilika badilika Nijulishe sasa 📲 0654498254

*Victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

*DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS):*1.?️Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.2.?️Maumivu makali wa...
17/07/2025

*DALILI ZA MWANAMKE MWENYE UVIMBE KWENYE KIZAZI (FIBROIDS):*

1.?️Kupata damu nyingi wakati wa hedhi.

2.?️Maumivu makali wakati wa siku za hedhi.

3.?️Kuvimba miguu.

4.?Unaweza kuhisi una ujauzito.

5.?️Maumivu wakati wa tendo la ndoa.

6.?️Kuhisi kuvimbiwa.

7.?️Kupata haja ndogo kwa taabu.

8.?️Kutokwa na uchafu ukeni.

9.?️ Kupata choo kigumu au kufunga choo.

10.?️ Maumivu nyuma ya mgongo.

?️Maumivu katika miguu ikiwa ni pamoja na miguu kuwaka moto.

12.?️ Upungufu wa damu.

13.?️ Maumivu ya kichwa.

14.?️ Uzazi wa shida.

15.?️ Kutopata ujauzito.

16.?️ Kuvimba sehemu ya chini ya tumbo.

17.?️ Maumivu ya nyonga.

18.?️ Mimba kutoka mara kwa mara (miscarriage).

19.?️ Kukojoa mara kwa mara kwan uvimbe huweka mgandamizo katika kibofu cha mkojo

20.?️ Hedhi zisizokuwa na mpangilio

*UNGANA NASI KUPATA TIBA YA UVIMBE BILA UPASUAJI PIGA 0654498254*👇

*Victoria healthcare*🌿
Suluhisho la Afya yako

*K**A UNATAFUTA UJAUZITO* 🫄🤰🏻Fanya hivi baada ya kutoka hedhi🩸   Chukua karafuu na uzitwange ili kupata unga wakeUtachuk...
14/07/2025

*K**A UNATAFUTA UJAUZITO* 🫄🤰🏻

Fanya hivi baada ya kutoka hedhi🩸
Chukua karafuu na uzitwange ili kupata unga wake

Utachukua unga wa karafuu kijiko kimoja cha chai, utatia kwenye kikombe cha maji ya moto au kwenye kikombe cha chai ya moto na kukoroga

Utakunywa kinywaji hiki asubuhi na usiku mpaka utapofika siku za hatari... Utashiriki kisha utaskilizia mwezi ujao k**a imenasa

Karafuu ina viambata muhimu vyenye kukusaidia kupevusha mayai siku za uzazi

Usisahau kuzingatia mlo wako, ikumbuke kachumbari, parachichi, bamia na mboga za majani
Usisahau pia kutumia iliki, mdalasini, tangawizi, mchaichai, manjano, pilipili manga, kotimiri n.k kwenye mapishi yako

K**a kuna changamoto ya uzazi na hujafahamu uitatue vipi na ungependa kupata msaada, tuandikie changamoto yako sasa kupitia 0654498254 au piga simu moja Kwa moja

K**a unaona mambo ya uzazi hayapo vizuri, Nitafute na utumie *Female plus*

Ni dawa lishe ambayo imeandaliwa kwa mchanganyiko wa dawa asili za uzazi ambayo

- Inasafisha via vya uzazi.... inasafisha mirija ya uzazi na fuko la uzazi na kuondoa majimaji au uchafu na fangasi kwenye kizazi

-Inaondoa makovu na vivimbe kwenye fuko la uzazi, mirija na kwenye vifuko vya mayai (fibroids, scars and ovarian cyst)

- Kwa kuwa imechanganywa na mrehani ndani yake, dawa hii inawasaidia wanawake kuondoa changamoto ya mvurugiko wa homoni wa wale wasiopata hisia za kufanya mapenzi, tatizo la uke mkavu, period kupishana, maziwa kujaa/kuuma damu ya hedhi kutoka mabonge, utelezi, mayai kutokupevuka n.k....

Dozi hii unaitumia kwa siku 30

Tupo Mwanza,...mikoa mingine tunatuma Kwa uaminifu mkubwa

Kwa mawasiliano zaidi
PIGA SIMU 0654498254

N.B

Dawa za wanaume wenye changamoto za uzazi MEN FERTILITY pia ipo

Kawaida Kila mwezi mwanamke ambae alishavunja ungo anatakiwa kuingia period. Wengine miezi inapitiliza bila kuona hedhi ...
14/07/2025

Kawaida Kila mwezi mwanamke ambae alishavunja ungo anatakiwa kuingia period. Wengine miezi inapitiliza bila kuona hedhi na wanadhani ni jambo la kawaida, HAPANA HILO NI TATIZO
Nipigie nikusaidie 0654498254

*CHANGO LA UZAZI* na ```DR VICTORIA 0654498254```Chango la uzazi ni maumivu ya nyonga, kiuno, mgongo, chini ya kitovu, w...
12/06/2025

*CHANGO LA UZAZI*
na ```DR VICTORIA 0654498254```

Chango la uzazi ni maumivu ya nyonga, kiuno, mgongo, chini ya kitovu, wengine hutokea mguu mmoja na baada ya mda linahamia mguu mwingine, na wengine kwenye makalio.

Yaweza kuwa kabla ya period, wakati wa period au hata baada ya period.

Wengine hucheza tumboni k**a mtoto. Hali hii huzuia mimba na ikitokea umebeba mimba halijapona vizuri mimba huharibika ndani ya miezi mitatu ya awali.🥲💁‍♀️😪

Wenye changamoto ya P.I.D (uchafu ukeni), fangasi (maji maji au miwasho ukeni), UTI ya kujirudia rudia hukabiliwa na chango la uzazi mara kwa mara kitendo kinachopelekea maumivu makali kabla na wakati wa hedhi.

NYONGEZA: Chango la uzazi halina kipimo hospitali bali tunalibaini kutokana na dalili zake.

Wakati mwingine chango la uzazi hufanana dalili na uvimbe kwenye kizazi hivo kubaini kuwa ni chango na siyo uvimbe unashauriwa kupima kipimo cha tumbo yaani Ultrasound.

K**A HUYU NI WEWE WASILIANA NAMI UPATE MATIBABU HARAKA 📲 0654498254

Tangawizi inajulikana kwa faida zake nyingi kiafya, k**a vile kupunguza kichefuchefu, kuondoa maumivu na kuboresha mmeng...
07/06/2025

Tangawizi inajulikana kwa faida zake nyingi kiafya, k**a vile kupunguza kichefuchefu, kuondoa maumivu na kuboresha mmeng’enyo wa chakula.

Sambamba na hilo tangawizi imekuwa na faida nyingi katika afya ya uzazi wa mwanamke kuanzia kujitibu changamoto zinazozuia asibebe ujauzito, baadhi ya changamoto zinazojitokeza baada ya kubeba ujauzito na hata baada ya kujifungua.🤰🤱

Faida zake katika afya ya uzazi wa mwanamke:👇

1. Hutibu harufu mbaya ukeni, UTI na fangasi.
2. Huondoa sumu ya uzazi wa mpango mwilini.
3. Hutibu chango la uzazi yaani maumivu kabla au wakati wa hedhi.
4. Hutibu mvurugiko wa homoni.
5. Hutibu uvimbe kwenye mayai yaani ovarian cyst.
6. Huondoa magonjwa ya kuumwaumwa mara kwa mara kwa WAJAWAZITO, homa za asubuhi, kuondoa kichefuchefu na kumaliza changamoto ya kuharisha. Hapa tumia kwa kutafuna kipande cha tangawizi mbichi huleta matokeo ya haraka.
7. Huzibua mirija ya uzazi iliyoziba au kujaa uchafu.

FANYA HIVI:👇

1. Tengeneza chai ya tangawizi mbichi kikombe chemsha kwa kuikwangulia ichemkie kisha chuja ongeza asali kijiko kimoja na limao au ndimu kamulia. Kunywa asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo. Hii nzuri zaidi kwa mwenye chango la uzazi lililombana ghafla, tumbo limeuma ghafla, kiuno kimekaza ghafla, kifua kimebana ghafla, maziwa yameuma ghafla baada ya kuvua brazia nk.

2. Chai ya mchaichai + tangawizi kipande kimoja + mdalasini kijiko kimoja + karafuu kijiko kimoja + asali kijiko kimoja = chai ya viungo asubuhi kikombe kimoja na jioni kikombe kimoja kwa siku 30 mfululizo. Hii nzuri zaidi kwa wenye kutibu mvurugiko wa homoni, kuondoa sumu ya uzazi wa mpango, kutibu chango la uzazi na kuzibua mirija ya uzazi iliyoziba.

3. Chukua tangawizi kubwa moja na vitunguu swaumu punje 10 isage kwa pamoja kwa kutumia maji nusu lita kisha chuja yote. Hii nzuri zaidi kwa wanaotaka kurudisha period iliyokata, kutibu uvimbe na kuzibua mirija watumie hii. Kunywa glass moja asubuhi na glass moja jioni kila siku.

Tumia tangawizi mbichi✅ siyo ya unga.❌

*DR VICTORIA* 0654498254

*Uhusiano wa vyakula wanavyokula wanawake wengi na Vivimbe kwenye kizazi upoje?*🍕🍔🌭🥞🍳Vyakula vya kukaanga vyenye mafuta ...
11/04/2025

*Uhusiano wa vyakula wanavyokula wanawake wengi na Vivimbe kwenye kizazi upoje?*🍕🍔🌭🥞🍳

Vyakula vya kukaanga vyenye mafuta mengi ni chanzo kikubwa sana pia cha Vivimbe kwenye kizazi (fibroids). Juck food. Mfano: Clips, chips yai, na vitu vyote vyakukaangizwa ndani ya mafuta Kwa muda mrefu.

Mara nyingi vyakula hivi pamoja na mafuta, huzalisha mafuta machafu mwilini yanayoitwa Cholesterol, Na hii cholesterol ndiyo chanzo Cha malighafi ya Steroids ya kutengeneza Homoni mbalimbali mwilini ikiwemo Estrojeni. Matokeo yake ni kwamba mwanamke atanenepa bila kutarajia na kiwango kikizidi cha hii homoni tayari shida ya Uzazi inaanzia hapo hapo ikiwemo fibroids.

*Angalizo:* Uvimbe au vivimbe vinavyojitokeza ndani ya mji wa mimba sio kansa, ni uvimbe wa kawaida tu ambao unakua kwa kutegemea kichocheo cha estrojeni ambayo ni kichochezi cha Uzazi (homoni) ya k**e na ndio maana kuanzia kubalehe mpaka kukoma kwa hedhi ndio wako hatarini kupata aina hii ya vivimbe. Na mara nyingi uvimbe huu huwaga unaongezeka kukua sana hasa wakati wa ujauzito kwani vichocheo hivi huongezeka wakati huu kulinda makazi ya mtoto.
Ni watu waliofikia kikomo cha hedhi hawapati fibroids au kitaalam leomyoma.

*By Dr Victoria 065498254*

*VIVIMBE MAJI KWENYE OVARI (PCOS).* ```Na DR VICTORIA 0654498254```🔵 Vivimbe maji (Polycystic Ovarian syndrome (PCOS). H...
11/04/2025

*VIVIMBE MAJI KWENYE OVARI (PCOS).* ```Na DR VICTORIA 0654498254```

🔵 Vivimbe maji (Polycystic Ovarian syndrome (PCOS). Hili ni tatizo la homoni ambalo hutokea wakati wa miaka ya uzazi Kwa mwanamke. Ikiwa una Vivimbe maji (PCOS), huenda usiwe na hedhi mara nyingi sana yenye mpangilio mzuri, au unaweza kuwa na hedhi ambayo huchukua siku nyingi kuliko kawaida. Mfano: Badala ya mzunguko wa siku 28, unaenda hadi siku 34. Unaweza pia kuwa na homoni nyingi zinazoitwa androgen za kiume katika mwili wako.

*Swali muhimu: Je, Nini husababisha kutokea Kwa Vivimbe maji kwenye ovari?*

🔵 Vivimbe maji hutokea baada ya homoni ya k**e aina ya Estrojeni inayozalishwa na seli za Kuta za Ovari (Follicles) kuwa ipo chini sana kwenye damu, hali hii hupelekea Viini vya mayai kwenye Ovari kushindwa kupevuka na kukomaa kwa wakati. Hali hii inaweza kujitokeza upande wa kulia au kushoto kutegemeana na mzunguko wa Ovari ipi inahusika kutoa yai kipindi hicho.

🔵 Viini vya mayai vilivyojaa majimaji na kushindwa kupasuka na kutawanyika, kisha kubakia vile vile vikiwa vimejaa maji ndani ya Ovari ndiyo hubadilika na kuitwa vivimbe maji. Viini hivi kwa Lugha ya kitaalam hitwa cysts.

Vivimbe vidogo vilivyojaa maji huwa na mayai ambayo hayajakomaa ndani yake, na hali hii ndiyo husababisha maumivu makali sana mwanamke anapokaribia kuingia Hedhi hasa kuanzia siku mbili kabla ya Hedhi yenyewe kuanza kutoka.

TIBA YA UVIMBE BILA UPASUAJI KUPITIA *FIBROID SOLUTIONS* 📲 0654498254

23/05/2024
🤰👩🏻‍🍼Watoto Ni Baraka........ Mungu akaguse tumbo lako na wewe Upate Kuitwa Mama........ Tumewasaidia weng Waliotuamini ...
29/04/2024

🤰👩🏻‍🍼Watoto Ni Baraka........ Mungu akaguse tumbo lako na wewe Upate Kuitwa Mama........ Tumewasaidia weng Waliotuamini tumewahudumia wamepona na wengine wananyonyesha mapacha👩🏻‍🍼🧑‍🍼🧑‍🍼

*VITU VINAVYOSABABISHA MWANAMKE KUSHINDWA KUSHIKA MIMBA NI;*

🪄1.Kutokuwa na uwiano mzuri wa homoni (Hormonal Imbalance).

🪄2.Ovaries kushindwa kutoa mayai.

🪄3.Kuziba kwa mirija ya uzazi.

🪄4.Mirija ya uzazi kujaa maji.

🪄5.Uvimbe katika kizazi (uterine fibroid).

🪄6. Magonjwa k**a vile PID, kisonono kisukari nk.

🪄7.Kuwa na msongo wa mawazo.

🪄8.Utoaji wa mimba (Abortion).

🪄9.kuwa na uzito kupita kiasi (over-weight).

🪄10.Matumizi ya pombe, bangi, sigara, ulevi kupindukia.

🪄11.Matumizi ya madawa.

🪄12.Endometriosis:-Hii ni hali ambayo seli za ndani ya mfuko wa uzazi huanza kuota nje ya fuko hilo au hata sehemu nyingine.

*JE BADO UNAHANGAIKA KUPATA MTOTO? USIJALI, TUMEWASAIDIA WENGI.......NA WEWE UNAWEZA KUITWA MAMA.*

Wasiliana nasi kupitia Whatsapp/sms/Call
📱0654498254

*victoria healthcare* 🌿
Suluhisho la Afya yako

Address

Mwanza
33314

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Tiba asilia na Dr Victoria posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram