19/07/2024
*ZIJUWE SABABU ZINAZOPELEKEA MIMBA KUHARIBIKA ( MISCARRIAGE ) NA NAMNA YA KUJIEPUSHA NAZO"*
Miscarriage ni hali ya mama kupoteza ujauzito wake (kutoka) kabla ya wiki 20 kitaalamu Inaitwa Spontaneous abortion - Katika wanawake 10 wajawazito 2 kati yao wanaweza kupoteza ujauzito wao hivyo ndivyo tafiti nyingi zinavyoonyesha.
Wajawazito wengi mimba zao huaribika kipindi cha miezi 3 ya mwanzo
*SABABU ZINAZO PELEKEA MIMBA KUHARIBIKA*
➖Fetus au embroy anakuwa hana mfumo mzuri wa Ukuaji chromoses inakuwa haipo kwenye hali ya kawaida ni abdnomal hapo inaathiri mfumo mzima wa mimba na kupelekea kuharibika.
➖Magonjwa sugu-mama anapokuwa na magonjwa sugu k**a kisukari , Moyo au rheumatoid.
*➖Urinary Infection ( U.T.I )* Maambukizi Kwenye Njia ya Mkojo na Via Vya Uzazi K**a Vile Magonjwa ya Zinaa , K**a Kaswende n.k epuka Magongwa ya infections Yana Uwezo Mkubwa wa Kusababisha Mimba Kuharibika.
*➖Mapungufu kwenye uterus*
- Uterus ya mama inapokuwa na matatizo k**a uvimbe (fibroid) makovu au vidonda ni Sababu Nyingine inayoweza Kusababisha Kuharibika Kwa Mimba.
*➖Hormonal imbalance* Homoni za mama zinapokuwa hazipo kwenye uwiano ( balance) Pia Kuna Uwezekano Mkubwa Sana wa Kusababisha kuharibika kwa mimba.
*➖Uzito mkubwa (unene) na Uzito mdogo*
Unachangia mimba kuharibika na unaweza mfanya mama akapoteza maisha yake pia.
*➖Miscarriage zaidi ya mara 2*
Mama aliyepata miscarriage zaidi ya mara 2 anauwezo mkubwa wa kuharibika kwa mimba yake tena na tena Kila ashikapo.
*➖Kutoa mimba*: - Mwanamke anapotoa mimba mara kwa mara kizazi chake kinakuja shindwa kuhimili kubeba ile mimba kwa miezi 9 na kumfanya kila ashikapo ikifika miezi flani inatoka tu yenyewe sehemu za uzazi zinakuwa zimeshalegea.
*➖Matumizi ya Pombe*, Sigara , Bangi , Madawa ya kulevya vyote ni Moja Kati ya Vyanzo Vikuu Vya Mimba Kuharibika ( miscarriage).
*➖Ajali*-mama k**a amepata ajali akagonga maeneo ya tumbo au kupata mshtuko mkubwa basi ni rahisi mimba kuharibika.
*➖Caffein* - Mama anapotumia kahawa kwa Wingi , Soda aina Cocacola anaharatarisha Usalama wa Mimba na Kuwa na Uwezekano Mkubwa wakuharibu mimba
*➖Msongo( stress)*.
*➖Mimba za Utoto au Uzeeni* - Binti anaposhika mimba akiwa mdogo chini ya miaka 18 inahatari ya kuharimika sababu vizazi vyake havipo tayari kumudu kubeba mimba kwa miezi 9.
*Dalili ya mimba kuharibika*
🔻Kutokwa damu kwa wingi na mabonge.
🔻Kusikia maumivu makali chini ya kitovu Kwa Zaidi ya Saa ishirini na Nne .
▪️Mama mjamzito anaweza kuona dalili ya kutokwa damu akawahi hospital kuna vipimo anatakiwa Kufanyiwa cha Pelvic , Ultra sound na akasaidiea Kukaa Katika Hali yake njema.
▪️Uko Uwezekano wa kukutwa mimba haijaharibika vibaya , Kuna aina tofauti za miscarriage nyingine ni Lazima Zisaidiwe ili Kuhakikisha Imetoka Yote na Mama amebaki Salama na Ziko ambazo haziwezi Kusaidiwa huwa zinatoka moja kwa moja na nyingine zinaweza Okolewa na mimba ikabaki hai kuendelea Kukua mpaka miezi 9 , Cha muhimu ukiona hizo dalili awahi kituo cha afya.
▪️▪️Ukiona Hali K**a hiii wai hospitali cheki kipimo mapema
📞0788945354