Dr Said

Dr Said Karibu kwa huduma ya vipimo vya mwili mzima kwa shilling elf30 tu. kumuona doctor na ushauri ni bure karibu sana. Afya bora ni Mila na desturi yetu143.

Hebu fikiria hivi… miezi miwili huna hedhi, matiti yamejaa maumivu, kichefuchefu kinaanza k**a dalili za ujauzito....— L...
15/09/2025

Hebu fikiria hivi… miezi miwili huna hedhi, matiti yamejaa maumivu, kichefuchefu kinaanza k**a dalili za ujauzito....

— Lakini kila ukipima majibu ni negative, Ndipo unajiuliza, mwili wangu unaenda wapi sasa..

Hali hii si ya ajabu..

Baada ya kutumia njia ya uzazi wa mpango ikiwa ni pamoja na P2, homoni zako mara nyingi huingia kwenye sintofahamu....(Hormone imbalance)

Kipindi cha hedhi hubadilika, ovulation inachelewa au kusimama, mwili huanza kutuma ishara za ujauzito hewa (false pregnancy signs).

Wanawake wengi huishi gizani, bila kuelewa mwili wao unachopitia, huku hofu na wasiwasi vikizidi kila siku.

Na pale akili inapochanganya hofu ya kushika mimba, maumivu ya mwili, na ukaribu wa mume kurudi nyumbani…Unajikuta unateswa mara mbili..
↳ Huna majibu ya kitiba,
↳ Huna amani ya kiakili,
↳ Na hujui kuchagua njia salama ya uzazi wa mpango.

Kwa lugha rahisi, mwili wako unalia msaada, lakini akili yako inazidi kunguruma kwa stress...☠️

Kitaalamu, suluhisho si kukimbilia tembe nyingine kiholela.

↳ Kwanza, fanya kipimo cha homoni na mimba cha kitaalamu hospitali (sio strip pekee).
↳ Pili, hakikisha mzunguko wa hedhi unakuwa sawa kupitia njia ya Detox, K**a livyo elekeza hapo juu..
↳ Tatu, kabla hujaamua njia ya uzazi wa mpango, ni lazima kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu (kuna tofauti kubwa kati ya kondomu, vidonge, sindano, au P2 kulingana na historia yako)..

Ukweli ni kwamba wagonjwa wengi ninaowaona hukaa na stress kwa miezi, wakiogopa kuuliza.

Lakini mara tu wanapopata uchunguzi sahihi na mwongozo wa kitaalamu— wanapumua upya.

Mifano ipo, na wapo waliorejea katika hedhi zao kawaida baada ya counseling na mwongozo wa homoni, wapo waliopata njia salama ya uzazi wa mpango bila kuharibu mwili.

Je mpo na uhitaji wa elimu na Miongozo..?
— Wa namna ya kurekebisha homoni zako na kuchagua njia sahihi ya uzazi wa mpango bila kuumiza mwili wako.
Kwa ushauri zaid wasiliana nas kwa namba 👇🏾
http://wa.me/+255627278604

13/08/2025

Kanuni za Lishe Bora kwa Homoni Imara & Nguvu za Mwili..

Kabla hujaanza kuongeza au kupunguza vyakula, kanuni hizi tatu ndiyo msingi wa kila kitu..

1. Safisha Chanzo cha Nishati Yako...

Mwili wako unategemea macronutrients (protini, mafuta mazuri, na wanga yenye nyuzinyuzi) k**a injini ya kutengeneza homoni.

↳ Ondoa mafuta yaliyosindikwa (Margarine, mafuta ya kupikia yaliyotumika mara nyingi).

↳ Chagua mafuta mazuri k**a olive oil, Parachichi, karanga, almond, mbegu za maboga..N.K

2. Lisha Tezi Zako Kila Siku...

Homoni hazitengenezwi kwa Maombi bali kwa chakula unachokula...

↳ Zinc (kuku wa kienyeji, mayai, mbegu za maboga, dagaa) huchochea testosterone.

↳ Magnesium (mboga za kijani, kunde, karanga) husawazisha estrogen na progesterone.

3. Punguza Vyakula Vya Kufilisi Homoni..

Vipo vyakula vinavyofanya injini yako izimike taratibu…

↳ Sukari nyingi & vinywaji vya viwandani hupandisha insulin kupita kiasi, na kuharibu balance ya homoni.

↳ Plastiki na kemikali kwenye vyakula vya haraka (junk foods) hupunguza uzalishaji wa homoni asili.

NB: Lishe Bora siyo diet ya muda, ni mtindo wa maisha unaofanya homoni zako ziwe rafiki badala ya kuwa adui...
Kwako ww unaye hitaji ushauri zaid wasiliana nas kwa namba hii👇🏼👇🏼👇🏼

Lishe Bora ya Kuongeza Testosterone Asili kwa Wanaume & Hormone Balance kwa Wanawake..Je, unajua chakula unachokula leo ...
13/08/2025

Lishe Bora ya Kuongeza Testosterone Asili kwa Wanaume & Hormone Balance kwa Wanawake..

Je, unajua chakula unachokula leo kinaweza kuamua jinsi utakavyohisi kesho..? Kimwili, kihisia na hata kitandani..?

(Kitaalamu, homoni zako ni injini ya afya yako)

Kwa mwanaume, testosterone ndiyo mafuta ya nguvu zako, msukumo wa misuli, stamina, na hata kujiamini kwako...

Kwa mwanamke, estrogen na progesterone ni vichocheo vya siri vya afya ya ngozi, umbo, mood, na kibali cha kuendelea kuwa na afya bora ya uzazi...

Lakini kuna tatizo...

Chakula cha kizazi chetu kimejaa mafuta mabaya, sukari nyingi, na kemikali zinazopunguza uzalishaji wa homoni hizi taratibu bila sisi kujua.

Matokeo yake...?

↳ Mwanaume anakosa nguvu na stamina Bedroom..

↳ Mwanamke anakosa mng’ao, nguvu, na mzunguko wa hedhi unakuwa wa mateso..

Habari njema ni kwamba, Unaweza kugeuza hali hii ndani ya wiki chache tu kwa kubadilisha ulaji wako kwa njia sahihi...

NA...

Leo, tunaanza safari ya hatua kwa hatua ya kujenga lishe na homoni bora...

Nitakueleza vyakula vinavyowasha injini ya testosterone kwa mwanaume na kusawazisha estrogen na progesterone kwa mwanamke…Bila dawa yoyote, na bila gharama....

Weka Notification ON, maana hii siyo elimu ya theory kuisoma na kuiacha hapa..🔔
http://wa.me/+255627278604

Miezi mitatu... kimya..! Hakuna hedhi, wala huna ujauzito..🤯Kila siku unasubiri, lakini kalenda yako ya mwezi inakudanga...
13/08/2025

Miezi mitatu... kimya..! Hakuna hedhi, wala huna ujauzito..🤯

Kila siku unasubiri, lakini kalenda yako ya mwezi inakudanganya tena na tena...

Je, hii ni kawaida?

Hii ni ishara inayoweza kuashiria kitu kikubwa kinachoendelea ndani ya mwili wako (Hormone imbalance)

Ndiyo na maanisha Hormone imbalance....

Wengi hudhani hedhi kuchelewa ni ujauzito pekee, lakini ukweli ni kwamba homoni zako ndizo zinazoendesha mfumo mzima wa uzazi...

Zikichanganyikiwa tu, Mwili unavuruga ratiba yake ya asili....

Tuone, Sababu kuu zinazoweza kuchangia...

↳ Msongo wa mawazo unaosababisha Cortisol kupanda na kuvuruga homoni za uzazi.

↳ Uzito kupungua au kuongezeka ghafla hubadilisha usawa wa Estrogen na Progesterone.

↳ Matatizo ya tezi (thyroid) yanayoathiri moja kwa moja mzunguko wa hedhi.

↳ PCOS (Polycystic O***y Syndrome) — tatizo la kawaida kwa wanawake wengi...

↳ Matumizi ya dawa za uzazi wa mpango kiholela, hasa P2 — Huchanganya homoni kwa nguvu kubwa, na kusababisha mzunguko wa hedhi kusimama au kuvurugika kabisa..

NB: Mwili wa mwanamke ni k**a saa ya kifahari, Sehemu moja ikiharibika, mfumo mzima unasumbuka..

Usikae kimya miezi 2-3 bila hedhi bila ujauzito, Ni dalili ya mwili wako kukulilia....

Pima afya yako, kagua homoni zako, na ufuate mwongozo sahihi wa kitabibu.

Afya ya uzazi ni msingi wa afya yako yote, Soon nitakuja na Miongozo ya kitaalamu kwa wanawake wenye Hormone imbalance...

Yawezakuwa ni wewe au mpenzi wako, Miongozo hiyo itakusaidia, Sio kutibu tu..Pamoja na kuepuka Hormone imbalance...Kuishi katika afya bora...
K**a ww n miongoni mwa watu walio na changamoto k**a hii wasiliana nas kwa msaada wa haraka
http://wa.me/+255627278604

JE, MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE NI YA KAWAIDA AU TATIZO..?"Habari Doctor… Kila tukishiriki tendo la ndo...
07/08/2025

JE, MAUMIVU WAKATI WA TENDO LA NDOA KWA WANAWAKE NI YA KAWAIDA AU TATIZO..?

"Habari Doctor… Kila tukishiriki tendo la ndoa, mpenzi wangu hulalamika kuumia sana, Hali hii imenifanya nianze kuogopa, Je shida inaweza kuwa nini"..

Nimepokea maswali k**a haya mara kadhaa kutoka kwa wafuasi wangu..

Na leo..

Nimeamua kuvunja ukimya kwa kutoa elimu ya kitaalamu kuhusu jambo hili linalowaumiza kimya kimya wanawake wengi, Bila msaada sahihi...

Maumivu wakati wa tendo siyo mapenzi, ni ujumbe wa mwili kuomba msaada...

Usiache hili liendelee kukuumiza kimya kimya, Leo tutaweka wazi tatizo, chanzo, na njia sahihi za tiba.

Wanawake wengi hupitia, maumivu makali wakati wa tendo la ndoa k**a kawaida, wakihisi labda ni kwa sababu ya "kukosa uzoefu" au "kubana sana" 🍑

Lakini ukweli wa kisayansi ni huu...

Maumivu ya mara kwa mara wakati wa tendo la ndoa (Dyspareunia) ni DALILI ya tatizo la kiafya au kisaikolojia...

Na bila uchunguzi sahihi, linaweza kuendelea kuwa kubwa zaidi, likisababisha hofu, msongo wa mawazo, kupoteza hamu ya tendo, au hata migogoro ya kimapenzi...

Kwa pamoja Tuone chanzo cha tatizo...👇

↳ Maambukizi ukeni (U.T.I, PID, fangasi)

↳ Ukavu ukeni – hasa kwa wanawake waliopo kwenye stress au mabadiliko ya homoni..

↳ Msongo wa mawazo na hofu ya tendo la ndoa (psychological trauma.)

↳ Misuli ya uke kubana sana (vaginismus)

↳ Matatizo ya via vya uzazi (k**a uvimbe kwenye kizazi)

↳ Kutoandaliwa vya kutosha kabla ya tendo la ndoa..

Ni hatua gani ya kwanza kuchukua, Ukigundua tatizo hili la maumivu wakati wa tendo...

↳ Mwone daktari bingwa wa afya ya wanawake (Gynecologist) kwa uchunguzi wa kina, Pap smear, ultrasound ya nyonga, na vipimo vya maambukizi.

↳ Tatizo likigundulika mapema, tiba huwa rahisi na haina madhara....

↳ Ukigundulika una PID, UTI au fangasi —Unatibiwa na dawa sahihi...

↳ K**a ni ishu ya uke mkavu kutokana na hormone imbalance, Nitakuja na elimu soon (Kuwa Active)...

NB: Tendo la ndoa linapaswa kuwa tamu, si mateso, Maumivu sio ya kawaida, na hayapaswi kuvumiliwa.
Kwa mawasiliano zaid piga 👇🏼👇🏼
http://wa.me/+255627278604

Mwanaume haumwi PID..Lakini anaumia kimyakimya kwa sababu ya PID ya mpenzi wake.Hii siyo hadithi ya mtu mmoja, ni ukweli...
06/08/2025

Mwanaume haumwi PID..Lakini anaumia kimyakimya kwa sababu ya PID ya mpenzi wake.

Hii siyo hadithi ya mtu mmoja, ni ukweli unaoishi katika ndoa na mahusiano mengi ya sasa…💔

Jana jioni nilipokea ujumbe mzito kutoka kwa kijana mmoja aliyejaa hofu na sintofahamu...

Na Nukuu Ujumbe Wake..👇

“Doctor... kuna jambo linaninyima raha kabisa. Mpenzi wangu anatoa harufu mbaya sana ukeni, na kwenye chupi yake kuna uchafu wa njano, Kila tukishiriki tendo la ndoa, najikuta sina amani kabisa, Niko kwenye hofu kubwa ya kuambukizwa, Mbaya zaidi, nikimwambia, ananijia juu kwa hasira, Naomba msaada, ni ugonjwa gani huu?”

Hili si jambo la kupuuzia....

Ni ugonjwa hatari wa mfumo wa uzazi kwa mwanamke, lakini madhara yake huwatesa kimya wanaume pia..!

PID (Pelvic Inflammatory Disease)....

Ni maambukizi ya bakteria wanaoathiri kizazi cha mwanamke— Mfuko wa uzazi, mirija ya uzazi (fallopian tubes), na mayai (ovaries)....

Visababishi vikuu ni magonjwa ya zinaa k**a Gonorrhea na Chlamydia, yanayoingia bila dalili za haraka....

Matokeo yake...?

Mwanamke hupata uchafu wa njano au kijani, harufu kali ya uke, maumivu ya tumbo, na wakati mwingine maumivu wakati wa tendo la ndoa...

Mwanaume hawezi kuugua PID, lakini anaweza kuambukizwa madhara ya zinaa kutoka kwa mwanamke aliyeathirika na hata kupata maambukizi ya korodani au mkojo...

(PID ni miongoni mwa magonjwa yanayobomoa mahusiano kimya kimya)

Mwanamke anaumia ndani kwa ndani, lakini mwanamume huathirika kisaikolojia, kimwili, na kiakili...

Na ikiwa haitatibiwa mapema, PID....

↳ Husababisha ugumba, maumivu ya kudumu ya nyonga, na hata mimba kuharibika na mimba za nje ya kizazi. (ectopic pregnancy)...

NB: Wito kwa wanaume, K**a unahisi mabadiliko haya kwa mwenzi wako, usinyamaze...
Ongea kwa upendo, mshauri mkafanye vipimo hospitalini...

Wito kwa wanawake, Usiogope, usione haya, PID hutibika mapema na kupona kabisa...

Pamoja tukemee magonjwa ya uzazi kwa elimu sahihi na uamuzi wa kwenda hospitali kwa wakati..

Timu ya wataalamu ipo kwa ajili ya kutatua shida au changamoto za uzazi, karibu tukuhudumie, waambie ndugu, jirani na marafiki kuwa PID inatibika kwa dawa za Eternal international Tanzania🇹🇿. Kwa mawasiliano zaid piga 👇🏼 👇🏼 👇🏼 👇🏼
http://wa.me/+255627278604

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZOSHIRIKA LA AFYA KUTOKA NCHINI  CHINA/ TUNAYO FURAHA YA KUKUPA TAALIFA NJ...
04/08/2025

VIPIMO,,, USHAURI NA MATIBABU KWA BEI YA PUNGUZO

SHIRIKA LA AFYA KUTOKA NCHINI CHINA/ TUNAYO FURAHA YA KUKUPA TAALIFA NJEMA KWAMBA HOSPITAL, IMETOA OFA KWA WATU WATAKAO fika katika vituo vyake vyote, KUPATA HUDUMA YA VIPIMO NA MATIBABU
Ofa hii niya👇👇
▪️ Vipimo vya mwili mzima, Kupimwa magonjwa yote mwilini ni T,sh 30/= tu
▪️ Punguzo la bei 20% kwa kila dawa( bidhaa zetu )

Magonjwa tunayo tibu ni;
✅ Matatizo ya Moyo na INI
✅Kansa,
✅Vidonda vya Tumbo,
✅Kisukari
✅Pumu
✅Stroku.
✅Matatizo ya uzazi kwa kina mama na kina baba
✅Matatizo ya mifupa,
✅Matatizo ya miguu
✅Ngozi,
✅Figo,
✅Fangasi sugu
✅Kupunguza unene, uzito, na matumbo
✅Kuongeza kinga mwilini(CD4)
✅U.T.I sugu,Gesi
✅Bawasiri,
✅Tenzi dume
✅Heshima ya ndoa kwa kina baba. N.k

TIBA ZETU NI TIBALISHE NA VIRUTUBISHO.
Ambavyo hufanya kazi kuu nne ( 4 ) mwili
👉 Kuosha/ kutoa sumu mbaya zote mwilini
👉 Kulinda/ Kukinga
👉 Kujenga
👉 Kutibu

Karibu sana Upate huduma Zetu imara . Tupo Dar es salaam na mikoani

Wasiliana nasi kwa simu namba
http://wa.me/+255627278604

Address

Mwanza

Opening Hours

Monday 08:00 - 17:00
Tuesday 08:00 - 17:00
Wednesday 08:00 - 17:00
Thursday 08:00 - 17:00
Friday 08:00 - 17:00
Saturday 08:00 - 17:00
Sunday 10:00 - 16:30

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dr Said posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram