Masha Herbal Clinic

Masha Herbal Clinic TIBA ASILI - MWANZA

MWANAUME UKIWA NA HAYA BASI SAHAU KUHUSU UWEZO WA KITANDANI...1. Kisukari 2. K**a unatumia dawa za Presha3. Unene kupiti...
21/09/2025

MWANAUME UKIWA NA HAYA BASI SAHAU KUHUSU UWEZO WA KITANDANI...

1. Kisukari
2. K**a unatumia dawa za Presha
3. Unene kupitiliza/tumbo lenye mafuta mengi
4. Ngiri
5. Msongo wa mawazo
6. Kutopata usingizi wa kutosha
7. Kushuka/kupungua kwa homoni za kiume
8. Uvutaji sigara na pombe kupindukia
9. Ulifanya sana mchezo wa kujichua enzi za nyuma

NB: TAFUTA SULUHISHO KWA KUANGALIA KIPI NI CHANZO CHA WEWE KUSHUKA UWEZO KITANDANI

NOTE: Mwanaume mwenye NGIRI usisumbuke kufanya mazoezi ya viungo, un**idi kujiumiza na utafanya Ngiri yako izidi kuwa sugu

Ukiwa na shida yoyote ya kiafya na unapenda kupata suluhisho kutoka kwetu tupigie kwa namba zilizopo chini

Ofisi: Mwanza || Mkolani

Simu || WhatsApp
0767925000 || 0622925000

KULA/TAFUNA ALMOND 20 - 30 KWA SIKU ILI UPATE FAIDA HIZI....👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻1. Uwezo mzuri wa kupata choo laini kila siku2. Ki...
20/09/2025

KULA/TAFUNA ALMOND 20 - 30 KWA SIKU ILI UPATE FAIDA HIZI....
👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻

1. Uwezo mzuri wa kupata choo laini kila siku
2. Kinga nzuri ya afya ya moyo
3. Vitamin E, nzuri kwa ngozi na uzazi
4. Kinga nzuri ya Kisukari
5. Kinga ya Shinikizo la damu/Presha
6. Husaidia ngozi kutojikunja ovyo ovyo/huchelewesha uzee🙌
7. Huzuia kuwa na mafuta mabaya mwilini/cholesterols
8. Hupunguza njaa/husaidia wanaoihitaji kupunguza uzito

NB: ZINAPATIKANA SUPERMARKET, MADUKANI NA KWENYE MADUKA YA DAWA ZA ASILI

KWA WANAUME
Tufahamu kuwa shida za nguvu za kiume zinasababishwa zaidi na ngiri pamoja na kujichua.

Sasa ukija ofisini kwetu utapata dawa za kutibu hivyo vyanzo viwili vya mapungufu yako, na hapohapo utapata dawa za kuboresha homoni zako za kiume.

Gharama ni Tsh 60,000, Tsh 75,000 au Tsh 100,000

Ofisi yetu ipo Mwanza peke yake, eneo linaitwa Mkolani, ni jirani tu na Kanisa Katoliki Mkolani, ukivuka geti la Kanisa Katoliki vuka tena jengo la bluu limeandikwa Nyota Rays utaona ofisi imeandikwa MASHA HERBAL STORE

Ukiwa mkoa mwingine unaweza kumtuma ndugu yako aliyepo Mwanza aje ofisini akuchukulie, au unaweza kulipia usafiri tu Tsh 10,000 halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea dawa yako

Simu || WhatsApp
0767925000 || 0622925000

UKITUMIA UNGA WA MAJANI MSITAFELI 1. Mwanaume hautapata kabisa tezi dume 2. Mwanaume hautapata kabisa shida za mkojo kug...
20/09/2025

UKITUMIA UNGA WA MAJANI MSITAFELI

1. Mwanaume hautapata kabisa tezi dume
2. Mwanaume hautapata kabisa shida za mkojo kugoma kutoka
3. Kwa jinsia yoyote hautapata kabisa Kansa
4. Kwa jinsia yoyote hautapata kabisa uvimbe wowote
5. Kwa jinsia yoyote hautapata kabisa Kisukari
6. Kwa jinsia yoyote hautapata kabisa Presha
7. Kwa jinsia yoyote utadhibiti msongo wa mawazo

Tumia unga huo wa majani MSITAFELI k**a chai yako, usiweke sukari

Dozi nzuri ni wiki 6 hadi 12

Andaa mwenyewe unga huo, nunua kokote unakojua, ila ukihitaj kutokea kwetu Masha Herbal Store tunatoa unga wa kutosha wiki 6 kwa Tsh 75,000

NB: UNGA WETU TUNAANDAA KWA KUANIKA KIVULINI HAYO MAJANI, SIYO JUANI

Tupo Mwanza peke yake, ofisi ipo eneo linaitwa Mkolani, fika lilipo Kanisa Katoliki Mkolani, mbele yako utaona jengo la bluu limeandikwa Nyota Rays, ukilivuka tu hilo jengo utaona ofisi imeandikwa MASHA HERBAL STORE

Mikoa mingine yote tunaweza kukutumia ukihitaji na utalipia usafiri tu Tsh 10,000, pesa ya dawa utailipa ukishapokea dawa yako

Simu || WhatsApp
0767925000 || 0622925000

DAWA VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI/ACID REFLUX ▪️Dozi wiki 2▪️Ni ya unga lakini unatumia maji ya kawaida tu kuinywa,...
15/09/2025

DAWA VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI/ACID REFLUX

▪️Dozi wiki 2
▪️Ni ya unga lakini unatumia maji ya kawaida tu kuinywa, siyo maji ya moto
▪️Pia unaweza kuichanganya na asali mbichi k**a huwa unatumia bila asali kukuletea shida
▪️Inatibu vidonda sugu vya tumbo
▪️Inatibu gesi/acid reflux/kiungulia

GHARAMA: TSH 75,000❌
OFA TSH 50,000✔️

Ofisi: Mwanza || Mkolani

Mikoa mingine, lipia usafiri tu Tsh 10,000 halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea

Simu || WhatsApp
0767925000 || 0622925000

ANDAA HII DAWA KIBOKO YA VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI/ACID REFLUX Ukifanikiwa kuandaa dawa hii basi wewe ni byee by...
14/09/2025

ANDAA HII DAWA KIBOKO YA VIDONDA VYA TUMBO NA GESI TUMBONI/ACID REFLUX

Ukifanikiwa kuandaa dawa hii basi wewe ni byee byee vidonda vya tumbo na Acid reflux

ANDAA HIVI UVICHANGANYE...
1. Vifuu vya n**i, choma mkaa usage upate unga
2. Mti wa mkaratusi, nao choma mkaa upate unga wake
3. Mti wa Mkuyu pia nao uchome mkaa upate unga wake
4. Mbegu ya parachichi usage upate unga wake

Changanya hivyo vitu vyote vinne na hiyo ndo dawa imekamilika

MATUMIZI
Utakuwa unachota dawa yako NUSU YA KIJIKO CHA CHAKULA unachanganya na asali mbichi kijiko kimoja cha chakula, unalamba asubuhi, mchana na jioni kabla ya chakula.

K**a huwa hupendelei asali au asali inakusumbua tumbo utachanganya dawa yako na maji ya kawaida ya kunywa tu(siyo ya moto), maji yawe NUSU KIKOMBE, unywe asubuhi kabla ya chai, mchana kabla ya chakula na usiku kabla ya chakula

Tumia dawa hiyo kwa wiki 2 tu, hakuna tena vidonda vya tumbo wala gesi/kiungulia/acid reflux

K**a unahitaji dawa ambayo tayari imeandaliwa unaweza kuja kuchukua au kuagiza kwetu Tsh 75,000, ni ya kutibu kwa wiki 2 tu

Na wanaume wenye shida za ngiri au homoni za kiume zipo chini pamoja na walioathirika kwa kujichua/punyeto, vitu vyao vipo legelege haviwezi kazi....pia dawa tunazo na gharama ni Tsh 75,000

Ofisi yetu ipo Mwanza peke yake, eneo linaitwa Mkolani jirani na Kanisa Katoliki

Mikoa mingine yote tunaweza kukutumia baada ya wewe KULIPIA USAFIRI TU halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea

Simu || WhatsApp
0767925000 || 0622925000

VYAKULA HIVI NI MSAADA MZURI MNO KWA AFYA ZETU1. Viazi vitamu 2. Magimbi 3. MihogoVyote vitumie kwa kuchemsha, usiongeze...
12/09/2025

VYAKULA HIVI NI MSAADA MZURI MNO KWA AFYA ZETU

1. Viazi vitamu
2. Magimbi
3. Mihogo

Vyote vitumie kwa kuchemsha, usiongeze mbwembwe zako za kukaanga au mengine.

Pia uvile kwa kiasi, siyo kujaza tumbo

Zaidi, chakula chako cha usiku kula isizidi saa 2 usiku.
Jitahidi kula chakula cha jioni kuanzia saa 1 hadi 2 usiku, lakini isizidi saa 2 usiku

Hii itakusaidia wewe kulala vizuri bila akiba nyingi ya chakula tumboni

FAIDA ZA VYAKULA HIVYO
✅Vina fiber/kambalishe za kutosha
▪️ Husaidia mno kwa kupata choo kilaini
▪️ Husaidia kuzuia usipatwe Bawasiri
▪️Inaweza kukusaidia usiongezeke uzito na hata magonjwa sugu k**a Kisukari na Presha

NB: USIVITUMIE VYAKULA HIVYO PAMOJA NA KINYWAJI CHOCHOTE KITAMU

Unaweza kula na mboga yoyote

Tunakukumbusha tena, hapa kwetu Masha Herbal ni mahali pekee ambayo mwanaume utajipatia dawa nzuri za kutibu NGIRI na kupandisha homoni za kiume kwa gharama ya Tsh 75,000 tu, dozi ni wiki 6+

Ofisi yetu ipo Mwanza eneo linaitwa Mkolani

Mikoa yote tunatuma baada ya wewe KULIPIA USAFIRI TU, pesa ya dawa utailipa ukishapokea dawa yako siku inayofuata

Simu || WhatsApp
0767925000 || 0622925000

10/09/2025

NGIRI NA PUNYETO VINAKWAMISHA JOGOO LA MWANAUME

Shida hizi mbili zimewaletea wanaume majanga ya jogoo kutowika ipasavyo. Shida hizo ni NGIRI na PUNYETO

DALILI ZA NGIRI NI K**A HIZI..
1. Ukienda chooni unatoa upepo tu
2. Tumbo kuunguruma na kujaa gesi
3. Korodani kuvimba
4. Korodani kuuma
5. Kukata network katikati ya mechi

Ndo maana huwa tunasisitiza kutumia dawa ya NGIRI pamoja na ile ya kupandisha homoni, bei zake ni Tsh 75,000

Lakini kuna wale waliofanya sana punyeto, yaani walijichua kupitiliza hadi mishipa yao imekuwa dhaifu. Hao tiba yao ni unga MSAMITU na MLONGE WA MIZIZI ULIOANDALIWA KWA KUANIKWA KIVULINI na siyo juani. Pia bei ni Tsh 75,000

Ofisi: Mwanza, fika hadi lilipo Kanisa Katoliki Mkolani, mbele yako utaona jengo la bluu limeandikwa Nyota Rays, ukilivuka tu hilo jengo utaona ofisi ina bango limeandikwa MASHA HERBAL STORE

Mikoa mingine yote unaweza kulipia usafiri tu, dawa tunakutumia halafu siku ya pili ukishapokea dawa ndipo unailipia

Simu || WhatsApp
0767925000 || 0622925000

WEEKEND OFFER KWA WANAUME Chukua unga wa mizizi Mlonge uk**alizepo katabia ka KUWAHI KUMALIZA... 😀Achana na kuwa mtu wa ...
05/09/2025

WEEKEND OFFER KWA WANAUME

Chukua unga wa mizizi Mlonge uk**alizepo katabia ka KUWAHI KUMALIZA...

😀Achana na kuwa mtu wa sekunde tu chali..
😀Fikisha angalau vidakika ili umfikishe na mwenzio

Tunakupa unga wa mizizi Mlonge ulioandaliwa kwa kuanikwa kivulini na siyo juani

Dozi yote ya wiki 8(kopo 3) kwa Tsh 45,000 tu badala ya Tsh 60,000

NB: OFA HII NI WEEKEND HII TU(JMOSI NA JPILI)

K**a upo Mwanza fika ofisini Mkolani, vuka Kanisa Katoliki mbele yako utaona jengo la bluu limeandikwa Nyota Rays, ukilivuka tu hilo jengo utaona ofisi imeandikwa MASHA HERBAL STORE

Mikoa mingine unaweza kulipia usafiri tu Tsh 10,000 halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea(unapokea siku ya pili tu k**a umelipia mapema)

Tupigie au tuandikie WhatsApp
0767925000

HAKUNA SABABU YA KUWAHI KUFIKA KILELENI WAKATI MLONGE UPOSIFA: Mlonge wa mizizi, ulioandaliwa kwa kuanikwa kivulini, siy...
04/09/2025

HAKUNA SABABU YA KUWAHI KUFIKA KILELENI WAKATI MLONGE UPO

SIFA: Mlonge wa mizizi, ulioandaliwa kwa kuanikwa kivulini, siyo juani

DOZI: Wiki 8+, kopo 3

GHARAMA: Tsh 60,000❌
OFA: Tsh 45,000 hadi jpili(kopo zote 3)

Ofisi: Mwanza, jirani na Kanisa Katoliki Mkolani

Mikoa yote tunatuma, lipia usafiri tu halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea

Simu || WhatsApp
0767925000

MLONGE WA MIZIZI, KIBOKO YA WANAOWAHI KUFIKA KILELENIPata ulioandaliwa kwa kuanikwa kivulini, siyo juani Tumia kijiko ki...
03/09/2025

MLONGE WA MIZIZI, KIBOKO YA WANAOWAHI KUFIKA KILELENI

Pata ulioandaliwa kwa kuanikwa kivulini, siyo juani

Tumia kijiko kimoja cha chai unachanganya kwenye maji vuguvugu au chai ya viungo, asubuhi na jioni kwa wiki 8+

Hakuna tena kuwahi kumaliza, then enjoy show yako!

Hapa kwetu ndo mahala salama kwa kupata unga wa mizizi mlonge ulioandaliwa kwa kuanikwa kivulini

Bei Tsh 60,000 dozi ya wiki 8+

Tupo Mwanza - Mkolani, jirani na Kanisa Katoliki Mkolani, kwenye jengo la LAMANA PARK LODGE utaona ofisi imeandikwa MASHA HERBAL STORE

Mikoa yote tunatuma, baadhi ya mikoa unaweza kulipia baada ya kupokea, ila utalipia usafiri kwanza

NB: USIAGIZE DAWA K**A HAUNA UHAKIKA WA KUPOKEA/KULIPIA

Simu || WhatsApp
0767925000

HAYA NDO MADHARA YA KUTOPATA USINGIZI WA KUTOSHA KWA MWANAUME Madhara haya kwa mwanaume yanaweza kujitokeza kimwili, kia...
02/09/2025

HAYA NDO MADHARA YA KUTOPATA USINGIZI WA KUTOSHA KWA MWANAUME

Madhara haya kwa mwanaume yanaweza kujitokeza kimwili, kiakili, kihisia hadi kimahusiano

ONA HAPA:
1. Kupungua kwa nguvu za mwili sababu misuli haijengeki vyema kutokana na kukosa kujirekebisha(recovery) unapolala
2. Kuongeza uzito na hamu ya kula kupitiliza kutokana na kuathiri homoni za njaa(leptin na ghrelin). Kibaya zaidi hufanya mtu kuwa na tamaa ya kula vyakula vyenye sukari na mafuta mengi hapo inakuwa ni rahisi mno kupata Kisukari, unene, matatizo ya ini na tumbo
3. Kukosa hamu ya kushiriki tendo(nguvu za kiume) yaani erectile disfunction

Hayo ni baadhi tu ya madhara anayoweza pata mwanaume anayekosa usingizi.

FANYA HIVI ULALE VIZURI:
1. Acha kutumia pombe, soda, kahawa na sigara hasa jioni na usiku
2. Epuka/acha tabia ya kukasirika bila sababu za msingi
3. Tumia maziwa, ndizi mbivu, chai ya unga wa msitafeli, chai ya unga wa mizizi ya mlonge, viazi vitamu, karanga, almonds, unga wa shayiri(Oats)
4. Acha tabia ya kushiba sana usiku muda mfupi kabla ya kulala

NOTE: SOMO HILI NI USHAURI TU, SIYO SHERIA. HIVYO JALI AFYA YAKO

Kwa wanaume tukumbuke pia kutibu NGIRI ili kuzipa nafasi homoni za kiume zifanye kazi vizuri, uweze kusimamisha kirahisi na upige show za kibabe

Dawa za ngiri na kupandisha homoni tunazo kwa Tsh 75,000 zote kwa pamoja

Ofisi yetu ipo Mwanza peke yake, eneo linaitwa Mkolani, ni jirani sana na Kanisa Katoliki Mkolani

Ukishavuka Kanisa Katoliki Mkolani utavuka tena jengo la bluu limeandikwa Nyota Rays ndipo utaona ofisi imeandikwa MASHA HERBAL STORE

Mikoa yote tunatuma, wewe utalipia usafiri tu halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea

Simu || WhatsApp
0767925000

UKIWA NA NGIRI ZINGATIA USHAURI HUU1. Acha kufanya mazoezi magumu, kunyanyua vitu vizito2. Acha kubana choo/kukosa choo3...
27/08/2025

UKIWA NA NGIRI ZINGATIA USHAURI HUU

1. Acha kufanya mazoezi magumu, kunyanyua vitu vizito
2. Acha kubana choo/kukosa choo
3. Acha kuvuta sigara
4. Acha vyakula na vinywaji vyenye gesi
5. Acha kutafuna au kula vyakula vigumu
6. Kula zaidi mboga za kijani k**a sukuma wiki na spinach
7. Kula matunda laini k**a papai, tikitimaji n.k
8. Kunywa maji mengi angalau glasi 6 - 8 kwa siku
9. Kula protini nyepesi k**a kuku wa kuchemsha pamoja na samaki
10. Kula milo midogomidogo mara nyingi badala ya milo mikubwa

NB: ZINGATIA HUO NI USHAURI, SIYO SHERIA. JALI AFYA YAKO

Dawa ya Ngiri na kupandisha homoni za kiume tunazo, kopo 2 ni dozi moja inayotosha tatizo ambalo ni chini ya miaka miwili.
Gharama ni Tsh 75,000

Ofisi: Mwanza peke yake
Fika hadi lilipo Kanisa Katoliki Mkolani, mbele yako utaona jengo la mashine ni la bluu limeandikwa Nyota Rays, ukilivuka tu hilo jengo utaona ofisi ina bango limeandikwa MASHA HERBAL STORE

Mikoa mingine yote njia ya kupata ni moja tu, unalipia usafiri peke yake, halafu pesa ya dawa utailipa ukishapokea

Simu || WhatsApp
0767925000

Address

Mkolani
Mwanza
33112

Opening Hours

Monday 09:00 - 19:00
Tuesday 09:00 - 19:00
Wednesday 09:00 - 19:00
Thursday 09:00 - 19:00
Friday 09:00 - 19:00
Saturday 08:00 - 19:00
Sunday 10:00 - 17:00

Telephone

+255622925000

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Masha Herbal Clinic posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Masha Herbal Clinic:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram