Afya Road

Afya Road Nawasaidia wanawake na wanaume kutatua changamoto ya maumivu yanayosumbua mifupa na maungio bila kutumia gharama kubwa na wala kufanya upasuaji.

Hello Weight Watchers Hivi ulishawahi kuwaza ni namna gani   *UTI WA MGONGO NA MIFUPA YETU INAVYOELEMEWA NA UZITO* tulio...
19/07/2024

Hello Weight Watchers

Hivi ulishawahi kuwaza ni namna gani *UTI WA MGONGO NA MIFUPA YETU INAVYOELEMEWA NA UZITO* tuliokuwa nao?

Unajua moja ya kazi za mifupa ni kubeba nyama za misuli na zinginenzo, pia mifupa kazi yake ndio kukupa shape ya mwili wako.

Sasa tunakutana na changamoto nyingi sana ikiwa mwili wako umezidi uzito:-

📌 Lakini nimeshakutana na wamama wengi, na hapa nitaongelea wale waliotoka kujifungua wakilalamika sana kuhusu kuumwa kwa mgongo wa chini huku wakihusisha na sindani wakati za operation…😢😏 (_hili somo la kujitunza uzito kabla ya kujifungua na baada litafundishwa_)
📌Wakati mwingine, watu wengi tunalalamika sana *MAGOTI KUUMA, VISIGINO KUWAKA MOTO!*
Na mengine mengi mengi…

Haya kwa haraka haraka tunaenda kunywa _painkillers_ k**a vile panadols, diclofenac… kutuliza maumivu.

Ukweli ni kwamba *MIFUPA YETU ESPECIALLY ULE UTI WA MGONGO* umeziwa na UZITO MKUBWA SANA, hata k**a ni kilo 5 tu inaweza kuleta madhara makubwa sana, k**a kusagika kwa pingili na kadhalika. Embu fikiria uwe na FIMBO ambayo umetundika kilo 5 masaa 24 kwa siku na isimame, siku moja ile fimbo utaikuta imepinda. Ndio maana wengi sana wenye uzito mkubwa huishia kupata *MATEGE YA UKUBWANI AU KIBIONGO* yaani kutembea kwa kuinama. Si hivyo tu, wengi wetu wenye UZITO ZAIDI kwa sasa tuna matatizo ya *MAGOTI KUUMWA NA MIGUU KUPATA GANZI* Hizi changamoto zote zinatokana na kuzidiwa kwa mifupa na kubana hata mishipa ya fahamu kufikisha ujumbe au mishipa ya damu kupelekea oxygen na virutubisho vingine!

*USHAURI WA HARAKA*
Punguza UZITO HARAKA! Madhara ya kubaki na uzito kwa mifupa na uti wa mgongo ni makubwa kuliko tunavyodhani. Maumivu, kupinda kwa mwili, kusagika kwa mifupa nk yanaongezeka kila lisaa unalozidi kukaa na uzito huo. Kila dakika ipitayo ndio inavyozidi kuumiza mwili.
Pia zuia haraka matumizi ya DAWA ZA MAUMIVU maana nazo zina madhara makubwa sana kwenye miili yetu hasa kwenye FIGO NA INI.

Tuanze kujali leo UZITO wetu kuzuia changamoto za mifupa na viungo ...

24/06/2024

USIPITE BILA KUSOMA HII

Naitwa Agnes mtete. Ni mke nimeolewa na nina miaka 25 ya ndoa. Ni mama wa watoto wa kuzaa na kulea. Pia ni mwajiriwa wa banki ya kimataifa hapa nchini.

Nilikutana na Dr Vai miezi mitatu iliyopita nikiwa magonjwa sanaa. Mgongo wangu ulikuwa umelika Sanaa na kusagika kwa kiasi kikubwa magoti yangu na nyonga vyote vilikuwa vimesagika .

Nilikuwa nimetibiwa hapa Tanzania katika hospital mbalimbali bila mafanikio nikapata referal ya kwenda nchini India kwaajili ya upasuaji mkubwa sanaa na kunifunga screw tano mgongoni

Nilitumia gharama kubwa sana kiasi cha Tsh million 25. Bahati mbaya ni kuwa sikupona.

Nilipokutana na Dr. Vai nilimwelezea tatizo langu na akaniambia kuwa tatizo langu linatibika na ni vema nianze matibabu kwa haraka kwahiyo bila kusita nikalipia package ya dawa ambapo package yangu ilikuwa na gharama ya 450000 kwahiyo nikalipia nusu ambayo ni 250000 nikaanza dozi.

Baada ya kuanza dozi yangu nilianza kuona matokeo na nafuu kubwa Sanaa kwa muda mfupi ndipo nik**alizia nusu iliyobaki na hivi sasa navoandika ushuhuda huu nimepona kabisa na sisumbuliwi na maumivu yoyote tenaa..
Jiunge na group hili kwaajili ya mafunzo zaidi na maswala ya kiafya

https://chat.whatsapp.com/CN0XOPIpl9v6lxsxSeOmmc

Kwa ushauri na tiba ya haraka tupigie +255743029249

19/06/2024

Dalili za nyonga kusagika (osteoarthritis ya nyonga) zinaweza kujumuisha:

1. *Maumivu* Huu ni dalili kuu na inaweza kutokea kwenye nyonga, kinena (groin), au kwenye paja na kuenea hadi kwenye magoti.
2. *Kuvimba na Uwekundu* Eneo la nyonga linaweza kuwa na uvimbe na wekundu kutokana na kuvimba kwa tishu zinazozunguka.
3. *Ugumu wa Nyonga* Hii inaweza kuwa dhahiri zaidi asubuhi au baada ya muda mrefu wa kutokuwa na shughuli.
4. *Kupungua kwa Uwezo wa Kusogeza Nyonga* Unapojaribu kusogeza nyonga, unaweza kuhisi ugumu au kupungua kwa mwendo.
5. *Kusikika kwa Mvurugiko (grating) au Kukwaruza* Unaweza kusikia mvurugiko unapopinda nyonga kutokana na msuguano wa mifupa.
6. *Kuhisi Kuwa na Udhaifu au Kukosa Utulivu wa Nyonga* Hii inaweza kusababisha kujisikia kana kwamba nyonga itatoka mahali.
7. *Kupungua kwa Shughuli za Kawaida* Maumivu na ugumu vinaweza kuathiri uwezo wa kufanya shughuli za kila siku k**a vile kutembea, kupanda ngazi, au kukaa chini na kusimama.

Ikiwa unakumbana na dalili hizi, ni muhimu kutafuta ushauri wa daktari ili kupata uchunguzi na matibabu sahihi.

06/06/2024

TIBA YA MIFUPA NA MAUNGIO KWA WASUMBULIWAO NAMAUMIVU YA NYONGA, KIUNO, MGONGO NA MAGOTI (JOINTS)? MSHAURI: 0743029249
➡▪Hasa maumivu ya kusambaa kutoka kwenye nyonga mpaka kwenye goti Tatizo hili huweza humpata mtu yeyote. Maumivu ya kiuno huanza chini ya mgongo na kuk**ata katika vifupa vilivyo kwa chinikaribu na makalio. Maumivu haya husambaa kulia na kushoto na wakati mwingine huteremka hadi mapajani. Pamoja na kuwepo katika vifupa hivyo pia ndani zaidi huweza kusababisha maumivu haya yatoke kwa ndani na kusambaa nje yaani katika eneo la kiuno.Maumivu ya nyonga huweza kutokea sambamba na maumivu ya kiuno au nyonga yakawa peke yake. Nyonga huunganisha miguu na mifupa ya mapaja inayotengeneza kiuno. Nyonga ndiyo inayofanya utembee, inakuwezesha kutoka sehemu moja hadi nyingine, kukaa na kuruka.SABABU ZINAZOPELEKEA MAUMIVU YA KIUNO NA NYONGA (mifupa kwa ujumla)1.Kujichua muda mrefu hupelekea maumivu hayo. Zipo dawa za kuacha kujichua na kurudisha nguvu zilizopotea.2.Namna ya kulala (style) /godoro linaweza kukusababishia maumivu hayo 3.Kubeba mizigo kwa kuinama na mzigo.4.mawazo (stress).5.kulala kwa muda mrefu na matumizi mabaya ya mto.6.Umri MADHARA YA MAUMIVU HAYO NI K**A YAFUATAYO;1.Hupelekea miguu na mikono kufa ganzi na kuwaka moto2.hupelekea kupooza kwa baadhi ya viungo vya mwili na kushindwa kutembea (kupata kilema cha kudumu) 3.hupelekea kuwahi kufika kileleni mapema wakati wa tendo na kushindwa kurudia. 4.Unaweza kushindwa kutembea kabisa /kunyanyuka, utakaa ukiwa umelala.Habari njema ni kwamba baada yakufanya utafiti wa kina kwa mda mrefu sasa tiba imepatikana,tiba ya uhakika na ya haraka Kwa matibabu ya haraka na sahihi wasiliana nasi,+255743029249
Utajipatia offer maalumu ya msimuu huu Whatsaphttps://wa.me/c/255743029249 .Vany

28/05/2024

*Nimekuja kugundua wanawake wengi hawana elimu sahihi juu ya Hedhi zao..*

🌹Wapo wanaozani hedhi ni jambo la ziada.

*Katika ugunduzi wangu nimegundua wanawake wengi wanateswa na matatizo haya hatari kabisa.*

Wapo ambao

🌹Hawajui kuhesabu siku zao

🌹Hawajua dalili za hedhi hatari

🌹Hawajui sifa za hedhi salam inakuwaje

🌹Wengine wanakosa hedhi kabisa

🌹Wengine wanapata hedhi zenye maumivu mpaka wanashindwa kufanya shughuli za kawaida.

🌹Wengine wanapata hedhi nyepesa k**a maji

🌹Wengine hedhi nzito ya mabonge mabonge

🌹Wengi wanapata hedhi inayotoa damj nyingi.

🌹Wengine vimatone tu

🌹Wengine hedhi Inatoka kwa siku nyingi mno

🌹Wengine hedhi haieleweki ipo k**a haipo

Inabadilika badilika

*Tuwaombee wanawake wote.*

Licha ya dalili mbaya wanazopitia huvumilia mpaka tatizo linapokuwa kubwa kiasi cha kuhatarisha afya yake ya uzazi na maisha yake kabisa.

Wapo wengi walioona dalili mbaya kwa kujua bila kujua wakapuuzia dalili mwisho wa siku

Tatizo likawa kubwa kiasi cha kuwafanya wawe tasa na wengine wapoteze maisha.

*Sifa ya mwanamke Hedhi*

Jari hedhi yako.

Nimeandaa darasa maalumu kwa wanawake wote

Kwaajiri ya kutoa elimu kuhusu hedhi kwa ujumla.

Wewe k**a mwanamke unaejali afya yako ,maisha yako na unajitambua

*Join humu.*

CHANZO CHA TATIZO LA KUKAZA MISULI YA MIGUUNI_Zipo sababu mbali mbali ambazo huchangia kutokea kwa tatizo hili k**a vile...
22/05/2024

CHANZO CHA TATIZO LA KUKAZA MISULI YA MIGUUNI
_Zipo sababu mbali mbali ambazo huchangia kutokea kwa tatizo hili k**a vile;_
• upungufu wa maji mwilini, ambao hutokana na sababu mbali mbali k**a vile kutokunywa maji ya kutosha n.k

• kufanya kazi zinazohusisha miguu kwa kiasi kikubwa, kutembea umbali mrefu au michezo k**a mpira wa miguu huweza kuchangia tatizo la kukaza kwa misuli ya miguuni

• ⁠• Tatizo la kuwa na mzunguko mbaya wa damu (poor blood flow) kwenye mishipa na misuli ya miguuni. Kupungua kwa mishipa ambayo husafirisha damu kwenye miguu yako (arteriosclerosis) huweza kusababisha maumivu pamoja na misuli ya miguu kukaza sana, japo shida hii huondoka mara tu baada ya kuacha kufanya mazoezi k**a tatizo limetokea wakati wa kufanya mazoezi.

• ⁠• Ukandamizaji wa neva pamoja na mishipa ya damu mgongoni.
Ukandamizaji wa mishipa kwenye mongo wako (lumbar stenosis) pia inaweza kusababisha maumivu pamoja na kukaza kwa misuli ya miguuni.
Maumivu haya huzidi sana wakati unatembea.

• ⁠• Kupungua kwa madini mwilini k**a vile; Potasiamu, kalsiamu au magnesiamu katika lishe yako inaweza kuchangia maumivu ya miguu pamoja na tatizo la misuli kukaza.

• ⁠• Matumizi ya dawa jamii ya Diuretics - dawa hizi huweza kuchangia mtu kutoa maji mengi mwilini kwa njia ya
Mojo, kuathiri mzunguko wa damu (shinikizo la damu) pamoja na upungufu wa madini k**a potassium, magnessium, calcium n. k.

21/05/2024

Upasuaji wa tumor, au upasuaji wa neoplazia, ni mchakato unaolenga kuondoa tumor kutoka kwa mwili. Hatua za upasuaji zinaweza kutofautiana kulingana na ukubwa na aina ya tumor, pamoja na eneo lake mwilini. Lengo ni kuondoa tumor kwa ukamilifu iwezekanavyo bila kusababisha madhara kwa tishu zinazozunguka au kwa afya ya jumla ya mgonjwa. Mara nyingi, vipimo vya kina hufanywa kabla ya upasuaji ili kubaini ukubwa na mpangilio wa tumor, na kutoa ramani kwa mkirurgia. Baada ya upasuaji, mgonjwa anaweza kupata matibabu ya ziada k**a vile chemotherapy au mionzi kulingana na hali ya tumor na ushauri wa daktari.

18/05/2024

*Hii ndiyo tabia chafu na mbaya zaidi inayotesa wengi kwa sasa*

Sio wamama sio wababa
Sio wakaka sio wadada.

Wote wanaifanya😭

Sio wote ila ni wengi wanaifanya kwa sasa.

🌹Tulizoea zamani
Wanaume pekee ndiyo ilikiwa inawetesa na wao pekee ndiyo walikuwa wanaifanya.

Ila kwa sasa wembe ni uleule kwa jinsia zote mbili.

🌹Tulizoea pia ni watu ambao hawapo kwenye ndoa ndio hufanya sana

Ila sasa hata wale waliopo kwenye ndoa wanaifanya

Ni huzini sana, inatesa na kuumiza akili mwili na kuuwa imani ya mtu.

😭Tabia yenye ni tabia yakujichua ( punyeto)

Utajisikiaje ukigundua mpenzi wako anajichua.

Au utajisikiaje athari za kujichua zikikuandama,kukutesa na kudharisha mbele ya mpenzi wako unayempenda

🌹 Utajisikiaje mpenzi wako anakwambia anashindwa kuacha punyeto.

_K**a ni wewe njoo inbox nikusaidie kuna program ya kuuwa tabia hii pamoja na kutibu athari zake._

Ni huzuni sana sina tena sana

🌹 Hivi unajua Punyeto husabanisha

Ugumba,stress,hasira na majuto,Kupoteza hamu ya tendo la ndoa pia matatizo ya kisaikolojia( matatizo ya akili)

🌹Athari Kwa wanaume
😭Uume kulegea,
😭kushidwa kumpa mwanamke ujauzito,
😭Kushindwa kurudia tendo,
😭kuwahi kufika kileleni,
😭kukosa kujiamini
😭Matatizo ya akili
N.k

🌹Kwa mwanamke athari ni k**a

😭Ugumba,
😭Matatizo ya homoni
😭Kukosa hamu ya tendo
😭Kukosa ute/uke mkavu
😭Kushindwa kufika kileleni
😭Kukosa hedhi
😭Mvurugiko wa hedhi
😭Matatizo ya akili

🌹Madhara ya punyeto ni mengi mno ila haya ni baadhi tu.

K**a umeathirika na punyeto
Au

umeshindwa kuacha kabisa

✅Njoo nikupe tiba na counselling.

😭 *Ni bora ungezaliwa na ukafa ukiwa mtoto kuliko kuzeeka na kufa bila mtoto wa matatizo ya kujitakia*

Natoa tiba ya uzazi
Na kuponya ugumba

0743029249

🌹Kwa masomo mengi kuhusu afya.

Save namba yangu kisha njoo inbox nitajie jina lako nikusave.

Watu 5 kuja inbox
Nitawapa offa ya asilimia 30%

Iwe tiba ya uzazi au program ya punyeto

Karibu uwe na wakati mwema Mtu wa Mungu.

18/05/2024
Husaidia Sana Kushiba Haraka !Yani kuondoa ile hamu ya Kula Isiyoisha! Zinaweza kusaidia watu wasiopenda Kitambi ! K**a ...
18/05/2024

Husaidia Sana Kushiba Haraka !Yani kuondoa ile hamu ya Kula Isiyoisha! Zinaweza kusaidia watu wasiopenda Kitambi !

K**a hupendi kitambi Zitafute hizi Tumia mara kwa mara ! Ni Cauliflower Na Broccoli Hizo Hapo Juu!

# Afya Road

Springomyelia ni aina Fulani ivi ya mkusanyiko wa uvimbe iliopo kwenye UTI wa mgongo asee uvimbe huu maumivu yake huwezi...
18/05/2024

Springomyelia ni aina Fulani ivi ya mkusanyiko wa uvimbe iliopo kwenye UTI wa mgongo asee uvimbe huu maumivu yake huwezi ata kusimama au kulala 📸 kipimo hapa ni CT scan ni better kwa haraka haraka usimeze tu madawa ya kuondoa maumivu sometimes ndio unazidisha ttzo📸*

Address

Njombe

Telephone

+255743029249

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya Road posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya Road:

Share