Soccer score255

Soccer score255 1x_159142 Weka promo code hii uwa bonus football fixtures

18/08/2025

Celebrating my 7th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉

Tetesi za soka Ulaya Jumatano Antony anataka kupigania nafasi yake Manchester United licha ya kuhusishwa na Fenerbahce, ...
11/09/2024

Tetesi za soka Ulaya Jumatano

Antony anataka kupigania nafasi yake Manchester United licha ya kuhusishwa na Fenerbahce, vilabu vyote vinne vya Uturuki vinavyomlenga Kieran Trippier vimemaliza harakati zao kumsajili, Aston Villa ilikataa ofa 40 za kumtaka Jhon Duran.

Winga wa Brazil Antony, 24, anasita kuondoka Manchester United licha ya Fenerbahce kumtaka . (ESPN)

Vilabu vya Super Lig vya Uturuki Istanbul Basaksehir, Fenerbahce, Besiktas na Eyupspor vimekata tamaa kujaribu kumsajili Kieran Trippier baada ya Newcastle kuweka wazi kuwa wanataka kusalia na beki huyo wa zamani wa Uingereza, 33. (Sky Sports).

Aston Villa walimthamini sana Jhon Duran hivi kwamba walikataa ofa 40 kwa mshambuliaji huyo wa Colombia mwenye umri wa miaka 20 katika msimu wa joto. (Mirror)

Written by

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 04.09.2024Galatasaray wapo kwenye mazungumzo na Manchester United kuhusu uhamisho wa mkopo...
04/09/2024

Tetesi za soka Ulaya Jumatano 04.09.2024

Galatasaray wapo kwenye mazungumzo na Manchester United kuhusu uhamisho wa mkopo wa mwaka mmoja kwa kiungo wao wa kati wa Brazil Casemiro, 32. (Ali Naci Kucuk – In Turkish),

Liverpool wanapanga kufanya mazungumzo ya kandarasi na mshambuliaji wa Misri Mohamed Salah, 32, baada ya kusema huu ulikuwa "msimu wake wa mwisho" katika klabu hiyo kufuatia ushindi wao dhidi ya Manchester United. (Football Insider)

Meneja wa Pumas UNAM Gustavo Lema anasema Liverpool ilijaribu kumsajili winga wao wa Mexico Cesar Huerta, 23. (TUDN – In Spanish}

Chelsea wako tayari kumtuma beki wa kushoto wa Uingereza Ben Chilwell, 27, kwa mkopo Uturuki, ingawa bado hawajapokea ofa yoyote. (Telegraph – Subscription Required)

Mazungumzo yanaendelea kati ya Chelsea na AEK Athens kuhusu uhamisho wa mshambuliaji wa Ivory Coast David Datro Fofana, 21. (Mail)

Tottenham wamefanya mazungumzo ya kumnunua kiungo wa kati wa Marekani Johnny Cardoso, 22, kwa £21m kutoka Real Betis. (Telegraph – Subscription Required)

Kiungo wa kati wa zamani wa Liverpool Naby Keita, 29, yuko kwenye mazungumzo na Istanbul Basaksehir kuhusu uwezekano wa kuhama kutoka Werder Bremen baada ya mchezaji huyo wa kimataifa wa Guinea kutokubaliana na masharti ya kuhamia Sunderland. (Guardian)

Winga wa zamani wa Manchester United Anthony Martial, 28, amepewa mkataba na AEK Athens ambao utamfanya kuwa mchezaji anayelipwa pesa nyingi zaidi klabuni hapo. Mfaransa huyo alikua mchezaji huru wakati kandarasi yake United ilipoisha mwezi Juni. (Sport24 via Sun).

Manchester United inamfuatilia kwa karibu beki wa kushoto wa Juventus mwenye umri wa miaka 23 kutoka Colombia Juan Cabal. (Tutto Juve – In Italy), nje

Real Betis walitoa ofa kwa kiungo wa kati wa Manchester United na Denmark Christian Eriksen, 32, siku ya mwisho ya dirisha la uhamisho (Fabrizio Romano)

DEAL DONE ✅Klabu ya Galatasaray inayoshiriki ligi kuu ya uturuki ipo katika hatua za mwisho za kumsajili kwa mkopo msham...
02/09/2024

DEAL DONE ✅

Klabu ya Galatasaray inayoshiriki ligi kuu ya uturuki ipo katika hatua za mwisho za kumsajili kwa mkopo mshambuliaji wa kimataifa kutoka inchini Nigeria Victor Osmhein

-Victor Osmhein anajiunga na Galatasaray akitokea Napoli inayoshiriki ligi kuu ya Italia

-Galatsaray wameridhia kumlipa mshahara wa euro milioni 8/10 kwa msimu Mmoja

Source

🚨 Taarifa zandani zinaeleza Saido Ntibazonkiza ameendelea kuvutana na viongozi wa Simba juu ya kusaini mkataba mpya ili ...
18/01/2024

🚨 Taarifa zandani zinaeleza Saido Ntibazonkiza ameendelea kuvutana na viongozi wa Simba juu ya kusaini mkataba mpya ili aendelee kuitumikia klabu hiyo. Awali ilielezwa Saido alikuwa afyekwe sambamba na Moses Phiri pamoja na Kramo kabla ya mambo kubadilika na kiungo huyo mshambuliaji kunusurika, badala yake Jean Baleke akarudishwa TP Mazembe.
Saido (38) mkataba wake umemalizika na amekuws akivutaja na Uongozi juu ya kusaini mpya ili asalie Msimbazi.

Credit

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 18.01.2024Atletico Madrid na Barcelona ni miongoni mwa takriban klabu sita zinazowania kum...
18/01/2024

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 18.01.2024

Atletico Madrid na Barcelona ni miongoni mwa takriban klabu sita zinazowania kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Kalvin Phillips kutoka Manchester City, huku mustakabali wa mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 ukitarajiwa kuamuliwa wiki ijayo. (Telegraph - usajili unahitajika)

Tottenham haijakata tamaa ya kumsajili kiungo wa kati wa Uingereza Conor Gallagher, 23, kutoka Chelsea. (Football Insider)

Chelsea wako tayari kumruhusu mshambuliaji wa Albania Armando Broja, 22, kuondoka kwa mkataba wa kudumu iwapo ofa inayofaa itapokelewa, huku West Ham, Fulham na Wolves wakiwa miongoni mwa vilabu vinavyowania. (Usajili unahitajika)

Mustakabali wa mshambuliaji wa Ureno Goncalo Ramos katika klabu ya Paris St-Germain uko mashakani na klabu hiyo ya Ufaransa inaweza kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 22 mwezi Januari iwapo ofa inayofaa itatolewa. (L'Equipe - kwa Kifaransa)

Fulham wako kwenye mazungumzo ya kumsaini beki wa kati wa Chelsea Mwingereza Trevoh Chalobah, 24, kwa mkataba wa mkopo wa miezi sita na chaguo la kumnunua. (Florian Plettenberg kwa Sky Germany)

Napoli itavutiwa na kiungo wa kati wa Denmark Pierre-Emile Hojbjerg ikiwa Tottenham itaamua kumuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 mwezi Januari. (Telegraph - usajili unahitajika)

Arsenal wanaongoza kinyang'anyiro cha kumsajili mshambuliaji wa Uholanzi Xavi Simons, 20, ambaye yuko kwa mkopo RB Leipzig kutoka Paris St-Germain. (Sport Bild kupitia Football Transfers)

The Gunners pia wamepewa nguvu katika kumsaka kiungo wa kati wa Brazil Bruno Guimaraes, 26, kufuatia ripoti kwamba Newcastle inatafuta mbadala wake.(Football London)

Aston Villa wameulizia Borussia Dortmund kuhusu uwezekano wa kumsajili kiungo wa kati wa Marekani Giovanni Reyna, 21(Football Transfers)

Marseille wanapanga kurejea kutoa ofa kwa winga wa West Ham Said Benrahma baada ya ofa ya kwanza kwa mchezaji huyo wa Algeria mwenye umri wa miaka 28 kukataliwa.(Foot Mercato -Kwa Kifaransa)

Cc

DEAL DONE ✅LADACK CHASAMBI IS RED AND WHITE 🔴⚪
08/01/2024

DEAL DONE ✅

LADACK CHASAMBI IS RED AND WHITE 🔴⚪

🚨🚨Ladack Chasambi 🇹🇿this evening has landed in Zanzibar to start training with his new team Simba SC 🇹🇿 from Mtibwa Suga...
08/01/2024

🚨🚨

Ladack Chasambi 🇹🇿this evening has landed in Zanzibar to start training with his new team Simba SC 🇹🇿 from Mtibwa Sugar🇹🇿.

Chasambi 🇹🇿has already been introduced to his teammates.

⌛ Official Announcement 🔜

✅ OFFICIAL  AND CONFIRMEDKiungo mkabaji wa kimataifa kutoka Senegal, Babacar Sarr ametua Unyamani.Taarifa zaidi kwenye S...
06/01/2024

✅ OFFICIAL AND CONFIRMED

Kiungo mkabaji wa kimataifa kutoka Senegal, Babacar Sarr ametua Unyamani.

Taarifa zaidi kwenye Simba App.

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 04.01.2024Wan-Bissaka alijiunga na United kutoka Crystal Palace msimu wa joto wa 2019Manch...
04/01/2024

Tetesi za Soka Ulaya Alhamisi 04.01.2024

Wan-Bissaka alijiunga na United kutoka Crystal Palace msimu wa joto wa 2019

Manchester United inapanga kuanza mazungumzo juu ya mkataba mpya na beki wa Uingereza, Aaron Wan-Bissaka mwenye umri wa miaka 26 mwishoni mwa msimu huu. (Mail)

Mshambuliaji wa Misri Mohamed Salah, 31, anakaribia kuongezewa mkataba mpya katika klabu ya Liverpool licha ya kutakiwa na Saudi Pro League. (Football Transfers na Anfield Watch)

Mfuko wa Uwekezaji wa Umma wa Saudi Arabia (PIF) umefufua nia ya kumnunua kiungo wa kati wa Manchester City na Ubelgiji, Kevin de Bruyne, mwenye umri wa miaka 32. (Rudy Galetti)

Borussia Dortmund wanataka kumsajili beki wa kushoto wa Chelsea, Ian Maatsen, 21, kwa mkopo au kwa mkataba wa kudumu. (Telegraph)

Dortmund wanataka winga wa Manchester United, Muingereza, Jadon Sancho, 23, ajiunge na timu hiyo kwa mkopo katika kambi yao ya mazoezi ya Marbella wiki ijayo. (Sky Sports)

Manchester United wana nia ya kumfanya winga wa Crystal Palace Michael Olise, 22, kuwa mmoja wa wachezaji wa kwanza kusajiliwa huko Old Trafford. (Standard)

Crystal Palace wana nia ya kumsajili mshambuliaji wa Uingereza, Eddie Nketiah lakini Arsenal hawatamuuza mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 24 mwezi Januari - ikiwa hawatapata mbadala wake. (Ben Jacobs)

Meneja wa Girona, Michel Sanchez ameibuka k**a mbadala wa meneja wa Newcastle United Eddie Howe. (Marca)

Klabu ya Ligue 1 ya Ufaransa, Lyon inataka kumsajili winga wa West Ham na Algeria, Said Benrahma, huku Wolves na Fulham pia wakimtaka mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28. (Footmercato)

Address

Posta
Njombe

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Soccer score255 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Soccer score255:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram