Njombe RRH

Njombe RRH Ukurasa Rasmi wa Hospitali ya
Rufaa Mkoa wa Njombe
59017 Ramadhani -Njombe
P. O Box 1044 Njombe

11/05/2026

Wizara ya Afya inatarajia kuongeza wigo katika eneo la Huduma za kibingwa katika Hospitali za Rufaa za Mikoa kutoka Huduma 11 zilizopo sasa hadi huduma 17 katika mwaka wa Fedha 2026/2027.

Hayo yamesemwa leo Mei 11, 2026 na Waziri wa Afya, Mohamed Mchengerwa katika Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Afya iliyowasilishwa Bungeni jijini Dodoma.

Wizara ya Afya imeliomba Bunge kupitisha kiasi cha Tsh. Trilioni 1.8 kwa mwaka wa fedha 2026/2027

11/05/2026
11/05/2026

Umuhimu wa kuhudhuria Kliniki wakati wa Ujauzito.

11/05/2026

Kuelekea Kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Wauguzi Duniani ambayo ni kesho Mei, 12.

Muuguzi, Faraja Mwahayola kutoka Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe anatupitisha katika kuifahamu Historia ya Uuguzi na Ukunga nchini Tanzania, kabla ya Ukoloni, kipindi cha Ukoloni na baada ya Uhuru.

Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa akiwasili katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dod...
11/05/2026

Waziri wa Afya, Mhe. Mohamed Mchengerwa akiwasili katika viwanja vya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania jijini Dodoma leo Mei 11, 2026 kwa ajili ya kuwasilisha Bajeti ya Wizara ya Afya Fungu 52 kwa mwaka wa fedha 2026/27.

Bajeti hiyo imezingatia uimarishaji wa huduma za afya nchini kupitia vipaumbele kumi na kimoja vya kimkakati vinavyolenga kuboresha huduma kwa wananchi.

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Afya kusomwa leo Mei 11 Bungeni jijini Dodoma
11/05/2026

Hotuba ya Bajeti ya Wizara ya Afya kusomwa leo Mei 11 Bungeni jijini Dodoma

Nyote Mnakaribishwa
10/05/2026

Nyote Mnakaribishwa

10/05/2026

Fahamu kuhusu Saratani ya Pazia la Jicho (Retinoblastoma)

09/05/2026

Esili Anangisye Mwakajinga ambaye ni Mfamasia katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe anatupitisha katika Dondoo muhimu za kufahamj kuhusu Tiba Asili (Tiba ambatanishi) namna inavyofanya kazi.

Uanzishwaji wa Tiba asili ni Matakwa ya Serikali kupitia Wizara ya Afya ikiwa imenuia kuboresha mazingira ya Utoaji Tiba hiyo kwa kuzingatia Utafiti yakinifu wa Mimea Tiba katika viwango bora na rafiki kwa mtumiaji chini ya Kituo Kikuu cha Utafiti wa Afya Nchini Tanzania (NIMR)

Address

Mgodechi/Ramadhani Njombe Mjini
Njombe
59107

Telephone

+255678888654

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Njombe RRH posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Njombe RRH:

Share