Baraza la watoto shinyanga

Baraza la watoto shinyanga Baraza hili lina jukumu la kuwaunganisha watoto kutoka se

Baraza la Watoto la Mkoa wa Shinyanga ni chombo muhimu kinacholenga kutoa fursa kwa watoto wa mkoa huu kujadili masuala yanayowahusu na kuchangia katika maamuzi yanayohusiana na haki na ustawi wao.

Leo tarehe 27/3/2025 katika ofisi za Shirika la Rafiki SDO .Baraza la Watoto Manispaa ya shinyanga, tumeshiriki Kikao am...
27/03/2025

Leo tarehe 27/3/2025 katika ofisi za Shirika la Rafiki SDO .Baraza la Watoto Manispaa ya shinyanga, tumeshiriki Kikao ambacho kulikuwa ni kupitia utekelezaji wa changamoto tulizoziibua mwaka 2024 katika sekta za maji, nishati ya umeme na utunzaji wa mazingira pamoja na changamoto ya s**o kwa wasichana.
Kikao hiki,kilichoandaliwa na kilihusisha wadau wa Maendeleo ya mtoto kutoka ofisi ya Mkurugenzi Manispaa ya shinyanga pamoja na viongozi wa kata ya Ngokolo.
Baraza la Watoto Manispaa tushukuru sana kuona tupo sehemu ya kundi tunashiriki katika masuala yanayotuhusu na lengo letu ni kuhakikisha mtoto analindwa na anaishi katika mazingira salama🀝
.driver.of.development

Karibu kwenye Baraza la Watoto la Mkoa wa Shinyanga! πŸ…πŸŒŸ Hapa tunawaunganisha watoto wote wa mkoa wetu ili waweze kushiri...
13/06/2024

Karibu kwenye Baraza la Watoto la Mkoa wa Shinyanga! πŸ…πŸŒŸ Hapa tunawaunganisha watoto wote wa mkoa wetu ili waweze kushiriki kikamilifu katika maamuzi yanayohusu maisha yao. Pamoja, tunajenga jamii yenye haki, usawa, na maendeleo kwa vizazi vijavyo. Jiunge nasi na tuweze kusikika pamoja!

Address

Shinyanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Baraza la watoto shinyanga posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram