04/06/2022
✅✅✅Hello dears, kwanza kabisa napenda niwajulishe kuhusu Mvurugiko wa homoni
https://chat.whatsapp.com/FKSeVO9AKZJHQosDw4Qk0M
✍️Mvurugiko wa homoni (hormone imbalance)
👉👉Hii ni hali ya kuongezeka au kupungua kwa vichocheo katika mwili wa mwanamke, hivyo kumfanya mwili wake kubadilika.
Hali hii huchangia mwanamke kupata matatizo katika mfumo wake wa uzazi kwa asilimia kubwa
https://chat.whatsapp.com/FKSeVO9AKZJHQosDw4Qk0M
👉Mvurugiko wa homoni kwa mwanamke husababishwa na kutokuwepo usawa katika homoni zifuatazo
-Estrogen
-Progesterone
-Testosterone.
https://chat.whatsapp.com/FKSeVO9AKZJHQosDw4Qk0M
✍️✍️Vyanzo vya Mvurugiko wa homoni ni vipi????
✅Uwepo wa takamwilk nyingi na sumu mwilini
✅Unbalanced diet: kutozingatia mlo kamili
✅Umri kwenda sana
✅Kukoma hedhi
✅Mabadiliko ya mazingira au hali ya hewa
✅ Uzito mkubwa sana
✅ Msongo wa mawazo, hii hali husababisha mwili kushindwa kuzalisha homoni
✅Upungufu wa lishe
✅Matumizi ya njia za kisasa za uzazi wa mpango
✅Utoaji mimba
✅Family history (historia ya familia), Upungufu au ongezeko la uwezo wa mwili kuzalisha homoni..
✍️✍️Dalili za Mvurugiko wa homoni..
✅Kukosa hedhi kwa mda mrefu
✅ Hedhi isiyo na mpangilio(Mabadiliko ya mzunguko wa hedhi
✅Kutokwa jasho usiku
✅Maumivu makali wakati wa hedhi
✅Uke mkavu(kukosa uteute)
✅Kukosa hamu ya tendo la ndoa
✅Uchovu na hasira za mara kwa mara
✅Kuhisi dalili za mimba wakati hauna mimba
✅Kukosa kumbhkumbu
✅Kuharibika kwa ngozi, kupata chunusi
⚠️https://chat.whatsapp.com/FKSeVO9AKZJHQosDw4Qk0M
0763344039
WhatsApp Group Invite