Maajabu ya uchawi

Maajabu ya uchawi Tiba asili VISOMO na dua na dawa za mitishamba

Usije ukajaribu hata siku moja kumwambia mvulana kuwa bado wewe ni bikra kumbe unajua ni bwabwa k**a unataka Usalama wa ...
26/12/2024

Usije ukajaribu hata siku moja kumwambia mvulana kuwa bado wewe ni bikra kumbe unajua ni bwabwa k**a unataka Usalama wa ndoa yako usije kujaribu

Unaweza kupewa talaka siku hiyo hiyo huyo MWANAUME k**a sio wale wa subra MPE ukweli kuwa mimi niliteleza basi kuliko uongo wa MADHARA

Wengine wanaishi nao ila kwa mashaka makubwa na ndoa hukosa furah, upendo amani kisa ulisema uongo kukuamini ni 0 muwe wakweli kwenye uchumba sio uongo

WANAUME hata k**a yupo na miaka 100 watoto 100 kazini na watu 100 bado anataka bikra muwe makini

Na nyie wanaume hii tabia ya kukaa mnasema SIKU hizi hakuna bint bikra muache Mara moja, tabia mbaya dhana mbaya utakuja kuulizwa kwani nyie mumezini dunia nzima kuweni makini na kauli zenu

UKITULIA UTAPATA ALIYE TULIA TATIZO LENU BAADHI MNAZINI KWANZA NDO MNATAKA KUOA BIKRA NDO MAANA MNAKOSA

ILA MKITULIA BILA KUZINI MTAPATA
MABINT WALIYO JITUNZA NI WENGI MIMI NAKUHAKIKISHIA KUWA WAPO

NAWAPENDA NDO MAANA NAWAMBIA.

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Paul Joicse, Masala Mwana
20/01/2024

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Paul Joicse, Masala Mwana

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Dogo Tiger, Paskazia Sudi, Robert Kulwa
24/11/2023

Salamu wafuasi wangu wapya! Nina furaha kuwa nanyi! Dogo Tiger, Paskazia Sudi, Robert Kulwa

Address

Stone Town

Telephone

+255676412130

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Maajabu ya uchawi posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category