Afya njema na ushauri kiafya

Afya njema na ushauri kiafya Karibu tuzungumzie masuala ya afya, ushauri na matibabu

29/03/2024
JE UNASUMBULIWA NA MICHIRIZI (stretch marks)Na: Fadhil F. Wambua💠Hutokea sehemu mbalimbali mwilini k**a mikononi, miguun...
29/07/2021

JE UNASUMBULIWA NA MICHIRIZI (stretch marks)

Na: Fadhil F. Wambua
💠Hutokea sehemu mbalimbali mwilini k**a mikononi, miguuni, mapajani au tumboni.

💠Alama hizi hutokea baada ya sehemu ya kati ya ngozi, kutanuka ghafla ndani ya muda mfupi pengine kwa sababu ya mazoezi makali au mtu kuongezeka Uzito ghafla.

💠Pia kuna baadhi ya dawa,Mafuta au homoni ambazo kwa namna moja au nyingine huathiri tishu za ngozi na hivyo kumfanya mtu akapata alama za michirizi.

💠Ujauzito kwa baadhi ya wanawake na pia hali itokanayo na kurithi kutoka kwa watu wa familia pia inachangia mtu kupata alama hizi katika ngozi yake.

💠Kwa ufupi, michirizi inasababishwa na:

– Ujauzito

– Kuongezeka kwa mwili (unene)

– Ukuaji wa haraka wakati wa kubalehe

– Mabadiliko ya mwili

– Lishe mbovu

💠Kwa kawaida, michirizi haimletei mtu maumivu yoyote, bali jambo kubwa huwa ni kuubadili muonekano wa ngozi ya mtu.
Michirizi ikizidi usugu husababisha Maumuvu.

💠Kwa baadhi ya watu michirizi huwa ni mikubwa sana, na kwa namna moja au nyingine humnyima mtu uhuru au humfanya mtu asiwe na amani anapokuwa mbele ya watu kwa kutegemea michirizi hiyo imetokea sehemu gani ya mwili.

💠Unaweza kuondoa michirizi kwa njia za kiasili kwa kutumia bidhaa zetu kuondokana na tatizo

MAWASILIANO:
Call/SMS: 0622192678
WhatsApp: 0676121014

TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI_Na: Fadhil F. Wambua_Mirija ya uzazi ambayo pia kitaalamu hujulikana k**a “Uterine ...
01/04/2021

TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

_Na: Fadhil F. Wambua_
Mirija ya uzazi ambayo pia kitaalamu hujulikana k**a “Uterine tubes” huwa ni mirija miwili inayokuwa pande mbili za mfuko wa kizazi (uterus) ambayo hubeba yai lililokomaa kutoka kwenye kifuko cha yai(ovary) na kulisafirisha kwenda kwenye mfuko wa kizazi(uterus).

Mirija hii ya uzazi pia hubeba mbegu za mwanaume zinazokuwa zikiogelea kwenye shingo ya kizazi na kuzisafirisha ili ziweze kukutana na yai la mwanamke.

Kwa kawaida, mirija hii ya uzazi huwa ina tishu ndogondogo ambazo kitaalamu hujulikana k**a “ciliated epithelia” ambazo hueleaelea kwenda mbele na kurudi nyuma ili kulisaidia yai liweze kutoka kwenye kifuko cha yai(ovary) kila mwezi na kuingia kwenye mfuko wa kizazi(uterus).

Tishu hizi zenye muonekano k**a vinyweleo fulani pia husaidia yai lililorutubishwa liweze kusafiri na kuingia kwenye mirija ya uzazi mpaka kwenye mfuko wa kizazi(uterus).

Hivyo basi, kovu lolote au mchubuko unaokuwa kwenye mirija ya uzazi unaweza kusababisha hali ya kuziba kwa mrija ambayo huathiri uwezo wa kuzaa wa mwanamke.

*_DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI_*

Kwa kawaida ni nadra sana kwa tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi kuonesha dalili mpaka pale mwanamke anapokuwa akijaribu kutafuta ujauzito lakini asiupate.

Hata hivyo katika baadhi ya wanawake hali hii inaweza ikaonyesha dalili zifuatazo:
👉Maumivu makali wakati wa hedhi
👉Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kutokwa na uchafu ukeni,
👉Mirija ya uzazi kuvimba na kujaa majimaji
👉Maumivu makali chini ya kitovu
👉Maumivu ya nyonga,
👉Maumivu makali wakati wa hedhi

*_CHANZO CHA TATIZO_*
Sababu zinazopelekea mirija ya uzazi kuziba huwa k**a ifuatavyo:
👉Magonjwa ya maambukizi katika via vya uzazi au PID.
👉Magonjwa ya zinaa k**a vile pangusa(Chlamydia), kisonono, nk
👉Michubuko au majeraha kwenye mirija ya uzazi kutokana na upasuaji, nk
👉Mimba kutunga nje ya kizazi na kusababisha upasuaji hali ambayo hupelekea michubuko
👉Hali ya kukua kwa uvimbe aina ya fibroid ambayo hupelekea kuziba nafasi ya mirija ya uzazi
👉Mkusanyiko wa usaha au uchafu kutokana na maambukizi ya magonjwa kwenye mirija ya uzazi.
👉Matumizi ya madawa ya uzazi wa mpango


_Je, Mwanamke Anaweza Kuendelea Kupata Hedhi Hata K**a Mirija Ya Uzazi Imeziba?_

JIBU: Hali ya kuziba kwa mirija ya uzazi kwa kawaida huwa haiathiri vipindi vya hedhi wala mzunguko wa hedhi zaidi ya kujitokeza baadhi ya maumivu au kukosa furaha.

Hata k**a mirija yote miwili ikiwa imeziba, lakini haiwezi kuathiri vipindi vya hedhi. Hata hivyo, magonjwa ambayo husababisha mirija kuziba yanaweza kuathiri vifuko vya mayai pamoja na ukuta wa mfuko wa kizazi, na kwa hali hii, vipindi vya hedhi lazima vibadirike badirike au kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi.

_Je, Unaweza Kuendelea Kupata Ujauzito Huku Ukiwa Na Hali Ya Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi?_

👉Mirija inapoziba huzuia mwanamke asipate ujauzito kwakuwa huzizuia mbegu za mwanaume zisiweze kulifikia yai la mwanamke, na vile vile hulizuia yai lililorutubishwa lisiweze kufika kwenye mji wa mimba.

Upasuaji unaweza ukafanyika ili kuondoa hali ya kuziba, lakini njia hii ya tiba sio ya maana sana kwakuwa inaweza ikasababisha mimba kutunga nje ya kizazi(ectopic pregnancy).

Yafaa sana ukapata tiba za asili ili kuondoa kabisa vyanzo au visababishi na kukuwezesha kupata ujauzito.

*_TIBA ZA ASILI_*
Hizi ni bidhaa halisi zenye mchanganyiko wa viini lishe na mboga za majani.

Kwa binafsi yetu tumesaidia wengi na kunufaika na matibabu haya bila upasuaji na wamefanikiwa kumaliza tatizo

*_K**A UNAHITAJI HUDUMA KARIBU EDMARK INTERNATINAL_*
Mawasiliano:
- Fadhil F. Wambua
WhatsApp: 0676121014
Call/ SMS 0673124384 /0622192678

Unaweza kujiunga nasi kupitia WhatsApp group.. *_Afya njema & ushauri* bonyeza link 👇🏽👇🏽
https://chat.whatsapp.com/HaQMC8soVAP7RBvgxRZnAX

CODE: FFW0912
KARIBUNI SANA KWA BIDHAA BORA KABISA

TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI_Na: Fadhil F. Wambua_Mirija ya uzazi ambayo pia kitaalamu hujulikana k**a “Uterine ...
28/12/2020

TATIZO LA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI

_Na: Fadhil F. Wambua_
Mirija ya uzazi ambayo pia kitaalamu hujulikana k**a “Uterine tubes” huwa ni mirija miwili inayokuwa pande mbili za mfuko wa kizazi (uterus) ambayo hubeba yai lililokomaa kutoka kwenye kifuko cha yai(ovary) na kulisafirisha kwenda kwenye mfuko wa kizazi(uterus).

Mirija hii ya uzazi pia hubeba mbegu za mwanaume zinazokuwa zikiogelea kwenye shingo ya kizazi na kuzisafirisha ili ziweze kukutana na yai la mwanamke.

Kwa kawaida, mirija hii ya uzazi huwa ina tishu ndogondogo ambazo kitaalamu hujulikana k**a “ciliated epithelia” ambazo hueleaelea kwenda mbele na kurudi nyuma ili kulisaidia yai liweze kutoka kwenye kifuko cha yai(ovary) kila mwezi na kuingia kwenye mfuko wa kizazi(uterus).

Tishu hizi zenye muonekano k**a vinyweleo fulani pia husaidia yai lililorutubishwa liweze kusafiri na kuingia kwenye mirija ya uzazi mpaka kwenye mfuko wa kizazi(uterus).

Hivyo basi, kovu lolote au mchubuko unaokuwa kwenye mirija ya uzazi unaweza kusababisha hali ya kuziba kwa mrija ambayo huathiri uwezo wa kuzaa wa mwanamke.

*_DALILI ZA KUZIBA KWA MIRIJA YA UZAZI_*

Kwa kawaida ni nadra sana kwa tatizo la kuziba kwa mirija ya uzazi kuonesha dalili mpaka pale mwanamke anapokuwa akijaribu kutafuta ujauzito lakini asiupate.

Hata hivyo katika baadhi ya wanawake hali hii inaweza ikaonyesha dalili zifuatazo:
👉Maumivu makali wakati wa hedhi
👉Maumivu makali wakati wa tendo la ndoa
👉Maumivu wakati wa kukojoa
👉Kutokwa na uchafu ukeni,
👉Mirija ya uzazi kuvimba na kujaa majimaji
👉Maumivu makali chini ya kitovu
👉Maumivu ya nyonga,
👉Maumivu makali wakati wa hedhi

*_CHANZO CHA TATIZO_*
Sababu zinazopelekea mirija ya uzazi kuziba huwa k**a ifuatavyo:
👉Magonjwa ya maambukizi katika via vya uzazi au PID.
👉Magonjwa ya zinaa k**a vile pangusa(Chlamydia), kisonono, nk
👉Michubuko au majeraha kwenye mirija ya uzazi kutokana na upasuaji, nk
👉Mimba kutunga nje ya kizazi na kusababisha upasuaji hali ambayo hupelekea michubuko
👉Hali ya kukua kwa uvimbe aina ya fibroid ambayo hupelekea kuziba nafasi ya mirija ya uzazi
👉Mkusanyiko wa usaha au uchafu kutokana na maambukizi ya magonjwa kwenye mirija ya uzazi.
👉Matumizi ya madawa ya uzazi wa mpango


_Je, Mwanamke Anaweza Kuendelea Kupata Hedhi Hata K**a Mirija Ya Uzazi Imeziba?_

JIBU: Hali ya kuziba kwa mirija ya uzazi kwa kawaida huwa haiathiri vipindi vya hedhi wala mzunguko wa hedhi zaidi ya kujitokeza baadhi ya maumivu au kukosa furaha.

Hata k**a mirija yote miwili ikiwa imeziba, lakini haiwezi kuathiri vipindi vya hedhi. Hata hivyo, magonjwa ambayo husababisha mirija kuziba yanaweza kuathiri vifuko vya mayai pamoja na ukuta wa mfuko wa kizazi, na kwa hali hii, vipindi vya hedhi lazima vibadirike badirike au kutokwa na damu nyingi sana wakati wa hedhi.

_Je, Unaweza Kuendelea Kupata Ujauzito Huku Ukiwa Na Hali Ya Kuziba Kwa Mirija Ya Uzazi?_

👉Mirija inapoziba huzuia mwanamke asipate ujauzito kwakuwa huzizuia mbegu za mwanaume zisiweze kulifikia yai la mwanamke, na vile vile hulizuia yai lililorutubishwa lisiweze kufika kwenye mji wa mimba.

Upasuaji unaweza ukafanyika ili kuondoa hali ya kuziba, lakini njia hii ya tiba sio ya maana sana kwakuwa inaweza ikasababisha mimba kutunga nje ya kizazi(ectopic pregnancy).

Yafaa sana ukapata tiba za asili ili kuondoa kabisa vyanzo au visababishi na kukuwezesha kupata ujauzito.

*_TIBA ZA ASILI_*
Hizi ni bidhaa halisi zenye mchanganyiko wa viini lishe na mboga za majani.

Kwa binafsi yetu tumesaidia wengi na kunufaika na matibabu haya bila upasuaji na wamefanikiwa kumaliza tatizo

*_K**A UNAHITAJI HUDUMA KARIBU EDMARK INTERNATINAL_*
Mawasiliano:
- Fadhil F. Wambua
WhatsApp: 0676121014
Call/ SMS 0673124384 /0622192678

CODE: FFW0912
KARIBUNI SANA KWA BIDHAA BORA KABISA

JE?? UNA KITAMBI/ UZITO MKUBWA/ MINYAMA UZEMBE AU KUKOSA CHOO KIKUBWA??  HII NI YAKO.Na: Fadhil F. AbdulVyakula vingi tu...
08/10/2020

JE?? UNA KITAMBI/ UZITO MKUBWA/ MINYAMA UZEMBE AU KUKOSA CHOO KIKUBWA?? HII NI YAKO.

Na: Fadhil F. Abdul
Vyakula vingi tunavyokula vina mafuta mengi ambayo huwa sumu mwilini na kusababisha magonjwa mengi mwilini ambayo huambatana na uzito mkubwa/ kitambi/ minyama uzembe.

Na vingine Lakini pia baadhi ya vyakula kusababisha mwili uzalishe mafuta mengi mwilini ambayo huwa ni sumu ( bad cholesterol)

Matokeo yake watu hunanenepeana mnooo! kutokwa na vitambu, minyama uzembe, na wanawake wengi kuharibu shepu zao za asili na kupunguza mvuto, wakati mwingine huwa na harufu mbaya sana. Na wanaume hufikia wakati kutomudu tendo la ndoa..

Sasa basi leo naitambulisha bidhaa bora kabisa kutoka EDMARK INTERNATIONAL inaitwa SHAKE OFF PHYTO FIBERS NA RED YEAST COFFEE

Bidhaa hizi ni mahususi kwa kuyeyusha mafuta yaliyozidi mwilini kwa kiasi kikubwa sana!

Lakini pia hata k**a unamatatizo ya moyo kuzungukwa na mafuta bidhaa hizi ni msaada mkubwa sana.

Pia bidhaa hizi zinazuia mwili kuzalisha mafuta ukila baadhi ya vyakula

Kwa maana hyo bidhaa hizi inakusaidia kupungua tumbo, nyama uzembe za pembeni ya tumbo, mikono inayoning'inia

Wanawake wengi has a wanaotoka kujifungua wanazitumia ili kurudisha umbo lao halisi ya tumbo mara baada ya kujifungua kwaajili ya kuyayusha mafuta yaliyobaki na kupunguza mwili zaidi.
CALL/WHATSAPP
☎+255 676121014

SMS: 0622192678

UKINUNU UTAPATA OFA YA USAFIRI BUURE KABISA KABLA YA TAR 10/10/2020

CODE: FFW0912

*MWANAMKE / MWANAUME ULISHAWAHI KUWA NA TATIZO LA UDHAIFU WAKATI WA TENDO LA NDOA?*Na: Fadhil F. AbdulLeo nakuletea bidh...
07/10/2020

*MWANAMKE / MWANAUME ULISHAWAHI KUWA NA TATIZO LA UDHAIFU WAKATI WA TENDO LA NDOA?*

Na: Fadhil F. Abdul
Leo nakuletea bidhaa kutoka EDMARK INTERNATINAL

Kikawaida, unapokua mkubwa, Glands za Endocrine huwa zinapunguza ufanyaji kazi wake pia kutokana na vyakula tunavyokula na kusababisha mwili kutozalisha hormones/ vichocheo kwa kasi. Hivyo basi badae hupelekea mwili kuchoka na kukosa nguvu ya asili na stamina katika tendo la ndoa.. Hapa ndiyo mwanaume huanza kudharaulika ndani ya ndoa na kupunguza thamani yako k**a mwanaume..

Hii huleta madhara mengi k**a:
1. Kukosa hamu ya tendo la ndoa.

2. Kupata msongo wa mawazo

3. Kuchoka haraka wakati wa tendo la ndoa na kushindwa kurudia tena

4.Uume kusinyaa na kuwa mdogo mno, hata ukiwa ndani ya uke

5.Kuvuja s***ms (s***m leakage)

6: Uume kuwa mlegevu na kuathiriwa na punyeto

7: Wanawake uke kuwa mkavu mara kwa mara wakati wa tendo na kukosa hamu ya kushiriki tendo la ndoa.

UKITUMIA BIDHAA ZA EDMARK
Ambazo ni mimea asilia kabisa na hutumika k**a Chakula/ kahawa/ na kukurudishia heshima yako ndani ya ndoa..

EDMARK PRODUCTS ni bidhaa asili za mimea/ matunda/ bidhaa za baharini/ mizizi maalum ambayo huchanganya ili kuweza kutibu matatizo tofauti yaliyo katika mfumo wa uzazi kwa kutumia Virutubisho asilia

Ukitumia bidhaa hizi itakusaidia:
1. Kuongeza Libido. (Hamu ya Tendo la Ndoa)💃 kwa mwanaume na mwanamke

2. Kubalance Hormones Kwenye Mwili,

3. Changamoto za maumivu wakati wa hedhi kwa wanawake k**a maumivu makali

4. Kuondoa mafuta/ lehemu mbaya mwilini inayosababisha kushindwa kuwa na mzunguko wa damu uliosahihi na kupelekea mwili kufa ganz mara kwa mara na kuwaka moto.

5. Kuleta kumbukumbu na kazi ya ubongo kwa kusaidia mtiririko mzuri wa damu mwilini.

6. Kuleta Stamina na Nguvu za Kiume.

7. Kurutubisha (s***ms) & ovaries

8. Kukufanya ujisikie vizuri na kukuondolea uchovu .

Hivyo Ukianza kutumia EDMARK PRODUCTS itakusaidia kuondokana na changamoto hizo , na kukupa faida nyingi sana ikiwa na heshima yako k**a mwanaume ndani ya ndoa..
WHATSAPP ☎+255 676121014.

SMS : 0622192678

USICHELEWE OFA HII YA BIDHAA MWISHO TAR 15/10/2020

Code: FFW0912

TUMAINI JIPYA MEDICAL STRAINING COLLEGE..Mkuu wa chuo cha afya ya binadamu cha Tumaini Jipya kilichopo mkoani Iringa- Ma...
11/07/2020

TUMAINI JIPYA MEDICAL STRAINING COLLEGE..

Mkuu wa chuo cha afya ya binadamu cha Tumaini Jipya kilichopo mkoani Iringa- Mafinga chenye namba za usajili NACTE REG/HAS/144 anawatangazia nafasisi za masomo katika mwaka wa masomo 2020/2012 kwa kozi zifuatazo;
-TECHNICIAN CERTIFICATE IN CLINICAL MEDICINE ( MIAKA 2)
-ORDINARY DIPROMA IN CLINICAL MEDICINE (MIAKA 3)

UDAHILI UNAFANYIKA CHUONI KWA IDHINI YA NACTE K**A ILIVYOELEKEZWA...

KUTUMA MAOMBI:
-TUMA JINA LAKO KAMILI
-TUMA INDEX NAMBA YAKO
-NAMBA YA SIMU

TUMA KUPITIA NAMBA ZIFUATAZO:
✍️0764986544
✍️0756916610
✍️0755535301

UDAHILI WA MWAKA WA MASOMO WA 2020/21 UMEANZA RASMI TAR: 15/6/2020 HADI RAR 30/8/2020

TAREHE YA KURIPOTI CHUO NI TAR: 5/10/2020..

FIKA CHUONI AU UNAWEZA KUWASILIANA KWA NAMBA TAJWA HAPO JUU:

AU UNAWEZA KUWASILIANA NAMI MOJA KWA MOJA:

FADHIL F. ABDUL.
CALL:/ WHATSAPP: 0676121014 AU 0756291547

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.Na: Dr Fadhil F. AbdulEdmark internationalNGUVU ZA KIUME NI NINI?Nguvu za kiume ni ...
08/06/2020

TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME.

Na: Dr Fadhil F. Abdul
Edmark international

NGUVU ZA KIUME NI NINI?
Nguvu za kiume ni jina la jumla lenye vipengele vingi ndani yake ikiwa ni pamoja na hamu ya mapenzi; kusimama kwa uume barabara; kuchelewa kufika kileleni kiasi cha kufurahia tendo la ndoa; uwezo wa kurudia tendo la ndoa kwa wakati muafaka; pumzi, wepesi na uchangamfu wa mwili katika kutenda tendo la lenyewe. Kwa ujumla vipengele vyote hivyo, ndivyo ukamilifu wa nguvu za kiume. Na ndiyo maana ya nguvu za kiume.

Kuna watu huwa hawajitambui k**a wana tatizo la kuishiwa nguvu za kiume, na hatimaye tatizo huwa kubwa zaidi. Katika groups zangu za WhatsApp, page za afya njema na ushauri kiafya na groups za Facebook, nimekuwa nikielezea sana masuala ya TIBA RISHE ( FOOD SUPPLEMENT) na baadhi VYAKULA VINAVYOTIBU NGUVU ZA KIUME, watu walikuwa wakipiga simu wakisema, “Mimi sina tatizo la nguvu za kiume ila tu nawahi kufika kileleni!” Wengine wakisema, “Mimi niko sawasawa tu ila nakosa hamu ya tendo la ndoa,” na kadha wakadhaa. Ukweli wa mambo ni kwamba:

K**a unakosa hamu ya tendo la ndoa, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
K**a uume hausimami barabara, una upungufu wa nguvu za kime.
K**a uume unasimama kwa muda mfupi na kulegea, una upungufu wa nguvu za kiume.
K**a uume wako hulegea muda mfupi tu baada ya kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
K**a unafika kileleni muda mfupi tu baada kuingia ukeni, una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
K**a unashindwa kufika kileleni una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
K**a unasikia maumivu wakati uume unaposimama, una tatizo la kuishiwa nguvu.
za kiume.
K**a unashindwa kutoa mbegu (shahawa), una tatizo la kuishiwa nguvu za kiume.
Iwapo moja ya matatizo hayo yatakutokea, fahamu ya kwamba, una UPUNGUFU wa nguvu za kiume, na hivyo sasa ni muda muafaka wa kutafuta matibabu sahihi bila kuchelewa. Unapoanza kujitibu mapema kabla mambo hayajawa mabaya zaidi, unakuwa umejitengenezea fursa pana ya kupona.

NI VIUNGO GANI MWILINI VINAHUSIKA KUFANYA KAZI ZA NGUVU ZA KIUME?
Nguvu za kiume ni tukio pana sana lenye kuhusisha viungo na vitu vingi ndani ya mwili. Kuna zaidi ya viungo na vitu mbalimbali zaidi ya 100 ndani ya mwili wa mwanaume vinavyohusika na nguvu za kiume ambapo viungo hivi pia hufanya kazi zingine za mwili. Baadhi ya viungo hivyo ni ubongo, moyo, mishipa ya neva mishipa ya ateri, mirija iliyo ndani ya uume iitwayo corpora cavernosa.

Viungo vingine ni neva maalumu za parasympathetic, tezidume (prostate gland), ini, figo, homoni ya testestorone, kemikali za acetylcholine, serotonin, na dopamine, uti wa mgongo, eneo la chini ya mgongo (kiuno), eneo la nyonga.

Viungo vingine ni misuli maalumu iitwayo pelvic floor, tezi pituitari (pituitary gland), utando maalumu wa uumeni uitwao tunica albuginea, misuli iitwayo pubococcygeus [PC muscles], kemikali ya nitric oxide, kemikali ya prolactin n.k. Orodha ni ndefu sana, ni zaidi ya 100!
NINI MAANA YA KUPUNGUA NGUVU ZA KIUME?
Unapopungua nguvu za kiume, k**a nilivyosema hapo awali, ina maana ndani ya mwili wako kuna baadhi ya vitu katika vitu nilivyovitaja hapo juu havifanyi kazi vizuri jinsi ipasavyo. Yawezekana ni figo ndilo halifanyi kazi vizuri, au ini, au tezi dume, au neva ya parasympathetic, au moyo una tatizo au mishipa ya ateri, au misuli ya pelvic au homoni fulani iko juu sana au iko chini sana (hormonal imbalance), orodha ni ndefu sana. Kitendo cha baadhi ya viungo hivyo kutofanya kazi vizuri basi hapo hutokea upungufu katika nguvu za kiume. Upungufu huo unaweza kuwa ni:

1. Kukosa hamu ya mapenzi; au

2. Uume kusimama kwa uregevu; au

3. Kuwahi kufika kileleni; au

4. Kuchelewa sana kufika kileleni (au kushindwa kufika kileleni kabisa); au

5. Kushindwa kurudia tendo la ndoa; au

6. Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo hilo; au

7. Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji; au
8. Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa na hata kukinai kabisa au hata kusikia kichefuchefu;

Ndugu msomaji, ili uelewe vizuri zaidi labda niseme kwamba, nguvu za kiume ni kiwanda; na ni zaidi ya kiwanda. Tukichukulia mfano wa kiwanda, ni kwamba ndani ya kiwanda kuna umeme, maji, madawa, watu (wafanyakazi wa kila taaluma na fani), mashine, mitambo n.k.
Hivyo basi kikikosekana kimoja au kuwa na hitirafu ni wazi kwamba uzakishaji utapungua basi ndivyo ulivyo hata katika mwili wa mwanaume katika kuzalisha mbegu za kiume
LAKINI NINI KINACHOSABABISHA VIUNGO HIVYO VISHINDWE KUFANYA KAZI?
Kuna maradhi kadhaa, vyakula tunavyokula, tabia na mtindo wa maisha vinavyoweza kupelekea viungo hivyo kutofanya kazi vizuri. Baaadhi ya maradhi hayo na tabia hizo ni
kujichua/punyeto (ma********on);
kisukari;
presha ya kupanda; presha ya kushuka;
uvutaji wa sigara;
Unywaji wa pombe; madawa ya kuleva;
kufanya kazi kupita kiwango na kukosa muda wa kupumuzika;
matatizo ya kukosa usingizi na kuchelewa kulala usiku.

👉Sababu zingine za kupungua nguvu za kiume ni
kutokunywa maji ya kutosha,
tatizo la kufunga choo hasa pale unapotumia nguvu nyingi kusukuma choo;
kutofanya mazoezi;
ukosefu wa kumbukumbu;
uzito mkubwa/unene mkubwa;
kitambi;
kuvimba kwa tezidume (Benign Prostate Hyperplasia).

👉Sababu zingine ni
saratani ya tezi dume (Prostate cancer),
matibabu ya mionzi ya tezidume na upasuaji,
ugonjwa unaoathiri vitendo na shughuli za mwili k**a vile mwondoko na balansi (multiple sclerosis),
ugonjwa ambao hudhuru mawasiliano ya ubongo na miondoko ikiwa ni pamoja na kutembea, kuongea na kuandika (parkinson’s disease),
vyakula vya mafuta,
vyakula vilivyowekewa homoni bandia za k**e n.k.

👉Sababu zingine ni
maumivu ya mgongo/kiuno;
baadhi ya side effects za madawa ya kemikali (madawa ya hospitali);
kiharusi (stroke);
upungufu katika utendaji wa kazi za gonadi (hypogonadism);
uzalishaji mwingi wa homoni ya thyroid.

👉Sababu zingine ni
kutozalishwa kwa homoni ya thyroid ya kutosha;
ugonjwa unaoathiri uzalishaji wa homoni ya cortisol (cushing’s syndrome);
ugonjwa wa kupinda uume (peyronie’s disease);
kukak**aa kwa mishipa ya damu (atherosclerosis);
Kiukweli orodha ni ndefu sana, ni zaidi ya 200.

Hivyo mwanaume anapopungua nguvu za kiume, ina maana kuna ugonjwa ndani ya mwili wake, au unaweza kuwa huo ugonjwa umeshadhihirika (umeshatokeza) kwa nje, au huo ugonjwa bado uko ndani ya mwili unamla na kummaliza kimyakimya k**a yalivyo baadhi ya magonjwa ambapo baadaye hulipuka. Hii ndiyo maana kitaalamu tunasema kupungua nguvu za kiume siyo ugonjwa ni dalili ya ugonjwa. Yani unapopungua nguvu za kiume hiyo ni KENGELE YA TAHADHARI kwamba ndani ya mwili wako kuna kitu au vitu havifanyi kazi vyema. Hivyo, unaambiwa kuchukua haraka TAHADHARI kabla ya HATARI!

JINSI YA KUEPUKANA NA KUPATA TATIZO LA NGUVU ZA KIUME
1:Fanya mazoezi – Angalau dakika 30 kwa siku
2:Kula vyakula asilia na usile vyakula vyenye mafuta mengi na sukari nyingi
3:Tibu magonjwa yako yanayokuweka hatarini k**a kisukari, moyo, punguza unene na mengine
4: Punguza (balansi) kiwango cha halemu (choresterol) au mafuta yaliyozidi
5:Balansi usito wako
6:Usivute sigara
7:Punguza au acha kunywa pombe
8:Punguza mawazo
9:Kula vizuri vyakula bora hasa asilia na sio vyakula vyenye kemikali
10:Lala vizuri kwa muda mzuri – masaa 7 hadi 9
11:Usitumie dawa zenye kemikali nyingi huathiri mfumo wa uzazi
12: Kunywa maji ya kutosha

TIBA YA TATIZO LA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME
Hili ni tatizo ambalo huwanyima raha watu wengi kwasababu linaashiria upungufu flani wa kimwili, tunawashauri watu wengi wafanye mazoezi, kula chakula bora hasa asilia na pia wanywe maji mengi ili kuimarisha afya zao. Tatizo la upungufu wa nguvu za kiume linaondolewa japo ni kwa mda mrefu kidogo, wengi hudanganywa na kupewa dawa za kuongeza nguvu pale unapoenda kujamiiana na sio dawa ya kutibu.

MATIBABU YA ASILI KWA KUTUMIA EDMARK PRODUCTS
Tuna dawa ya kutibu tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ambayo ni ya asili isiyo na kemikali ambayo hufanya mtu kupona na kuimarika kabisa.
Dawa zetu hutibu kwa mda kulingana na ukubwa wa tatizo, ukianza kutumia ndani ya wiki moja huonesha mabadiliko, pia mgonjwa anapewa mfumo wa maisha ambao inatakiwa utumie kwasababu kuna mtindo wa maisha unaendekea kuongeza tatizo pia kuna mtindo unapunguza hatari ya ugonjwa.
Tunamshukru Mungu kwa uumbaji wake na kutupa dawa ambazo alizileta ili kutuimarisha na kutuponya, Mungu hakuumba dawa nyingine zaidi ya mimea na vitu vingine vya asili, japo wengi hudharau. Mungu tunaomba utuokoe na kutuponya.

K**a upo ndani ya Mwanza, Dar- es-Salaam au Zanzibar, tunakukaribisha kwenye ofisi zetu na utapata tiba, ushauri na maelezo ya kutosha kabisa.. Ila kwa ambaye atakuwa nje ya mikoa hiyo mitatu au yupo ila anahitaji huduma pia tunawasiliana na atapata huduma kwa asilimi 100 bila usumbufu wala shida yoyote

MAWASILIANO
FADHIL F. ABDUL
EDMARK INTERNATIONAL
CALL/ SMS/ WHATSAPP
0676121014 AU 0756291547

KARIBU TUKUHUDUMIE

19/04/2020

TIBU PUMU KWA BIDHAA LISHE KUTOKA EDMARK..

🙏UTANGULIZI🙏
Ugonjwa wa pumu ni ugonjwa ambao huathiri sehemu ya kupitisha hewa kwenda kwenye mapafu ya binadamu zinazojulikana kitaalamu k**a bronchioles. Mtu mwenye pumu huwa na mcharuko mwili sugu (chronic Inflammation) kwenye mirija yake ya

kupitishia hewa (bronchioles tubes) hali ambayo husababisha kuvimba kwa kuta za mirija hii, kujaa kwa ute mzito (mucus) na kupungua kwa njia ya kupitishia hewa, hali ambayo humfanya muathirika kushindwa kuvuta na kutoa hewa

nje na hivyo kupumua kwa shida sana. Hali hii inaweza kudumu kwa muda mfupi au mrefu kiasi cha kuhitaji tiba ili kumuwezesha mgonjwa kupata nafuu. Kutokana na kuwepo kwa msuguano na uzuiaji wa kupitisha hewa wakati wa kupumua hwa nje, pumu hujulikana pia k**a obstructive lung disease . Mtu aliye na pumu, huwa nayo kipindi chote cha maisha yake.

MAKUNDI YA PUMU
Pumu inaweza kugawanywa katika makundi mawili;
1: Pumu ya ghafla (Acute asthma):
👉Wagonjwa wanaopatwa na kundi hili la pumu huwa na hali ya kawaida katika njia zao za hewa isiyobadilika kati ya shambulizi moja na jingine.

2:Pumu sugu (Chronic Asthma):
👉Kundi hili la pumu huwa na tabia ya kuwa na njia nyembamba za kupitisha hewa na kadiri jinsi mgonjwa anavyoendelea kupata matukio zaidi ya pumu, njia za hewa huzidi kuwa nyembamba zaidi.

AINA ZA UGONJWA WA PUMU
Bila kujalisha mgonjwa anaingia katika kundi gani, ugonjwa wa pumu unaweza kugawanywa katika aina kuu nne, ambazo ni

1.Pumu inayobadilika (brittle asthma):
👉Kulingana na tabia ya kujirudia rudia kwa matukio ta ugonjwa huu na madhara yake kwa mgonjwa, aina hii ya pumu inaweza kugawanywa zaidi katika aina nyingine mbili, ambazo ni

a) Aina ya kwanza ya pumu inayobadilika(type 1 brittle asthma) ni pumu yenye tabia ya kuwa na matukio na mashambulizi ya kubadilika kila mara japokuwa mgonjwa anaweza kuwa anapata matibabu kadhaa.

b) Aina ya pili ya pumu inayobadilika (type 2brittle asthma) ni pumu ambayo mgonjwa anatokea kupata shambulizi la ghafla(asthmatic attack) wakati hapo awali ugonjwa wake uliweza kuthibitiwa kwa matibabu.

2.Pumu hatari isiyobadilika (status asthmaticus):
👉Hii ni aina ya pumu iliyo hatari zaidi kwa mgonjwa. Pamoja na

matumizi ya dawa kadhaa,zikiwemo vitanua njia za hewa (bronchodilators) na vipoza mcharuko mwili (steroids), mgonjwa wa aina hii ya pumu anaweza asipate nafuu ya haraka, na anaweza kupoteza maisha.

3.Pumu inayosababishwa na mazoezi (Exercise Induced Asthma):
👉Hali hii husababishwa na ufanyaji wa kupitiliza wa mazoezi ya viungo. Kwa kawaida wakati wa kufanya mazoezi mtu hupumua kwa kutumia pua na kupitia mdomoni.

Hata hivyo wakati mwingine hutokea hewa aivutayo huingia ndani ikiwa haijapozwa vya kutosha puani na hivyo kusababisha ongezeko la mtiririko wa damu katika mishipa inayosambaza damu katika mirija ya kupitisha hewa.

Hali hii husababisha kuvimbakwa kuta za mirija hiyo na muhusika kupata shambulizi la pumu. Aina hii ya pumu yaweza kudhibitiwa na dawa. Inashauriwa sana kwa watu wenye matatizo k**a haya kupasha moto misuli kwa mazoezi mepesi (warming up) kabla ya kuanza mazoezi mazito na ya muda mrefu.

4.Pumu inayosababishwa na aina ya kazi afanyayo muhusika (Occupational Induced Asthma):
👉Wakati fulani, mazingira ya kazi yanaweza kusababisha kutokea kwa pumu hata kwa baadhi ya wafanyakazi wasio na tatizo hili. Mara nyingi aina hii huweza kuwatokea watu wanaofanya kazi kwenye viwanda vya kutengeneza matairi, vigae, rangi, kemikali mbalimbali, mbolea, chuma, unga na mbao.

PUMU HUSABABISHWA NA NINI???
1:Kuna mambo kadhaa yanayoweza kusababisha kutokea kwa pumu au yanayohusishwa na shambulizi lake. Mambo hayo ni pamoja na

2:Matatizo ya kinasaba (Gene)> Matatizo ya kinasaba yamehusishwa na kutokea kwa karibu asilimia 90 ya ugonjwa wa pumu hususani kipindi cha utoto.

3:Uvutaji wa sigara au tumbaku kipindi cha ujauzito pia unahusishwa na kusababisha pumu kwa mtoto atakayezaliwa.

4:Maendeleo ya kiuchumi: Ugonjwa wa pumu umeonekana sana kwenye nchi zilizoendelea kiuchumi ikilinganishwa na nchi zenye maendeleo na hali duni ya kiuchumi.

5: Magonjwa ya mapafu k**a bronchitis
Vyanzo vya mzio (allergens)k**a vile vumbi, vinyesi vya wanyama na baadhi ya vyakula.

6: Uchafuzi wa mazingira k**a moshi na baadhi ya harufu kali.

7: Baadhi ya kemikali kwenye maeneo ya kazi hasa kwenye viwanda k**a vya rangi, chuma, sementi na vigae.

8:Baadhi ya wagonjwa wanaotumia dawa za kushusha shinikizo la damu zilizo katika jamii ya beta-blockers k**a vile propanololwapo katika hatari ya kupata shambulio la ugonjwa wa pumu.

9:Magonjwa kwenye mfumo wa kupumua yasabishwayo na baadhi ya virusi na bakteria k**a vile rhinovirus, Chlamydia pneumonia au Bordetella pertusis.

10:Matumizi ya mapema sana ya baadhi ya dawa hasa antibiotiki kwa watoto yanaweza kubadilisha mfumo wa kinga ya mwili dhidi ya magonjwa na hivyo kumfanya mtoto kuwa katika hatari ya kupata pumu.

11: Ongezeko la msongo wa mawazo huweza kusababisha pumu na matatizo katika mfumo wa upumuaji

12: Upasuaji wakati wa kujifungua (caesarian section): Tafiti kadhaa zimeonesha kuwa kujifungua kwa njia ya upasuaji huongeza uwezekano wa kupata pumu kwa vile njia hiyo yaweza kuathiri mfumo wa kinga ya mwili dhidi ya maradhi.

VIHATARISHI VYA UGONJWA WA PUMU
👉Uwezekano wa kupata ugonjwa wa pumu huongezeka iwapo mtu

1:Atakuwa na magonjwa ya mzio k**a vile magonjwa ya ngozi (eczema) au homa isababishwayo na aina fulani ya vumbi (hay fever)

2:Atavuta chavu (pollen) kutoka kwenye maua au miti

3:Atajihusisha na uvutaji sigara

4:Ana historia ya ugonjwa wa pumu au mzio kwenye familia

5:Utumiaji wa dawa aina ya aspirin, diclofenac, ibuprofen

6: Ana msongo wa mawazo

7:Ana uambukizi wa magonjwa ya virusi k**a rhinovirus

8: Mazoezi

9: Anaishi sehemu zenye baridi

10: Ana matatizo katika njia yake ya chakula(Gastroesophageal reflux disease au GERD)

DALILI ZA MGONJWA WA PUMU
1:Kuishiwa na pumzi na kupumua kwa shida(shortness of breath)

2:Kutoa sauti k**a mtu anayepiga miluzi wakati wa kupumua (wheezing)

3:Kukohoa sana (chronic cough) hasa nyakati za usiku au asubuhi. Aidha kikohozi huambatana na kutoa makohozi mazito, yasiyo na rangi au yenye rangi ya njano.

4:Kubana kwa kifua.
Kwa mtu aliyepata shambulizi kubwa la pumu (severe asthmatic attack) anaweza kushindwa kuzungumza na pia kuwa na hali k**a ya kuchanganyikiwa

VIPIMO NA UCHUNGUZI
Pamoja na daktari kutaka kufahamu historia ya mgonjwa, anaweza pia kuamua kufanya vipimo vifuatavyo ambavyo vitamsaidia kufahamu chanzo na madhara ya ugonjwa wa pumu kwa muathirika.

Kipimo cha damu (complete blood count)msisitizo ukiwa kwenye wingi wa seli za damu aina ya eosinophils ambazo uhusika na kuwepo kwa shambulio la mzio.

Kipimo cha kuchunguza uwezo wa mgonjwa kutoa hewa nje mara baada ya kuivuta (spirometery). Aina hii ya uchunguzi hufanyika kabla ya mgonjwa kupewa dawa kwa kutumia nebulizer.

Kipimo cha kuchunguza kiwango cha hewa ya oksijeni kilichopo kwenye damu ya mgonjwa (oximetry).

Kipimo cha kuchunguza uwezo wa mgonjwa kupumua hewa nje wakati wa shambulizi la pumu (Peak flow meter).

X-ray ya kifua kwa ajili ya kutofautisha pumu na magonjwa mengine yenye dalili za kufanana k**a vile ugonjwa wa moyo(congestive heart failure), magonjwa sugu ya kuziba kwa njia za hewa (COPD k**a vilechronic bronchitis na emphysema) na magonjwa mengine ya kuzaliwa k**a vilecystic fibrosis.

Kipimo cha mzio cha ngozi (skin allergy test) kwa ajili ya kutambua aina ya mzio inayomsababishia mgonjwa shambulizi la pumu.

MATIBABU KWA BIDHAA ZA EDMARK INTERNATIONAL/ BIDHAA LISHE

Bidhaa za EDMARK ni bidhaa bora na zilizothibitika na Mamlaka ya chakula na dawa Tanzania TFDA.., kwa uhalali na usalama kwa afya ya mwanadamu , lakini pia kupata vibali vya kimataifa ( HALAL) kuthibitisha ubora, usalama na uhalali kwa matumizi ya mwanadamu

Bidhaa hizi huwa zinahusika katika kupambanana kiini cha tatizo k**a ifuatavyo.

1: Kuondoa UCHAFU na sumu mwilini na utapata matokeo ndani ya masaa sita tu unapoanza kutumia bidhaa.

2: Kurekebisha kiwango cha seli hai mwilini ili kuweza kupambana na magonjwa sugu hasa hili la pumu mwilini..

3: Kuondoa lehemu mbaya mwilini ili kufanya damu kuzunguka vizuri mwilin katika utendaji kazi

4: Kurekebisha muundo wa semi ambazo hazipo sawa kihalisia na kusababisha matatizo k**a seli mundu, mzio au aleji ikiwepo na pumu

4: Kutibu tatizo lenyewe

Bidhaa hizo ni bora na zina gerentee kwa mtumiaji asilimia 100% kurudishiwa gharama zako endapo uteja atatumia dozi na hakupata matokeo..

Kumbuka bidhaa hizo zinatibu tatizo siyo kukupa nafuu, na utaanza maisha mapya bila changamoto za pumu

MADHARA YA PUMU KWA MJAMZITO

👉Tafiti kadhaa zimeonesha kuwa takribani theluthi moja ya wajawazito wenye pumu hupata nafuu kipindi cha ujauzito, theluthi nyingine hupata matatizo kipindi hiki na theluthi iliyobakia huwa na hali ya kawaida k**a kabla ya ujauzito.

👉Kwa kawaida dalili za pumu hujirudia k**a awali miezi mitatu baada ya kujifungua. Dalili za pumu kwa mjamzito zinaweza kuwa mbaya zaidi kuanzia wiki ya 24-36 (mwezi wa sita mpaka wa nane).

👉Ni mara chache sana mjamzito anapata shambulizi la pumu wakati wa kujifungua. Inakisiwa kuwa, ni asilimia 10 tu ya wajawazito wenye pumu wanaopata shambulizi la pumu wakati wa kujifungua.

👉Baadhi ya dawa zinazotumika wakati wa ujauzito na baada ya kujifungua huongeza madhara ya pumu, hivyo ni vizuri kumueleza daktari kwamba una pumu kabla ya kupewa dawa.

👉Aidha na si vyema kunywa dawa kwa mazoea. Wanawake wenye pumu isiyoweza kuthibitiwa kipindi cha ujauzito hupata madhara ya kuzaa mtoto njiti (premature baby), kuzaa mtoto mwenye uzito mdogo, kifafa cha mimba, shinikizo la damu (Hypertension), na iwapo atapata shambulizi hatari wakati wa ujauzito mtoto anaweza kufa kwa kukosa hewa ya oksijeni. ,

KWA HUDUMA ZETU NA USHAURI ZAIDI

Fika zilipo ofisi zetu katika mikoa ya
DAR-ES-SALAAM, Msasani
MWANZA, Kirumba
ZANZIBAR, Kiembe samaki

MAWASILIANO,

Contact/SMS; 0676121014
0756291547

WhatsApp #: 0676121014

Facebook ac; Fadhil F. Abdul

Instagram ;

Instagram page

Twitter account;

KARIBU EDMARK

KUKUHUDUMIA NI FAHARI YETU

Address

Tanga

Telephone

+255756291547

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya njema na ushauri kiafya posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Afya njema na ushauri kiafya:

Share