Afya imara.

Afya imara. 0658557274

HIVI UMEKUWA UKIZINGATIA HILI JAMBO WAKATI WA TENDO LA NDOA 😜Unapojigundua kuwa huwezi kushiriki tendo la ndoa kikamilif...
17/12/2022

HIVI UMEKUWA UKIZINGATIA HILI JAMBO WAKATI WA TENDO LA NDOA 😜

Unapojigundua kuwa huwezi kushiriki tendo la ndoa kikamilifu huwa unahangaika sana kutumia madawa bila kujua chanzo cha tatizo lako na dawa unayotumia kazi yake ni ipi haswa!

Sababu hasa zinazofanya uanze kutumia dawa ni kwasababu, unawahi sana kufika kileleni, au mashine kusimama legelege baada ya round ya kwanza muda mwingine haisimami kabisa na hili jambo linakunyima usingizi kabisa 😂

Ila nikwambie jambo ambalo wengi niliwaambia wakaniskiza unapotumia dawa huwezi kupata matokeo ya kudumu ndo pale unakuta unafanya tendo bila kufika kileleni hadi mwenzio anachoka na wewe upo hoi, sasa hayo ni mapenzi au kukomoana tu!? 😀😂

Sasa njia sahihi ya kuweza kushiriki tendo kikamilifu na wote mkafurahia pamoja, nimekuandalia elimu fupi ambayo ntakuelezea utumie vitu gani ili uweze kuwa mwanaume wa shoka 😃💪

Nitatoa Nafasi 12 leo kuwapa njia watu Watatu kujuwa namna gani wanakuwa imara cha kufanya Tuma ujumbe neno AFYA kwenye WhatsApp +255625979546 kuweza kujiweka kwenye nafasi ya elimu hii.

SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA: -Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo m...
07/09/2020

SABABU ZINAZOPELEKEA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:

-Tendo hili hutokea pale mwanaume anapo mwingilia mwanamke kimwili,na humchukua dakika moja ama mbili tu,kumaliza tendo, baada ya hapo hukoswa hamu ya kuendelea tena, na uume wake huwa legelege..
-Sababu nyingine ni kupania,kuwa na hamasa kupitiliza,kuwa na uoga na matatizo mengine ya kiseikolojia..
-Uwezo mdogo wa ngozi ya uume kuhisi au kupata mguso wakati wa tendo,na matatizo ya neva za mwili..
-Sababu nyingine ni uume kushindwa kusimama(erectile dysfunction) kutokana na kulegea kwa msuli wa pelvic floor muscle.
-Kiwango kidogo cha homoni,uzalishwaji hafifu wa kemikali kwenye ubongo(neurotransmitters)..
-Sababu zingine ni za kijenetiki,maambukizi hususani magonjwa ya zinaa,na matatizo ya vimbe katika mfumo wa uzazi wa mwanaume..

DALILI ZA KUFIKA KILELENI MAPEMA AU KABLA, WAKATI WA TENDO LA NDOA:

-Kumaliza mapema au kabla ya tendo,tatizo hili huweza kuwatokea hata wale wanaofanya punyeto,wana weza kufika kileleni mapema tu,lakini wakati huo huo kufanya punyeto ni sababu moja wapo ya tatizo..
-Dalili zingine ni,kuboreka,kughadhabika na uoga wa kumkalibia mwenza wako..
Tafiti zinaonesha kuwa kati ya wanaume watatu,mwanaume mmoja ana tatizo la kufika kileleni mapema au kabla, wakati wa tendo la ndoa!!

Hili tatzo kwa kweli linakosesha amani Sana, yaani usikubali kuliacha liwe sugu litakusumbua Sana, litakupatia stress Sana.Samahani ndugu wasilian nasi kupitia wasap namba hii 0625979546
Tuma ujumbe neno afya jamii au piga simu kwa maelezo zaidi

AFYA YA MENO. Leo naomba nikushilikishe kitu.!! Huenda weng wetu tulikua hatujangundua bado! Ni juu ya dawa za MENO tuna...
06/09/2020

AFYA YA MENO.

Leo naomba nikushilikishe kitu.!! Huenda weng wetu tulikua hatujangundua bado! Ni juu ya dawa za MENO tunazotumia,

HUWA ZIMEANDIKWA "FLUORIDE TOOTHPASTE"
Tafadhali chukua mda wako Ingia google kusoma juu ya madhara ya kemikali hii ya fluoride nyingi mwilini.
Haijaishia hapo wao wenyewe wakatupatia mashariti ya dawa zao geuza dawa yako ya meno nyuma kuna maandishi madogo yamezungushiwa box. Tatizo la wengi ni kutosoma maelekezo, tunatumia vitu kwa mazoea.Hepuka ujuaji na mazoea kwenye AFYA.

YAMEANDIKWA HIVI👇

1. Do not swallow. Spit and rinse thoroughly after brushing.(usimeze. Tema na osha na maji mengi baada ya kusukutua)

2. Children below 6 years to be supervised by adult while brushing. Use only a pea sized amount or as directed by dentist.( watoto wa chini ya miaka sita wasimamiwe na wakubwa wakati wakusukutua na ituniwe kiasi kidogo sana cha dawa au k**a itakavyoelekezwa na daktari wa meno)

3. Visit your dentist regularly. ( tembelea daktari wako wa meno mara kwa mara)
Kwanini basi kumekua na mashart ya kutumia dawa za meno???
Ni mara ngapi umekua ukimeza bila kutarajia???
Watoto wetu ni mara ngapi tumekua tukiwasimamia??

Mwisho wa siku Afya ni yako na watoto wako, na wewe ndiye mwenye maamuzi wa kuchagua kujenga au kubomoa Afya yako na watoto wako.

👉Mimi na familia yangu tunatumia dawa asilia ya meno inayozalishwa na kampuni ya Forever living dawa za meno zisizokua na fluoride na wala madhara yoyote kwa watumiaji. Ni dawa itengenezwayo na mmea wa aloe vera na asali.

Kupata dawa zako za meno asilia na salama.

Tuma ujumbe neno DAWA YA MENO kwenda whatsapp namba 0625979546 au piga simu usaidiwe mapema.

MADHARA YA KITAMBI NA UZITO ULIOPITILIZA NA ONGEZEKO LA VIFO VINAVYOTOKANA NA CHANGAMOTO HIZO. Zamani ilikuwa ukiwa na k...
06/09/2020

MADHARA YA KITAMBI NA UZITO ULIOPITILIZA NA ONGEZEKO LA VIFO VINAVYOTOKANA NA CHANGAMOTO HIZO.
Zamani ilikuwa ukiwa na kitambi au mnene unaonekana tajiri wa pesa, lakini siku hizi ukiwa na kitambi unaonekana kuwa tajiri wa Magonjwa anayeiandaa safari ya kwenda kujenga urafiki na hospitali kubwa kubwa kwa kutumia gharama kubwa mno ambazo zitamtia umaskini wa kudumu. Matatizo ya Cholesterol, presha BP, kisukari, vidonda vya tumbo, ini, figo, kansa, matatizo ya uzazi, upungufu nguvu za Kiume na stroke hapo kwenye watu wenye uzito mkubwa na vitambi ni mahali pake.

Magonjwa mengi yanayoshambulia waafrika yanatokana na lifestyle mbaya ya ulaji wa vyakula tunavyotumia. wengi wanafikiri kufanya mazoezi na kushinda njaa kutawafanya wapungue kumbe sio kweli. Hauwezi kupungua k**a haujaziondoa kemikalli mwilini ambazo zinaulazimisha mwili wako kuhifadhi mafuta.

Wanawake wengi nao sku hizi wanavitambi ambavyo vinaleta shepu mbaya na kupoteza mvuto wote hata k**a wakivaa nguo mpya bado wanaonekana wazee. Wanaume wengi hawavutiwi na mwanamke mwenye Tumbo kubwa, pia hawavutiwi na mwanamke mnene sababu hawana shepu nzuri. Wanawake wengi hupata vitambi baada ya kujifua mtoto, mafuta huifadhiwa kwenye leya ya maeneo ya tumbo. Pia vitambi vingine hutokana na ulaji wa chips, vyakula vya wanga kwa wingi na unywaji wa bia. Wengi wao Hawajui gharama inayowanyemelea ya kupoteza pesa nyingi kwenye mahospitali.
Fikiria umefanya kazi na umepata pesa nyingi ambazo zitaishia kuhangaikia kuyatibu magonjwa sugu uliyoyatafuta kwa starehe zako za sasa.

Hepuka matatizo hayo yote kwa kupata ushauri wa bure na kupata virutubisho natural Maalum ili kuondoa kemikali mwilini na kupunguza uzito na Kitambi ndani ya siku 9.
Kumbuka ukitumia program hii sasa hivi ndani ya mwezi huu utakuwa umeokoa gharama nyingi mno za kuyatibu magonjwa makubwa niliyoyataja hapo juu pamoja na gharama za kuhangaikia tiba.
Tuma Ujumbe neno PUNGUA UZITO kwenda wassap no 0625979546 au piga simu usaidiwe haraka

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.👉Uume kusimama...
05/09/2020

UKIPIGA PUNYETO YAFUATAYO YATAKUWA MSHAHARA WAKO

👉Uume kusinyaa kila ukijaribu kubadilisha style au mtindo.

👉Uume kusimama kwa ulegevu baada ya kumaliza bao la kwanza.

👉Kupata bao lenye maumivu hasa kuanzia bao la pili na kuendelea.

👉Kukosa hisia kabisa baada tu ya kufika kileleni safari ya kwanza

👉Kuchoka sana baada ya kufanya mapenzi.

👉Uume kutosimama ukiwepo na mwenza wako lakini akiondoka unaona unapata hamu na uume unasimama vizuri.

👉Kufika kileleni haraka sana na baada ya kufika unashindwa kurudia tena.

👉Kushindwa kumuandaa mpenzi wako, kuhofia utafika kileleni kabla ya mchezo.

👉Kutoa mbegu hafifu hadi kusababisha kushindwa kumpa mkeo ujazuzito.

K**A UMEKUMBANA au UNAKUMBANA NA CHANGAMOTO K**A HIZO USISITE,

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsapp namba 0625979546 au piga simu usaidiwe mapema

JENGA HESHIMA YA NDOA Tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizu...
05/09/2020

JENGA HESHIMA YA NDOA
Tatizo la kuwahi kufika kileleni mapema, misuli ya uume kulegea hivyo uume kushindwa kusimama vizuri,kushindwa kurudia tendo la ndoa baada ya mzunguko wa kwanza,kukosa hamu kabisa hasa kwa wanandoa limekuwa tatizo la wanaume wengi sana.

Mfumo wa sasa wa maisha watu wengi tunakula vyakula vilivyojaa usasa mwingi sana,lakini pia ulaji wa chakula aina moja karibia kila siku.Hali ya hewa ya sasa INA uchafuzi mkubwa sana hivyo tunaingiza sumu nyingi sana mwilini ambazo zinaenda kuathiri mfumo wa ndani ya mwili ikiwemo mfumo wa Uzazi.mfano wanaume wengi wanaopendelea vyakula k**a chips na soda akiongeza pombe akibadilisha nyama choma na ugali akiongeza na vinywaji vyetu,Mara nyingi sana wanakuwa na changamoto hii kubwa ya ukosefu wa nguvu za kiume.

Ongezeko la Uzito kwa watu wengi utokanao na ulaji wa wanga na ngano iliyokobolewa na mafuta mengi lakini pia kutofanya mazoezi ya kutosha limekuwa ni tatizo kubwa.
Kujichua/ musturbation kwa vijana na baadhi ya watu wazima pia huchangia MTU kukosa nguvu za kiume.
Zaidi ya asilimia 60% ya wanaume wote duniani wanakubwa na hili tatizo na limesababisha ndoa nyingi kuvunjika.Tayari watu wengi tumewasaidia na Leo hii wanafurahia ndoa zao kupitia kiburudisho cha ARGI+.ARGI+ ni kiburudisho chenye ubora wa hali ya juu kilichosaidia watu wengi sana.

FAIDA ZA ARGI+
* inaongeza hamu ya tendo la ndoa kwa jinsia zote Mbili akina baba na akina mama stamina na nguvu wakati wa tendo
* inasaidia Kuongeza idadi ya mbegu za kiume s***m count na uwezo wa mbegu kuogelea vizuri( mobility)
* inasafisha mwili na kupunguza kazi ya kuzeeka haraka
* husaidia kurekebisha na kujengeka kwa mifupa na kazi za misuli
* husaidia ufanisi mzuri kazi na moyo
* husaidia mishipa ya damu kufunguka na kutoa uchafu ulioganda hivyo kuweka standard pressure
* husaidia damu kusafiri vizuri sehemu mbali mbali za mwili
* husaidia kurudisha umri nyuma kuanzia monekano mpaka ufanyaji kazi wa Viungo kwa ujumla

Kwamuhitaji wasiliana whatsapp no 0625979546

MATATIZO YA KUKABILIWA NA GANZI MIGUUNI,MIKONONI NA SEHEHU ZINGINE...GANZI mikononi na miguuni, ni tatizo linaloashiria ...
05/09/2020

MATATIZO YA KUKABILIWA NA GANZI MIGUUNI,MIKONONI NA SEHEHU ZINGINE...

GANZI mikononi na miguuni, ni tatizo linaloashiria kukosekana kwa fahamu katika sehemu hizo.

Hisia ndiyo inakosekana kwa sababu kunakuwa hakuna damu inayofika maeneo hayo na neva zinakosa mawasiliano ya moja kwa moja na ubongo.

Pia limekuwa ni jambo la kawaida linalowapata watu wengi sana katika miaka ya hivi karibuni, lakini pasipo kujua nini chanzo chake wala tiba yake....

HEBU TUZUNGUMZE VYANZO VYA KUPATA GANZI
Vifuatavyo vinatajwa kuwa ni vyanzo vya ganzi mwilini mwa binadamu:-

1. Shinikizo la damu la muda mrefu kwenye miguu na mikono.2. Kuwa karibu na vitu vyenye baridi sana kwa kipindi kirefu.
3. Mabadiliko ya muda mfupi kwenye neva/mishipa.
4. Ajali kwenye neva.
5. Kunywa pombe kupita kiasi.
6. Uvutaji sigara na bangi.
7. Uchovu usioisha.
8. Kutokujishughulisha na mazoezi ya viungo mara kwa mara.9. Ukosefu wa vitamini B12 na Magnesiamu mwilini,
10. Ugonjwa wa kisukari n.k

NB:Kwa kawaida, ganzi inayotokea kwa dakika kadhaa na kupotea huwa haina shida yoyote.

Inaelezwa, ni vyema kuonana na daktari au mtaalam wa Mambo ya afya mapema, iwapo inakawaida ya kutokea kila mara na inadumu muda mrefu. Inaweza kuwa ishara ya ugonjwa fulani ambao unaohitaji matibabu ya haraka.

Kuumwa ganzi miguuni na mikononi, kunaweza kuwa jambo linaloudhi sana kwa mgonjwa.

Mambo mengine muhimu ya kuzingatia pindi unapokuwa unakabiliwa na tatizo hili Ni:-

1. Kuwa ‘bize’ na mazoezi kila siku.
2. Usikae muda mrefu kwenye kiti.
3. Epuka chai ya rangi, kahawa, soda nyeusi na vinywaji vyote vyenye kaffeini.
4. Kula zaidi matunda na mboga za majani
5. Kunywa maji mengi kila siku kidogo kidogo kutwa nzima angalau ufikishe glass 8 za maji
6. Epuka sigara na bidhaa nyingine za tumbaku.
7. Vaa viatu ambavyo ni saizi yako pia epuka viatu vyenye visigino virefu zaidi
8. Hakikisha una uzito sahihi na siyo uliozidi...ukiwa na uzito uliopitiliza ni rahisi Sana kupata tatizo la ganzi .

SULUHISHO:0625979546

NAFURAHIA TENDO!  Hakuna tena KUWAHI KUFIKA KILELENI, Nasimamisha IMARA sio legelege tena, SICHOKI HARAKA , NARUDIA TEND...
05/09/2020

NAFURAHIA TENDO! Hakuna tena KUWAHI KUFIKA KILELENI, Nasimamisha IMARA sio legelege tena, SICHOKI HARAKA , NARUDIA TENDO hata zaidi ya Mara tatu nikiamua, kwa kutumia Virutubisho Lishe hivi Asilia, hakuna madhara yoyote tuliyoyapata Sisi watumiaji.

Tuma ujumbe neno AFYA JAMII kwenda whatsupp namba 0625979546 au piga sim usaidiwe mapema

TATIZO LA KUKOSA CHOO/KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)UKOSEFU wa choo ni tatizo sugu miongoni mwa watu wengi. Bila kuju...
04/09/2020

TATIZO LA KUKOSA CHOO/KUPATA CHOO KIGUMU (CONSTIPATION)

UKOSEFU wa choo ni tatizo sugu miongoni mwa watu wengi. Bila kujua kuwa ni tatizo ambalo linahitaji tiba ya haraka, watu wengi hupuuzia na kuona siyo tatizo kubwa na ni hali ya kawaida. Ukosefu wa choo wa muda mrefu, huwa ndiyo chanzo cha magonjwa mengine hatari.
Mtu anapokosa choo kikubwa kwa siku kadhaa, uchafu hujikusanya tumboni na unapokosa sehemu ya kutokea hukimbilia kwenye damu na kuingia kwenye mfumo mzima wa damu. Uchafu huo unapoingia kwenye mfumo wa damu huwa sumu na chanzo cha maradhi mengine ambayo hujitokeza baadae na kuanza kumuathiri mtu, bila kujua chanzo chake.
Kwa kawaida mtu unapaswa kupata choo cha uhakika japo mara moja kwa siku, kutegemeana na mlo wake wa kila siku, unapokosa choo kwa siku nzima ili hali una kula milo yote kwa siku, elewa una tatizo katika mfumo wako wa kusaga chakula hivyo unapaswa kuchukua hatua haraka.
K**a Unakosa Choo Zaidi Ya Masaa 72 (Siku 3) Upo Kwenye Hatari Kubwa Ya Kupata Magonjwa Yafuatayo:-
~Kansa ya Utumbo.
~Uzito uliozidi.
~Bawasiri(Vinyama sehemu ya haja kubwa).
~Maumivu ya Kiuno,Mgongo,Mabega,Kichwa,Misuli.
~Kukosa usingizi(Insomnia)
~Kukosa hamu ya kula(Loss of appetite).
~Tumbo kujaa gesi.
~Vidonda vya tumbo(Ulcers).
~Upungufu wa nguvu za kiume.
~Kushindwa kubeba mimba au kuzaa.
~Kupasuka kwa utumbo.
~Kutoa harufu mbaya mdomoni na unapojamba.
Kati ya changamoto kubwa ya kiafya ni kutopata choo na kupata choo kigumu k**a cha mbuzi,na watu wengi wanadhani ni kawaida kutopata choo kwa muda wa siku 3 hadi week,kumbe ni tatizo kubwa linaloweza kusababisha 90% ya magonjwa yasiyoambukizwa na hatimae KIFO
WATU wengi wanasumbuliwa na tatizo hili ambalo huwafanya kuwa na uoga na aibu wa kuelezea na kushindwa hata kwenda hospitali kupata tiba.

CHANZO CHA TATIZO
Tatizo la kutopata choo linasababishwa na mfumo mbovu wa mmeng'enyo wa chakula.Kwenye utumbo mdogo ambao una urefu wa takribani mara 10 mpaka 13 ya urefu wa mtu husika,kuna Villars, hivi ni k**a vidole kwa mawasiliano zaid whatsapp no 0779848763 tuma ujumbe afya jamii

02/09/2020

NJIA ZA KURUDISHA NGUVU ZA KIUME 💪💪

Najua umekuwa ukisumbuka kila siku na umekuwa mnyonge na mwoga kugundulika kwa mwenza wako k**a unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume. Mambo haya Ni muhimu kwako yatakusaidia👇

1. Epuka kutumia vileo (pombe) na madawa ya kulevya kwa sababu vileo vitakupa hamu ya kufanya tendo la ndoa lakini vitakunyima uwezo wa kufanya tendo la ndoa.
2. Ondoa mafuta mabaya mwilini ambayo yanapunguza utendaji kazi wa mzunguko wa damu.
3. Fanya mazoezi ya kutosha. Watu wengi wamelemewa na magonjwa kwa sababu mwili haupati mzunguko wa damu vya kutosha katika viungo muhimu mwilini k**a ubongo, ini, moyo, na figo ambazo zinafanya kazi kwa uhalisia.
4. Rudisha virutubisho ambavyo vimepotea mwilini mwako k**a zinki, chuma, manganese, protein na vitamin nyingi.
5. Epuka vinywaji vya sukari nyingi na vyakula vya kusindika. Vyakula hivi ni adui hasa wa kuimarisha nguvu za kiume kwa mtu yule anaetaka kurudisha nguvu za kiume. Kula vyakula vya asili mboga za majani, matunda.
6. Ondoa sumu kwa kutumia viondoa sumu. Tafiti zinaonesha sumu katika miili yetu inasababisha na mambo matatu
▪️Sumu inayotokana na mabaki ya hewa ya oksijeni yaani free radicals ambazo zinaumiza seli hai za mwili wako na kusababisha kuzalishwa kwa seli zinazokua kwa kasi na kuleta kansa.
▪️Sumu zinazo tokana na mazingira yetu tunayo ishi na shughuli za viwanda k**a lead na Mercury ambazo ni kizuizi kikubwa cha utendaji wa kazi wa mwili
▪️Sumu kutokana na vyakula tunavyo kula huenda kuathiri mfumo wa chakula mwilini na viungo vingine ndani ya mwili.
☀️Hebu fikiria Ni Mara ngapi umesafisha mfumo was chakula au Ni mpaka upate ugonjwa was tumbo? Unakunywa soda nyeusi ila hujawahi toa mkojo mweusi, hivi unafikiria ile rangi inaenda wapi❓

Kwa maoni, ushauri na k**a utahitaji bidhaa zetu basi tuandikie ZA KIUME Kwa message au Kwenda Whatsapp number +255779848763

*MAMBO MUHIMU KATIKA SUALA ZIMA LA MBEGU ZA KIUME.*1- UWINGI WA MBEGU ZA KIUME: Mbegu za kiume katika kila tendo kamilif...
02/09/2020

*MAMBO MUHIMU KATIKA SUALA ZIMA LA MBEGU ZA KIUME.*
1- UWINGI WA MBEGU ZA KIUME:
Mbegu za kiume katika kila tendo kamilifu moja linalofanywa zinatakiwa zisispungue milioni 200. Kiasi hiki huwezi kukijua kwa macho yako. Lakini ikiwa utatoa shahawa kidogo, kuna
uwezekano wa kuwa na mbegu za kiume chache. Ingawa sio mara zote utoapo shahawa chache basi humaanisha una mbegu chache. Mshindo dhaifu au kufika kileleni kirahisi rahisi ni mojawapo ya dalili ya kwamba mbegu
unazotoa sio nyingi, inaweza kuwa na maji mengi badala ya kuwa na mbegu nyingi.

2- UZITO WA MBEGU ZA KIUME NA UWEZO WA
KUCHELEWA KUYEYUKA
Shahawa/majimaji ya mbegu huwa na mbegu za kiume, na shahawa ni majimaji
yanayobeba mbegu za kiume, kazi ya shahawa ni kusafirisha kwa usalama mbegu za kiume mpaka kulifikia yai. Sasa ikiwa shahawa zitakuwa nyepesi (zinayeyuka haraka) basi maana yake kwa haraka sana baada ya kutoka uumeni shahawa na mbegu za kiume zinatengana, na hivyo kuathiri uwezo wa mbegu kusafiri haraka na kulifikia yai.

Mfano mdogo ni kwamba k**a ukishafanya
kitendo cha ndoa na kisha muda huohuo mbegu za kiume kuanza kuchuruzika kutoka nje ya uke hata k**a mwanamke amelala basi hiyo ni dalili mojawapo ya mbegu kuwa nyepesi na hivyo kuweza kuathiri uwezo wa kutungisha mimba. Kunaweza kuwa na matatizo mengine
ya uko kutoweza kushikilia vizuri mbegu za kiume pia, hiyo nayo inaweza kuwa sababu.

3- UWEZO WA KUOGELEA KWA KWENDA MBELE
Mbegu za kiume zenye afya bora zinakichwa kikubwa kilichochongoka na mkia mrefu unao anza mkubwa kichwani na kuishia mdogo kabisa mkiani, sifa hizi zinazipa mbegu uwezo wa wa kuogelea kwenda mbele katika mstari mnyoofu, ikiwa mbegu ya kiume itasafiri
katika mstari wa zigzig au maumboumbo basi inapoteza uwezo wa kufika haraka kuliwahi yai.

Hii ni kwa sababu zinachoka. Mbegu zinazoenda katika mstari mnyoofu zinawahi kufika kwa kuwa safari inakuwa fupi. Mfano mzuri ukisafiri na nedge toka Mwanza hadi Dar na Mwingine Asafiri na Train na mwingine na Bas kwa mawasiliano zaid whatsapp no 0779848763 au piga cm

Address

0658557274
Tanga

Telephone

+255658557274

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Afya imara. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram