Uzazi Solution

Uzazi Solution Naitwa Dr.Rucho From Rucho Herbal ninawasaidia wanawake kutatua changamoto za maradhi yao aina zote

____________________________DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)⚫ *Zifuatazo ni dalili za mwanamk...
27/08/2023

____________________________

DALILI ZA MWANAMKE MWENYE PID (PELVIC INFLAMMATORY DISEASE)

⚫ *Zifuatazo ni dalili za mwanamke Mwenye PID:*
1.🖇️ Maumivu ya kawaida ama makali chini ya kitovu.

2.🖇️Kutokwa Uchafu usio wa kawaida Ukeni ambao ni mzito wenye HARUFU MBAYA *wenye rangi ya maziwa ama njano.*

3.🖇️Maumivu makali wakati wa kujamiiana.

4.🖇️Hupata homa(joto laweza kupanda mpaka 110 F (38.3 °C).

5.🖇️Maumivu makali wakati wa kukojoa na hupelekea Kupata ugumu wakati wa kukojoa.

6.🖇️Hupatwa na kichefuchefu.

7.🖇️ Kutapika

8.🖇️Miwasho sehemu za
siri

9.🖇️Uchovu

10.🖇️Uke kuwa mlaini sana

11.🖇️Kizunguzungu

12.🖇️Kutokwa na maji maji ukeni kupita kiasi.

13.🖇️Kuvurugika kwa Hedhi.

⚫️ Kwa maelezo zaidi, Ushauri wa kitabibu na Matibabu pia basi usisite kuwasiliana nasi

https://wa.me/message/PGIVY6D5OKDFG1

Uzazi Solution
From Rucho Herbal Clinic
Pongwe Tanga & Ilala Dsm Tanzania
+255 787 278 759
____________________________

Address

Pongwe Tanga
Tanga

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Uzazi Solution posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Uzazi Solution:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram