CosmoCare

CosmoCare Afya ya uzazi hukabiliwa na changamoto mbalimbali na hivyo kuwaweka wasichana na wanawake katika maz

Idadi kubwa ya wanawake waliopo chini ya umri wa miaka 35 wanaathirika zaidi na maambukizi kwenye njia za uzazi,Kutokana...
11/07/2021

Idadi kubwa ya wanawake waliopo chini ya umri wa miaka 35 wanaathirika zaidi na maambukizi kwenye njia za uzazi,
Kutokana na kujihusisha zaidi na ngono,maradhi k**a gonorrhea, chlamydia na PID huambikizwa sana,
Bacteria wengine wanaweza kuambukizwa wakati
wa kujifungua au kwenye kitendo cha utoaji
mimba na kisha wakajificha kwenye njia ya uzazi.
Baadhi ya njia ambazo mwanamke anaweza
kuzitumia kujikinga na magonjwa hatarishi ni;
1.Fanya ngono salama kwa kutumia kinga na
kuishi na mpenzi mmoja mwaminifu,
2,Hakikisha unafanya vipimo kwa magonjwa ya
zinaa na kuyatibu haraka iwezekanavyo.
3.Jikinge na maradhi ya bacteria na maambukizi
mengine.
4.Hakikisha unaimarisha kinga yako ya mwili :
unapokuwa na kinga imara basi unajikinga dhidi
ya kushambuliwa na magonjwa ya zinaa.
Endapo utagundua kwamba unapata dalili za
magonjwa ya zinaa k**a vile;
Maumivu ya tumbo chini ya kitovu, maumivu
wakati wa kujamiiana, maumivu wakati wa
kukojoa, mamumivu makali wakati wa hedhi na
mengine.
Kwa ushauri zaidi WhatsApp 0762 660 552

  Kumbuka kunawa mikono kwa majibtiririka na sabuni au vitakasa mikono na kuvaa barakoa kwenye mikusanyiko ya watu
08/07/2021


Kumbuka kunawa mikono kwa majibtiririka na sabuni au vitakasa mikono na kuvaa barakoa kwenye mikusanyiko ya watu

Ikiwa una umri wa miaka 30 na kuendelea ni muhimu kupima shinikizo la damu (blood pressure) kila unapohudhuria kituo cha...
09/07/2020

Ikiwa una umri wa miaka 30 na kuendelea ni muhimu kupima shinikizo la damu (blood pressure) kila unapohudhuria kituo cha kutolea huduma za afya kwa maana hatari ya kupatwa na maradhi ya moyo, kiharusi (stroke) na kisukari huongezeka vile umri unavyoongezeka.

24/04/2020
Tambua umuhim wa mtoto kulala mchana;-Husaidia ukuaji wa mtoto hasa wa ubongo na viungo vya mwili-Inaongeza ubunifu na u...
07/02/2020

Tambua umuhim wa mtoto kulala mchana;

-Husaidia ukuaji wa mtoto hasa wa ubongo na viungo vya mwili
-Inaongeza ubunifu na ufanisi katika shule na maeneo mengine
-Inaongeza uwezo wa kujifunza na kumbukumbu
-Inapunguza uwezekano wa kupata magonjwa ya moyo

Wazazi wengi huwalazimisha watoto kulala mchana bila kujua umuhim wa kufanya ivo, wengine hawajui na wala hawafanyi jitihada za kuwalaz...

06/02/2020

Kutapika kwa mama mjamzito inaleta kero na mama huyo kukosa raha mara nyingi. Miezi ya awali ya ujauzito hua na changamoto hii sana l...

06/02/2020

Ni vizuri kwanza kujua vitu vinavyoweza kusababisha mimba kuharibika. Mimba nyingi huharibika kutokana na makosa ya ukuaji wa mtoto. Seh...

Address

Tanga

Opening Hours

Monday 07:30 - 20:00
Tuesday 07:30 - 20:00
Wednesday 07:30 - 20:00
Thursday 07:30 - 20:00
Friday 09:00 - 20:00
Saturday 07:30 - 20:00
Sunday 07:30 - 20:00

Telephone

+255762660552

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when CosmoCare posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to CosmoCare:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram