Miti ni Dawa Isiyo na Madhara.

Miti ni Dawa Isiyo na Madhara. Jitibu kwa miti, ni Tiba isiyo na Madhara.

✓Kuwahi kufika kileleni✓Kukosa hamu ya mapenzi✓Uume kusimama ukiwa legelege✓Kushindwa kurudia tendo la ndoa✓Uume kusinya...
30/03/2022

✓Kuwahi kufika kileleni
✓Kukosa hamu ya mapenzi
✓Uume kusimama ukiwa legelege
✓Kushindwa kurudia tendo la ndoa
✓Uume kusinyaa ukiwa ndani ya tupu la mwanamke
✓Uume kusinyaa Mara tu baada ya kutolewa ndani ya uke
✓Uume kusinyaa pindi tu inapotokea activity yeyote K**a vile kupiga chafya
✓Kushindwa kabisa kusimamisha uume
✓Mwanaume kutokuwa na uwezo wa kufanya tendo la ndoa katika baadhi ya staili
✓Uume kutokuwa na uwezo wa kusimama wenyewe bila kushikwa shikwa kwa muda mrefu
✓Kukosa pumzi na uchangamfu wa mwili katika utendaji
✓Kuchelewa sana kufika kileleni au kushindwa kabisa kufika kileleni
✓Kuhisi maumivu wakati wa tendo la ndoa au baada ya tendo
✓Kusikia kichefuchefu
✓Kuchoka sana baada ya tendo la ndoa

Utafiti na Ushauri wa tiba za asili

Pata ushauri bure kabisa bila malipo

Bonyeza hii link ⬇️ au piga simu 📞 upate huduma sahihi na salama

+255 710 672 417

wa.me/255710672417

Tunajali Sana Afya yako. Karibu tukuhudumie

🎙️ *HII FUNGA MWAKA.*   👋  *Haijawahi Kutokea.*🎁✉️Tunatoa *OFFER* ya *PUNGUZO LA BEI* kwakila Dawa zetu Kwa *ASILIMIA TH...
06/12/2021

🎙️ *HII FUNGA MWAKA.*

👋 *Haijawahi Kutokea.*

🎁✉️Tunatoa *OFFER* ya *PUNGUZO LA BEI* kwakila Dawa zetu Kwa *ASILIMIA THELATHINI 30%*

📥💌 *KWAWANAGROUP WATAPATA PUNGUZO LA ASILIMIA THELATHINI NA TANO 35%.*

🔐 *WAHI OFFER HII KWAKUTOA ODA KABLA HAIJAISHA.*

👀 *UKILIPATA TANGAZO HILI, MFAHAMISHE NA MWENZAKO.*

*🙏KARIBUNI SANA. 🙏*

Jiunge kwenye Group letu kwafaida zaidi. ⬇️⬇️⬇️

https://chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HORMONES*_______________________________________________________________________________________...
25/09/2021

*DALILI ZA MVURUGIKO WA HORMONES*
__________________________________________________
_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________

____________________________________
Mfumo wa homoni ni muhimu sana kwa afya ya ubongo na mil i yetu. Husaidia kuzuia magonjwa yasiyo ambukizi kadri umri unavyo songa mbele. Baadhi ya dalili zinazoweza kuonekana kwa mtu mwenye changamoto ya mvurugiko wa homoni ni k**a vile:
__________________________________________________
*JE ZINAKUHUSU CHANGAMOTO HIZI JIBU KWA NAMBA MFANO 1 AU 2.*
__________________________________________________
*{1}-Ukavu ukeni*
*{2}-Maumivu wakati wa tendo la ndoa*
*{3}-Kutoa jasho usiku*
*{4}-Maumivu chini ya kitovu wakati hedhi*
*{5}-Upungufu wa hamu ya tendo la ndoa*
*{6}-Mabadiliko ya siku za hedhi na kupata hedhi kwa muda mrefu unaozidi siku 7. (heavy bleeding, au kujaza pedi moja kwa saa moja)*
*{7}-Kukosa hedhi kwa muda mrefu, na kutoa damu yenye mabonge mabonge wakati wa hedhi*
*{8}-Uchovu wa mara kwa mara*
*{9}-Hasira za mara kwa mara*
*{10}-Kukosa usingizi*
*{11}-Homa za usiku na Kizunguzungu cha mara kwa mara*
*{12}-Mzio wa vyakula (Allergie), kuchagua chagua vyakula*
*{13}-Ongezeko ya tumbo na nyama uzembe*
*{14}-Kuharibika kwa ngozi (chunusi, vipele*
*{15}-Maumivu ya viungo*
*{16}-Upungufu wa nywele kichwani.*
*{17}-Kusahau sana (kukosa kumbukumbu)*
*{18}-Kupata hedhi wakati wa ujauzito (progesterone ikiwa imezidi)*
*{19}- Kutokupata hedhi (balehe) adi umri wa miaka 20 na kuendelea*
*{20}-Mwili kutokukua, kuonekana k**a binti mdogo, na kutokukua kwa via vya uzazi*
*{21}-Msongo wa mawazo na kukosa kujiamini*
*{22}-Kusinyaa na kupauka kwa ngozi wakati wa siku za hedhi na wakati wa utumiaji wa njia za uzazi wa mpango*
*{23}-Maumivu ya kichwa mara kwa mara*
*{24}-Kuwa na tabia ya hamaki (kukosa utulivu)*
*{25}-Kutokupata choo kwa wakati*
*{26}- Misuli hudondoka*

_____________________________________
➖Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_____________________________________
➖Tanzania -Dar -es-salaam
_____________________________________
➖Doctor Kaimu.
_____________________________________
➖(+255 710 672 417)
_____________________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_____________________________________

_____________________________________
```Bonyeza hii link itakuleta *INBOX* Whatsapp moja kwa moja```

⤵️⤵️
_____________________________________
https://wa.me/255710672417
_____________________________________

_____________________________________ *Jiunge nasi Kwa Faida ZA Bure kupata elimu ya  kila ungonjwa na dawa bure *      ...
30/08/2021

_____________________________________

*Jiunge nasi Kwa Faida ZA Bure kupata elimu ya kila ungonjwa na dawa bure *

```Bonyeza link```
👇🏿

https://chat.whatsapp.com/C5ueFJIx4CiDLwkcTIAhmd

_____________________________________

28/07/2021

JEE hauna furaha na ndoa yako ?
JEE unashindwa kufanya tendo la ndoa vizuri?
JEE Unashindwa kwenda muda mrefu ?
JEE Unashindwa kurudia tendo la ndoa ?
JEE Maumbile yako madogo sana?
JEE Hauwezi kufikisha kileleni mkeo?
JEE unatatizo lolote kwenye ndoa yako ?
+255 778 351 439 piga simu / tuma meseji/ Njoo WhatsApp , nitakusaidia BURE kabisa

_______________________*🔑MADA NO 3**👉VIDONDA VYA TUMBO _________________________ Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )__...
27/04/2021

_______________________

*🔑MADA NO 3*
*👉VIDONDA VYA TUMBO
_________________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_______________
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+255 778 351 439]
[+255 710 672 417]
_______________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_______________
WhatsApp link⬇️Bofya
wa.me/255778351439
👇👇👇👇👇
_______________
https:/4/chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC
_______________
⏩UTANGULIZI – UJUE UGONJWA WA VIDONDA VYA TUMBO
ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ
🎤➖Vidonda vya tumbo ni tatizo linalotokea baada ya kuta za tumbo au utumbo mdogo kuwa na vidonda, hii hutokea ni baada ya kuharibika kwa ukuta wenye ute unaozuia kemikali za kuyeyusha chakula unaoitwa mucus. Kemikali ambayo ni acidi inayozalishwa mwilini kiasili husaidia kuyeyusha chakula na kuua wadudu tumboni, k**a ukuta wenye ute ukiharibiwa na kushindwa kufanya kazi basi kemikali (acid) itaathiri tumbo au utumbo na kuruhusu bakteria kuendelea kusababisha vidonda vya tumbo.
➖Vidonda vya tumbo vinatibika kirahisi ila vikicheleweshwa bila kutibiwa huweza kusababisha tatizo kubwa.

🔪Ni tatizo linalotesa sana na kuwanyima raha watu wengi, linahitaji umakini na pia husababisha magonjwa mengine k**a
01=> Kansa,
02=> Amoeba (amiba),
03=> Homa,
04=> Kupungua uzito.nk
ৡ﹏﹏﹏﹏﹏ ﹏﹏﹏﹏ৡ
🔨➖AINA ZA VIDONDA VYA TUMBO
ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ~
➖Kuna aina zipatazo mbili za Vidonda vya Tumbo (Peptic Ulcers)

👉01.➖Vidonda vya Utumbo Mkubwa (Gastric ulcers) – Hivi ni vidonda vya tumbo vinavyotokea ndani kwenye tumbo kubwa
~ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ~
👉02.➖ Vidonda vya autumn mdogo (Duodenal ulcers) – Hivi ni vidonda ambavyo hutokea kwenye utumbo mdogo (hasa juu)

🔨 ➖DALILI ZA VIDONDA VYA TUMBO
~ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ~
➖Dalili za vidonda vya tumbo hujitokeza baada ya kula au kabla ya kula, ila mara nyingi wengi huwa wanazipuuzia na wanaendelea kukuza tatizo. Vidonda vya tumbo vinadalili k**a;
~ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ~
01.➖Gastrita.
Kupata maumivu ya tumbo yanayokuwa k**a ya moto (kuunguza) baada na kabla ya kula
Kupatwa na kiungulia karibu na chembe ya moyo
Tumbo kujaa gesi na kuvimbiwa
Kichefuchefu na kutapika tena yawezekana kutapika damu
Kupata haja kubwa ya rangi kahawia au nyeusi yenye harufu mbaya sana, pia haja yaweza kuchanganyikana na damu
Kupoteza hamu ya kula na kupungua uzito
Kushindwa kupumua vizuri
ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ~
02=> Kuuma mgongo au kiuno,
03=> Kupungukiwa au kupoteza kabisa nguvu za kijinsia(nguvu za kiume / k**e).
04=> Kjzunguzungu,
05=> Kukosa usingizi au usingizi wa mara kwa mara.
06=> Maumivu makali sehemu ya mwili, 07=> Kkfua kwa ndani kana kwamba unachomwa na kitu cha moto au chenye ncha kali.
08=> Maumivu hayo wakati mwingine hutokeza mgongoni na huchoma k**a sindano yenye sumu na kuacha maumivu makali au tumbo na mgongo kuwaka moto.
09=> Kichefuchefu,
10=> kiungulia,
11=>Tumbo kujaa gesi,
12=> Tumbo kuwaka moto,
13=> Maumivu makali sehemu kilipo kidonda,
14=> kukosa choo au kupata choo kwa shida tena kikiwa kigumu na chenye kukatika k**a cha mbuzi.
15=> Kutapika nyongo,
16=>kutapika damu au kuharisha,
17=>Sehemu za mwili kupata ganzi
18=> Kukosa hamu ya kula,
19=> kula kupita kiasi,
20=> Kusahau sahau na hasira.
ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ
🔨➖CHANZO CHA VIDONDA VYA TUMBO
~ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ ➖Vidonda vya tumbo vina vyanzo tofauti ila vyote ni vile vinavyohusiana na mmeng’enyo, vyanzo hivyo ni;
~ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ~
➖Bacteria waitwao Helicobacter pylori (H. pylori)
Matumizi ya dawa za kupunguza maumivu k**a asprin, (NSAIDs), (Advil, Aleve, na zingine)
Kuwa na mawazo mengi
Kula vyakula vinavyozalisha acid kwa wingi
Kunywa pombe na vinywaji vikali
Uvutaji wa sigara
Kuto kula mlo kwa mpangilio.
ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ
Kwa Maradhi Haya na Mengineyo.
Wasiliana nami kwa namba:
👇👇👇👇👇
___________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
_______________
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+255 778 351 439]
[+255 710 672 417]
_______________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_______________
WhatsApp link⬇️Bofya
wa.me/255778351439
_______________
BOFYA LINK CHINI KUJIUNGA NA GROUP LETU LA WHATSAPP👇🏾
_______________
https:/4/chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC
~ৡ﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏﹏ৡ~

_______________________*🌳UGONJWA WA BAWASILI  DALILI ZAKE NA TIBA YAKE🌴_______________________Tiba ushauri na utafiti (D...
26/04/2021

_______________________
*🌳UGONJWA WA BAWASILI DALILI ZAKE NA TIBA YAKE🌴
_______________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
___________________
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+255 778 351 439]
[+255 710 672 417]
___________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
___________________
WhatsApp link⬇️Bofya
wa.me/255778351439
___________________
BOFYA LINK CHINI KUJIUNGA NA GROUP LETU LA WHATSAPP👇🏾
___________________
https://chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC
___________________
👉BAWASILI ni mojawapo ya matatizo ambayo mara nyingi inapotokea humfanya muathirika kuwa na aibu kuelezea kwenda hospitali ili kupata tiba.Bawasiri husababishwa na kuvimba kwa mishipa ya damu aina ya vena katika eneo la mfereji wa haja kubwa.
_______________________
✌*KUNA AINA MBILI ZA BAWASILI(HEMORRHOIDS)
_______________________
☝1.Ya nje ya puru- Aina hii ya bawasili hutokea katika eneo la mwisho kabisa la mfereji wa haja kubwa na mara nyingi huambatana na maumivu na muwasho katika sehemu hiyo.Mara nyingi mishipa hiyo ya damu(vena)hupasuka na damu huganda na kusababisha hali iitwayo THROMBOSED HEMORRHOIDS kitaalamu.

✌2.Ndani ya puru/tupu/duburi-Aina hii ya bawasiri hutokea ndani ya mfereji wa haja kubwa na haiambatani na maumivu hivyo kuwafanya wengi kutotambua kuwa wana tatizo hili.
🔸Aina hii imegawanyika katika sehemu zifuatazo;
_______________________
🌱i.Bawasir kutotoka katika mahali pake(iliyosimama)

🌵ii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa kurudi yenyewe baada ya kumaliza kujisaidia

🍍iii.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na hairudi yenyewe baada ya kujisaidia mpaka mwathirika airudishe mwenyewe.

🌹iv.Bawasir inayotoka wakati wa haja kubwa na ni vigumu mtu kuirudisha baada ya kumaliza kujisaidia.
_______________________
🍓*VISABABISHA VYA BAWASIRI✅.*
_______________________
👉Miongoni mwa visababishi vya bawasir ni;
▪️Tatizo sugu la kuharisha
▪️Kupata haja kubwa(kinyesi)kigumu
▪️Uzito kupita kiasi(OBERSITY)
▪️Ngono ya njia ya haja kubwa(ANAL S*X)
▪️Umri mkubwa na mambo yanayoongeza shinikizo katika tumbo.
_______________________
🍉*DALILI ZA BAWASIRI✅.* _______________________
▪️Kinyesi kuchanganyika na damu wakati wa kujisaidia
▪️Maumivu au usumbufu katika njia ya haja kubwa
▪️Kutokwa na kinyesi bila kujitambua(kuvuja kinyesi)
▪️Kijiuvimbe katika eneo la tundu(mlango)wa kutolea haja kubwa.
▪️Ngozi katika eneo la tundu la haja kubwa kuwasha.
▪️Bawasir kutoka wakati wa kujisaidia haja kubwa.
_______________________
*ATHARI ZA BAWASIRI✅.*
_______________________
▪️Upungufu wa damu mwilini(ANEMIA)
-STRAGULATED HEMORRHOID
▪️Kinyesi kutoka na kuvuja bila kujitambua na kusababisha kunuka kinyesi saa zote.
▪️Kukupunguzia morali ya kufanya kazi kutokana na maumivu hasa watu wanaokaa muda mrefu maofisini.
▪️Kuathirika kisaikolojia
▪️Kukosa hamu ya tendo la ndoa.
▪️Kupungukiwa nguvu za kiume
_______________________
🌹*JINSI YA KUZUIA BAWASIRI✅.*
_______________________
▪️Kula mboga za majani na matunda na nafaka zisizokobolewa kwa wingi
▪️Kunywa maji mengi lita sita hadi kumi na mbili kwa siku
▪️Punguza kukaa kwa muda mrefu chooni bila kutoa choo.
_______________________
🍇*TIBA YAKE✅.*

💉💉💉💉💉
_______________________
🔧Tunazo dawa za kutibu na kutokomeza tatizo hilo.
🔨NB:dawa zetu ni za asilia hazina kemikali ya aina yoyote.
Kuipata dawa hiyo wasiliana na
👇👇👇👇👇
_______________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
___________________
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+255 778 351 439]
[+255 710 672 417]
___________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
___________________
WhatsApp link⬇️Bofya
wa.me/255778351439
___________________
BOFYA LINK CHINI KUJIUNGA NA GROUP LETU LA WHATSAPP👇🏾
___________________
https://chat.whatsapp.com/D6c4UpRpZu0ARWUMsq3pjC
___________________

_______________________HII NDIO KIBOKO YENU. DAKIKA 30-60 BILA KUCHOKA_________________________Tiba ushauri na utafiti (...
21/04/2021

_______________________
HII NDIO KIBOKO YENU. DAKIKA 30-60 BILA KUCHOKA
_________________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+225 778 351 439]
_________________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_______________________
Dawa ya Asili ya kukawia kwenye tendo la ndoa zaidi ya dakika 30 bila kuchoka
_______________________
BAKORA ni mafuta ya Asili 100% hayana madhara na unatibu kwa muda husika wa tendo la ndoa.
•Ni dawa ya kupaka uume kwa mda wa dakika 1 tu
•Kisha endelea na shughuli zako, baada ya nusu saa ingia mzigoni.
_______________________
Dawa hii Usiitumie kwa {wasichana/ wana ndoa} wa chipsi yai ambao dakika 40 wapo hoi, utakuwa unawaonea sana
_______________________
MAZINGATIO
_______________________
{1} Kula ushibe sana
{2} Maji ya kunywa ya kutosha sana k**a lita 3
{3} Usipake dawa nyiingi coz utachelewa mno kumwaga hivyo sio tu mke kuchoka pia hata ww UTACHOKA SANA.
_______________________
BAADHI YA DAWA ZA KIZUNGU ZENYE MADHARA MAKUBWA AMBAZO WATU HUZITUMIA💊
_______________________
✓ viagraerector ✓enjoy ✓cream ✓spray ✓Alprostadil ✓Avanafil ✓Tadalafil ✓Testosterone ✓Vardenafil
_______________________
Tiba ushauri na utafiti (Dawa asili )
Tanzania -Dar -es-salaam
Dr Msangi
[+225 778 351 439]
_______________________
➖Call➖sms&txt➖Whatsapp
➖telegram ➖imo
_______________________
WhatsApp link⬇️Bofya

wa.me/255778351439

Address

Pongwe
Tanga

Telephone

+255778351437

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Miti ni Dawa Isiyo na Madhara. posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Practice

Send a message to Miti ni Dawa Isiyo na Madhara.:

Share

Share on Facebook Share on Twitter Share on LinkedIn
Share on Pinterest Share on Reddit Share via Email
Share on WhatsApp Share on Instagram Share on Telegram